Ambae anamkubali. Rc mwanri Adondoshe like na comment yake
@averinamarco58085 жыл бұрын
Hebu sema shida inaanzia wapi kulike jamani😂😂😂😂
@harunamroboto58584 жыл бұрын
wanangu wa Tabora gonga like kwa RC wetu
@bensonkesi14895 жыл бұрын
Jamani mm ni mkenya ila n@penda sana kumfuatilia huyu mheshimiwa nimetamani angekua governer wa count yetu ningefurai sana
@wazirigodlisten29085 жыл бұрын
mkuu wakupe nafasi ya kuwafanyia refresher training rc wengine
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Nimekuelewa safi
@rajmkonje71495 жыл бұрын
Hebu sema shida inaanzia wapi 😁😁😁
@cameroonsekeye10135 жыл бұрын
hakika anayeshastahili sifa apewe unastahili kuwa kiongozi wa kuigwa mungu akujarie afya njema na hekima zaid
@nsiakim54985 жыл бұрын
Safi I like u mbe
@michaelmrosso21065 жыл бұрын
Huyo ni comred jembe mwalimu hyo kama hujaelewa kwel makusud
@abuuqaasim48155 жыл бұрын
Uongozi ni kukaa na watu vizuri hongera sana mkuu wa mkoa unajua kukaa na wananchi unalugha nzuri na mfumo mzuri wa uongozi
@serianjamal82544 жыл бұрын
Mkuu mi nakukubali sana yaani kila siku nikirudi kazini naangalia leo umefanya nini hongera sana niko Bedford Bedfordshire England
@ramadhanifelix72855 жыл бұрын
Namkubar sana uyu mkuu..anajua kaz sana...kenya bodaboda lazma uwe na bima
@jumambalashi30245 жыл бұрын
Makusud km hujaelewa.
@teachingtruthmissionafrica99985 жыл бұрын
Huyu mzee angekuwa mkuu wa mbeya ningehudhulia vikao vyake vyote
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Huuuuuuuuu mbavu zangu tena anzie tukuyu
@majosamalundi40165 жыл бұрын
Ingekuwa kiwira ingependeza
@jackrinaman75215 жыл бұрын
@@majosamalundi4016 hiv kiwira nakatumba .na mwambegele wap wanaongoza kwa mauwaji
@tumainbeatus32825 жыл бұрын
amen kabisaa yan
@dicksonsheja93765 жыл бұрын
Sambaya ndo angekuja MBEYA DC wa Hai
@augustinokileo70765 жыл бұрын
Hatari fire mr mwandy Mungu akubariki sanaa uko vizur
@jullyregy30575 жыл бұрын
Na mzula wake kichwan na raincoat hana presha asa alikwa ww hata kwenye birthday utavyojipanga hahahaaaa ni makusudi nyoosha mkono juu kama unabisha hahahaaa ticktaka kama Mohaned nan vile......hahahaaa nahamia mkoan kwako kiongozi
@mcmpomaonlinetv34835 жыл бұрын
jully regy saf
@nicholausmakundi26635 жыл бұрын
Me naona Ukuu wa Mkoa wa Dar es salaam unamfaa kabisa.
@mathazakayo2885 жыл бұрын
saf sana mkuu wetu
@stanleysarronga35015 жыл бұрын
Itabidi akimaliza aje kuwa mkuu wa mkoa wa dar es salam
@seifdisail30075 жыл бұрын
Me mwenyewe napenda angekuja dar aisee....
@maujanjatv24h415 жыл бұрын
Atuletee mvua za tabora na kaupepo kake😂😂
@deojohn57795 жыл бұрын
Paul makond mtapeleka wapi
@saidyusuph41295 жыл бұрын
Mavazi yake tu! Wala hana gharama
@jacksonjastinmpongo9445 жыл бұрын
Said Yusuph 😂😂😂😂
@harounheri67025 жыл бұрын
Hana mbwembwe mzee wa watu sijui tusuti walaa yoyote anajivalia
@asteriambwei955 жыл бұрын
Hivi hao wakuu wa mikoa wako likizo au maana wamwige huyu agrey bc hawaoni aibu mwingine chapa kazi ni ali appy wa iringa nadhani yuko vinzuri ila tungepata wakuu kama mkuu wa tabora hongera sana yaani naangaliaga you tube nikimtafuta mkuu wa mkoa tabora
@evelynebwire76843 жыл бұрын
@@asteriambwei95 hata wa kwetu Geita yupo vizuri
@methodmahona35465 жыл бұрын
Mh.ubarikiwe 🌎👊🙏
@sofiachilunzo92684 жыл бұрын
Makusudi makusudi 😁😁😁
@uzaohalisi58114 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa si bure.kwa vyote anavyofanya huyu kuna sehemu mheshimiwa anamandalia,,kama unakubaliana na mimi gonga like hapaaaah
@charlesnyembeke69075 жыл бұрын
Daaah!! Uyu mkuu angekua dar mbon tungenyoka
@salmaelhinai8335 жыл бұрын
Good work mkuu wa mkoa
@abellucas73925 жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wa kichaga✊✊
@lazarohonest31205 жыл бұрын
mkuu wew n shida unapiga kazi kama kijana bigup
@vicamarketingelectronics55345 жыл бұрын
This guy is very wise
@komboomar82755 жыл бұрын
Yaani namuelewa kinyama huyu kamanda.
@mathazakayo2885 жыл бұрын
namkubal sana mkuuu huyu hakika yuko sawa
@alcadkasanu6665 жыл бұрын
hatarii sana vizurii rc
@musamahenge81695 жыл бұрын
Daaah aise wakuu zetu wa mikoa wote wako fire sana
@phabianmelitha81984 жыл бұрын
Kama umependa koti la mkuu wa Mkoa, tujuane hapa...
@phabianmelitha81984 жыл бұрын
Uko vizuri mzee
@elisanteshedrack20185 жыл бұрын
Mkuu wa mikoa yote tz
@oscarmateimatei59205 жыл бұрын
jaman angekuja na kwetu uku awa ndo wakuu wanaotakiwa
@mfalmegideon39875 жыл бұрын
Muongo,Muongoze 😆
@anselemimichael54534 жыл бұрын
nice mkuu,God bless u mkuu wng
@arnoldnicholaus3835 Жыл бұрын
Yuko na busara sana, I want him on my team.
@patrickpaschalmanumbu11455 жыл бұрын
Makusudi makusudi ....makusudi @#🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪👏👏
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Mzeee kala ngei unajua kabisa km mzee wa kazi
@rajabngunga95304 жыл бұрын
Kama umesikia utapigwa pembe weka like yako hap
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Natamani sana huyu mzee angekuja hapa dar (bongo) pangenyooka makonda naona analeta ushamba tu hapa bongo
@brunompolle14045 жыл бұрын
Usipo mwelewa huyu kafie mbele
@musasiame80415 жыл бұрын
😀
@miriamkarata74955 жыл бұрын
Hahahaaa kweli
@ombenimshana91625 жыл бұрын
Mkuuu upo vizuri yani wewe ni kiongozi wa kuigwa
@jafarsalum86565 жыл бұрын
mzee wetu Leo kapiga mzura na overall makusudiii
@frenklubago57485 жыл бұрын
Yupo kikazi hana MDA na masuti good
@kuryaphotography88384 жыл бұрын
Hebu sema tunaachana👏👏👏
@estamelejomah5725 жыл бұрын
kweli banah tabora oyeeee
@thomaschambala14755 жыл бұрын
Mzee simple anavaaa simple anavutiaaa
@teddyklex66185 жыл бұрын
Thomas Chambala naona kofia imekuvutia kama wale chalii wa R
@thomaschambala14755 жыл бұрын
@@teddyklex6618 hahahaha atareee
@khatibalamin4015 жыл бұрын
Anaongea na waendesha baskeri 😂😂😂
@hermankoba49705 жыл бұрын
Mwenzenu mm nataman angekuja kuwa mkuu wa mkoa wa kibaha pwani
@annamsemwa19465 жыл бұрын
Haahaaa.makusudiii!makusudiii. Kuvaa mzura na raincoat makusudiii. Unanifurahisha sana mzee MUNGU AKUPE MIAKA ELF
@mrcan215 жыл бұрын
Jamani mimi nitasema liwalooo na liweeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂
@miriamkarata74955 жыл бұрын
Mungu akutunze mheshimiwa,tunaelimika huku tunatoa stress
@samwelhechei85375 жыл бұрын
Hongera Sana kiongozi
@sheikhaalmandhari1255 жыл бұрын
Nakupenda sana mkuu wangu wa tabora
@emanuelmsaky80745 жыл бұрын
soma hiyo nasema soma hiyo good job watu wanaelewa viongozi wenye busara namna hii
@michaelrashku8675 жыл бұрын
Namshauri aliy api ajifunze hekima kwa huyu Mzee
@jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын
si mfatiliaji wa mambo ya siasa ila wewe nakukubali sana big up
@joycesanka11875 жыл бұрын
H
@rajmkonje71495 жыл бұрын
Kata pembe kata pembe. kata. Pembe
@nyamweririchard59454 жыл бұрын
Mh Magufuri tunaomba umwamishe Mh Aggrey Mwanri aje mwanza hata kwa miaka miwili tu,arekebishe changamoto za mwanza,ni mmoja ya wakuu wa mikoa wanaojua majukum yao,na sio kukaa maofisin tu.
@zebrongondwe5 жыл бұрын
SUKUMA NDANII
@justusgration86954 жыл бұрын
Big up my daddy RC TABORA
@Thuon_2 жыл бұрын
Asiekuwa na bima, *sukuma* *ndani*
@gaspergwanchele4 жыл бұрын
5:15 👈click hyoo
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Yn nakupendaga yn ikitoka gigy unafatia ww
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Mmmmmmmh ooooh sawa:sawa kabisa nimecheka hii mwongo muongozo 😂😂😂😂😂😂😂😂😁ilo koti nimecheka balaaaa
@manjimfungo37895 жыл бұрын
Natamani siku moja nikushike mkono tu ndio ndoto yangu unajua sana mheshimiwa mwanri
@ramadhansururu89885 жыл бұрын
Manji Mfungo Mimi kofia tyuu
@youngdady79015 жыл бұрын
Asiekua na bima sukumaaa ndaniiii😂😂😂
@teddyklex66185 жыл бұрын
makusudi makusudi?👊👊
@moseswanjara34085 жыл бұрын
Mh makusudimakusidi iv aliwahi kua mwalimu maana huyo akikufundisha ata kama ubongo umelala lazima uamke kweli ww nikiongozi wakuigwa unajua kukaa na jamii
@evamlay89975 жыл бұрын
Hili ilicha linaakili mpaka zimemwajika una akili nyingi sana mungu nakuomba mpe huyu baba miaka 1000
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Eva Mlay Amen oooh
@raynellyaugustino32375 жыл бұрын
Anafaa kua Waziri wa Sekta flanii
@yohanamuumbe46285 жыл бұрын
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Tabora, na huku Dar inatakiwa iwe hivyo ndugu zetu wa bodaboda na bajaji hawana ustarabu wa kusima sehem sehem salama wao ni popote kituo
@youngdady79015 жыл бұрын
OK sawa sawa kabisaaaa😂😂😂
@safaridoni66904 жыл бұрын
Mimi natamani awe rais wa2026 namkubari xana
@pelesbuchanyi48555 жыл бұрын
hizi znaitwa harakati we twende tu hahahahahah Huwa nakuelewa sanaa
@abbyjma73555 жыл бұрын
Ndingi nakuelewa saana
@manganamanganamanganamanga73135 жыл бұрын
Uko sawa mkuu
@pikipiki_market5 жыл бұрын
Nakubali
@raynellyaugustino32375 жыл бұрын
Hilo Koti langu kabisaa
@sabatomjungu97275 жыл бұрын
😆😀😀😆🤣😃😂😅😃Makusudi makusudi ???.. kuto vaa herment ?? Kupikia mshikaki ?? Kuingia barabaran ?? jibu kwa mtindo wa kitendawil
@issahmsumi53084 жыл бұрын
Sukuma ndani
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Wakuu wa wilaya hawakusaidie mbona hatuwaoni kufanyakazi kama weye ? Wapo lakini?
@chrisdonline67485 жыл бұрын
Kimhemhe hahaha
@johnodongo1104 жыл бұрын
inafurahisha sana
@abuusufian65065 жыл бұрын
Makusudiiiiii
@amanimnyanga20025 жыл бұрын
Shikamoo bb na kuk ba sana
@davidkatigulajr22125 жыл бұрын
Bos yuko vizur aisee
@victorreds93255 жыл бұрын
Kuna mzee hapo ana mijidevu sijui imemshinda kunyoa!!
@anordallen36854 жыл бұрын
Yan mm had sasa hv naweka mb kwa ajil ya kumwangalia huyu rc
@kambonamajaliwa46775 жыл бұрын
Hivi waomba like huwa mzazifanyia kazi gani? tabia hii ni ya kiboya
@Riis_media5 жыл бұрын
*DOCTOR WA VICHAA ATOA BASTORA KWA MGONJWA CHEKI HAPA👇* kzbin.info/www/bejne/r6ndoJ-Ibst5nKM *SUBSCRIBE CHINI YA VIDEO YAKO*
@adamnguvu10205 жыл бұрын
*Makusudi makusudi makusudi kuowa wake wawili makusudi kuowa mke mmoja makusudi kunyosha mkono makusudi*
@anoldmatole83465 жыл бұрын
Gusa link hapo juu ufulahi
@sulleysonsulley41604 жыл бұрын
Huyu Mzee angekuwa mkuu wa mkoa wa DSM
@leonardp.bundala69895 жыл бұрын
Si muda tunafika kwenye Nchi ya Ahadi, Ee Mugu wape afya njema Viongozi wetu. Tanzania itafika.
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
Simu ya mh 😂😂😂😂😂
@zainabumtubwi2635 жыл бұрын
Uyu Mzee kama kaishi Toronto maana Haya mavazi Ni mtihani.
@skjjsj18893 жыл бұрын
Niliona pembe zinaota kata pembe kata pembe Magufuri hakukosea kukuchagua mkuu wa mkoa tabora