Nawew umesahau niyonzima na morison mbona ulipokonywa
@NasamMzee3 ай бұрын
Hana ishu yanga tu naoooo
@AmmyMakita-bt4ip3 ай бұрын
Jaman msifananishe Madrid na uchafu chura wanajifananisha na madridi
@bonifacelugo29413 ай бұрын
Mchezaji mzuri anasaini mkataba mwaka mmoja
@NasibuAlban3 ай бұрын
Kwa hiyo unatakaje wivu tu
@peterpain55943 ай бұрын
Yani mashabiki wengine hawanaga kumbukumbu kabisa uyu jamaa amesahau juzi katoka kumkosoa chama kisa pacome leo anamsifia duuuuh!!! Ndio maana mm sitakagi kulopokalopoka
@Codeboy_dml3 ай бұрын
Sifia chako
@JoshuaJackisoni3 ай бұрын
Sasa mbona zamani ulikuwa usemi
@Emanueli-vz6fd3 ай бұрын
Ukitaka kuuwa mbwa wako mpe jina baya haujui😅😅😅
@GamaRacing1233 ай бұрын
alikuwa hatuhusuuuu😂😂😂😂😂😂
@AmmyMakita-bt4ip3 ай бұрын
Madrid ni inatakiwa kufananisha na team nyngne
@komboarts71103 ай бұрын
Mbona hukua unamsifia Leo akiwa kwako siku zote hukuwahi kusema mnafiki wewe kajamaa
@MsafiliNhabe-ll2vx3 ай бұрын
Iv mandunduka mbona hawajiamin
@lukasjelamisanana67703 ай бұрын
Kumbe
@saidilindukwa3 ай бұрын
Ukimtukana mwalimu Yanga unajitekenya mwenyew,Sasa mlitaka amsifie Chama akiwa Kwa makolo? Impossible,Mpira si matusi wewe TOA, views zako, Advice yako na comments zako,stop matusi Hakuna cha uchoko hapo Wacha amsifie Chama wake😂😂msumari umekuingia wee kolo😂😂dadadek
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Chama kasain yanga !!!!!!!! Ama anabaki Simba?????? Mo anakanusha jamani