Mwanamke mwenye asili ya Brazil ameishi nchini kwa zaidi ya miaka 40

  Рет қаралды 1,218,275

KTN News Kenya

KTN News Kenya

8 жыл бұрын

Mwanamke mmoja mwenye asili ya Brazil ameishi humu nchini kwa zaidi ya miaka 40 katika eneo la likuyani kaunti ya kakamega. Elvis kosgei alimtembelea mwanamke huyu nyumbani kwake kongoni ambapo anaishi tu kwa amri ya mungu kutokana na mazingira alimokuwa. Mbali na hayo amedai kujaribu kutafuta usaidizi kutoka kwa balozi ya brazil bila mafanikio yoyote.
Watch KTN Live www.ktnnews.com/live
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews

Пікірлер: 320
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 2 жыл бұрын
Halloo kenyans lets help this family .haki hii kenya tunaishi maisha tofauti but ningeliomba serekali ya country ya kakamega bwana gavana oparanya pliz saidia hawa wananchi wako kwa matibabu badan huyo mama mpendwa anaonyesha ni muungwana na hawezi kuuza tu wake na aliamuwa kuishi na maana mulembe kwa shida na raha so its time to honor her with anykind of assistance so that they cant shape their destiny.
@faizabaishe5172
@faizabaishe5172 5 жыл бұрын
Alhamdulilah InshAllah mungu akujalie na subra iko siku utafika Brazil
@peacefulabdhulhakeem3032
@peacefulabdhulhakeem3032 8 жыл бұрын
FOR ALL THOSE WHO VOLUNTEERED TO HELP HER,MAY THE ALMIGHTY GOD HAVE MERCY ON YOU TOO DEARS! I TRULY LOVE PEOPLE WHO HAVE MERCY UPON THEIR FELLOW HUMANS AND ALL HARMLESS CREATURES OF GOD!!!
@chrisogonas
@chrisogonas 5 жыл бұрын
Amazing work KTN!
@bobrudala3784
@bobrudala3784 Жыл бұрын
Kazi nzuri hakika nI hadithi ya kusisimua,Mungu abariki wale wote walioshiriki kuandaa taarifa hii
@joerichards1000
@joerichards1000 6 жыл бұрын
Why should she be taken to Brazilian Embassy? She deserve to have Kenyan citizenship for havens sake, and be assisted by Kenyan government. She has been around in Kenya for 40yrs and the inept govt leaves her undocumented, really?
@topestamohammed3538
@topestamohammed3538 6 жыл бұрын
Seriously africans we don't love each other that's y we are not blessed.
@raffraffie7799
@raffraffie7799 6 жыл бұрын
kenya is corrupt like hell
@paulinepolly1750
@paulinepolly1750 6 жыл бұрын
very sad I wish her quick recovery
@bulimosavatia3639
@bulimosavatia3639 5 жыл бұрын
She says, she's here to stay. Nostalgia, you know.
@nichoominor1593
@nichoominor1593 5 жыл бұрын
Opiyo, our government is very rotten indeed. I pray these leaders can be gone in our lifetime
@phennykelly3369
@phennykelly3369 8 жыл бұрын
Elvis kosgey God bless u
@elsielsee1529
@elsielsee1529 8 жыл бұрын
too painful may God Almighty hear your cry and Grant your wish
@dekharashid8629
@dekharashid8629 6 жыл бұрын
Latifah Jay
@centmichael4814
@centmichael4814 7 жыл бұрын
Allah Akbar, Allah Akbar..Hiyo ni mitihan IPO siku itakwisha
@jessendegwahmusic488
@jessendegwahmusic488 4 жыл бұрын
Kuishi ugenini ni changamoto sugu...shukuru Mungu uko nyumbani
@geddygeddy5308
@geddygeddy5308 6 жыл бұрын
One of her child will make her dreams cone to pass...in my prophetic visions and thoughts, I decree and declare abundant blessings full of joyful life and better health
@gordonokumu1337
@gordonokumu1337 5 жыл бұрын
hizo decree and declare ni zako...this family needs help and nothing else right now...enda u decree uko...nugu!
@maggiejomomugoofficial
@maggiejomomugoofficial 5 жыл бұрын
Amen
@florencewainainalucy745
@florencewainainalucy745 5 жыл бұрын
Amen
@Naomie2023
@Naomie2023 Жыл бұрын
Nothing like decree here. Falsehood
@rydaartashastar7472
@rydaartashastar7472 7 жыл бұрын
Oh God same story to me, touched, i wish i was near i would help
@mapendoimani2462
@mapendoimani2462 4 жыл бұрын
Still you can love knows no Distance
@maryhessel1376
@maryhessel1376 8 жыл бұрын
may the Lord bless her and heal her with her Husband God have mercy
@phil5689
@phil5689 6 жыл бұрын
The daughter should apply for a Brazilian passport and travel to Europe with her kids and claim refugee.
@emillyzeeh1173
@emillyzeeh1173 Жыл бұрын
Pole sana mama Brazil , ako wapi huyu mama Brazil kwa hivi sasa?🙏🙏🙏🙏❤🇩🇪
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 4 жыл бұрын
Heart wrenching!!! God have mercy on the lady
@essieamonde6282
@essieamonde6282 8 жыл бұрын
Lord, have mercy on them!!
@anaquinones7383
@anaquinones7383 8 жыл бұрын
YA Allah please help for. All. human
@dashuusaalim1943
@dashuusaalim1943 4 жыл бұрын
Reporter anatumia lugha ya kifasihi mashallaaaah waswahil tuko vzury nassi
@sharonwanush5408
@sharonwanush5408 5 жыл бұрын
Wah 😭😭😭 Hadi nimelia Nilikua nadhani me nina mashida mob but hii imezidi
@naseemnareja4708
@naseemnareja4708 4 жыл бұрын
Very nice thanks you from naseem UK
@myself4128
@myself4128 6 жыл бұрын
Mpeni uraia acheni roho mbaya...40 yrs is too much for God's sake plus added bonus she is black she is one of us
@user-hk2om2ef7m
@user-hk2om2ef7m 6 жыл бұрын
Ornestly speaking that reporter killed it with the language swahili sanifu
@naseemnareja4708
@naseemnareja4708 4 жыл бұрын
Very nice 👍 thanks you from naseem UK
@shannycateringservices..
@shannycateringservices.. 4 жыл бұрын
You are indeed Godly people.God bless you all
@soniasouza1619
@soniasouza1619 5 жыл бұрын
Obrigada Meu Brasil
@sierrakamau1510
@sierrakamau1510 6 жыл бұрын
Why can't the news casters release a contact for all the viewers who would like to participate in assisting this horribly poverty stricken family.Just telling us the terrible tales of what's what's going on with them shouldn't be an end in itself. It makes you all seem SHALLOW.PLEASE LEARN FROM OTHER NEWS BROADCASTERS and up your shallow game! lol
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 жыл бұрын
Aisee kayakanyaga vibaya mpaka mashambani Africa hatari, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
@marypendo3595
@marypendo3595 8 жыл бұрын
pole jamani MUNGU atakusaidia
@prettylittlething6367
@prettylittlething6367 6 жыл бұрын
How can we contact this lady,am mary 25 years old and am ready to help her in whatever way
@bishopfelixnyariki8855
@bishopfelixnyariki8855 7 жыл бұрын
may I know full information please?
@mariammohamed8322
@mariammohamed8322 7 жыл бұрын
Bishop Felix Nyariki hi
@theworldthroughmyeyes024
@theworldthroughmyeyes024 6 жыл бұрын
Any updates on this lady's situation
@brownbabygirl1284
@brownbabygirl1284 5 жыл бұрын
Why can't the government help her out. My goodness 😳. So shameful
@leahchelimo5342
@leahchelimo5342 8 жыл бұрын
God bless you
@guikjhhjujj2278
@guikjhhjujj2278 6 жыл бұрын
Mungu atakusaidia mama Kwa afya na uzima
@sweetyfaridahsweety8700
@sweetyfaridahsweety8700 6 жыл бұрын
Naomba number yake binafsi kakamega ndio nyumbani
@susanmureithi1964
@susanmureithi1964 3 жыл бұрын
Have mercy God
@snangstargal9924
@snangstargal9924 8 жыл бұрын
may God open door for u .mama
@husseinmunga9591
@husseinmunga9591 5 жыл бұрын
Am also work brasil and its like kenya😐, mas aqui esta bem🙄
@hellenraphaelkulaya4075
@hellenraphaelkulaya4075 5 жыл бұрын
Ooooh sorry mummy God may help you one day will be happy
@mstaafumanga125
@mstaafumanga125 8 жыл бұрын
so sad
@marynjoroge325
@marynjoroge325 6 жыл бұрын
Maria ahuta ama mama waaa nilikuwa jirani wakati alipokuja hapo kawangware na aknunuliwa nyumba mzungu .kama shukrani ya kumfayia kazi ya nyumba miaka almost 32 .its a long story but familia ya bwana ndio alimfanya masaiu haya yote she was very very rich
@hannahwanjiku4665
@hannahwanjiku4665 5 жыл бұрын
I used to see her coming from Lavington, I had even forgotten about her. May God see her through.
@upendosanga7500
@upendosanga7500 6 жыл бұрын
pole sana jaman
@anaquinones7383
@anaquinones7383 8 жыл бұрын
YA Allah you help. for. All Human
@Brendakamau123
@Brendakamau123 3 жыл бұрын
Our Lord remember Mercy
@knightwamalwa7587
@knightwamalwa7587 6 жыл бұрын
am sorry God with you
@martinkinotigituma6677
@martinkinotigituma6677 4 жыл бұрын
Any follow ups on this case??
@dorice123jalango4
@dorice123jalango4 8 жыл бұрын
eiiish pole mungu atakusaidia mamangu
@lcoliveira9528
@lcoliveira9528 6 жыл бұрын
Que essa mulher foi fazer pra esse lugar?
@christde1
@christde1 8 жыл бұрын
Elvis kosgei asalaam aleykum naomba mawasiliano nanyi,
@janesarah6711
@janesarah6711 7 жыл бұрын
So sad nakutakia maisha mema
@onyapidi5174
@onyapidi5174 5 жыл бұрын
Kiswahili hicho Kizuri Sana!
@sambosco11
@sambosco11 5 жыл бұрын
If 10000 Kenyans sent her 100 ksh she would have a million bob tumsaidie
@daimavlog
@daimavlog 6 жыл бұрын
Kwa nini hamuwekagi hata namba jamani tukawasaidia?
@bintikiziwi4600
@bintikiziwi4600 5 жыл бұрын
Hiyo more than 40yrs nobody is alive mumy, pole woiyiee
@deusjuma708
@deusjuma708 4 жыл бұрын
Pole sana
@jeninahkaroli837
@jeninahkaroli837 7 жыл бұрын
so sad my God protect
@lylychris6553
@lylychris6553 2 жыл бұрын
God have mercy.
@christde1
@christde1 8 жыл бұрын
tupeni jina lake kamili na jina la town na kijiji anachotoka hapa brazili ..inshallah twaweza kumsaidia
@philipndungu544
@philipndungu544 8 жыл бұрын
Tafuta email address ya KTN uwasiliane nao. utakuwa umemsaidia sana na Mungu atakubariki
@gideonkangogo4675
@gideonkangogo4675 8 жыл бұрын
mwanamizeelvis@gmail.com nipigie kwa hi nambari 0723539060
@christde1
@christde1 8 жыл бұрын
Philip Ndungu3. niko nje ya kenya
@Elvis-Kosgei
@Elvis-Kosgei 8 жыл бұрын
0720534332
@Elvis-Kosgei
@Elvis-Kosgei 8 жыл бұрын
piga hapo tafadhali
@zannesmarie728
@zannesmarie728 3 жыл бұрын
Mbona ameji achilia hivi, & she's very beautiful.
@pilfilhabibkarim6731
@pilfilhabibkarim6731 7 жыл бұрын
Mungu awapiganie so painful
@angelmbise7676
@angelmbise7676 6 жыл бұрын
Jamaniiiiiiiiiii
@deemuli4072
@deemuli4072 6 жыл бұрын
Oooh lord..its painful to watch this
@leilaomar5540
@leilaomar5540 4 жыл бұрын
😭😭 naomba no ya uyu mama tafadhali jamani
@gnmmng4203
@gnmmng4203 8 жыл бұрын
Mungu hawaaji waja wake .nawaombea afueni
@austinekesa7217
@austinekesa7217 5 жыл бұрын
Excuse me Kenyans???huyu mama alisaidiwa kweli??c tumtafute tafadhali
@mikeleathalshooter
@mikeleathalshooter 5 жыл бұрын
Stupid...kasaidie ndugu zako turkana
@sharifaallan2386
@sharifaallan2386 5 жыл бұрын
In shaa Allah all will be well my dear......don't cry
@dianahcheropngaina9496
@dianahcheropngaina9496 4 жыл бұрын
Mungu ambaye mume muabudu miaka nyingi amesgidwa Leo hau amalala wamuombe
@hawioselu1186
@hawioselu1186 8 жыл бұрын
God have mercy on them
@sierrakamau1510
@sierrakamau1510 6 жыл бұрын
hawi oselu God have mercy on these newscaster s who have access to these stories but make these stories an end in themselves! They do not even attempt to give a life line!!! Almost everyone who hears this WANTS TO HELP!!!!Goodness!!!!
@rashidabdalah7672
@rashidabdalah7672 5 жыл бұрын
hawi oselu m
@assumptavyenna640
@assumptavyenna640 5 жыл бұрын
Painful 😣
@akhousesolutionsltd9433
@akhousesolutionsltd9433 8 жыл бұрын
"from Canada"mimi nomba numba zake ili nimsaidie please mimi nninaongea lugha yake fr
@roseshiombo1450
@roseshiombo1450 6 жыл бұрын
Asumani Kasimu Mungu akubariki
@Kqueen_bellla
@Kqueen_bellla 5 жыл бұрын
did get her number
@ruthkemunto7470
@ruthkemunto7470 5 жыл бұрын
This is so sad
@fezafataki5311
@fezafataki5311 5 жыл бұрын
Asumani Kasimu hi
@fathmamohamed3476
@fathmamohamed3476 5 жыл бұрын
Naomba nijue Kama alisaidiwa Huyu mama piiz
@phillsnafuna5962
@phillsnafuna5962 4 жыл бұрын
God remember her
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 Жыл бұрын
Pole san
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema atasikia kilio chenu pole sana
@hfufghvbvbv7905
@hfufghvbvbv7905 8 жыл бұрын
Mungu
@victorochieng1072
@victorochieng1072 8 жыл бұрын
Life is hard
@jonathankilele9995
@jonathankilele9995 3 жыл бұрын
Yeah For the Lazy one
@chedamoraadaisy316
@chedamoraadaisy316 8 жыл бұрын
God is on your side one day the closed doors will be opened
@mfalmekali
@mfalmekali 8 жыл бұрын
If that was true she wouldnt be in the situation she is now.
@eastm.1110
@eastm.1110 5 жыл бұрын
Did this family finally get helped?
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 4 жыл бұрын
Poleni sana
@vickiekenyan5356
@vickiekenyan5356 5 жыл бұрын
huyu mama halizahitiwa kweli naomba number yake plzz kogoni primary school dio home kwa my mum naeza muzahitiya
@KayoleKnight
@KayoleKnight 5 жыл бұрын
Anakaa willian Borges wa Chelsea......ama Marcelo
@sarahkarimi5390
@sarahkarimi5390 5 жыл бұрын
😭😭😭
@leengugi1196
@leengugi1196 5 жыл бұрын
May she find her way
@sahromohamed4375
@sahromohamed4375 6 жыл бұрын
Kutoka Australia pls number yake nimsaidye
@marthamusyoki5819
@marthamusyoki5819 7 жыл бұрын
Don't worry God is the helper
@marthangima3293
@marthangima3293 5 жыл бұрын
Martha Musyoki xxx
@marthangima3293
@marthangima3293 5 жыл бұрын
Martha Musyoki perev
@lenakisuza6574
@lenakisuza6574 6 жыл бұрын
Nigependa kumsaidia lakini tunaanzia wapi?
@soniasouza1619
@soniasouza1619 5 жыл бұрын
Traduzir pôr favor
@eileenkihula3754
@eileenkihula3754 3 жыл бұрын
dahh,huruma saana,hata msaada hana jamani loohh
@deborahkibelion7821
@deborahkibelion7821 5 жыл бұрын
Pole
@samanthaali873
@samanthaali873 5 жыл бұрын
Pole sana mama yetu
@aishaeliaslocalmusic8496
@aishaeliaslocalmusic8496 7 жыл бұрын
Brazil life yao ni kama ya Africa tu .
@quanbamtankumam2569
@quanbamtankumam2569 7 жыл бұрын
aisha elias Localmusic84 Huja nena
@ronaldopeter7496
@ronaldopeter7496 7 жыл бұрын
MV,bukoba
@annievibes8794
@annievibes8794 5 жыл бұрын
ni kweli ila bila ya familia yake hana raha
@jackycollins2744
@jackycollins2744 5 жыл бұрын
@asha brazil life is not same like africa lyf......brazil hv too much benifits even us Foreigners hv alot of benifits over here may God help her to cum bck to her land
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 5 жыл бұрын
Brazil si kama Africa. It is so advanced than Africa. Ukisema hali ya kuwepo masikini masikini wapo lakini siyo hoja wapo hata Marekani hawana hata pa kulala wanalala nje kule shida wanakula kwenye mapipa ya taka
@alphonsinesingirankabo6274
@alphonsinesingirankabo6274 4 жыл бұрын
Wende kwa Alp Alp Loukao Alleluia minister utapona mama yangu
@stlmyn7419
@stlmyn7419 8 жыл бұрын
very sad
@barick
@barick 4 жыл бұрын
So sorry
@TheKimjeff
@TheKimjeff 8 жыл бұрын
I hope she gets some help
@prideofafrica_254
@prideofafrica_254 8 жыл бұрын
watupe no yake tumsaidie plz
@daimavlog
@daimavlog 7 жыл бұрын
Mwanamize Elvis akupigie ili?
@64aaa
@64aaa 6 жыл бұрын
Cymah Wandelt asaidiwe
@mamyziwaride8210
@mamyziwaride8210 6 жыл бұрын
Eunice David kale maisha kwnu
@mamyziwaride8210
@mamyziwaride8210 6 жыл бұрын
Maishapopote ila mona shida
@behonestyeah9029
@behonestyeah9029 8 жыл бұрын
I hate irresponsible government...whats the difference of Kenya Somali and Brazil
@zeyechmahir1020
@zeyechmahir1020 5 жыл бұрын
Your are not ashamed of yourself stating war controlled country like Somalia
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 2 жыл бұрын
😭
@lucywamucii3217
@lucywamucii3217 6 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭nimelia Mungu wangu
@jonathankilele9995
@jonathankilele9995 3 жыл бұрын
💆💆💆pole sana
@nancykiberenge5597
@nancykiberenge5597 2 жыл бұрын
How is she now
BI MSAFWARI | Je, mume akienda nje ya ndoa, wa kulaumiwa ni nani?
19:29
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 585 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 11 МЛН
Kutana na Mama Mariam Nabatanzi  mwenye watoto 44
5:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 8 МЛН
Joka la ajabu linalovalia kipuli huko Kwale
3:38
KTN News Kenya
Рет қаралды 2,2 МЛН
BI MSAFWARI | Katika ndoa, ni vitu gani huchukiza wanaume?
18:00
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 121 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 384 М.
Maafisa watatu wa trafiki wakamatwa wakila hongo
2:37
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 МЛН