Makn Sana Ila huyu mwana nakubali Sana na nahamin atatoka tu
@mustafampande1737 ай бұрын
katika watu waliomuelezea huyu mwamba,wewe umejua kumuelezea yaani mtu unamalza bila swali loloteee,umetisha kwenye hili mzee 🙌🙌
@charleskombe7 ай бұрын
shukran sana brother. Usiache kusubscribe na kushare kwa makala nyingine kama Hizi
@KabebeMazambi-o6b7 ай бұрын
Ni mwizi waakili sana hamwagi damu
@patriciachege25727 ай бұрын
Huyo dio mwanaume I say❤
@gilbertmateshi7 ай бұрын
Ounaone kanamsski i😢
@patriciachege25727 ай бұрын
How I wish I knew him😞
@elibarikimollel71497 ай бұрын
Yote maisha lakini kila ujanja una mwisho mzuri au mbaya ndio maisha!
@georgekatunzi58607 ай бұрын
Nimependa san Ulivoelezea Wewe Ni Mkalii sana
@charleskombe7 ай бұрын
Shukran sana. Usisahau kusubscribe kwa makala kama hizi
@athumaniamani99057 ай бұрын
Huo mchongo hata mm ulinikut ila Sasa hawakuniweza......mungu alinijalia nikaluka
@SaidMweta7 ай бұрын
Tuambie vijana kufanya kazi kwa haki,ndio utajiri unao dumu.
@SafariMsafi-um1pz7 ай бұрын
Mzimu wake umemwingia chif godlove
@reubenhizza2 ай бұрын
Huyo hamna kitu anajua zaidi ya kukata vidole tuu
@reubenhizza2 ай бұрын
Huyo hamna kitu anajua zaidi ya kukata vidole tuu
@VumiMoise7 ай бұрын
Vip tena
@reubenhizza2 ай бұрын
Sema miaka 11 sio mbali km aliwekeza vzr.
@FokasiRamadhanifokasi-yq3yz2 ай бұрын
Mm yamenikuta lakin
@maticsleokas17857 ай бұрын
naona naonaa mzeee noma saanaaa
@kassiannyamba8056 ай бұрын
Mwanaume wa kazi
@MgangaDaud7 ай бұрын
Na mim natamani xn kuwa level za uyo Jamaa ili cku moja niyanyooshe mafisadi ya TZ yanayoiba pesa zetu na rasilimali za watanzania...mmammaaeeee!!
@donvanpierre43697 ай бұрын
nimejifunza kuwa zile siku 40 za mwizi ziaweza kufika mda wowote pia tushike amri za mungu
@shamuleiza72127 ай бұрын
Nime pata funzo kwa hili 🙏
@RubenIbraimАй бұрын
Huyu jamaa akitoka Bado ni tajiri
@amanimollel61966 ай бұрын
Atari kweli
@godfreyobadiah78927 ай бұрын
He is very intelligent!
@myself41287 ай бұрын
he is actually the opposite! Very stupid u dont have a proper source of income or legit business yet ur living a flamboyant life style flashing online very dumb
@DesmondMwashiuyaАй бұрын
Soon anarudi uraiani.
@JeremiahYohana-br2bd6 ай бұрын
Hizo nipropa ganda alizotengenezewa ili kuangusha nguvu ya muafrika. Mwenye akiri anaelewa.
@KabebeMazambi-o6b7 ай бұрын
Mungu amlaani
@evelynemugeni23697 ай бұрын
Amsameee
@AbubacarCade6 ай бұрын
NAtamani Kia kama uyu jMa
@kayblousmpeta-xe7zo7 ай бұрын
❤
@annievibes87947 ай бұрын
Huyo Raymond alishanipata mimi kipindi cha miaka 10 nyuma wakati naishi Norway ana maneno matamu sana ya kulaghai mimi nilikuwa naongea naye mpaka kwenye cm na alifanikiwa kunitapeli dolla 1500 tena ilikuwa pesa yangu ya rent mbwa huyo afe tuu jela 😢😢ila mara ya pili alijaribu tena hapo ndiyo nilimshtukia tukamchezea deal mie rafiki yangu nilimtumia western union invoice ya uongo alipanick huyo na hapo ndiyo akaacha kuwasiliana na mimi😢
@TeamKRX7 ай бұрын
Pole unaishi wapi sasa sisi bado tupo
@annievibes87947 ай бұрын
@@TeamKRX mie nimehama Norway last year mwezi wa 11
@FrankMushi-cs5js7 ай бұрын
Aseee polee mi pita Alisha nitapeli Bora wewe
@HamzaAkilimali7 ай бұрын
Achana nae huyo, hayo yalipita. Na adhabu alishapewa. (Bora haukuwa utapeli wa kumwaga damu ya Yesu😂😂😂)
@charleskombe7 ай бұрын
🤣🤣
@GraceMakenga-zd1vn7 ай бұрын
Si bora ameponda raha za dunia ameish maisha mazuri hata akifa hakuna raha hajaonjaaa
@johasaeed3917 ай бұрын
Sasa kifungo cha miaaka 11 sijuwi mbona anakaribia kumaliza😅😅😅😅
@nyauclassictv805Ай бұрын
Maisha yataenda Miaka itapita atatoka na kuendelea na maisha yake kama kawaida mi nilidhani Atafungwa Maisha.
@cimpleweston63277 ай бұрын
Usiache kujalibu jiamini una weza fanya bidii ondoa majigambo icho ndicho nilicho jifunza jamaa alifeli kidogo tu alipaswa awe na uwekezaji ambao ungekuwa kama kimvuli chake cha kujifichia
@charleskombe7 ай бұрын
Kabisa kabisa. Alifeli hapo tu. Anyway. Shuktan kwa kufuatilia na usiache kusubscribe
@lilianeerica33187 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mwaka jana kidogo nipigwe nakitu kizito😂😂😂😂😂😂 dah wanajuwa sana yani wanakuonesha vitu vya thamani yama biliyoni nawewe unaingia kichwa kichwa😂😂😂😂😂😂😂
@davidfredrick79466 ай бұрын
Katumia akili sana kwenye utapeli wake..sema kilicho mualibia ni anasa nyingi na anajua michongo yake si halali
@ottomap-u2i2 ай бұрын
ukiwa na pesa usijitangaze
@Rkdigtech7 ай бұрын
🎉🎉
@benjaminesekon80747 ай бұрын
Don't show off after success.
@charleskombe7 ай бұрын
100%! Thanks for watching. Please subscribe and share for more content
@luganosimon41117 ай бұрын
Huyo peponi anaweza kwenda kuliko kwa kuwa pesa tumezikuta na hakuna tone la damu inemwagika.Wala rushwa na wanafiki ndio viumbe hatari sana kuliko Chui poring.Ni wangapi wanaagiza dawa feki na kuua watu wasio na hatia? Ni heri anayeweka sumu kwenye kikombe maana ataua mmoja kuliko anayeweka Simu kwenye chanzo cha maji ama tenki
@evelynemugeni23697 ай бұрын
Angerudi nyumbani tu yasingemkuta
@ZayZaham6 ай бұрын
Hawa wamizigo sim, laptop wapo kwengi tuwe makini to
@rogatusmeleki16602 ай бұрын
Sanaa hii ilimkuta jamaa angu 2021😢
@luckymwakitalu-ob3ds7 ай бұрын
Nmejifunza kitu jamaa alifeli kitu kidogo sana akil alikuwa nayo lkn alishindwa kuweka biashara ya kivuli so stupid...😂
@salehalmamry57657 ай бұрын
Daima Mali ya dhuluma inamwisho wake
@jenniferkalinga7366 ай бұрын
Miaka michache sana hiyo atatumikia kifungo chake.atarudi tena sema atakuwa amenifunza.
@dismaskombe50927 ай бұрын
🎉🎉🎉
@alimzee7 ай бұрын
😢😢😢
@mercykariithi79197 ай бұрын
Aliuza nafsi yake kwa shetani mwisho ni majuto na kilio
@RabiaIddi-ci2uz7 ай бұрын
Hawa ndo wanaume wanao jielewa mwanamme tafuta pesa kwa njia yeyote bhana heshima ya kidume pesa
@RahabuShukrani7 ай бұрын
Miakaa 11 sio mingi kama jamaa bado ana knowledge kichwani
@charleskombe7 ай бұрын
Kabisa. Ahsante kwa kufuatilia, usiache pia kusubscribe na kushare
@ShangweSylus-nf6we7 ай бұрын
Yote maisha tu
@osoromageta33817 ай бұрын
Na bado aliweza kutapeli bilioni 95 akiwa hapo jela
@JoshuaLutindi6 ай бұрын
Yupo vyema hajaua cha mjinga huliwa na mwelevu
@alisaadmohammed4 ай бұрын
Waswahili wasema siku za mwizi ni arobain inaeza ikawa siku 40 au miezi 40 au miaka 40 lakini zitafika tu naomba tutafute pesa za halali kwa jasho letu
@samito0017 ай бұрын
Maskini akipata mataco hulia bwata😂
@malkavoice25707 ай бұрын
Uhalifu upo na wenye pesa za kunjunga hawajulikani kama JK bongo
@valenakomba76867 ай бұрын
Mnona hii ni ya siku nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Imepitwa na wakati. 😂😂😂😂😂😂😂😂
@erastoenock7 ай бұрын
Natamani ningekuwa ni miongoni mwa hao wanafunzi 12
@ziadasalimu17307 ай бұрын
Hata mimi
@philemon-mz2fv7 ай бұрын
Nimejfunza kutafuta pesa kwa njia yoyote ili kutmza ndoto
@yusuphraphael34227 ай бұрын
Imeandikwa wanaume tutakula kwa jasho so tusichague kazi huyu ni mwamba kabisa katuwakilisha vyema wanaume .
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👊👍✌️.
@ezramnyilinga37357 ай бұрын
Tuko pamoja tokea pwani bagamoyo mapinga
@charleskombe7 ай бұрын
Asante sana kwa kufuatilia. Usisahau kusubscribe na kushare na wengine.🥰
@YusufHamza-h3z7 ай бұрын
mimi yalinikuta kuna msichana yy picha yake aliyonitumiya ni pilot nayupo ktk ndege alinidandaya yy anataka kunitumi alap moving camera vitu kibao njzawadi akanitumia picha ya xada yake yupo uholand ni sister nimtumie dalla 1000 ilianitumiye ndipo nilipo mtukana 2 zawadi gani mtualipiye kwanza hizo doll national benk
@charleskombe7 ай бұрын
Asante kwa kfuatilia na kwa ku share kisa chako. Hongera kwa kua hukutapeliwa. Usiache kusubscribe na kushare video hii ili uendelee kuwa karibu na channel hii❤
@MariamHamad-lr3xc7 ай бұрын
Inatoa funzo dhalim hadumu akidumu hudumuka yaani hupata tabu
@VumiMoise7 ай бұрын
Mimi ni wa kwaza na wa pili
@charleskombe7 ай бұрын
Hongera na asante sana kwa kufuatilia. Usiache kusubscribe kwa makala nyingine kama Hizi
@concareenpius7 ай бұрын
Mwamba uyu apa😂
@usher_bambi947 ай бұрын
😂😂😂😂Ilinitokeaga 2017 ilikuwa mzigo umekwama Kenya nilitakiwa nilipew dollars 300
@charleskombe7 ай бұрын
Hatari kweli kweli. Ulilipa ama uliweza kimbia mtego?
@usher_bambi947 ай бұрын
@@charleskombe ilibakia kidunchu tu Maan Kuna cousin angu ana mke Kenya kwaiy aliwapigia smu wamuelekeze mkew akafate huko ofisn afu hela pia atawalipa huko wakaturamba block😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Bila hvyo ningelia vibaya sana