jessica amecheza vizuri sana angekuwa hana mazoezi hii mechi asingemaliza umejitahid
@UKCTV3 күн бұрын
Kweli kabisa
@shariffIddi-nv3sk3 күн бұрын
Hbr
@UKCTV3 күн бұрын
Nzuri
@shariffIddi-nv3sk3 күн бұрын
He'll
@ashraphsalum15863 күн бұрын
Mbona video yenyewe umeikata inaonekana nusu na huoneshi raundi???Hio sio FULL FIGHT bhana...
@UKCTV3 күн бұрын
Haijakatwa ndugu ipo full fight
@ramadhanhaji553 күн бұрын
Mechi huwa zinaoneshwa channel gani
@kenedysamwel98633 күн бұрын
Ni sahihi anachosema DIMOSO
@ochubusness3954 күн бұрын
Jesca amejitahidi huyu mwanadada ni mgumu
@UKCTV4 күн бұрын
Amejitahidi sana, huyu ni bondia hatari
@muddyzanga74764 күн бұрын
jaman mna huwakika uyo ni mwanamke
@SarahAlex-d5k4 күн бұрын
Ellen simwaka Lazima tukupige
@julianashauri18034 күн бұрын
Huyu apewe sara alex
@UKCTV4 күн бұрын
Saraha amalizi raundi kwa huyu, yupo fit sana ana akili sana ananguvu na speed, pia anakupiga utakavyokuja, kwa uchezaji wake sarah, jinsi ninavyomjua, hapa kwa huyu hamalizi sababu sarah, anatumia sana nguvu kuliko akili
@OmaryCyrily-we3zi4 күн бұрын
hongeren UKC TV kazi nzuri 🙏👍
@UKCTV4 күн бұрын
Ahsante ndugu
@greysonmbembelakarateka58425 күн бұрын
Uyu mmalawi noma, Hakupoa, raundi zote alikuwa moto
@UKCTV4 күн бұрын
Sana
@KingMakasi5 күн бұрын
Kapigwa kialali wa kwetu aongeze juhudi
@MwazoaMwazoa5 күн бұрын
Mabondia wa kike wamalawi ni wakali kuliko kaka zao.Lkn hongera kwa champion mfinanga Amekaza mwanzo mwisho
@UKCTV5 күн бұрын
Saana tena sana
@elastomwakipesile77314 күн бұрын
Kaka zao mazoezi hawapendi ila ulevitu
@matatamwaipopo-rp4vz5 күн бұрын
Mmalawi ni hatari
@erickmalindi46525 күн бұрын
Kazi nzuri UKC TV
@UKCTV5 күн бұрын
Ahsante ndugu yangu
@MuniniAdrien6 күн бұрын
Salmin kiboko ya kimario
@wysonwsaidi48626 күн бұрын
Bring it Ellen
@Nokuthula20116 күн бұрын
You go Ellen, you got this girl ---bring it to SA🥊🥊🥊🥊🥊
@mtengwadj93907 күн бұрын
boxing
@BONDIA9497 күн бұрын
Safi champion
@LutenganoCharles-d7t7 күн бұрын
Kuna mtu aliitisha press, akaaanza kutambilisha shangazi zake, mama zake wadogo,wajomba zake wote alienda nao kwenye press hiyo mara kushoto kwangu amekaa mke wngu , mara akasema narud rasmi kwenye kazi yngu, mara boss ameniongezea mshahara mkubwa , baada ya ile press kukawa ziiiiiii had leo cjui nn kinnaendelea ishaapita miezi sasa
@UKCTV7 күн бұрын
Siikumbuki hiyo ndugu yangu
@mussaissa44477 күн бұрын
Nilimic saana ngumi Sasa ni wakat wa burudan Kwa cc wapenz wa punch
@PaulCharles-ox9pg7 күн бұрын
Kazi kazi nakubali
@AhmadSalimu7 күн бұрын
Kila la kher side, fanya kweli.
@shabanimara54497 күн бұрын
Chino kapende kwenye vazi
@NasraAbdallah-k8r8 күн бұрын
Alafu ao walio vaa mawani ayaja wapendeza
@newfacie8 күн бұрын
🚱🚱
@newfacie8 күн бұрын
🚯🚯
@Kassimumohamedi8 күн бұрын
Uwakika members
@sidearsenal6669 күн бұрын
Fala sana huyu jamaa ww ibra ana matatizo umempima amebadili dini inakuhusu nini
@phlavianluoga77059 күн бұрын
Hongera sana
@Daniel-g2f6v11 күн бұрын
Ndio kashasababisha sasa Haki haiangalii nani atakufa njaa isipokua atatenda haki ilo la kwanza 2 umesema bakhresa akae na serikali hapana sio serikali ila akae na mwamakula cause mwamba kashinda KESI off course Mimi hili jambo limeniuma cause AZAM ni mdau namba Moja katika ngumu lkini hayupo juu ya Sheria.
@newfacie11 күн бұрын
UKCTV pata kilichobora 🌎
@happyfiverickaldo466211 күн бұрын
Kabisaaa
@CoachMtoto11 күн бұрын
Mahakama inawatu wenye akili mabondia tuiulize Azam kwanza pas na kumshambulia mwamakula ila asiseme Tanzania mzima bondia mwenye akili ni yy Ina maana wengine machiz au
@YukoMchawi12 күн бұрын
DAWA YA DENI ULIPE. '' NGUMI SIO CCM WALA CHADEMA'' ACHENI KUKIFANYA AZAM''' INAWAUMA MLIFANYA NGUMI YENU'' HASA MABONDIA WA DA DAR'' MANALIALIA XANA
@YukoMchawi12 күн бұрын
HAKI ITENDEKE'' SIO KUMTISHIA MWAMAKULA'' SISI KAZI YE2 YA MIKONO'' KESI YAO ''' NGUMI SIO AZAM '''' KWANI WAO NANI. ''
@UKCTV12 күн бұрын
@yukoMchawi ukowapi siku hizi, mbona kimya sana
@AbdulMsafiri-s6c12 күн бұрын
We MTANGAZAJI Kwan hujion unamatatizo hiiii sio taaluma yako kk unazingua kinom
@CoachMtoto11 күн бұрын
Hapo kajambia Maj ya moto
@EddyKatamba12 күн бұрын
Big up mwamakula
@manenolugome93412 күн бұрын
Hasa ccm nao wakisema umeiba idea yao 😅😅
@CoachMtoto11 күн бұрын
@@manenolugome934 atawalipa
@allymwachipanga248612 күн бұрын
Hahaha ha nimefurahi leo
@sashaman386212 күн бұрын
Yan Leo huyu mtangazaji kaingia chakike.maana yeye ni team ibra na team nacoz
@sportsarena573212 күн бұрын
Uyu jamaaa ana akil Sana dadek
@OmaryCyrily-we3zi12 күн бұрын
😂😂😂
@Ram8193K12 күн бұрын
Changeni pesa ili mumlipe jamaa anayekidai hiko chombo cha habari 😂😂😂
@Spotitimes13 күн бұрын
Wewe unacheza mchezo upate nini mavi kama siyo pesa boya wewe
@Spotitimes13 күн бұрын
Namba moja ya wapi wewe mjinga wewe.
@Spotitimes13 күн бұрын
Kitoto kininga Sana hiki kinatumika vibaya chenyewe kimeshindwa kudai haki yake wamelifanyisha documentary kimezulumiwa kininga Sana kifala hiki.
@Spotitimes13 күн бұрын
Amosi wewe ni shujaa wa boxing tena ndiye aliye fanya hao wanao taka kuonekana waonekane kwaajili yako