Haturudi misri kwenye mabakuli ya nyama hahahahaha wangapi wamesikia hilo wanipe like yangu CCM HOYEEE
@alumonkisinda45744 жыл бұрын
Mwenye macho kama Mimi na yupo makini na kumsikiliza huyu mzee na ameona mama mzee hapo anarecodi na lisimu likubwa kama redio gonga like nukuone
@kulwaedward37534 жыл бұрын
Nmecheka kifala
@blessedservant60204 жыл бұрын
Nimemwona nikadhani ni radio, anarecord.
@blessedservant60204 жыл бұрын
Nilidhani ni radio anarecord.
@mussabulugu63194 жыл бұрын
Huyu mkuu anajua kucheza na akili za watu hadi raha .huyu nikiongozi kweli hapo twende sawa wapendwa
@michaelchacha9704 жыл бұрын
Fact!!
@johnseme15094 жыл бұрын
Kabisa yuko vizuri sana Mwanri, wasimuache kabisa ktk baraza la mawaziri apewe tu ubunge wa kuteuliwa.
@auntdorah91414 жыл бұрын
Nawapenda viongozi wa Ccm...mna umoja na mshikamano Mungu azidi kuwatunzaaa😁
@kelvinemiles69954 жыл бұрын
Nakubali Sana huyu father!✊🏾❤️
@mackymneney99354 жыл бұрын
KUANZIA LEO KWA NIABA YA JPM NAMTEUA MWANRI WAZIRI WA UTAMADUNI SVNA MICHEZO KWA MAMLAKA KAMA RAIA MWEMA AMEN
@jofreysinchenje19954 жыл бұрын
Hahahahaha
@auntdorah91414 жыл бұрын
Kweli jamaniiii...huyu baba ni kiongoziiii ....
@felisteredward63194 жыл бұрын
😂😂umetisha
@masongaofficial4 жыл бұрын
@kzbin.info/www/bejne/sKazq6VrjL16a6M
@edsonisrael51764 жыл бұрын
Aminaa
@focuseric41094 жыл бұрын
He is a wondereful man mungu akurinde sn sn huna kinyongo kabisaa wote tunggekua ivi tungefika mbali sn sn.
@enochzacharia9604 жыл бұрын
Mzee yuko vizur angekua wazir wa sanaa na utamadun
@peterbayo46774 жыл бұрын
💯❤
@willeymwamwezi6634 жыл бұрын
Acha kichaa chako hiyo Sanaa na michezo hailukiwi mpira utaharibika
@graytonndamgoba48054 жыл бұрын
Ukatibu mwenezi wa CCM unamfaa sana.This man can convince.
@mashakakadashipeter69264 жыл бұрын
Ndo alikuwa katibu mwenezi kabla ya Nape Nnauye alikaa miaka 3
@syv_habari4 жыл бұрын
Awe kampen meneja wa magu tucheke wengi
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Kweli. 😁😁😁😁
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
Kweli kabisa aise...tutavunjika mbavu sana
@presseg.63624 жыл бұрын
Mzee unatupa Rahaaaa kwa maneno yako, kweli adui ni MTU yeyote asiyekutakia mema!!!!!
@bensonlameck6348 Жыл бұрын
Mwanri ndio maana hakosi kazi,Anabusara sana kwa viongozi wake wajuu
@frankjacksoni14334 жыл бұрын
Nakubal sana mzee wangu ukikosa uongoz njoo Dodoma nitaenda kuuza shamba kwetu nikujengee hata kanisa tu
@jeremiahchappa99154 жыл бұрын
Mzeee magufuli tunamuhitaji Tabora huyu wa ssa anatuzingua
@zaujathyahya61424 жыл бұрын
Kwel
@Nassprince4 жыл бұрын
😂😂😂🔥huyu mzee mungu ampe maish mengi ananiongezeaga sana siu za kuishi😂😂😂😂😂
@petrombowe92434 жыл бұрын
Sikuma ndan wot
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Jifanye unajikuna😂😂😂
@msangodiesel31324 жыл бұрын
Huyu mzee wangempa muda tena mkoa wa tabora
@masongaofficial4 жыл бұрын
@kzbin.info/www/bejne/sKazq6VrjL16a6M
@peterbayo46774 жыл бұрын
Wala hata hastahili kuwa mkuu wa mkoa. Anastahili zaidi....
@nelsonjeremias20474 жыл бұрын
Hakutolewa ukuu wa Mkoa bali alistaafu kwa mujibu wa sheria. Umri umeenda
@witnessemmanuel87854 жыл бұрын
Amestaafu jamani
@musazabron82554 жыл бұрын
@@nelsonjeremias2047 huyu alifaa kuendelea kuwa yupo.
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kuwapanga watu sana aisee sijawahi ona 😆 😆
@nobertkavishe88354 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee Mwanri
@nelsonimtaturu81154 жыл бұрын
mheshimiwa rais wetu tunaomba umone huyu jamaa kwa jicho la tatu
@masongaofficial4 жыл бұрын
@kzbin.info/www/bejne/sKazq6VrjL16a6M
@evansokemwa65874 жыл бұрын
ukweli ata jicho la inne
@peterbayo46774 жыл бұрын
❤❤❤
@abditajir40484 жыл бұрын
Kw bahati nzuri ana macho 2 tu
@sylvesterhezron80624 жыл бұрын
Kabisa
@auntdorah91414 жыл бұрын
Nakupendaga sana😁😁😁😁 mheshimiwa....😁
@pinielloilole43404 жыл бұрын
Kwa kweli mungu awe pamoja nawe Mwandri. Hakika Mh JPM anakuona
@frankiguguno91354 жыл бұрын
Nakukubalii kiongoziiiii
@godsonlaizer19884 жыл бұрын
Wewe bado unafaa Sana mzee sukuma ndani sumuma nje chadema
@kelvinvenance36274 жыл бұрын
JPM MTAZAME MWANRI NI KIONGOZI MZURI
@marynjau16904 жыл бұрын
Sukuma ndani😂🤣🤣🤣nakupendaga sana baba😘
@justinkisinza3364 жыл бұрын
Unastahili ukatibu mwenezi na itikadi wa ccm hongera mwanly
@rahabnkya82764 жыл бұрын
MZEE MWANRI NINAKUKUMBUKA SAAANA WEWE UKIWA DC ARUSHA. ULITUTENDEA MEMA SANA ARUSHA, UTUNZAJI MAZINGIRA, BUCHA ZOTE KUWA SAFI NK. BARIKIWA SAAAAAANA MKUU.
@danieljeromelyimo66734 жыл бұрын
Mwari Ungeenda upinzani huko Una lazimisha tuu... Wewe Ni Kiongozi mzuri Ila huko Una haribika!!Ni kama samaki mmoja Akioza...
@shukurumwalukopetro67573 жыл бұрын
Ww baba japo nipo chadema napenda sana maneno yako kabisa
@i.gconnectiontztv89724 жыл бұрын
TUMIA APPLICATION HII KUPATA GB 10 BUREEE part 2 kzbin.info/www/bejne/pqbNgHWuqtZ_aas WE NEED YOURE SUPPOR
@dismasminja97024 жыл бұрын
Nimeikubali mweshimiwa mmari love you
@mashaurimpogollo35504 жыл бұрын
Safi baba tuko pamoja
@bbs90304 жыл бұрын
Huyo jaamaa noma sana
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂...Watu wanaokataa habari hii sukuma ndani...Daa...Mwanry ni comedian hasa...Huyu mzee ukianza kumsikiliza...uwe na MBs nyingi...ili uangue kicheko..ana point nzuri sana ..lakini huku unaendelea kuvunjwa mbavu
@janethpamela89074 жыл бұрын
Nampenda uyu mzee jamn
@salmaathuman91564 жыл бұрын
Safi sana ccm oyeee💪
@rwandaafrika61734 жыл бұрын
Mzee unasema ukweli kabisaa 100%
@raymondmsuya71274 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Mzee nakubali Sana asee
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Pinda baba angu nakukubali sana
@masele69164 жыл бұрын
Mh. Magufuli tuludushie kiongozi wetu TABORA tunamwitaj bado
@mudhihirumikidadi60662 жыл бұрын
Huyu ana msimamo ccm mpeni uraisi huyumzee mabo yawe safi
@mussabulugu63194 жыл бұрын
Engnia soma hiyooooooooo
@evansngolly18784 жыл бұрын
Mwanri ameongea kistaarabu sana.
@zuberyvijeru3636 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mfano mzuri sana
@brianmekere3254 жыл бұрын
Huyu mwamba ananifurahishaga Sana Yani dah sijui kwann aliacha ukuu wa mkoa tabora
@stanleyfocas82504 жыл бұрын
Toronto naitamani
@ayubumoha63134 жыл бұрын
Mzee magu mpe kazi huyu baba anatambua wajibu wa kazi
Hahahahaha walio kataa habari hizi sukuma ndani hahahaha haki mbavu zangu sio kwa ucheshi tuu hata kazi yako tunaikumbuka
@samwellaurence70354 жыл бұрын
Watu wanaokataa habari hii SUKUMA NDANI... hahahahaha
@jonathannzagamba52534 жыл бұрын
Hy jamaa mwambaaaaa😀😀😀
@taswiramedia4 жыл бұрын
HII NDIO FILM BORA YA KISWAHILI 2020 kzbin.info/www/bejne/jYSQaYatjryglac
@ndimesady74674 жыл бұрын
Sukuma ndani
@mossesmuumbakhan76174 жыл бұрын
Angepewa mkoa wa arusha tena ingekuwaje ?
@nyatichegenya36454 жыл бұрын
Hi
@olaislukumay22084 жыл бұрын
Huyu mzee anafaa sana kuwa muhubiri
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Mimi natoka wilaha ya Siha, kiukweli Agyrye mwandi alivyokuwa mbunge wa siha amefanya mambo makubwa sana jimboni kwetu,
@mnegaamina60854 жыл бұрын
Chadema hawana macho ndiyo maana hawaoni kazi na miradi ya jpm ccm hoyeè
@alexanderpeter94224 жыл бұрын
Soma hiyooooo
@chongemarwa58344 жыл бұрын
Oyooooo oyoooo sukuma ndani
@victorkivuyo61264 жыл бұрын
SOMA KWENYE KARASIII, MWANDRI BWANA😁😁😁😁😁MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@selegioelias90764 жыл бұрын
Rais namuomba akurudishie ukuuwa mkoa tumeku misssss
@sospetermigera6854 жыл бұрын
Mm Niko dar lkn huyu Mimi ni mkuu wa mkoa wangu hata kama hajawahi kuwa ktk mkoa nilio,jamani mpeleke kwetu kule mara,JPM huyu alitakiwa awe campaign manager wake ,keep on mwaniri
@franksylivestar73444 жыл бұрын
Huyu afungue kanisa naona anafaa kuhubiri
@veromwasamila95814 жыл бұрын
Tabora tunakukumbuka umetuachia Toronto...😄😄wakati ukiwa mkuu wa mkoa nilisahau kuwa tbr Kuna mbunge saiz umeondoka ndio nashangaa kumbe Kuna mbunge hapa
@jamesakhabuhaya61944 жыл бұрын
Songa mbele wnaokata habadi hii sukuma ndani
@ummuidris30294 жыл бұрын
Tuko pamoja baba
@anordallen36854 жыл бұрын
Aah huyu mze hawezi kusahaulika
@mossesmuumbakhan76174 жыл бұрын
Kule matejo A na B arusha wmanri angepaweka sawa
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Nitakumisije wasipokuchagua ujipenyeze tu mwenyewe