Рет қаралды 12,996
Makamu M/kiti Chadema Tundu Lissu amesema kuwa kwa sasa amepona na anamshukuru Mungu mara baada ya kuwasili Tanzania kutoka nchini Ubelgiji alipokuwa anapatiwa matibabu katika kipindi cha miaka mitatu baada ya kushambuliwa kwa risasi