Sheikh Naasor BACHU - KWENYE UZITO KUNA WEPESI

  Рет қаралды 687,419

shining noor

shining noor

Күн бұрын

Пікірлер: 483
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen
@nadiromar9794
@nadiromar9794 7 ай бұрын
Amin
@omaralidhue
@omaralidhue 6 ай бұрын
Ameen ameen
@amipol5310
@amipol5310 3 ай бұрын
Amiin pia ampee kauli sabiti kwenye kaburi lake
@jumahamis227
@jumahamis227 4 жыл бұрын
Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 4 жыл бұрын
Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn
@cholochiidi5927
@cholochiidi5927 3 жыл бұрын
Ameen
@ismaelayoub5196
@ismaelayoub5196 2 жыл бұрын
Yani ndugu yangu ukiona ivyo uje hajui Kutofautisha DISLIKE NA KULAIKE
@MohamedMohamed-fc7vh
@MohamedMohamed-fc7vh Жыл бұрын
Aamin ALLA h akurehemu ..Aamin..
@farsaabdallah2210
@farsaabdallah2210 2 ай бұрын
Nakuomba Allah umuingize shekh nasor bachu Jannat firdaus bila ya khesab amiin
@hamzajuma1439
@hamzajuma1439 Ай бұрын
Ameen
@athmaniyahaya3758
@athmaniyahaya3758 3 жыл бұрын
Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah
@bindawood978
@bindawood978 4 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio
@hassanmahamed8744
@hassanmahamed8744 2 жыл бұрын
Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 KZbin! nipe thumb.
@ibrahimmusa5729
@ibrahimmusa5729 5 жыл бұрын
Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu.. #in shaa Allah.
@kibwanamuhsin8772
@kibwanamuhsin8772 4 жыл бұрын
Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.
@samirhassanlau1473
@samirhassanlau1473 5 жыл бұрын
Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake, Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA
@nuaymmuhammad7990
@nuaymmuhammad7990 5 жыл бұрын
Amin
@shabanikuchanda3645
@shabanikuchanda3645 5 жыл бұрын
Daaa!
@zubeirjuma1856
@zubeirjuma1856 3 жыл бұрын
Huzuni xanz
@mohddalali1008
@mohddalali1008 3 жыл бұрын
Amin
@kibibijuma8441
@kibibijuma8441 4 жыл бұрын
mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 7 жыл бұрын
allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb
@jumajuma2726
@jumajuma2726 5 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem
@alnasrialnasri721
@alnasrialnasri721 5 жыл бұрын
Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..
@salimsalimnaurin2042
@salimsalimnaurin2042 Жыл бұрын
Ya Allah mjalie sheikh NASSOR BACHU umueke katika pepo za juu FIRDAUS amiin 🤲
@shairosekambona5301
@shairosekambona5301 5 жыл бұрын
ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab
@hijazhija316
@hijazhija316 Күн бұрын
My favourite sheikh...may Allah grant him jannah
@mayjaally5026
@mayjaally5026 5 жыл бұрын
Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏
@mansoormannix1753
@mansoormannix1753 10 ай бұрын
Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.
@aminamusa9720
@aminamusa9720 5 жыл бұрын
Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby
@colamboy5563
@colamboy5563 3 жыл бұрын
Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin
@adilihassan8455
@adilihassan8455 3 жыл бұрын
Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin
@aboudal-nabahany5338
@aboudal-nabahany5338 4 жыл бұрын
Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲
@selemanially2818
@selemanially2818 3 жыл бұрын
Amina
@athmanbakari5932
@athmanbakari5932 7 жыл бұрын
sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .
@hamzajuma1439
@hamzajuma1439 Ай бұрын
Ameen
@sophiatborah4230
@sophiatborah4230 2 жыл бұрын
Mwenyeez mungu ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mabustani ya peponi ndugu mwema hakika umeondoka kiwiliwili lkn maneno ya ujumbe wa kulingania umma wa kipenz chetu mtume Muhammad bdo yanaish na mioyo ya wenye mazingatio inawaongoza..Allah akulipe jannah inshallah..
@abdirizakhalakehalkan778
@abdirizakhalakehalkan778 5 жыл бұрын
May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching
@mohamediiddi29
@mohamediiddi29 6 жыл бұрын
Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu
@khalidmohamed7532
@khalidmohamed7532 6 жыл бұрын
Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.
@saidmsinga5450
@saidmsinga5450 9 жыл бұрын
ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.
@raisiwakissdi2691
@raisiwakissdi2691 5 жыл бұрын
munguamlipe kwarehema yaallah
@sleyumsaidabdullah3006
@sleyumsaidabdullah3006 5 жыл бұрын
Mashaallah R.I.P
@saidseif7469
@saidseif7469 4 жыл бұрын
Ameen
@rahmahamad6251
@rahmahamad6251 4 жыл бұрын
Aaamiin
@shukrisharamo1879
@shukrisharamo1879 4 жыл бұрын
MashaAllah Allah amweke pema
@jumakumala1337
@jumakumala1337 3 жыл бұрын
Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin
@rahmasalum7107
@rahmasalum7107 5 жыл бұрын
Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu
@sadiqabdullah1294
@sadiqabdullah1294 5 жыл бұрын
Amiin
@zuhurambonde6959
@zuhurambonde6959 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.
@hamzaforogo
@hamzaforogo 3 жыл бұрын
Aaamin yaa rabbi
@mruppercut7985
@mruppercut7985 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa
@tonystantay4013
@tonystantay4013 3 жыл бұрын
Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl
@hashimbalushi9283
@hashimbalushi9283 3 жыл бұрын
May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.
@shamndonyi1814
@shamndonyi1814 5 жыл бұрын
If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi
@sadiawako9699
@sadiawako9699 4 жыл бұрын
Amiiin Ya Allah
@jumahamis227
@jumahamis227 4 жыл бұрын
role model wa waislamu ni mtume Muhammad sheikh.
@mbugimuchiro1331
@mbugimuchiro1331 4 жыл бұрын
Allah Janna tu firdausi
@saidseif7469
@saidseif7469 4 жыл бұрын
Ameen
@hemedhamdan
@hemedhamdan 4 жыл бұрын
@juma hamis العلماء ورثة الأنبياء
@mutaladjasmini4815
@mutaladjasmini4815 5 жыл бұрын
Allah akupe janat firdawus 🙏
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 5 жыл бұрын
Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️
@saidomar5555
@saidomar5555 4 жыл бұрын
Aamin, Mungu amjaalie awe peponi
@omaryabdallah9039
@omaryabdallah9039 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 Жыл бұрын
Amiin
@mira-gq3qg
@mira-gq3qg 5 жыл бұрын
Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako
@OmarOmar-ew9zs
@OmarOmar-ew9zs 3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
@migwa100
@migwa100 4 жыл бұрын
mash_Allah sheikh Allah akupe janatul ferdos. Akuepushe na adhabu ya khamri na akupe pepo
@saidmfaumekombo8067
@saidmfaumekombo8067 6 ай бұрын
Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake
@mbuyatrust8670
@mbuyatrust8670 3 жыл бұрын
Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Hii ndio ilm yenye manufaa na sadqa tul jaariyah bora. Allah amkubalie na amjaalie Jannah na atupe nasi ilm yenye manufaa. Aameen
@abdallaramadhan3850
@abdallaramadhan3850 4 жыл бұрын
Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.
@funditv8959
@funditv8959 5 жыл бұрын
Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu
@jamilanassoro8408
@jamilanassoro8408 5 жыл бұрын
Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu
@didakitole7578
@didakitole7578 4 жыл бұрын
اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 3 жыл бұрын
huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin
@shabankuchanda9489
@shabankuchanda9489 3 жыл бұрын
Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu
@mudybeka6698
@mudybeka6698 2 жыл бұрын
ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah
@hafsarakki9966
@hafsarakki9966 2 жыл бұрын
my favourite sheikh Allah amuhifathi
@adamsclassic9306
@adamsclassic9306 7 жыл бұрын
Mungu Akulaze Mahari pema pepon Shekhe Nassor Bachu
@kwetukisiwanitv2981
@kwetukisiwanitv2981 4 жыл бұрын
Hii ndiyo hakiba nzuri aliyojiwekeya sheikh Nasoor Bachu mola amlipe kheri aaamin
@sabriamber1706
@sabriamber1706 Жыл бұрын
Allah yarham sheikh wetu,ameen MAA Shaa Allah Tabaraqallah 20yrs ago almost but I can't 😢 He was 1 in a million wallah
@mamujabbir1540
@mamujabbir1540 7 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.
@nnongwa586
@nnongwa586 4 жыл бұрын
Maashaha alha
@yussufmohamed2405
@yussufmohamed2405 4 жыл бұрын
ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN
@khadijasaid5065
@khadijasaid5065 5 жыл бұрын
Amini Aminii ..ametuwondokeya shekhe mzuri sana.mungu ampenda zaidi yetu ss
@maryamsalim8822
@maryamsalim8822 6 жыл бұрын
Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 5 жыл бұрын
Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa
@hafidhiiothuman153
@hafidhiiothuman153 3 жыл бұрын
Mashalwa bado mawaidha kama mkuki
@yusuflangat3556
@yusuflangat3556 2 жыл бұрын
Allah akurehemu na akupandishe toka darja moja Hadi nyingine katika janatul firdaus Kwa faida ninayoipata alhamdulillah kupitia mawaidha yako
@kwizerasalama685
@kwizerasalama685 5 жыл бұрын
Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin
@bitumaiyahomari1590
@bitumaiyahomari1590 5 жыл бұрын
Mashaallaah
@bitumaiyahomari1590
@bitumaiyahomari1590 5 жыл бұрын
Allaah akuhfadh sehem salaamaa nakupenda sana shehe
@QChief
@QChief 3 жыл бұрын
napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen
@superromeo2773
@superromeo2773 5 жыл бұрын
Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..
@saidameir8965
@saidameir8965 3 жыл бұрын
Ma Sha Allah.Mwenyezi Mungu ampe malipo mema marhoun sheikh Nassor.Darsa maridhawa!
@selemanizephania7281
@selemanizephania7281 8 жыл бұрын
Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.
@jamilamunisi1480
@jamilamunisi1480 5 жыл бұрын
Selemani Zephania Amiiin
@khalfansaid8799
@khalfansaid8799 5 жыл бұрын
Allahumaghrilahu warhamhu waafihi waafuanhu waakirimu nuzulahu wawasia mudkhalahu waghasiluhu milmai wathaligi walbarid wanakihi minkhatwaya kama yunaka thaubu llabiyaz Mina nnanas
@sophiamaua3885
@sophiamaua3885 5 жыл бұрын
Aamiiin
@abdullakhlaas4377
@abdullakhlaas4377 4 жыл бұрын
Amiin yarabil aalamiin
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 4 жыл бұрын
Ammin ammin ammin Yarab
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 5 жыл бұрын
Innalilah wainailaih rajiun Allah akulinde adhabu za kaburi akupe kauli thabiti🙏
@inabikorwaneema8815
@inabikorwaneema8815 3 жыл бұрын
Amiin
@allyrashidi9875
@allyrashidi9875 3 ай бұрын
Allah akulipe Pepo sheikh wangu,akuondolee adhabu za kaburi
@Yusuf-fo3gl
@Yusuf-fo3gl 6 жыл бұрын
Allahu, rabbil al a'ameen ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala. A'ameen.
@sittacharlesmaendeleo778
@sittacharlesmaendeleo778 5 жыл бұрын
ameen
@Truthshallprevail1291
@Truthshallprevail1291 11 жыл бұрын
na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.
@athmanbakari5932
@athmanbakari5932 7 жыл бұрын
MrMedu490 Ameen
@hawa4968
@hawa4968 5 жыл бұрын
Kizur hakidumu
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 3 жыл бұрын
Allah akueke pahali pema na akupe Jannah tul Firdous wa jamiil muslimeen
@alilukorito367
@alilukorito367 3 жыл бұрын
ALLAH akupe pepo na MUHAMMAD BIN ABDULLAH....inshaaallah na akupe starehe na nuru katika kaburi yako..Aaaamin thumma Aaaamin.
@nelsonsalim4426
@nelsonsalim4426 5 жыл бұрын
Allwahuma aghfir Laguna warhamhu waskanhhu fil jannah
@aidahali2840
@aidahali2840 10 жыл бұрын
ALLAH AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI AMIIN
@jamalidagama1699
@jamalidagama1699 5 жыл бұрын
Amiin
@mwanamisiomar443
@mwanamisiomar443 5 жыл бұрын
Ameen.
@amemeabdulrazak1397
@amemeabdulrazak1397 3 жыл бұрын
Amiin
@soudfakih2577
@soudfakih2577 10 жыл бұрын
Allahumma ighfir lahuu warhamhuu waaskinhuu filjannah. Ameen yaa Rabb.
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 7 жыл бұрын
amin
@aminaabdi8078
@aminaabdi8078 5 жыл бұрын
Amiin yarrab
@muyyahjuma8959
@muyyahjuma8959 5 жыл бұрын
Allah akulipe kheri nyingi uko ulipo amin
@mohamedibrahimibrahim5921
@mohamedibrahimibrahim5921 5 жыл бұрын
sheikh nassor bhachu rahimahullah.
@kamaukamau9098
@kamaukamau9098 5 жыл бұрын
@@mhogomchungu7168 bjhjjhbzn,1$"'?/ /@'*%
@athumanikawelea3012
@athumanikawelea3012 3 жыл бұрын
Tulio angalia 2021 tujuane apa
@adinanabdul
@adinanabdul 3 жыл бұрын
Nakuomba Allah umrehemu shekh wetu huyu. Tunanufaika mengi kutoka kwake. Aaamiyn.
@sabrahamad4763
@sabrahamad4763 5 жыл бұрын
Mashaa Allah, Allah akujalie akuweke katika pepo ya daraja ya juu na ss tuwe mionqoni mwao kua pmoja na ww Inshaa Allah. ☝
@zeidnassoro6077
@zeidnassoro6077 5 жыл бұрын
Allah ibarik
@fatumakamwendo7894
@fatumakamwendo7894 Жыл бұрын
Inshaallah
@hawa4968
@hawa4968 5 жыл бұрын
Allah subuhanah waatallah akupe nuri ndani ya nur umeondoka ila bado kwenye nyoyo zetu unaish
@khadijaramadhanhaji1159
@khadijaramadhanhaji1159 8 жыл бұрын
allah mpe kher uko alipo n mpe malipo ambayo makubwa zaid kuliko juhud aloitumia ktka kuipgania dini yko amin...
@zakiarajabu5132
@zakiarajabu5132 5 жыл бұрын
ALLAHU akufanyie wepes huko uliko
@mohamedokoteokote5455
@mohamedokoteokote5455 5 жыл бұрын
mungu akusaidie
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 5 жыл бұрын
Amin
@jameelaomar6543
@jameelaomar6543 4 жыл бұрын
Amin
@abuueidrisa8688
@abuueidrisa8688 4 жыл бұрын
Amiiyyyn
@bahatimataka229
@bahatimataka229 4 жыл бұрын
Allah akurehemu...Innallillah wainnaillaihy rajoon
@99graphix
@99graphix 11 жыл бұрын
Allahumma thaabit-hu biqauli thaabit. Allahumma gh-firlahu warhamhu waafihi waaf-anhu.
@fadhilsaid877
@fadhilsaid877 3 жыл бұрын
Mashaallah
@fahadmohamed5508
@fahadmohamed5508 5 жыл бұрын
Allah akupe kila lenye khyr huko ulipo maalim
@OmarOmar-ew9zs
@OmarOmar-ew9zs 3 жыл бұрын
Aaaaamiin 🤲
@aminayussuf4161
@aminayussuf4161 6 жыл бұрын
Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah
@faizabaishe5172
@faizabaishe5172 5 жыл бұрын
MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah
@abubakarinyawaba1378
@abubakarinyawaba1378 5 жыл бұрын
Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus
@HaseenaSaid-qv1yk
@HaseenaSaid-qv1yk Ай бұрын
Allah akulipe kwa wema na kwa mawaidha mazuri sheikh Aamin
@fuadaljabry5330
@fuadaljabry5330 5 жыл бұрын
Allah humma efirihi wakhufuwan fill jana a ameen
@abuughanimaally5980
@abuughanimaally5980 5 жыл бұрын
نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله
@rashidsalu6973
@rashidsalu6973 5 жыл бұрын
Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a
@mwasitiathumani4626
@mwasitiathumani4626 4 жыл бұрын
Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah
@thabitnasibu4896
@thabitnasibu4896 3 жыл бұрын
Hakika kila penye uzito pana wepesi japo bado nipo kwenye uzito ila naamini kabisa kutakuja wepesi inshaallah,, mungu akurehem sheikh wangu!,,,aamiin
@bellbell9294
@bellbell9294 4 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wangu Allah akubariki jazaka Allahu kher
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin
@calypsotall
@calypsotall 11 жыл бұрын
MUNGU MLAZE PEMA PEPONI SHEIKH NASSOR AMEEN.
@allydengo
@allydengo 8 жыл бұрын
allah akulaze mahala pema pepon ameen
@binsleyyum3005
@binsleyyum3005 5 жыл бұрын
Amin
@zulfasadallah6365
@zulfasadallah6365 2 жыл бұрын
Allah akurehemu wewe na baba yangu,aaaamin
@lucasmadose3334
@lucasmadose3334 4 жыл бұрын
Absolutely you were the best, Allah will pay you for everything. All the best our beloved!!!!
@kingijmalindi2742
@kingijmalindi2742 2 жыл бұрын
Allah akurehemu na waislam wote inshallah.
@mohamedathuman1145
@mohamedathuman1145 4 жыл бұрын
Allah akupekauli dhabitty
@bibinamay1964
@bibinamay1964 5 жыл бұрын
Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin
@mohddalali1008
@mohddalali1008 3 жыл бұрын
Ameen
@jumakumala1337
@jumakumala1337 3 жыл бұрын
ALLAH akulipe kheir na jannatull fridhausi kwa mazuri hayo ulioyawacha uku nyuma Amiin Amiin Amiin thuma Amiin
@rahmahussein2133
@rahmahussein2133 3 жыл бұрын
May Allah grant you jannatul firdous and forgive your weakness. I really learnt a lot from your lectures through Radio Iqra Fm Kenya
@sharfanali8327
@sharfanali8327 2 жыл бұрын
1111j2 2, but pp123444333 àÀqqà11q 111
@sharfanali8327
@sharfanali8327 2 жыл бұрын
L
@ibraa1157
@ibraa1157 4 жыл бұрын
Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah
@yunussaidy1800
@yunussaidy1800 7 жыл бұрын
Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam
Sheikh Nassor BACHU - TAQWA
3:01:03
shining noor
Рет қаралды 114 М.
Sheikh Naasor BACHU - SURATU SHARIH 1/2
1:04:02
shining noor
Рет қаралды 56 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 118 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 31 МЛН
KISA CHA ABUDHARI KUSILIMU KWAKE //SHEIKH MSELEM
34:54
arkas online tv
Рет қаралды 21 М.
MATUKIO YA SIKU YA MALIPO 2/2 - SHEIKH NASSOR BACHU
1:28:41
MUZDALIFAH
Рет қаралды 295 М.
HAKI ZA MUME NA MKE 1 NASSOR BACHU
1:27:34
RAUDHWAH ISLAMIC CHANNEL
Рет қаралды 169 М.
HAKI ZA MUME NA MKE-2 NASSOR BACHU
1:25:58
RAUDHWAH ISLAMIC CHANNEL
Рет қаралды 44 М.
Uzito wa Dua ya Mwenye Kudhulumiwa - Sheikh Nassor Bachu
1:40:57
Islamic Kindness
Рет қаралды 52 М.
KISA CHA SAYYID IBN MUSAYYIB 1/2 - SHEIKH NASSOR BACHU
1:22:55
MUZDALIFAH
Рет қаралды 116 М.
Uzito wa Fadhila za Sadaka hii ya Ajabu. Sh. Nassor A. Bachu
30:00
OBA Online tv
Рет қаралды 55 М.
Sheikh Naasor BACHU - MAMBO YOTE NI YA MWENYEZIMGU
1:00:01
shining noor
Рет қаралды 139 М.
Kisa cha Nabii Ayub (Alayhi salam)  - Sheikh Nassor Bachu
1:24:04
Islamic Kindness
Рет қаралды 27 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН