ITAZAME ZAIDI HAPA: kzbin.info/www/bejne/f3bTZGeKqt1gbdU
@shukurufelix3663 жыл бұрын
Km umemwona body guard gonga like nyingi sana,,,kawa uso mbuzii
@Octavinaelisa-fn6js Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@HappyNass-mu3lu4 ай бұрын
😂😂Naipenda nchi yangu
@EmanuelNdosi-ru5pw3 ай бұрын
Sauti wala hajaipatia ni Mbingu na Ardhi
@wangarigladys82493 жыл бұрын
Congratulations Talented Student Boy child Must be considered in every stuation From 🇰🇪ns in Saudi Arabia
@ramadhanwanga48483 жыл бұрын
Powerful
@edinaboss18353 жыл бұрын
Pongez zimuendee bodyguard kaz nzur mungu akubarik sana
@lilianmusimbi11483 жыл бұрын
Woooow watching from kenya . bodyguard u look so seriously that's gud u can be. Alafu mweshimiwa UAV made my day am proud of u guys,mungu awatie nguvu
@josephdezile89173 жыл бұрын
THANKS By bodyguard follow me at. joseph.dezile16@com
@beatricemuhia54643 жыл бұрын
Kali sana hongela wakenya wenzangu.
@DANIMBO-k2j3 ай бұрын
Unatuaibisha na hizo hongela zako
@bibimpole94553 жыл бұрын
Ww Iga Sauti Ya Magufuli Au Makamo Wa Rais Mpango Usiige Usichokiweza Mama Samia Mzanzibar Sauti Ma Sha Allah
@simuyangu13563 жыл бұрын
Huyu bodygad ni wa kweli sio ecting
@danielmbise3823 жыл бұрын
HIYO SAUTI UMEFELI,, IGIZA UNACHOWEZA,, BODYGUARD YUPO SAHIHI
@mwanaidsaidi84103 жыл бұрын
KABISA
@marianyahenge95293 жыл бұрын
Kweli
@nolongeratease75833 жыл бұрын
Kweli sijasikia sauti ya suluhu.
@arafahassan52573 жыл бұрын
Naam
@hidrammwanga35083 жыл бұрын
Cjamuelewa sasa km samia hlo shungii au?
@team_JosKenya3 жыл бұрын
Kutoka nchi jirani kenya...Kazi nzuri 🔥🔥
@fredrickayunga95643 жыл бұрын
Hongera vijana wetu wa Afrika mashariki. 🇺🇸 🇺🇸
@happynesszablon30143 жыл бұрын
❤️❤️🇹🇿🇹🇿
@lucasmlingi82183 жыл бұрын
Hongereni Sana
@eliudmahali36193 жыл бұрын
Vizuri
@adelinachengula85193 жыл бұрын
Bodyguard chukua likes zotr
@josephdezile8917 Жыл бұрын
Thanks much By bodyguard
@evanschaedirectoreffortcon62643 жыл бұрын
Excellent imitation. Bigup young man there's brighter future in your talent
@thomasgogomoka64043 жыл бұрын
Bodyguard amevaa uhusika vizuri. Well done kijana
@fatmaalawy-im8pn Жыл бұрын
Bado saut haijafanana
@JacobAthanas-s2n6 ай бұрын
😅😮@@fatmaalawy-im8pn
@hashakatv3 жыл бұрын
Wapi likes za bodyguard....👍
@miriamdodi71413 жыл бұрын
Yuko bizuri bodyguard
@hashakatv3 жыл бұрын
@@miriamdodi7141 Kweli anaonekana mlinzi hodari sana
@aishahamis16092 ай бұрын
Hawa ndio tunaowahitaji
@titusmerchades31073 жыл бұрын
Bodyguard hajabakisha hata kimoja👍 Hongera sana rais Samia the second kutoa hotuba with full confidence 🙏
@fatimambaruku18333 жыл бұрын
Kweli Ila anaongea fasta
@titusmerchades31073 жыл бұрын
@@fatimambaruku1833 hapo kidogo hakuko sawa. Lakin siyo mbaya san
@najikowakuku35713 жыл бұрын
Awesome talent, bless you all, nagi from Australia 🇦🇺🇦🇺
@tabuloyce26933 жыл бұрын
Hongera
@soita2543 жыл бұрын
What a talent, woow!! Am proud of you and you are going far in Jesus mighty name. Amen
@reazahmohjey77243 жыл бұрын
Body guard ameweza...from Kenya
@cointhemoney94503 жыл бұрын
Excellent,...I like the content ad the game here in kenya
@mariamhamisi5983 жыл бұрын
Mungu aibariki Tanzania vijana hongereni Sana muweze kufika mbali hongerene San mungu awajaaliye elimu
@mageembarikiwa29913 жыл бұрын
Body guard hongera sana mno uko chojo kabisa
@fatmaalhabs69393 жыл бұрын
sauti sio sahihi kabisa tofauti
@AnethMushi-c3e4 ай бұрын
Kweli
@IshaeryMwampyate4 ай бұрын
Ndy
@UjingaZaVictorNaman3 жыл бұрын
Kutoka kenya.hii kali sana
@shambiraghasi27773 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪
@therezamachera11593 жыл бұрын
@@shambiraghasi2777 6c
@khadijanjama87213 жыл бұрын
Kenya mwenzangu anaweza😆😆😆
@aliabass93923 жыл бұрын
Hampatii, huyu anaongea haraka harakasana na sauti sio laini
@lynetmatara6113 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Njokidancer3 жыл бұрын
Boychild thumbs up from Kenya 🇰🇪
@farajamassawa7313 жыл бұрын
Mmetisha sana
@frdmedia62353 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 body guard yan duniani kilamtu ana rizk yake
@youngbreezy66153 жыл бұрын
Sauti ni ya kiume lakin Impressions zake ni kama Rais samia!
@فاطمهنزوى3 жыл бұрын
Ni mwanaune huyo
@khadijanurdin31633 жыл бұрын
Mmmh¡ C kwel
@Octavinaelisa-fn6js Жыл бұрын
Mm siyokweri hajapatia hata kidogo
@rehemamwanamajani37843 жыл бұрын
Hongera bodgad umetishaàaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaa nimekubali san
@rahmasaid7623 жыл бұрын
Mungu ibarik Tanzania barik vipaji
@aliaziz69103 жыл бұрын
Shukraaan sana
@hassaniidrissa59163 жыл бұрын
Bordgurd geuza shingo kulia kushoto, umeganda tu sehem moja
@hamisikassimu5553 жыл бұрын
🦚🏃
@kelvinkariuki87963 жыл бұрын
Kudos .....I grew up in such schools here in Kenya.......life is real here
@daudsteven42323 жыл бұрын
Hakika Tanzania ninchi yenye Upendo na umoja nabmshikamono hiii furaha nikwasababu tunaupendo wakweli Nakupenda nchi yangu Tanzania
@khadijamisayo74763 жыл бұрын
kweli kabisa, kwenye vita huwezi ona vipaji hivi
@sofyakahnsofya60493 жыл бұрын
Hongerath sana vijana. Mungu azidi kuinua vipaji vyenu
@jennifermichaels61773 жыл бұрын
Hongera sana kijana wetu Mama yetu tunakupenda. MUNGU ibariki TANZANIA
@MosesTungu4 ай бұрын
Hongereni ongeza juhudi mtafika mbali
@willyhardtv76543 жыл бұрын
From Kenya. Good work
@otiliahaule68673 жыл бұрын
Hahaha hongereni Sana vijana Kwa Sanaa nzuri nawapata vema nikiwa oman bahla😂❤️❤️
@naitwahazina64333 жыл бұрын
Nipo nizwa
@mwanakombosuleiman61613 жыл бұрын
Bahla nipo sahili al maash
@mwanakombosuleiman61613 жыл бұрын
Ibri
@fatumakassim643 жыл бұрын
@@mwanakombosuleiman6161 duuh mbona tupo wote kalibu
@hasnajuma55673 жыл бұрын
Waoooo jamani tuko wote ibri
@donaldmuna.27143 жыл бұрын
Hongera maan hata waigizaj maaruf walianzia mashulen hivyo hogera dogo
@mercynyangoto65723 жыл бұрын
God bless you you are going far
@zumrakhuzeimah5143 жыл бұрын
Wow ,,love from kenya
@gwamakakeneth88163 жыл бұрын
Is so very experience for the students 2 show how can copy and pasting am happy 4 that gud creativity
@symonmumbe23863 жыл бұрын
Kutoka Kenya...Huyu kijana yuko na kipaji,anafaa kusaidiwa ili kutoa hicho kipawa kikamilifu. Japo hajapata kamili sauti ya Rais Samia,amejaribu sana. Hongera dogo,endelea vivyo hivyo.
@aminaibrahim41483 жыл бұрын
Big idea
@mhojapaul91903 жыл бұрын
@@aminaibrahim4148 AaáaaáQ ásáaaazá
@ashamwamba90883 жыл бұрын
Ile.suraaaa
@harrietoumah38413 жыл бұрын
All the way from Kenya napenda nyinyi sana ndugu zangu watanzania
@eliaichihenry90103 жыл бұрын
Tunawapenda pia
@magrethgeorge92533 жыл бұрын
Tunakupenda pia
@yahayatemu18583 жыл бұрын
Dogo, hongera. Upo vizuri.
@winnymem86893 жыл бұрын
Hongera sanah sanah tenah zaidi at 254
@aishahamisi71153 жыл бұрын
Bodyguard aongezewe mshahara
@noelilyatuu81293 жыл бұрын
Yuko vizuri kazi inamfaa
@arafahassan52573 жыл бұрын
Umeona eee
@josephdezile8917 Жыл бұрын
Thanks so much
@danielmatondo68933 жыл бұрын
Hongera sana mh my friend thank for you so much
@mussamgonola39833 жыл бұрын
Uhuru gani tunataka watanzania Mungu ibariki Tz Mungu mpe ujasiri Rais wetu mama yetu mpendwa Rais mama Samia
@thadeipeter25923 жыл бұрын
Enzi ya magufuli unaweza igiza ivyo kesho yake unakamatwa , hata ivyo Mungu ni mwema ametuweka huru
@mussamgonola39833 жыл бұрын
@@thadeipeter2592 aaah mkuu Baraka Magufuli ametokea wap
@malamalamalago66273 жыл бұрын
@@thadeipeter2592 bila shaka enzi ya JPM ulikuwa hujazaliwa, au ni chuki tu inakusumbua...cyo kosa lako
@thadeipeter25923 жыл бұрын
@@mussamgonola3983 ilikuwaje kwa Idris sultan na masoud kipanya ?
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Umeonaaeee hali ya kuwa furaha full kumwagika Tanzania
@RevruthKomu3 ай бұрын
Your voice is so nice and lovely ❤
@Bhm_Classic_art3 жыл бұрын
Hongera Sana mama kwa maneno mazuri siku ya Mei mosi,tunakuombea Sana kwenye Sala zetu za Kila siku
@piusoneya7543 жыл бұрын
Hongera sana dogo, naona ukienda mbali inshallah 🙏
@ramak.95873 жыл бұрын
Tanzanian my neighbours tunawapenda bureeeeeeee......
@powerplus19333 жыл бұрын
Tz iko na vipawa vizuri.hongera kabisa.
@kerriekerrie90593 жыл бұрын
Amazing 😍 from kenya
@shaniamgunda78383 жыл бұрын
Bado sana kwaupande wa sauti ila bodyguard uko vizuri sana
@sweetluc26603 жыл бұрын
Hongera Sana kijana una kipaji Mungu aendereze kipaji chako🤣🤣🤣
@aishasaid10993 жыл бұрын
Hajaweza
@aminamwivita76905 ай бұрын
Congratulations keep it up good job 👏👍
@megrho51853 жыл бұрын
Daah!!! Mpaka nimetamani kuja Tabora Kaliua ndo home kwa mama ake mie. Kama umeikubali hiyo mwaga like za kutosha apo chini
@Gloriafavour-3gf8 күн бұрын
Leo ni good morning of mine,, nimefurahi yangu yote 🎉🎉🎉
@jairuschichete29383 жыл бұрын
Security is very tight!!
@tabialikoko15633 жыл бұрын
Umefeli anza upya
@wayuaannastacia96573 жыл бұрын
Wow
@fulgencekenyatta99873 жыл бұрын
Such amazing talent....kudos
@makerotv81933 жыл бұрын
Bodyguard yuko vizuri mno kwa ukakamavu ila utakuwa mbali kazeni mmejitahidi sana.msikate Tamaa.
@TM.Sullusi3 жыл бұрын
Atakua ni skauti labda😂😂
@fanikiwamhapa42363 жыл бұрын
Dogo km huyu anafaa awe Afande mlinda nchi haswaaa
@mnyaluchawala-h8j2 ай бұрын
Hongela sn 🎉🎉🎉🎉
@vianemakarious63953 жыл бұрын
Hata kama haifanani kabisa lkn lengo ni zuri la kuthamini uwepo wa Rais wetu.Waendelezwe kipaji wanacho.
@twahirikitwana98423 жыл бұрын
Bodyguard umeweza watching from 254/001
@olivermfinanga12683 жыл бұрын
Tanzania nchi yang nchi yenye vpaji ving nakupenda💋💋😂😂