Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 30
@zaynaothman65057 ай бұрын
Dah namaliza MB kwa hivi vipindi vyenu Masha Allah mko vzr mnoo mwanamke usafiii .
@firdausmukhtar56844 ай бұрын
Jazakallah kher wote mulioleta hiki kipindi,ila nampenda sana dada mwezangu Allah akubariki na akulinde
@husseynomar95237 ай бұрын
MashaAllah Somo mtoto na Sheikh Rashid muko sawa 🎉🎉🎉❤
@ramlatramadhan145311 ай бұрын
Alhamdulillah yarabi nafurahia kipindi asanti natoka kongo mji wa beni
@HamadiMageti-ku2hg Жыл бұрын
Mashallah SoMo mtoto upo vizur kipindi nakipenda Sana sheh Rashid mw mungu akupe nguvu zaid kipindi kizid kupendeza zaid
@husnamohdmakame6465 Жыл бұрын
Mashaallah uko vzr mama Allah akulipe kila la kheir
@sharifasalum51763 күн бұрын
Fatilien nyarukusu
@Sharefa-v6n5 ай бұрын
Jaman nafatlia sana ahsanten kwa mafunzo ila hapo kwenye nywele imebd nicheke, Na ni kweli jaman
@alisaid5745 Жыл бұрын
Maashaallah mungu awape afya muzidi kutuelimisha
@bikombosalum6656 ай бұрын
Mashaallh nimejifunza kitu
@shariffsuleiman2889 Жыл бұрын
Watching from kenya 254
@bas2823 Жыл бұрын
SOME MEN ARE DIRTY IN BODY N IN HIS HABITS ALSO😢! NOT ALL THE MEN! BUT MANY OF THEM!😢! N VERY FEW ARE GOOD N CLEAN N FAITHFUL IN HIS MARRIED❤ WITH LOVES N CARES❤
@explorepembaisland Жыл бұрын
Hawa Farasi ni Sehemu gani? Na jee naweza kupata contact zao?
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج10 ай бұрын
😂naijua iyo ya devu Tamu sana.
@maryammkubwa465 Жыл бұрын
Somo ni zuri tukifatilia kipindi hiki hakika ndoa zitakaa sawa
@PanduHaji-er1td Жыл бұрын
Ndoa nzur ila umpate alokua yupo tayar
@hailinhelen4675 Жыл бұрын
Sio dini tunaishi kimazoweya
@ramlatramadhan145311 ай бұрын
Sasa somo ntapataje manukato maudi mbona niko mbali ila huwa nawatu kampala sijui unaweza uka vifikisha hapo nijuje
@maryamsaid2881 Жыл бұрын
MashaAllah somo mtoto upo vizur Allah akuzidishie ❤❤❤
@emmyyussuf9234 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ kipindi pambee
@bas2823 Жыл бұрын
WHAT ABOUT THOSE WOMEN HAVE CURLY HAIR!? NEVER GROW BIG!? SO U WILL DEVORCES N MARRIE ANOTHER!? BEC. OF HER HAIR ONLY! N NOTHING ELSE ABOUT HER!??😢 MOST AFRICAN HAVE CURLY HAIR CANT GROW BIG! MAN N LADY THEIR HAIR ARE SHORT N NOT GROW BIG!😢 WHEN U LOVE❤ THE PERSON! LOVE THE WAY SHE IS! OR HE IS! GOD MADE HER N HIM👍💞👌
@Antj-i7e Жыл бұрын
Tutakupataje dada???
@bas2823 Жыл бұрын
SOME TIMES MEN CAME BACK HOME FROM WORK! BUT HE ALREADY DID SOMETHING WITH ANOTHER WEMAN N HE WILL ACT ONLY TO HIS WIFE HE LIKES N LOVES HIS WIFE! BUT HE IS NOT! JUST HE PRETANTS ONLY! MOST OF THE MARRIED BROKEN! BY THE HUSBAND THE WAY HE IS! HIS ATITUED OF TOO PROUD N TOO JEURI HE HIS THINK HE OWN THAT WIFE! N HE CAN TREATS HER THE WAY HE WANTS😢! SOME THEY HAVE TOO MUCH EGOS INSIDE IN THEIR HEARTS😢!