AM A GREAT FAN OF MCHUNGAJI HANANJA..HE IS ALWAYS ON POINT AND MOSTLY STRAIGHT 👌 TO THE POINT
@user-jt1ex9if6f4 ай бұрын
Nakukubali sana Ananja unachosema ni kweli kabisa mchungaji.
@melkizedekwiliam-hi7bz5 ай бұрын
Sawa sawa mchungaj. Mm nawashangaa sanahawa watabir wa vifo vya watu. Hv! Lengo lao ni nin hasa? Yaan! Kifo cha Lowasa manabii baadh walisema tulitabir!! Najiuliza mbona visipotokea hawasemi tulitabir? Mungu anapoonyesha hatar lengo tuimbe lisitokee. Mbona likitokea manabii baadh wanafuhia?
@charleskaponya60635 ай бұрын
Mungu akusimamie. Mzee wa kusema ukweli. Mchungaji, ni wajinga tu ndo wanaokuchukia. Usiwajali chapa kazi.
@mburuumbe56595 ай бұрын
Jiooooooni sio mbaya baba wewe mwenyewe unasema uzoefu ni elimu so nadhani muda uliopita mchana ilikuwa muda wa kupata uzoefu unaoshea na sisi leo lakini pia hata mapito yako unayosimulia yanatia moyo kwamba kumbe ukiamua kubadilika inawezekana na hakuna kukata tamaa maisha ni hatua kwa hatua upande ujana uote uzee daaah Yan mie napata nguvu sana ya kusonga mbele kupitia wewe ubarikiwe baba
@user-ox2iu7rm7e5 ай бұрын
Mungu akuongoze katika njia tá Haji
@minanikafugugu60355 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@jomba65145 ай бұрын
Mchungaji umeongea ukweli kabisa
@benjaminmartin45485 ай бұрын
Tunakusubiri United kingdom
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
🔥 moto, kimbunga, tofali😂😂😂.
@coolpara81925 ай бұрын
Anayosema mengi nakukubali lkn kuwa mkweli dini ya haki ni ipi kwa wakati huu
@user-iz3ux3nn8n5 ай бұрын
Uyuuu mzee apewe Mai yake tu
@jameskilowoko71535 ай бұрын
,❤
@bosssyedmund87855 ай бұрын
TOFALI😂😂😂😂😂🙌🏿
@Kuminamoja19955 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣👈👉🙌 points 👉 👈 silimu
@user-cw8zn2dn6m5 ай бұрын
Anza ww!!
@jacksonbayyo29375 ай бұрын
Ni kweli
@jesuspower23905 ай бұрын
Halafu tuonyeshe cheti cha kuzaliwa eti una miaka 60 ahahahahah we una 78 + si uhamie msikitini hujalazimishwa kuwa mkristo.
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
Mbona unapaniki vip
@rauhiaomar9775 ай бұрын
Hananja wala ata hana muda na comment yako unajisumbua bure, keshasema si lazima kumskiliza. Mnapendag sana matusi
@emanuelleopod39495 ай бұрын
Mla sadaka nakuona tu umehumuka baada ya kupigwa na nondo
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
Mtu asiye mjua Kristo utamjua tu Kwa maneno yake na matendo yake. Emmanueli bado hujamjua Kristo bado ,Jifunze Neno la Mungu ili ukue
@jesuspower23905 ай бұрын
wewe babu ni mnafiki
@davidkawesa359411 күн бұрын
Pole
@jesuspower23905 ай бұрын
Kuhusu sadaka wewe mwenyewe unaanza kusafiri sasa hivi kwa ajili ya sadaka , unapenda kuongelea wenzako... kama ukristo hujauelewa na uzee wako huo una Matatizo.. kama ulizaliwa kwa mchanganyiko sio shida zetu ni shida za njaa zako .
Mchungaji Hananja kasema UKWELI MCHUNGU. Wakristo wote bado hatujauelewa Ukristo kwa undani. Hata hawa wanaoitwa PAPA (BABA MTAKATIFU WA ROMA), WACHUNGAJI,WAENJILISTI,MITUME,MANABII, WAALIMU WA BIBLIA, ni kama wanafunzi wa chekechea kwenye KIKRISTO, kubali usikubali Habari ndiyo hiyo.
@user-nv7sf2iu2v2 ай бұрын
Acha wivu Sasa ukifikisha umri wa hananja SI utakuwa mchawi kabisa wewe