MCHUNGAJI HANANJA Afunguka kuhusu wachungaji wanaotabiri vifo

  Рет қаралды 16,030

Bongo Touch

Bongo Touch

5 ай бұрын

Пікірлер: 29
@edwardkamau8804
@edwardkamau8804 5 ай бұрын
AM A GREAT FAN OF MCHUNGAJI HANANJA..HE IS ALWAYS ON POINT AND MOSTLY STRAIGHT 👌 TO THE POINT
@user-jt1ex9if6f
@user-jt1ex9if6f 4 ай бұрын
Nakukubali sana Ananja unachosema ni kweli kabisa mchungaji.
@melkizedekwiliam-hi7bz
@melkizedekwiliam-hi7bz 5 ай бұрын
Sawa sawa mchungaj. Mm nawashangaa sanahawa watabir wa vifo vya watu. Hv! Lengo lao ni nin hasa? Yaan! Kifo cha Lowasa manabii baadh walisema tulitabir!! Najiuliza mbona visipotokea hawasemi tulitabir? Mungu anapoonyesha hatar lengo tuimbe lisitokee. Mbona likitokea manabii baadh wanafuhia?
@charleskaponya6063
@charleskaponya6063 5 ай бұрын
Mungu akusimamie. Mzee wa kusema ukweli. Mchungaji, ni wajinga tu ndo wanaokuchukia. Usiwajali chapa kazi.
@mburuumbe5659
@mburuumbe5659 5 ай бұрын
Jiooooooni sio mbaya baba wewe mwenyewe unasema uzoefu ni elimu so nadhani muda uliopita mchana ilikuwa muda wa kupata uzoefu unaoshea na sisi leo lakini pia hata mapito yako unayosimulia yanatia moyo kwamba kumbe ukiamua kubadilika inawezekana na hakuna kukata tamaa maisha ni hatua kwa hatua upande ujana uote uzee daaah Yan mie napata nguvu sana ya kusonga mbele kupitia wewe ubarikiwe baba
@user-ox2iu7rm7e
@user-ox2iu7rm7e 5 ай бұрын
Mungu akuongoze katika njia tá Haji
@minanikafugugu6035
@minanikafugugu6035 5 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@jomba6514
@jomba6514 5 ай бұрын
Mchungaji umeongea ukweli kabisa
@benjaminmartin4548
@benjaminmartin4548 5 ай бұрын
Tunakusubiri United kingdom
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
🔥 moto, kimbunga, tofali😂😂😂.
@coolpara8192
@coolpara8192 5 ай бұрын
Anayosema mengi nakukubali lkn kuwa mkweli dini ya haki ni ipi kwa wakati huu
@user-iz3ux3nn8n
@user-iz3ux3nn8n 5 ай бұрын
Uyuuu mzee apewe Mai yake tu
@jameskilowoko7153
@jameskilowoko7153 5 ай бұрын
,❤
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 5 ай бұрын
TOFALI😂😂😂😂😂🙌🏿
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣👈👉🙌 points 👉 👈 silimu
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 5 ай бұрын
Anza ww!!
@jacksonbayyo2937
@jacksonbayyo2937 5 ай бұрын
Ni kweli
@jesuspower2390
@jesuspower2390 5 ай бұрын
Halafu tuonyeshe cheti cha kuzaliwa eti una miaka 60 ahahahahah we una 78 + si uhamie msikitini hujalazimishwa kuwa mkristo.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Mbona unapaniki vip
@rauhiaomar977
@rauhiaomar977 5 ай бұрын
Hananja wala ata hana muda na comment yako unajisumbua bure, keshasema si lazima kumskiliza. Mnapendag sana matusi
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 5 ай бұрын
Mla sadaka nakuona tu umehumuka baada ya kupigwa na nondo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Mtu asiye mjua Kristo utamjua tu Kwa maneno yake na matendo yake. Emmanueli bado hujamjua Kristo bado ,Jifunze Neno la Mungu ili ukue
@jesuspower2390
@jesuspower2390 5 ай бұрын
wewe babu ni mnafiki
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 11 күн бұрын
Pole
@jesuspower2390
@jesuspower2390 5 ай бұрын
Kuhusu sadaka wewe mwenyewe unaanza kusafiri sasa hivi kwa ajili ya sadaka , unapenda kuongelea wenzako... kama ukristo hujauelewa na uzee wako huo una Matatizo.. kama ulizaliwa kwa mchanganyiko sio shida zetu ni shida za njaa zako .
@shaibumbwilo9938
@shaibumbwilo9938 5 ай бұрын
@jesuspower2390,vipi unatesekea wapi,inaonesha anakukera eeeh😂.relax
@user-gq2zr6mm7t
@user-gq2zr6mm7t 5 ай бұрын
Mchungaji Hananja kasema UKWELI MCHUNGU. Wakristo wote bado hatujauelewa Ukristo kwa undani. Hata hawa wanaoitwa PAPA (BABA MTAKATIFU WA ROMA), WACHUNGAJI,WAENJILISTI,MITUME,MANABII, WAALIMU WA BIBLIA, ni kama wanafunzi wa chekechea kwenye KIKRISTO, kubali usikubali Habari ndiyo hiyo.
@user-nv7sf2iu2v
@user-nv7sf2iu2v 2 ай бұрын
Acha wivu Sasa ukifikisha umri wa hananja SI utakuwa mchawi kabisa wewe
@IsraeiMwankwasya
@IsraeiMwankwasya 2 ай бұрын
Binadamu jamani wabaya sana mchungaji hana baya
MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI
31:52
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 59 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 78 МЛН
I MADE IT YA HARMONIZE YAZIDI KUCHANJA MBUGA/MCHUNGAJI HANANJA
10:56
MCHUNGAJI HANANJA AINA NNE ZA MAHUSIANO, AINA NNE ZA MKE
20:39
Tacmen Group
Рет қаралды 581 М.
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН