Mwanzo Mwisho Historia ya HUSHPUPPI Tapeli na Tajiri Aliyeitikisa MAREKANI/ Hiki Ndicho KILIMPONZA

  Рет қаралды 62,141

Charles Kombe

Charles Kombe

Күн бұрын

Пікірлер: 92
@athumaniomary1245
@athumaniomary1245 7 ай бұрын
Umechambua vzuri sana kaka...Safi sana
@mondigugo4392
@mondigugo4392 7 ай бұрын
Makn Sana Ila huyu mwana nakubali Sana na nahamin atatoka tu
@mustafampande173
@mustafampande173 7 ай бұрын
katika watu waliomuelezea huyu mwamba,wewe umejua kumuelezea yaani mtu unamalza bila swali loloteee,umetisha kwenye hili mzee 🙌🙌
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
shukran sana brother. Usiache kusubscribe na kushare kwa makala nyingine kama Hizi
@KabebeMazambi-o6b
@KabebeMazambi-o6b 7 ай бұрын
Ni mwizi waakili sana hamwagi damu
@patriciachege2572
@patriciachege2572 7 ай бұрын
Huyo dio mwanaume I say❤
@gilbertmateshi
@gilbertmateshi 7 ай бұрын
Ounaone kanamsski i😢
@patriciachege2572
@patriciachege2572 7 ай бұрын
How I wish I knew him😞
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 7 ай бұрын
Yote maisha lakini kila ujanja una mwisho mzuri au mbaya ndio maisha!
@georgekatunzi5860
@georgekatunzi5860 7 ай бұрын
Nimependa san Ulivoelezea Wewe Ni Mkalii sana
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Shukran sana. Usisahau kusubscribe kwa makala kama hizi
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 7 ай бұрын
Huo mchongo hata mm ulinikut ila Sasa hawakuniweza......mungu alinijalia nikaluka
@SaidMweta
@SaidMweta 7 ай бұрын
Tuambie vijana kufanya kazi kwa haki,ndio utajiri unao dumu.
@SafariMsafi-um1pz
@SafariMsafi-um1pz 7 ай бұрын
Mzimu wake umemwingia chif godlove
@reubenhizza
@reubenhizza 2 ай бұрын
Huyo hamna kitu anajua zaidi ya kukata vidole tuu
@reubenhizza
@reubenhizza 2 ай бұрын
Huyo hamna kitu anajua zaidi ya kukata vidole tuu
@VumiMoise
@VumiMoise 7 ай бұрын
Vip tena
@reubenhizza
@reubenhizza 2 ай бұрын
Sema miaka 11 sio mbali km aliwekeza vzr.
@FokasiRamadhanifokasi-yq3yz
@FokasiRamadhanifokasi-yq3yz 2 ай бұрын
Mm yamenikuta lakin
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 7 ай бұрын
naona naonaa mzeee noma saanaaa
@kassiannyamba805
@kassiannyamba805 6 ай бұрын
Mwanaume wa kazi
@MgangaDaud
@MgangaDaud 7 ай бұрын
Na mim natamani xn kuwa level za uyo Jamaa ili cku moja niyanyooshe mafisadi ya TZ yanayoiba pesa zetu na rasilimali za watanzania...mmammaaeeee!!
@donvanpierre4369
@donvanpierre4369 7 ай бұрын
nimejifunza kuwa zile siku 40 za mwizi ziaweza kufika mda wowote pia tushike amri za mungu
@shamuleiza7212
@shamuleiza7212 7 ай бұрын
Nime pata funzo kwa hili 🙏
@RubenIbraim
@RubenIbraim Ай бұрын
Huyu jamaa akitoka Bado ni tajiri
@amanimollel6196
@amanimollel6196 6 ай бұрын
Atari kweli
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 7 ай бұрын
He is very intelligent!
@myself4128
@myself4128 7 ай бұрын
he is actually the opposite! Very stupid u dont have a proper source of income or legit business yet ur living a flamboyant life style flashing online very dumb
@DesmondMwashiuya
@DesmondMwashiuya Ай бұрын
Soon anarudi uraiani.
@JeremiahYohana-br2bd
@JeremiahYohana-br2bd 6 ай бұрын
Hizo nipropa ganda alizotengenezewa ili kuangusha nguvu ya muafrika. Mwenye akiri anaelewa.
@KabebeMazambi-o6b
@KabebeMazambi-o6b 7 ай бұрын
Mungu amlaani
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 7 ай бұрын
Amsameee
@AbubacarCade
@AbubacarCade 6 ай бұрын
NAtamani Kia kama uyu jMa
@kayblousmpeta-xe7zo
@kayblousmpeta-xe7zo 7 ай бұрын
@annievibes8794
@annievibes8794 7 ай бұрын
Huyo Raymond alishanipata mimi kipindi cha miaka 10 nyuma wakati naishi Norway ana maneno matamu sana ya kulaghai mimi nilikuwa naongea naye mpaka kwenye cm na alifanikiwa kunitapeli dolla 1500 tena ilikuwa pesa yangu ya rent mbwa huyo afe tuu jela 😢😢ila mara ya pili alijaribu tena hapo ndiyo nilimshtukia tukamchezea deal mie rafiki yangu nilimtumia western union invoice ya uongo alipanick huyo na hapo ndiyo akaacha kuwasiliana na mimi😢
@TeamKRX
@TeamKRX 7 ай бұрын
Pole unaishi wapi sasa sisi bado tupo
@annievibes8794
@annievibes8794 7 ай бұрын
@@TeamKRX mie nimehama Norway last year mwezi wa 11
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 7 ай бұрын
Aseee polee mi pita Alisha nitapeli Bora wewe
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 7 ай бұрын
Achana nae huyo, hayo yalipita. Na adhabu alishapewa. (Bora haukuwa utapeli wa kumwaga damu ya Yesu😂😂😂)
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
🤣🤣
@GraceMakenga-zd1vn
@GraceMakenga-zd1vn 7 ай бұрын
Si bora ameponda raha za dunia ameish maisha mazuri hata akifa hakuna raha hajaonjaaa
@johasaeed391
@johasaeed391 7 ай бұрын
Sasa kifungo cha miaaka 11 sijuwi mbona anakaribia kumaliza😅😅😅😅
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Ай бұрын
Maisha yataenda Miaka itapita atatoka na kuendelea na maisha yake kama kawaida mi nilidhani Atafungwa Maisha.
@cimpleweston6327
@cimpleweston6327 7 ай бұрын
Usiache kujalibu jiamini una weza fanya bidii ondoa majigambo icho ndicho nilicho jifunza jamaa alifeli kidogo tu alipaswa awe na uwekezaji ambao ungekuwa kama kimvuli chake cha kujifichia
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Kabisa kabisa. Alifeli hapo tu. Anyway. Shuktan kwa kufuatilia na usiache kusubscribe
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mwaka jana kidogo nipigwe nakitu kizito😂😂😂😂😂😂 dah wanajuwa sana yani wanakuonesha vitu vya thamani yama biliyoni nawewe unaingia kichwa kichwa😂😂😂😂😂😂😂
@davidfredrick7946
@davidfredrick7946 6 ай бұрын
Katumia akili sana kwenye utapeli wake..sema kilicho mualibia ni anasa nyingi na anajua michongo yake si halali
@ottomap-u2i
@ottomap-u2i 2 ай бұрын
ukiwa na pesa usijitangaze
@Rkdigtech
@Rkdigtech 7 ай бұрын
🎉🎉
@benjaminesekon8074
@benjaminesekon8074 7 ай бұрын
Don't show off after success.
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
100%! Thanks for watching. Please subscribe and share for more content
@luganosimon4111
@luganosimon4111 7 ай бұрын
Huyo peponi anaweza kwenda kuliko kwa kuwa pesa tumezikuta na hakuna tone la damu inemwagika.Wala rushwa na wanafiki ndio viumbe hatari sana kuliko Chui poring.Ni wangapi wanaagiza dawa feki na kuua watu wasio na hatia? Ni heri anayeweka sumu kwenye kikombe maana ataua mmoja kuliko anayeweka Simu kwenye chanzo cha maji ama tenki
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 7 ай бұрын
Angerudi nyumbani tu yasingemkuta
@ZayZaham
@ZayZaham 6 ай бұрын
Hawa wamizigo sim, laptop wapo kwengi tuwe makini to
@rogatusmeleki1660
@rogatusmeleki1660 2 ай бұрын
Sanaa hii ilimkuta jamaa angu 2021😢
@luckymwakitalu-ob3ds
@luckymwakitalu-ob3ds 7 ай бұрын
Nmejifunza kitu jamaa alifeli kitu kidogo sana akil alikuwa nayo lkn alishindwa kuweka biashara ya kivuli so stupid...😂
@salehalmamry5765
@salehalmamry5765 7 ай бұрын
Daima Mali ya dhuluma inamwisho wake
@jenniferkalinga736
@jenniferkalinga736 6 ай бұрын
Miaka michache sana hiyo atatumikia kifungo chake.atarudi tena sema atakuwa amenifunza.
@dismaskombe5092
@dismaskombe5092 7 ай бұрын
🎉🎉🎉
@alimzee
@alimzee 7 ай бұрын
😢😢😢
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 7 ай бұрын
Aliuza nafsi yake kwa shetani mwisho ni majuto na kilio
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 7 ай бұрын
Hawa ndo wanaume wanao jielewa mwanamme tafuta pesa kwa njia yeyote bhana heshima ya kidume pesa
@RahabuShukrani
@RahabuShukrani 7 ай бұрын
Miakaa 11 sio mingi kama jamaa bado ana knowledge kichwani
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Kabisa. Ahsante kwa kufuatilia, usiache pia kusubscribe na kushare
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 7 ай бұрын
Yote maisha tu
@osoromageta3381
@osoromageta3381 7 ай бұрын
Na bado aliweza kutapeli bilioni 95 akiwa hapo jela
@JoshuaLutindi
@JoshuaLutindi 6 ай бұрын
Yupo vyema hajaua cha mjinga huliwa na mwelevu
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed 4 ай бұрын
Waswahili wasema siku za mwizi ni arobain inaeza ikawa siku 40 au miezi 40 au miaka 40 lakini zitafika tu naomba tutafute pesa za halali kwa jasho letu
@samito001
@samito001 7 ай бұрын
Maskini akipata mataco hulia bwata😂
@malkavoice2570
@malkavoice2570 7 ай бұрын
Uhalifu upo na wenye pesa za kunjunga hawajulikani kama JK bongo
@valenakomba7686
@valenakomba7686 7 ай бұрын
Mnona hii ni ya siku nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Imepitwa na wakati. 😂😂😂😂😂😂😂😂
@erastoenock
@erastoenock 7 ай бұрын
Natamani ningekuwa ni miongoni mwa hao wanafunzi 12
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 7 ай бұрын
Hata mimi
@philemon-mz2fv
@philemon-mz2fv 7 ай бұрын
Nimejfunza kutafuta pesa kwa njia yoyote ili kutmza ndoto
@yusuphraphael3422
@yusuphraphael3422 7 ай бұрын
Imeandikwa wanaume tutakula kwa jasho so tusichague kazi huyu ni mwamba kabisa katuwakilisha vyema wanaume .
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
👊👍✌️.
@ezramnyilinga3735
@ezramnyilinga3735 7 ай бұрын
Tuko pamoja tokea pwani bagamoyo mapinga
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Asante sana kwa kufuatilia. Usisahau kusubscribe na kushare na wengine.🥰
@YusufHamza-h3z
@YusufHamza-h3z 7 ай бұрын
mimi yalinikuta kuna msichana yy picha yake aliyonitumiya ni pilot nayupo ktk ndege alinidandaya yy anataka kunitumi alap moving camera vitu kibao njzawadi akanitumia picha ya xada yake yupo uholand ni sister nimtumie dalla 1000 ilianitumiye ndipo nilipo mtukana 2 zawadi gani mtualipiye kwanza hizo doll national benk
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Asante kwa kfuatilia na kwa ku share kisa chako. Hongera kwa kua hukutapeliwa. Usiache kusubscribe na kushare video hii ili uendelee kuwa karibu na channel hii❤
@MariamHamad-lr3xc
@MariamHamad-lr3xc 7 ай бұрын
Inatoa funzo dhalim hadumu akidumu hudumuka yaani hupata tabu
@VumiMoise
@VumiMoise 7 ай бұрын
Mimi ni wa kwaza na wa pili
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Hongera na asante sana kwa kufuatilia. Usiache kusubscribe kwa makala nyingine kama Hizi
@concareenpius
@concareenpius 7 ай бұрын
Mwamba uyu apa😂
@usher_bambi94
@usher_bambi94 7 ай бұрын
😂😂😂😂Ilinitokeaga 2017 ilikuwa mzigo umekwama Kenya nilitakiwa nilipew dollars 300
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
Hatari kweli kweli. Ulilipa ama uliweza kimbia mtego?
@usher_bambi94
@usher_bambi94 7 ай бұрын
@@charleskombe ilibakia kidunchu tu Maan Kuna cousin angu ana mke Kenya kwaiy aliwapigia smu wamuelekeze mkew akafate huko ofisn afu hela pia atawalipa huko wakaturamba block😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Bila hvyo ningelia vibaya sana
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 7 ай бұрын
Mimi niliambiwa nitume 150€ nitapata 50000€ 😂😂😂😂EEeeee
@charleskombe
@charleskombe 7 ай бұрын
😁😁😁 pole sana. Kama hukutuma Hongera
@alexchamy2289
@alexchamy2289 7 ай бұрын
Bado yule jamaa anayeita wengine maskini mbwa taka taka. Huenda ndiye mmiliki wa kundi la hiyo pesa tuma kwenye namba hii.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,3 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Scared straight: The brutal reality of life in prison | 60 Minutes Australia
15:18
Why Economists Hate Trump's Tariff Plan | WSJ
8:18
The Wall Street Journal
Рет қаралды 374 М.
Full fart i rapportfloden!
19:01
EFN Ekonomikanalen
Рет қаралды 2,2 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН