Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa
@edsonmunuo71125 жыл бұрын
sure ananitoa stress saana mheshimiwa
@rehmadamian80204 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha
@d.a.t33834 жыл бұрын
Umesahau machooo yko wapi
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
Dutch tz
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@efelimwambije7085 жыл бұрын
Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu
@allenmrema29195 жыл бұрын
dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI
@faidamasegenghe33794 жыл бұрын
Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake
@abumusabmusab37714 жыл бұрын
Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like
@heraldloshi18643 жыл бұрын
😂😂😂
@bilaliadam60159 ай бұрын
Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry
@princemujuni98035 жыл бұрын
Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.
@emmanuelmganga62482 жыл бұрын
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
@peterkingili53055 жыл бұрын
Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote
@haggaichinyingi9754 жыл бұрын
I always sweat when I listen to this guy mwanri
@annaniasbyarugaba57884 жыл бұрын
Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu
@bahattumainitishasana47684 жыл бұрын
Nice
@dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын
msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!
@charlesmushi23055 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂
@amarido125 жыл бұрын
Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂
@agastynelucacmshoro15195 жыл бұрын
hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur
@imeldabamba37794 жыл бұрын
😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido
@serianjamal82544 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka mpaka hoi
@evaristerelias73735 жыл бұрын
Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas
@mtungifrance42285 жыл бұрын
Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!
@mosahemagarya48075 жыл бұрын
Mtungi France
@robsonalen40115 жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@davidmkwizu254 жыл бұрын
Aaaah kabisa mzazi..
@subiradalabu66164 жыл бұрын
atariiii😀😀😀
@omarymamaa75954 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana
@peterpain55945 жыл бұрын
Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like
@husseinzaidi7885 жыл бұрын
kabisa
@d.a.t33834 жыл бұрын
Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of
@reganngoo85715 жыл бұрын
Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani
@simbavevo73185 жыл бұрын
Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali
@ismailmashimba34705 жыл бұрын
Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora
Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie, Tunataka watu wa Mkoa
@brayo0015 жыл бұрын
Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie
@rubondopharmacy5 жыл бұрын
Lipieni tu tutawapa
@freddymello32275 жыл бұрын
brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!
@justinwakudat67925 жыл бұрын
Mchukuen tu hamna shida
@fidelistitus57755 жыл бұрын
Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako! Ni ushauri tu!
@charlesboniphace23435 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet
@fidelistitus57755 жыл бұрын
@@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu
@yusuphsimon81515 жыл бұрын
Anhaaa we jamaaaa
@d.a.t33834 жыл бұрын
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
@poulsaid39154 жыл бұрын
Hahahahahah
@charlesryoba74995 жыл бұрын
Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama