No video

MWANAMKE MWENYE AFYA YA AKILI ANAMIPAKA - NAVAA BIKINI- ACHA ULOKOLE KITANDANI- PASTOR ROSE SHABOKA

  Рет қаралды 240,704

Dina Marios tv

Dina Marios tv

3 жыл бұрын

Пікірлер: 290
@BernadethaBuha-os7tt
@BernadethaBuha-os7tt Жыл бұрын
Mungu aendelee kukuweka duniani unaponya mionyo ya watu
@2poandrew298
@2poandrew298 3 жыл бұрын
NAKUPENDA PASTOR ROSE. MUNGU AKUTUNZE KWAAJILI YANGU.
@gambonmgaya1286
@gambonmgaya1286 2 жыл бұрын
Acheni kuchochea Zinaa, Wambieni watu waache zambi wampokee Yesu waende mbinguni sio vinginevyo.
@immaculatajacob3677
@immaculatajacob3677 2 жыл бұрын
Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi
@charlesjoseph6847
@charlesjoseph6847 3 жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa big up mtumishi
@marympemba6378
@marympemba6378 Жыл бұрын
Mama umesema vizuri, mwanamke hata usipowezeshwa unaweza vizuri, ukiwezeshwa napo umshukuru mungu pia.
@pendomangalili7501
@pendomangalili7501 3 жыл бұрын
Hallo 👋 Pastor Rose 🌹 Shaboka, naguswa sana na mafundisho yako hasa sisi walokole Mungu akubariki sana mafundisho yako Ni Master Key 🔑.
@shestiverwakatale7478
@shestiverwakatale7478 3 жыл бұрын
Ubarikiwe na YESU KWA ujumbe mzur sana pastor Rose
@ummyghabbash2619
@ummyghabbash2619 3 жыл бұрын
Nimempenda huyu Dada jamani anajua nampa max zote
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 3 жыл бұрын
Ameni nime barikiwa Sana na nime jifunza kitu hapa
@siporaleonard6532
@siporaleonard6532 3 жыл бұрын
Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana
@tabithajeremiah2657
@tabithajeremiah2657 3 жыл бұрын
Tusisahau kuwa baadhi ya mavazi hayampi Mungu utukufu mf bikini ni vazi lililo asisiwa kuzimu na linavaliwa sana na madada poa na kuna baadhi ya staili za mapenzi ni dhambi mbele za Munguanawake tusipokuwa na macho ya rohoni tutajikita kupendezesha waume zetu ili tusiachike badala ya kumpendeza Mungu.waume wataingia mbinguni na sisi tutaishia jehanamu.Mungu atusaidie sana
@emmanueljengo8103
@emmanueljengo8103 3 жыл бұрын
Inategemea unalivalia wp na kwa nani kama mtumixh alivyocma
@makrinanyoni6859
@makrinanyoni6859 3 жыл бұрын
Usijidharirishe kisa kuachika
@jeremiahmariki9340
@jeremiahmariki9340 2 жыл бұрын
Siyo kweli, mwanamke anatakiwa kumvutia mumewe, sasa wewe unasema bikini ni za kuzimu, ulishafika huko kuzimu ukaona mavazi yao??????
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 2 жыл бұрын
kama ulimpata mumewako kwa kumshawishi kwa vitu fulani itabidi undelete na vishawishi . ila kama mume alikupenda kweli,akakuchagua ulivyo,kinacho hitajika ni nidhamu ya kawaida nakujifunza kumheshimu mume wako siku zote bila kumzoea na kutenda mema na kumvumilia udhaifu wake pamoja na kuomba. nimeolewa miaka 12 sasa nina watoto 3. hiyo bikini siijui wala wala hizo style za kutisha. napendwa sana kila siku naona upendo unaongezeka kwangu na kwa watoto pia. sikuwahi kufundishwa mafundisho ya ndoa hata siku moja. niliingia kwenye ndoa nikiwa sijui chochote zaodi ya Maldini mema niliyolelewa na wazazi pamoja na neno la Mungu nililo jua kwa kiasi. napendwa sijawahi kukimbizana na mambo mengi. kwa mawazo yangu nivizuri kumjua mume wako ni mtu wa ainagani,anapenda nini then fanya yanayo stahili. kuna alie olewa akiwa amejichubua alivyo olewa akaacha.akawa mweusi mume akachepuka. alivyo rudia kujichubua mume akamrudia. Heshima unyenyekevu,,usafi, na kujituma muhimu. pamoja na kumcha Mungu ndo 1st Mungu atusaidie wanawake.
@ramak.9587
@ramak.9587 Жыл бұрын
@@jeremiahmariki9340 uyu ni mlokole kweli. Yaani mme wako wa halali kumpa style zote afrahie mapenzi ni dhambi kwa Mungu! Kweli kutosoma vitabu vya dini ni mbaya. Alafu bikini ni vazi la kuzimu🤣😆😂. Uliona nani wa kuzimu kavaa bikini?
@gloryqueen6296
@gloryqueen6296 2 жыл бұрын
Amen kipenz changu pastor 🌹 nakupenda mno jamani
@user-xl9vi5vq8d
@user-xl9vi5vq8d 5 ай бұрын
Nakupenda sana mtumishi ninapona.Mungu akubariki sana
@DevothaEgnatius
@DevothaEgnatius 9 күн бұрын
Wᴇᴍᴡᴀɴᴀᴍᴋᴇ ɴᴀᴋᴜᴘᴇɴᴅᴀ Sᴀɴᴀ ɴᴀᴛᴀᴍᴀɴ ᴋᴜᴡᴀ ᴍᴡᴀɴᴀᴍᴋᴇ ᴡᴀ ɴɢᴜᴠᴜ ɪʟɪ ɴɪᴋɪᴊᴀ ᴋᴜᴏʟᴇᴡᴀ ɴɪᴡᴇ ᴍғᴀɴᴏ ᴋᴡᴀ ᴡᴇɴɢɪɴᴇ ɴᴀ ᴡᴀᴛᴏᴛᴏ ᴡᴀғᴜʀᴀʜ ᴋᴜᴡᴀ ɴᴀ ᴍᴀᴍᴀ ʙᴏʀᴀ ɴᴀ ᴍᴍᴇᴡᴀɴɢᴜ ᴀғᴜʀᴀʜᴋᴜᴇᴀ ɴᴀ ᴍᴋᴇ ᴍᴡᴇᴍᴀ ʟᴏᴠᴇ ʏᴏᴜ ᴘᴀsᴛᴏʀ rose❤❤❤❤❤
@celinekenedy870
@celinekenedy870 3 жыл бұрын
A man will treat you according to the way you allow him to do🔥🔥🔥🔥. I like that. Ubarikiwe.
@salomemahenge1954
@salomemahenge1954 3 жыл бұрын
Salome
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Not true
@jacklinesamatwa3146
@jacklinesamatwa3146 3 жыл бұрын
Asant mtumishi wa mungu,ni ndoto yangu kufikia viwango vyako
@elizabethgati8549
@elizabethgati8549 5 ай бұрын
Napenda mafundisho yako pstr.Rose mungu azidi kumimina upako ndani yako
@icecream2684
@icecream2684 3 жыл бұрын
Rose mushi classmate morogoro secondary school Form 5 to six HGE She has this since then
@florachrist9602
@florachrist9602 3 жыл бұрын
Mmh mbon yey alisom ashira
@elizabethmlay2047
@elizabethmlay2047 3 жыл бұрын
@@florachrist9602 yes fom 1 to fom 4 alisoma ashira......vip nawewe mwana ashira??
@icecream2684
@icecream2684 3 жыл бұрын
@@florachrist9602 mh hapana advance tulikua nae necta yeye mbele mimi nyuma yake
@ikundamarealle9129
@ikundamarealle9129 2 жыл бұрын
Acheni kuleta private information za mtu public sio ustaarabu acha ajiseme mwenyewe Hata kama unamjua.binafsi sipendi
@josephinemichael1514
@josephinemichael1514 3 жыл бұрын
Pastor Rose she's my role model😍😍
@mwanalyimo2432
@mwanalyimo2432 2 жыл бұрын
Nimekupenda dada , duuu hii Kali, kweli hakuna uchungu unaozidi wa kuzaa, ikiwa Mungu mwenyewe alisema ni uchungu, kweli ni uchungu
@tabithakitundu8736
@tabithakitundu8736 3 ай бұрын
Ni ya siku nyingi lakini maneno yanaishi. Aliyemwelewa Rose say hallelujah 🎉
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 2 жыл бұрын
Mafundishi manyonge yesu anaweza yote yesu in zaidi ya hospitali
@aaaaaah290
@aaaaaah290 Жыл бұрын
😅 TUKUTANE MBINGUNI KAKA 😁
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Usiandike jina la YESU Kwa herufi ndogo.
@user-wt3fv7wc5e
@user-wt3fv7wc5e 4 ай бұрын
​@aaapaqaaaaah290
@rechomwaisaka5173
@rechomwaisaka5173 4 ай бұрын
Mungu akutuze. Postor Rose me nabarikiwa sana na mahubiri yako bwana yesu akutuze nakupenda sana dada angu mtumishi wa mungu
@motherteresa8469
@motherteresa8469 3 жыл бұрын
Dear mchungaji ongera Kwa mawaidha mazuri Kwa wadada,God bless you.
@abyssiniaseif1703
@abyssiniaseif1703 3 жыл бұрын
That’s how you know she was made for what she does👌🏽👏🏽❤️🔥
@marympemba6378
@marympemba6378 Жыл бұрын
Mungu hajari nini ulifanya, ukitubu na kufuata njia zake anakubariki sana
@josephanyaki8478
@josephanyaki8478 3 жыл бұрын
Pastor Rose unanibariki sana
@Freench20204
@Freench20204 4 ай бұрын
❤mimi ni 🇧🇮leo umenifunza prophète nakupenda sana ubalikiwe sana
@naahjay7900
@naahjay7900 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu jaman 'a man will treat you as you allow him to treat you' dah ni kweli
@siphanestarichad6275
@siphanestarichad6275 3 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo nakufaje kizembe jamani wanawake tunaweza hakuna kufa mtu.
@faiyamulishidi9224
@faiyamulishidi9224 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mumy nimebarikiwa sanaaa naafundisho ni kweli watu wanajidharau. Hakika mmi cio binti wa kawaidaa
@jasperjackson8871
@jasperjackson8871 3 жыл бұрын
Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.
@jescamjarifu2381
@jescamjarifu2381 3 ай бұрын
amina
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 3 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu akiwa ameenda shule anakuwa na weredi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Lakin bado ndoa Tanzania shida saana
@williammasatu1488
@williammasatu1488 3 жыл бұрын
Hao watu unaongea nao kweli wote wanajua Kiingereza kwanini usitumie kiswahiki tu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@williammasatu1488 tunakitaka sisi huku ambao tuko nje Marafiki zetu wapokee ujumbe pia,Usihofu ndugu yuko sahihi kabisa
@merryangle9842
@merryangle9842 3 жыл бұрын
Asant dada yangu mpendwa nimekupenda bure na nimekuelewa sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@merryangle9842 nawe barikiwa Ujumbe ni kwa watu wote
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 жыл бұрын
Wawoo I wish nimsikie huyu dada kila week she made my day Walahi🥺🥺
@irenengowo7800
@irenengowo7800 3 жыл бұрын
Amen dada
@matildajackson1535
@matildajackson1535 3 жыл бұрын
Mtumishi maneno yako ni mazuri, ubarikiwe.
@Elizabethmbithe-br7yk
@Elizabethmbithe-br7yk 4 ай бұрын
congrats pastor rose
@salmahassan3521
@salmahassan3521 2 жыл бұрын
Una huduma nzuri, hila unahitaji kusoma Biblia sanaaa
@NeemaMeshaki-qm4ew
@NeemaMeshaki-qm4ew 25 күн бұрын
Asante mama Mungu akubariki sana tena sana kunavitu vingi nimejifunza katika ndoa yangu
@julianambilinyi3341
@julianambilinyi3341 2 жыл бұрын
Huyu dada anahubiri dunia na mambo yake hamhubili Kristo usidangaye watu madaktari sio watumishi wa Mungu Alie juu .Labda mungu wako huyo unaemsema wa kisasa .
@lindamollel5206
@lindamollel5206 2 жыл бұрын
Kabisa na watu wanashangalia anatumia saikolojia ya uchungaji kuchota akili zao mabinti sababu hawajui neno la Kristo kwhy ukiwa vizuri kitandan ndo ndoa haivunjiki eti unapambania ndoa yko kitandan aangalie mke mwema wa mithali 31 kama ana hyo sifa.Mungu awafungue macho mabinti ni siku za mwisho hzi.
@ElishamMsikola
@ElishamMsikola 8 ай бұрын
Doh ila nyie huhuhu
@nelibaba
@nelibaba 3 жыл бұрын
Mambo mazuri...ntakuletea zawadi
@marympemba6378
@marympemba6378 Жыл бұрын
There some people can not be in my life, because we don’t have things in common.umesema ukweli kuhusu limitations. Ni vizuri to set a boundaries
@siphanestarichad6275
@siphanestarichad6275 3 жыл бұрын
Oh this message is so powerfully God bless you mama.
@dominicmwendwa6999
@dominicmwendwa6999 Жыл бұрын
Wow
@Kidotii
@Kidotii 3 жыл бұрын
Rose you are anointed woman of God!
@user-hv8to1wf4h
@user-hv8to1wf4h Жыл бұрын
Hiyo nikweli kabisa
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 8 ай бұрын
AMEEN NIMEBARIKIWA SANA❤
@jimmykampate78
@jimmykampate78 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji nakupata vizur
@RichMotherr
@RichMotherr 3 жыл бұрын
I love pastor Rose 🌹 🍒🍒🍒🍒🍒
@ellakaisi7488
@ellakaisi7488 3 жыл бұрын
Akili yangu silaha yangu 👌
@furahasanga2534
@furahasanga2534 3 жыл бұрын
Bibilia anasema Usiyachochee mapenzi Kuna wanawake wakitoka Hapo ndoa zinaenda kuvunjika Akili ya kuambiwa Changanya Na yako. Kila ndoa inategemea mumeo Yukoje kila mtu ana tabia Yake.
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 3 жыл бұрын
Asante ni kweli
@trixiecyja2513
@trixiecyja2513 3 жыл бұрын
Well said..
@bellatrixblack4491
@bellatrixblack4491 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@amanimanase1591
@amanimanase1591 3 жыл бұрын
Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo
@jumamohamedi5044
@jumamohamedi5044 3 жыл бұрын
@@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 жыл бұрын
Kweli Wanawake wengi wanajidhalilisha sana kinyume na maumbile Mungu aingilie kati tu asante somo zuri
@siahmunissi6333
@siahmunissi6333 3 жыл бұрын
Wao wafanye maamuzi ya kukataa na sio Mungu aingilie kati,iko wapi afya ya akili kama hawatajisimamia wenyewe.
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 жыл бұрын
@@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear
@NestorMAKI
@NestorMAKI Ай бұрын
Merci pour cet enseignement
@gentrinemukosero-zk6wc
@gentrinemukosero-zk6wc Жыл бұрын
Amen.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
This lady is very wise
@ceciliakasula4367
@ceciliakasula4367 2 жыл бұрын
God bless you Woman of God, so blessed
@magesasilimba9169
@magesasilimba9169 3 жыл бұрын
Maneno mazuri mama
@mbivumedia
@mbivumedia 2 жыл бұрын
Amazing!!
@user-hv8to1wf4h
@user-hv8to1wf4h Жыл бұрын
Amen past ❤
@nzaiwavinya7984
@nzaiwavinya7984 Жыл бұрын
Am so blessed today
@lusulusu4921
@lusulusu4921 3 жыл бұрын
A powerful message God bless the Woman of God
@audaceleroi1370
@audaceleroi1370 3 жыл бұрын
Nankumbuka ile kauli yake ya kutowa mzigo wa kutosha kitandani 💪💪💪
@user-ty8nd6fl4d
@user-ty8nd6fl4d 3 ай бұрын
Umeongea mambo mazuri na ya manufaa kwetu wanawake mimi ni mtu mzima 60 something lakini nimekukubali sana waambie hao wadada wa sasa mwanaume asikuchezee kila sehemu anayotaka yeye lazima mwanamke uwe na mipaka yako, na kuteleza siyo kuanguka simama tubu mfuate Mungu wako na atakuinua kwa hekima zake za kimungu ❤
@bodymsomali3321
@bodymsomali3321 3 ай бұрын
Amen
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 жыл бұрын
Ndo Tushafungaga Wengine Mom Nimelock Kabisaaaaa
@deborahmbondo
@deborahmbondo 4 ай бұрын
Be blessed my lovely mommy
@hamisdefestor9964
@hamisdefestor9964 2 жыл бұрын
Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 5 ай бұрын
According to ur thinking capacity🚶
@AaaAaa-pc3uq
@AaaAaa-pc3uq 3 жыл бұрын
asant dada umenigusa ubarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-pz4np8vy3j
@user-pz4np8vy3j 3 ай бұрын
Nakupata vizuri Pastor ubarikiwe
@MalakiShauri
@MalakiShauri 11 ай бұрын
Ilove yu proster rose is good woman ilove
@winifridakibona5936
@winifridakibona5936 3 жыл бұрын
Aisee this word is very powerful. 💃💃💃💃
@gladnessanoldhiindyotanzan7983
@gladnessanoldhiindyotanzan7983 2 жыл бұрын
Umenibariki 🙏
@alexalexander3027
@alexalexander3027 2 жыл бұрын
Wamama wabarikiwe na Mungu
@mlagz8032
@mlagz8032 3 ай бұрын
I wish i met you earlier Asante mchungaji
@priscajustine2183
@priscajustine2183 3 жыл бұрын
Amen nimependa ilo somo
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 4 ай бұрын
Amen
@binthawa2973
@binthawa2973 3 жыл бұрын
pastor rose nimekupend na umenifunza kit
@Divine_Associates
@Divine_Associates 2 жыл бұрын
Amen.Powerful message for women to know where to stand and to move on on God promises.🙏
@saramtei4371
@saramtei4371 2 жыл бұрын
Kwakweli pastaaa🙏🙏🙏
@dullahally9008
@dullahally9008 Жыл бұрын
No matter who's going their that true
@estermjenga682
@estermjenga682 3 жыл бұрын
Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥
@gamabadia7318
@gamabadia7318 2 ай бұрын
Rose siyo mchungaji, ni mwanasarakasi. The Bible expressly forbids women from preaching to mixed congregation with men.
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 3 жыл бұрын
Thanks mom
@matildajackson1535
@matildajackson1535 3 жыл бұрын
Kujitambua ni silaha kubwa Sana kwa mwanamke
@isackakyoo6446
@isackakyoo6446 2 жыл бұрын
Pat hongera VIWANGO NA UWIANO, kuna sehemu ya kuaply Elimu,Pesa na kuna sehemu ya kuaply Nguvu za Mungu, Pst Rose hongera
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Nimekupenda bure mungu azidi kukulinda
@hesbonwataka2809
@hesbonwataka2809 5 ай бұрын
Ujumbe mzuri kweli👍👏
@user-xl9vi5vq8d
@user-xl9vi5vq8d 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@MunezeroDianne-zi7uj
@MunezeroDianne-zi7uj 3 ай бұрын
Wow
@neemanswima1254
@neemanswima1254 3 жыл бұрын
Najuta kuchelewa kukufahamu mch.nakuelewa sana,ubarikiwa
@gambonmgaya1286
@gambonmgaya1286 Жыл бұрын
Mwanadamu Yesu anarudi ,utaikwepa wapi ghadhabu ya Mungu wewe usiykitu mbele za Bwana unyekee utubu Kristo akuweke chapa ya uteule ili uende naye Mbinguni sehemu ya raha isiyonamajuto kamwe.
@marthajoseph6902
@marthajoseph6902 3 жыл бұрын
Safi sana Da nimeipenda kweli m'barikiwe sana
@user-jj5ps4hy4l
@user-jj5ps4hy4l 5 ай бұрын
Safi sana Dada yangu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mmm kusalitiwa inaumiza kuliko kuzaa dada weee acha tu
@rithamathias2944
@rithamathias2944 2 жыл бұрын
Lov u pastor Rose 😍
@ashuramustafa7459
@ashuramustafa7459 3 жыл бұрын
💪🏿💪🏿💪🏿mwanamke wa shoka
@martinajames4956
@martinajames4956 3 жыл бұрын
Saf Sana paster
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 жыл бұрын
Shaboka i get it.
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 6 ай бұрын
Ameeen.
@modestaulambale606
@modestaulambale606 Жыл бұрын
Aminaaa
@lucysampa7097
@lucysampa7097 Жыл бұрын
Pawafu message
@francinkhasoha3969
@francinkhasoha3969 Ай бұрын
Nilikua nimepoteza intrest kwa mapenzi na ndoa,let me give it a short then again
@annamrima5507
@annamrima5507 3 жыл бұрын
barikiwa sana mtumishi
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 3 жыл бұрын
Dah umeongea kweli mie nna miaka 33 siwezi kukaa na babaangu karibu atakumpigia simu namuogopa naishia mesej au namtuma mama anisemee kitu changu kwa babal
@asiamohd5516
@asiamohd5516 2 жыл бұрын
Hhhhhh pole dae
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 3 жыл бұрын
Mambo 🔥🔥🔥
@butogwamkama
@butogwamkama 3 жыл бұрын
"Not everything that glitters is Gold"
@alliyoigaly3646
@alliyoigaly3646 3 жыл бұрын
Mtumishi kwenye kifo unaongopea hao mwenye mamlka na kifo n mmoja tu mungu pkeeee bas
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Mi mwenyewe sijamuelewa hawa wachungaj wa insta kaz tunayo
@annamtweve3193
@annamtweve3193 3 жыл бұрын
Nimeelewa
@adesankaandre9434
@adesankaandre9434 3 жыл бұрын
anawazungumzia wale wanaotaka kufa kwa ajili ya wanaume hahahahaa anaeleweka
@trumpetoflife7312
@trumpetoflife7312 3 жыл бұрын
Mwanaume ni wa thamani sana kwa asiye nae...ni rahisi kumsema vibaya ukiwa nae
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Hei anawambia wanaokata tamaaa na kuamua kujidhuru kwaajil ya wanaume....
@susanshikuku1567
@susanshikuku1567 8 ай бұрын
Amen 🙏
PASTOR ROSE SHABOKA AKIZUNGUMZA NA WANAWAKE WA SHOKA
35:51
Dina Marios tv
Рет қаралды 84 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН
小丑和奶奶被吓到了#小丑#家庭#搞笑
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 7 МЛН
MCHUNGAJI HANANJA Afunguka kuhusu wachungaji wanaotabiri vifo
16:48
Dr. Chris Mauki:  Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume
10:15
Chris Mauki
Рет қаралды 242 М.
ladies let's increase our value 🥰🥰
1:23
Catherine Kemunto
Рет қаралды 7 М.
UNAWEZAJE KUSTAWI KATIKATI YA MATATIZO
24:47
FRANCIS MWASHAMBWA
Рет қаралды 53 М.
ROSE SHABOKA-UMELALA NA MUME WAKO USIKU UMEVAA TISHETI UKIMWI UNAUA EP 2
10:00
MWANAMKE UKIMPENDA SANA NA AKAJUA UNAMPENDA SANA UTANYANYASIKA  "PASTOR MGOGO
36:53
MITIMINGI # 675 JIFUNZE KUKATA KIUNO KUBORESHA TENDO LA NDOA
15:41
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 569 М.
MWANAMKE USITAFUTE DADA WA KAZI MREMBO KULIKO WEWE UTAJUTA "PASTOR MGOGO
27:50
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 135 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН