Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen
@nadiromar97947 ай бұрын
Amin
@omaralidhue6 ай бұрын
Ameen ameen
@amipol53103 ай бұрын
Amiin pia ampee kauli sabiti kwenye kaburi lake
@jumahamis2274 жыл бұрын
Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.
@yussuphsultan14004 жыл бұрын
Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn
@cholochiidi59273 жыл бұрын
Ameen
@ismaelayoub51962 жыл бұрын
Yani ndugu yangu ukiona ivyo uje hajui Kutofautisha DISLIKE NA KULAIKE
@MohamedMohamed-fc7vh Жыл бұрын
Aamin ALLA h akurehemu ..Aamin..
@farsaabdallah22102 ай бұрын
Nakuomba Allah umuingize shekh nasor bachu Jannat firdaus bila ya khesab amiin
@hamzajuma1439Ай бұрын
Ameen
@athmaniyahaya37583 жыл бұрын
Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah
@bindawood9784 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio
@hassanmahamed87442 жыл бұрын
Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 KZbin! nipe thumb.
@ibrahimmusa57295 жыл бұрын
Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu.. #in shaa Allah.
@kibwanamuhsin87724 жыл бұрын
Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.
@samirhassanlau14735 жыл бұрын
Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake, Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA
@nuaymmuhammad79905 жыл бұрын
Amin
@shabanikuchanda36455 жыл бұрын
Daaa!
@zubeirjuma18563 жыл бұрын
Huzuni xanz
@mohddalali10083 жыл бұрын
Amin
@kibibijuma84414 жыл бұрын
mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.
@taturamadhan59407 жыл бұрын
allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb
@jumajuma27265 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem
@alnasrialnasri7215 жыл бұрын
Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..
@salimsalimnaurin2042 Жыл бұрын
Ya Allah mjalie sheikh NASSOR BACHU umueke katika pepo za juu FIRDAUS amiin 🤲
@shairosekambona53015 жыл бұрын
ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab
@hijazhija316Күн бұрын
My favourite sheikh...may Allah grant him jannah
@mayjaally50265 жыл бұрын
Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏
@mansoormannix175310 ай бұрын
Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.
@aminamusa97205 жыл бұрын
Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby
@colamboy55633 жыл бұрын
Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin
@adilihassan84553 жыл бұрын
Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin
@aboudal-nabahany53384 жыл бұрын
Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲
@selemanially28183 жыл бұрын
Amina
@athmanbakari59327 жыл бұрын
sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .
@hamzajuma1439Ай бұрын
Ameen
@sophiatborah42302 жыл бұрын
Mwenyeez mungu ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mabustani ya peponi ndugu mwema hakika umeondoka kiwiliwili lkn maneno ya ujumbe wa kulingania umma wa kipenz chetu mtume Muhammad bdo yanaish na mioyo ya wenye mazingatio inawaongoza..Allah akulipe jannah inshallah..
@abdirizakhalakehalkan7785 жыл бұрын
May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching
@mohamediiddi296 жыл бұрын
Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu
@khalidmohamed75326 жыл бұрын
Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.
@saidmsinga54509 жыл бұрын
ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.
@raisiwakissdi26915 жыл бұрын
munguamlipe kwarehema yaallah
@sleyumsaidabdullah30065 жыл бұрын
Mashaallah R.I.P
@saidseif74694 жыл бұрын
Ameen
@rahmahamad62514 жыл бұрын
Aaamiin
@shukrisharamo18794 жыл бұрын
MashaAllah Allah amweke pema
@jumakumala13373 жыл бұрын
Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin
@rahmasalum71075 жыл бұрын
Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu
@sadiqabdullah12945 жыл бұрын
Amiin
@zuhurambonde69594 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.
@hamzaforogo3 жыл бұрын
Aaamin yaa rabbi
@mruppercut79852 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa
@tonystantay40133 жыл бұрын
Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl
@hashimbalushi92833 жыл бұрын
May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.
