Hahahahahaha big daddy #mtu mbaya #mwanaFa #big dady #mwanafalsafa # we endelea tu. We jamaaaa unatisha kama EBOLA ✈️✈️✈️
@mtumishihewa75955 жыл бұрын
kama umetazama hii ngoma zaidi ya mara 40 WE ENDELEA TU!!!👊👊👊sema nn FA weeeee niii maaafyaaaaaaaa!!!!
@rehemanassor352 Жыл бұрын
We endelea tu
@noelphilipmollel63555 жыл бұрын
Hii ngoma hatari sana....inapaswa kupigwa remix na malegends karibu wote..awa watoto waskuiz wanazingua sana....thanks for good music
@adamumkomwa21435 жыл бұрын
Noel Philip Mollel real
@abdullytwaha9785 жыл бұрын
Uko sawaaa
@maleop29505 жыл бұрын
Hizi flow za kigadhabu achia warabu disi hip hop za wenye hip FA Whatsap
@maleop29505 жыл бұрын
Miendo ya ngamia juu ya maji eeh ya filauni
@maleop29505 жыл бұрын
Huku tunakanyaga tamu na kutetema, Kwangwaru kwa mademu sio mchezo Wa kusema
@emelmarry83545 жыл бұрын
Mi nna mungu we endelea tuu safiii fa
@hawasalehe12335 жыл бұрын
Nakupend xana mwanafA .....unajuwa kaka. Anayebixha mbana pua.
@sammytz15405 жыл бұрын
subira haivuti bangi haigongi nyagi inavuta kheri tu haijawahi kubugi 🔥🔥🔥 nice jam
@emmanueljackson28445 жыл бұрын
Miruzi mingi mbwa sipotei we endelea kuskiliza utaelewa tyu
@MajaxiFx5 жыл бұрын
I beleve in you Mwana Falsana lazima tujifunze kwa waliofanikiwa ili nasi tufanikiwe i swear nitatafuta pesa na nikipata Sipigi nazo picha ng'ooo We endeleaa tu
@Ambwenefilm5 жыл бұрын
FAHAMU || Msitu hatari zaidi duniani || kuna viumbe wa ajabu (Romania) kzbin.info/www/bejne/iZWZi4mDqN1_rrs
@godifreymtaze16345 жыл бұрын
Show
@josephdaudi44715 жыл бұрын
JD online
@Ambwenefilm5 жыл бұрын
@@josephdaudi4471 nam
@meshackkangwe77445 жыл бұрын
Kbsaa
@daudyjohnson34473 жыл бұрын
We endelea tyu kwa mungu amna wanafki
@emmanuelahmedbyona23532 ай бұрын
Mwana FA ni Manufaa ❤❤❤❤from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@zainabual_tz56235 жыл бұрын
Bonge la nyimbo kama unamkubali mwanafa like hapa twende Sawa 👌🏼👌🏼
@esterwilliam33095 жыл бұрын
Oyooooooo... Wanao amini kwa MUNGU hakuna majungu.. waendelee tu... Like mingii hapaa
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
We endelea tuu kuninyima like, team mwana_f_a na team east_cost__team gusa like
@omaryjuma8035 жыл бұрын
Et amua mwnywe utazik au utasafirisha # mwana fa uko juuu mkubwa
@babaharunakipindula38955 жыл бұрын
Dah vijana wameharibu bongo flavor.... Asante ma legendary
@godfreyeugentarimo1015 жыл бұрын
Mm ninavyoon hii ndio itakua ngoma boraa sanaa katika huu mwakaa nani anabishaaaa
@beckarluhanga84215 жыл бұрын
Sisi ndio wagosi tunaweza uza Ng'ombe kwa kesi Ya kuku lazima tushinde big up Mwana FA mgosi wa ndima Kama mbwayi mbwayi tu
@amiriramadhan77535 жыл бұрын
Hatufeligi kindezi wagosi wa tanga
@johnsonjoshua6707 Жыл бұрын
Mshaanza ukabila mnataka kutambika au
@beckarluhanga8421 Жыл бұрын
@@johnsonjoshua6707 😂😂😂
@sultanhassan79285 жыл бұрын
Hata kama hukipendi kukiheshimu inabidi🙌 Wangapi wamepata vibes za 2010 👇
@yusuphkaoneka36645 жыл бұрын
Hata wachawi wanafiwa we endelea tu
@pitahkym88065 жыл бұрын
Kenya tumekubali waambie wakanyange polepole wasije wakajikwaaaaaa!
@alifarah94595 жыл бұрын
Huyu Ndoo msanii namba 1 Bongo nzimaa hatarii gemuu imemisi hizi kaziii sio zogooo la Vumbi
@hilalmtangi52415 жыл бұрын
We endelea tu kuachia Ngoma kimya kimya. Keeping the good music alive #WeEndeleaTu
@abubakermachatha56805 жыл бұрын
anasema nini hapo eti, ...............,kishua au kimtaa ni kucheza na number kama mtu mbaya Salah.
@sadockmtwe48525 жыл бұрын
Hilal Mtangi mbna biti zilezile
@mohamedkipingu48075 жыл бұрын
Nyimbo kali sana Mwana Fa sema hapo kwenye chorus angekaa G nako ingekuwa kizazi sana
@magambonyanusi39505 жыл бұрын
G nako au belle 9 But tayr ipo kwa hewa
@isaacmhanga51015 жыл бұрын
Sasa unadhani nani kama c gnako
@christophersoty1015 жыл бұрын
@Ahmed Ally mawazo yako Kama yangu
@mwendwamjukuu94685 жыл бұрын
Chorus angekaa mtu mzima belle tisa
@nickomdete72325 жыл бұрын
its we ni mwanafalsafa maana duuh watoto hawawezi elewa ila ss wakongwe tunakupata 100%
@briankimtai30825 жыл бұрын
🔥🔥ukiwa mkubwa utataka kuwa kama mimi. shati navaa la jana ila gari nabadili.🙌 we endelea tu
@deusfernandes91705 жыл бұрын
Hapa ndo unapoweza kutofautisha kat ya MwanaMUZIKI na MSANII.
@rashidyhemedy51105 жыл бұрын
wakikuuliza naendeleaje waambie vizuri zaidi ya jana,,,miluzi mingi ila kubwa la jibwa sipoteii,,,dah respect sana brooother💪💪💪💪💪
@iddidhidha18695 жыл бұрын
one of the best in E.A without a doubt! Hujawahi kutuangusha mafans wako!
@mosesmhina99805 жыл бұрын
Ndio kama unaanza vile kumbe ndio wamaliza homebwoy u have killed it
@sahirstimajr43945 жыл бұрын
Kaka umewaza nini...... Tanga juuuuuuu
@eddymwalagho3545 жыл бұрын
🇹🇿 🇰🇪 Ni Rehma za Mungu tu na maamuzi yake.. Kwa Mungu hakuna majungu mi nina Mungu. Mkongwe wa Hiphop Afrika!
@aysha41025 жыл бұрын
ChoirMaster❗️
@zenjonlinetv49535 жыл бұрын
Dah naombeni like hata moja jmn
@tajisiraju40165 жыл бұрын
Toka mwanafalsafa,mwana Fa mpaka Fa,,nakubal sana Ghostwriter,Ngoma ni kali sana
@mwarabutoleolamwisho78795 жыл бұрын
naendelea kuJdhrishia na kuupa MOYO wangu uthbit kuwa wenYe maJna Ya HAMISI na waliobahatka KufanYa jambo fulan ktk jamii zetu wana uwezo mkubwa wa kutatafakari FALSAFA, bg up as FAR.
Msanii wangu bora wa hip hop tanzania ,,we endeleea kunifurahisha tuu
@falsafayohana49855 жыл бұрын
Kwani je haya ndo mambo sasa misamiati kama yote ::::: we endelea tu kwa Mungu hakuna majungu
@godfreymwita17085 жыл бұрын
mwanaFA Wee endelea tu usingesema wewe ningesema mimi
@bamatv6515 жыл бұрын
Mafundi sikuzote wanajua wanachokifanya....Heshima za kutosha kwako Hamisi Mwin'juma
@shedyjr32275 жыл бұрын
Hawa ndoo ma legends sasaaaa.. mziki safi
@costantinerichard20955 жыл бұрын
Tuliikumbuka hii sauti na imeludi kwa kasi ya hatari 👑👑👑 nakuele mfalme mwana f.a we endelea tu kutuletea mistari bora Tanzania
@jaydallu31585 жыл бұрын
hao walio dislike wanaujua mziki kweli au wamezoea zile video za marangi rangi na uchi uchii.... this is a good music
@rosemaiko94055 жыл бұрын
Waambie Watoto hawajakua
@charlesboniphace23435 жыл бұрын
Hata me nimeshangaa sana una dislike nn sasa hapo
@maikusayi64605 жыл бұрын
Hao wanao dislike walishazoea nyimbo za mikelele nyingi
@sylvestermihale28874 жыл бұрын
*Kwa Mungu hakuna majungu* *Nouma sana,* *subila haivuti bangi* 🎶🎵🎼🎺🎷🎤🎧📽️🎥✔️☑️✅
@BarubinaNyoni-it9ol Жыл бұрын
Huu wimbo napenda sana hapa wakimuuliza naendelea je wambie vizuli zaidi ya jana vizuli zaidi ya wao subira aivuti bangi❤😂😂asee hi ngoma yangu pedwa
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
Nimerudi tena kuomba like we endelea tu kuninyima like
@chimamychimychimamy84825 жыл бұрын
Nalikubali kubwa mwana fa from Kenya+254 kama unamkubali mwana fa ngonga like hapa big bro 😘😘😘😘
@straightkonect16135 жыл бұрын
Nilikua nangoja sana Mzazy FA utapakua nini na lini but umeangusha mzigo mkali FA yuleyule misemo full kujiachia
@lyaruusiayako26425 жыл бұрын
Subira haivuti bangi, haigongi nyagi, inavuta heri tu na haijawahi kubugi.
@mbagatamaximillian20345 жыл бұрын
Duuh bonge la song kwa mungu hakuna majungu ww endelea tu nimekuelewa mwana Fa usiongeze sauti
@definitionjr80695 жыл бұрын
Kama una amin FA ndo Best MC wa muda wote gonga like twende sawa.
@mugadimon35635 жыл бұрын
Huyu mzee yupo katika best mc wa all time
@winnermlaki25205 жыл бұрын
atar we endelea 2
@definitionjr80695 жыл бұрын
@@winnermlaki2520 faya
@definitionjr80695 жыл бұрын
@@mugadimon3563 mtu mbaya asiye na mambo mengi
@kisandusitta99865 жыл бұрын
Tafata her ira usipig nazo pch
@chrissymetics51325 жыл бұрын
Mi NAENDELEA tu kuwatch na nipo #FYN by falsafa🙌🙌
@karanidicky53385 жыл бұрын
Imenyooka Mzazi, Kali i sei
@stephanomarwa30635 жыл бұрын
Endelea tu kuchafua safi sana namba moja sasahivi hadi fraha naupenda sana huu wimbo
@merryn48915 жыл бұрын
Ujawahi kukosea mwana FA
@kidunapoletano31185 жыл бұрын
Uyu jamaa ajawai kuchuja mana mziki anaujua xana angekuwa anaupromoti mziki wake km wanavyo fanya wenzie wakina Mondi basi africa nzima kusinge kalika. Weeeeeee ENDELEA TYU. UMEUWAAAAA F. A. SAFI XANA. napenda xana mziki wako napenda xana mziki mzuri. Sichagui wala sibagui nasapoti mtu anae imba mziki mzuri basi
@mwanaidimsangi62755 жыл бұрын
we endelea maisha co lazma uvalie kikoiii anajifanya anakuamua mshike mpge mtama ckunyngne acrudie kwa mungu hakuna majungu mwanafa
@mckobatz58615 жыл бұрын
My big brother FA hujawahi kuyumba the best lyricist of all time
@abeidmayanga8095 жыл бұрын
Mc KobaTz kabisa
@shabanibocho96105 жыл бұрын
Nakubali kaka uta amuwa mwenye uzike au usafirishe
@planbmauwezo4853 Жыл бұрын
Ukisikia wahuni nd hawa cy muhun utembee na wembe good F A
@slimpirate60205 жыл бұрын
The one man Army 🔥🔥🔥🔥🇰🇪👏👏👏 najua kuna wenye wameanza kustuka juu hii real hip hop come back💕🔥
@luvunodzunga51315 жыл бұрын
From Kenya this Extravaganza 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdurahkhomeyn69994 жыл бұрын
second home kenya salute
@Dr.zaidi43 жыл бұрын
This man mentions God in most of his songs like every beautifully crowned eternal soul
@ahdakhalid33842 жыл бұрын
That’s why he’s called the “PHILOSOPHER” aka falsafaaa🥳
@bernadetanyendo16505 жыл бұрын
ANAEJIFANYA ANAKUHAMUA ANAKUSHIKA ILI UPIGWE BABU .MTIE MITAMA SIKU NYINGINE ASHIKE ADABU. SALUT 👑👑👑
@dfinaldavillagekingfinalki61705 жыл бұрын
Mwana cjuinikupe heshima gani wewe king wa flavor za bongo
@alloycemillinga16735 жыл бұрын
Mwana FA forevaa yan ngoma kali saana jaman daah tuombe ipigwe saana kwa medea
@pigapesa10135 жыл бұрын
Amua mwenyewe Utazika? Utasafirisha? (mwana FA).
@samirmussa39065 жыл бұрын
Ila hii nyimbo ukifanya masihara unaweza usijue kilichoimbwa umu ndan,,,Bonge LA ngoma father...GOD BLESS YOU
@robertfrendrick5 жыл бұрын
Siki hizi una hela unapiga nazo picha badae utazitafuta 🔥🔥🔥🔥🔥
@kinjeathuman23505 жыл бұрын
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz.... Nasema hivi hii ni yenyewe kbs 👐
@jumerramadhan16175 жыл бұрын
All the way from 🇰🇪 the legend is back with a great message❤️❤️💯
@kyokweteisack19494 жыл бұрын
Huwezi kutupangia. Tushavuta sana milango iloandikwa push..na trust me inafunguka.. You always make music feel easy maana mistari migum ila unaitema kama umezaliwa nayo. Big up FA. Keeping th good music alive.