Sijui tunaelekea wapi na bahati mbaya ukijaribu kutoa ufahamu kwa baadhi ya wanawake kuhusu umuhimu wa mwanamke kua mwanamke unaonekana una fikra za ukandamizaji
@zaidiissa37146 күн бұрын
Furaha ya wanadamu jinsi wanawake wanavyopotea kuvaa uchi na kufanya vituko vyaajabu wao wanaona kwao nimaedeleo nawazungu ndio wanavyotaka sikuhizi mwanamke akijiheshimu na kumheshime mume wake anaonekana mshamba mungu atunusurutu sisi na wazazi wetu na vizazivyetu atujalie mwishomwema
@sonnyr18996 күн бұрын
Tena wanaokupiga vita asilimia kubwa unakuta ni wanawake wa kiislam. Innalillah wa ina ileh rajiun.
@saidmasoud74466 күн бұрын
@@sonnyr1899ndio ni wanawake wa kiislam inashangaza kwakweli na madam wanaowapotosha Wana nguvu kubwa bas tuendelee kutarajia Dunia inaenda kua sehemu ngumu kuishi kuliko ugumu tunaouona Sasa hv.