@shamndonyi18145 жыл бұрын
If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi
@sadiawako96994 жыл бұрын
Amiiin Ya Allah
@jumahamis2274 жыл бұрын
role model wa waislamu ni mtume Muhammad sheikh.
@mbugimuchiro13314 жыл бұрын
Allah Janna tu firdausi
@saidseif74694 жыл бұрын
Ameen
@hemedhamdan4 жыл бұрын
@juma hamis العلماء ورثة الأنبياء
@mutaladjasmini48155 жыл бұрын
Allah akupe janat firdawus 🙏
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️
@saidomar55554 жыл бұрын
Aamin, Mungu amjaalie awe peponi
@omaryabdallah90393 жыл бұрын
Allah amrehem
@abuuaisha6110 Жыл бұрын
Amiin
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako
@OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
@migwa1004 жыл бұрын
mash_Allah sheikh Allah akupe janatul ferdos. Akuepushe na adhabu ya khamri na akupe pepo
@saidmfaumekombo80676 ай бұрын
Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake
@mbuyatrust86703 жыл бұрын
Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu
@bjzee19813 жыл бұрын
Hii ndio ilm yenye manufaa na sadqa tul jaariyah bora. Allah amkubalie na amjaalie Jannah na atupe nasi ilm yenye manufaa. Aameen
@abdallaramadhan38504 жыл бұрын
Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.
@funditv89595 жыл бұрын
Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu
@jamilanassoro84085 жыл бұрын
Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu
@didakitole75784 жыл бұрын
اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤
@ibrahimdabo71633 жыл бұрын
huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin
@shabankuchanda94893 жыл бұрын
Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu
@mudybeka66982 жыл бұрын
ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah
@hafsarakki99662 жыл бұрын
my favourite sheikh Allah amuhifathi
@adamsclassic93067 жыл бұрын
Mungu Akulaze Mahari pema pepon Shekhe Nassor Bachu
@kwetukisiwanitv29814 жыл бұрын
Hii ndiyo hakiba nzuri aliyojiwekeya sheikh Nasoor Bachu mola amlipe kheri aaamin
@sabriamber1706 Жыл бұрын
Allah yarham sheikh wetu,ameen MAA Shaa Allah Tabaraqallah 20yrs ago almost but I can't 😢 He was 1 in a million wallah
@mamujabbir15407 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.
@nnongwa5864 жыл бұрын
Maashaha alha
@yussufmohamed24054 жыл бұрын
ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN
@khadijasaid50655 жыл бұрын
Amini Aminii ..ametuwondokeya shekhe mzuri sana.mungu ampenda zaidi yetu ss
@maryamsalim88226 жыл бұрын
Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen
@ramadhanisuru18225 жыл бұрын
Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa
@hafidhiiothuman1533 жыл бұрын
Mashalwa bado mawaidha kama mkuki
@yusuflangat35562 жыл бұрын
Allah akurehemu na akupandishe toka darja moja Hadi nyingine katika janatul firdaus Kwa faida ninayoipata alhamdulillah kupitia mawaidha yako
@kwizerasalama6855 жыл бұрын
Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin
@bitumaiyahomari15905 жыл бұрын
Mashaallaah
@bitumaiyahomari15905 жыл бұрын
Allaah akuhfadh sehem salaamaa nakupenda sana shehe
@QChief3 жыл бұрын
napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen
@superromeo27735 жыл бұрын
Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..
@saidameir89653 жыл бұрын
Ma Sha Allah.Mwenyezi Mungu ampe malipo mema marhoun sheikh Nassor.Darsa maridhawa!
@selemanizephania72818 жыл бұрын
Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.
@jamilamunisi14805 жыл бұрын
Selemani Zephania Amiiin
@khalfansaid87995 жыл бұрын
Allahumaghrilahu warhamhu waafihi waafuanhu waakirimu nuzulahu wawasia mudkhalahu waghasiluhu milmai wathaligi walbarid wanakihi minkhatwaya kama yunaka thaubu llabiyaz Mina nnanas
@sophiamaua38855 жыл бұрын
Aamiiin
@abdullakhlaas43774 жыл бұрын
Amiin yarabil aalamiin
@bintsalimalbimany53404 жыл бұрын
Ammin ammin ammin Yarab
@uwingeneyeshadia76975 жыл бұрын
Innalilah wainailaih rajiun Allah akulinde adhabu za kaburi akupe kauli thabiti🙏
@inabikorwaneema88153 жыл бұрын
Amiin
@allyrashidi98753 ай бұрын
Allah akulipe Pepo sheikh wangu,akuondolee adhabu za kaburi
@Yusuf-fo3gl6 жыл бұрын
Allahu, rabbil al a'ameen ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala. A'ameen.
@sittacharlesmaendeleo7785 жыл бұрын
ameen
@Truthshallprevail129111 жыл бұрын
na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.
@athmanbakari59327 жыл бұрын
MrMedu490 Ameen
@hawa49685 жыл бұрын
Kizur hakidumu
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Allah akueke pahali pema na akupe Jannah tul Firdous wa jamiil muslimeen
@alilukorito3673 жыл бұрын
ALLAH akupe pepo na MUHAMMAD BIN ABDULLAH....inshaaallah na akupe starehe na nuru katika kaburi yako..Aaaamin thumma Aaaamin.
Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah
@faizabaishe51725 жыл бұрын
MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah
@abubakarinyawaba13785 жыл бұрын
Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus
@HaseenaSaid-qv1ykАй бұрын
Allah akulipe kwa wema na kwa mawaidha mazuri sheikh Aamin
@fuadaljabry53305 жыл бұрын
Allah humma efirihi wakhufuwan fill jana a ameen
@abuughanimaally59805 жыл бұрын
نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله
@rashidsalu69735 жыл бұрын
Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a
@mwasitiathumani46264 жыл бұрын
Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah
@thabitnasibu48963 жыл бұрын
Hakika kila penye uzito pana wepesi japo bado nipo kwenye uzito ila naamini kabisa kutakuja wepesi inshaallah,, mungu akurehem sheikh wangu!,,,aamiin
@bellbell92944 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wangu Allah akubariki jazaka Allahu kher
@zahramunir85965 жыл бұрын
Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin
@calypsotall11 жыл бұрын
MUNGU MLAZE PEMA PEPONI SHEIKH NASSOR AMEEN.
@allydengo8 жыл бұрын
allah akulaze mahala pema pepon ameen
@binsleyyum30055 жыл бұрын
Amin
@zulfasadallah63652 жыл бұрын
Allah akurehemu wewe na baba yangu,aaaamin
@lucasmadose33344 жыл бұрын
Absolutely you were the best, Allah will pay you for everything. All the best our beloved!!!!
@kingijmalindi27422 жыл бұрын
Allah akurehemu na waislam wote inshallah.
@mohamedathuman11454 жыл бұрын
Allah akupekauli dhabitty
@bibinamay19645 жыл бұрын
Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin
@mohddalali10083 жыл бұрын
Ameen
@jumakumala13373 жыл бұрын
ALLAH akulipe kheir na jannatull fridhausi kwa mazuri hayo ulioyawacha uku nyuma Amiin Amiin Amiin thuma Amiin
@rahmahussein21333 жыл бұрын
May Allah grant you jannatul firdous and forgive your weakness. I really learnt a lot from your lectures through Radio Iqra Fm Kenya
@sharfanali83272 жыл бұрын
1111j2 2, but pp123444333 àÀqqà11q 111
@sharfanali83272 жыл бұрын
L
@ibraa11574 жыл бұрын
Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah
@yunussaidy18007 жыл бұрын
Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam