MWAMBA HUYU HAPA || NASSOR MAZRUI || ATOA WASIA NZITO LEO

  Рет қаралды 10,531

Marhaba TV

Marhaba TV

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@mozakhamis7253
@mozakhamis7253 Ай бұрын
watatowa huyuu ni mwaka wao. ishaalla. tafadhalini. watoto wetuwasiwe wajinga nawaaminiya. sana mungu awape nguvu. haswa kwenye kutanazwa. hapo ndipo penye maneno. nassro. wewe ni muungwana. pole kwa majukumu. uliyo
@IbrahimAbram-z8s
@IbrahimAbram-z8s 10 күн бұрын
@AbdallahNassor-j5s
@AbdallahNassor-j5s Ай бұрын
Wapo Wenda wazimu walokuwa hawaitakii mema znz wapenda madhila yaendeelee znz lakini inshallah tutaikombowa znz vijana tuwe pamoja
@SuolFat
@SuolFat Ай бұрын
Hongera kiongozi mzalendo mazurui
@mozakhamis7253
@mozakhamis7253 Ай бұрын
watatowa huyuu ni mwaka wao. ishaalla. tafadhalini. watoto wetuwasiwe wajinga nawaaminiya. sana mungu awape nguvu. haswa kwenye kutanazwa. hapo ndipo penye maneno.
@hassannyato
@hassannyato Ай бұрын
uhakika
@FaridaAly-r5n
@FaridaAly-r5n Ай бұрын
InshaAllah ALLAH atupe nguvu tuitoe znz yetu kwenye hili balaa
@JumaHamad-i3f
@JumaHamad-i3f Ай бұрын
Mm munanikera munajifanya munataka haki lakn munamkufuru ALLAH miziki imekatwazwa siasa mumesoma wap
@OthamanOmar-w7x
@OthamanOmar-w7x Ай бұрын
Mungu tusimamie
@nassorsoltero3072
@nassorsoltero3072 Ай бұрын
Allah ajalie kila lenye kheri
@FaridaAly-r5n
@FaridaAly-r5n Ай бұрын
Amiin
@saidabdalla-l8f
@saidabdalla-l8f Ай бұрын
Mwandazimu ni docto huseni ndo alodanganya watu fly ova kumbe kajenga brige secnecha kashatuibia wazanzibar
@FaridaAly-r5n
@FaridaAly-r5n Ай бұрын
ALLAH amdhalilishe pale atakapotudhulumu
@thamratysuleiman3053
@thamratysuleiman3053 Ай бұрын
Kwisha chama hiki .maalim ndi mtu pekee alie kua na haiba na mvuto wengine aaaah wapiii.
@YahayaKiobya
@YahayaKiobya Ай бұрын
Katiba mpyaaaaaa tunataka
@SaidShaban-o2e
@SaidShaban-o2e Ай бұрын
Muungu sio othmani Ila Mara hii wataitoa serekali wanitaka wasitake muungu akitaka ishallah
@SaidShaban-o2e
@SaidShaban-o2e Ай бұрын
Ishaallah sisi tunamtegemea muungu
@FaridaAly-r5n
@FaridaAly-r5n Ай бұрын
ALLAH atufanyie wepec
@mozakhamis7253
@mozakhamis7253 Ай бұрын
ali hasani mwinyi alisema hata wafe wote lakini mwanawe awe raisi. ila mkubuke. ni raisi bandiya tu ni sifuri 000 wazanzibar hatumtaki sote. na tutashinda. mungu mkubwa ishaalla ikiwa hawatafanya walio yafanya bara. mungu awalaani huu ndio mwisho wao. samiya tuachiye wazanzibar tuamuwe usiongope hao hawajuwi mungu samiya najuwa unamjuwa mungu wachaaamuzi yetu. wenyewe.
@ashaiddi6449
@ashaiddi6449 28 күн бұрын
Jisemee pekeako usiseme wazanzibar wote
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Ай бұрын
Ccm iondoke ZANZIBAR iwaachie WAZANZIBARI UHURU wao na nchi , wachahgue viongozi wanaowataka.
@MuyazakhMohammeid
@MuyazakhMohammeid Ай бұрын
Mambambano yaende lee⚔️
@allymansur8155
@allymansur8155 Ай бұрын
Kama ni kweli kila siku wapeleke vijana kumi kupata vitambulisho, utakapo fika hio 2025 utakuwa na idadi tosha, lkn uko kwenye jukwaa ukiamini chuma cha pua utakiangukia. Jijusanyeni kwa njia hio pekee ndio matumaini yalipo.
@mozakhamis7253
@mozakhamis7253 Ай бұрын
sefu hajawahi kushindwa
@FaridaAly-r5n
@FaridaAly-r5n Ай бұрын
ALLAH atufanyie wepec
@rashidmbarouk7661
@rashidmbarouk7661 Ай бұрын
Tutashida lakn kwa % ndogo safari hii sababu nahisi wananchi wengi wa Zanzibar wameshakata tamaa kabisa hata kupoga kura wengi hawataenda kupiga kura licha ya hv lakn ushindi kwa Zanzibar utapatikana inshallah lamsingi tuchukue hatua ya kuhamasisha kupiga kura t
@AliHaji-i3r
@AliHaji-i3r Ай бұрын
Hao vijana wa 2 hawaonekani
@AbrahmanAbrahman-l7h
@AbrahmanAbrahman-l7h Ай бұрын
NASSOR AHMED MAZRUI MBONA MANENO YAKO NA YANAYOZUNGUMZWA JUU YAKO NI MBINGU NA ARDHI HAYAFANANI?UNAONEKANA BADO UNA SPIRIT YA KI UONGOZI NA MAPAMBANO?
@Jal210
@Jal210 Ай бұрын
Haki gani mnataka nyie Subhannallah acheni kihamasisha mgombea wenu hana lolote
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 Ай бұрын
Kama unajua maana ya haki basi kaa kimya wacha kuropokwa
@GeneGoodkid
@GeneGoodkid Ай бұрын
Zanzibar haitoki Haikufaa rangi Itakuwa chokaa CCM mbele kwa mbele OMO ya juguu
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np Ай бұрын
jina lako tuh linajieleza sio shida zetu
@AliHaji-i3r
@AliHaji-i3r Ай бұрын
Hao vijana wa 3 hawaonekani kwisha ACT
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np Ай бұрын
jipee moyoo
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 Ай бұрын
KASHÌDWA SEÌF ÈNDEĹEZA POROJO USHINDI ZIŔO 2025
@iFly-t9b
@iFly-t9b Ай бұрын
Kashindwa Firauni, Kwa Allah hakuna kubwa
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Kiasi muropokwe nyie Chama Cha Maharamia mafaataani wezi wadangayifu Ali Karume CCM mwenzenu kasema wazi hamjapata kushinda muharami mnafiki mmoja Hasbunallah Waniimal
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Nyie mumemshinda huyo firauni majambazi wa kisiasa Hasbunallah Waniimal Wakiil
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Mnajuwa hakika hakuna uchaguzi wowote ule mloshinda lakini udhalim wenu na hao polisi makhabith msomuogopa hata MMungu maana yeye ndio alokataza dhulma na bado mnadhulumu mchana kweupe muteke watu muuwe watu kisha wana Maharamia wakubwa
@mohamedisimai
@mohamedisimai Ай бұрын
​@@w4058shida ka mudomo
TUSIHUSISHE MISKITI NA SIASA || Muhammad Bachu.
1:03:46
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 32 М.
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Othman: Patachimbika uchaguzi mkuu 2025
8:44
Migayo 24
Рет қаралды 24 М.
UWEZO WA NDACHA KATIKA KUJIBU MASWALI YA HAINA YA MTEGO  KATISHA ZAIDI
13:38
GB 64 AMUWASHIA MOTO CHRISTINA MILLION 50 ZIMEWATOKEA PUANI
8:17
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 3,9 М.
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН