Ripoti ya CAG vipi? Tuendelee kuibiwa fedha zetu, na Mbunge atakayethubutu kuuliza anafukuzwa Bungeni? Wabunge wakishindwa kuwawakilisha wananchi, basi hatimaye wananchi watajiwakilisha.Mfano hai ni Kenya sasa hivi.
@SanziNzige3 ай бұрын
Tambeni na ujiha wenu mmemfukuza kiboko yenu mpina.wewe mnyirba hivi unashida gani.unasimama kabisa katika taifa kusema etitunakopa coz sis NI matajliri.watanzania huwa unawaonaje wewe .utajiriwako wewe NDO ulisemee taifa tajiri!ama kweli mnaselekari Malini. Ole wenu magufuli akiludi.minapata mpaka kichefu chefu na hotuba zako zozote.huna aibuwewe
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Viongozi wa Tanzania mną bahati kubwa kuongoza watanzania wapole,mpaka upole wawo mumewachukuwa kaa wajinga. Munafanya munavyotaka. Hii demokrasia ya kiwango cha juu ya kufukuza wabunge wanaotetea uchumi wa watanzania, ni demokrasia gani? Watanzania walio wengi wana shida kubwa kwa serikali kushindwa kupigana na mafisadi..
Rekebisheni kodi zimekuwa gandamizi kwa wafanyabiashara wataendelea kugoma kwa mtaindo huu
@abdirazakmadhar20003 ай бұрын
MADHARA INAYO SABABISHWA NA MGOMO NI KUBWA NANI HATARI KWA UCHUMI.EPUKENI MIGOMO KWANI UCHUMI WA DUNIA UPO VIBAYA CHONDE CHONDE MTAVUNA MTAKACHO PANDA.
@johnbundala75963 ай бұрын
Hili jamaa janja sana kiasi michezo yote linaijua na linajua kabisa kua watu wakireact tutakuja na hili kwa hyo mlikosea hapo tu na kwa Nini mpaka watu wagome ndo mseme mneona luck of consistence msifanye mchezo na maisha ya watu kabisaa.
@Cultureupdates-w5r3 ай бұрын
Hivi kazi ya bunge ni kutetea serikali au wananchi
@martinkisha63073 ай бұрын
Huyu waziri hajajua anachokifanya kweli
@juliusmlula16583 ай бұрын
Magari ya Estter yahojiwe yalipatikanaje .Haya mabasi ni mali ya nani,
@khadijaabdalla10113 ай бұрын
Mnajifunza nini kuhusu maandamano ya kenya
@Nedjadist3 ай бұрын
Huyu jamaa siwezi kumfahamu.
@HumphreykirutuKirutu3 ай бұрын
Huyu mpumbavu tu
@MwitaChacha-sx3po3 ай бұрын
Sikuelewi.
@saeedmbaraka39973 ай бұрын
Foolishness speech
@abdillahchikota43033 ай бұрын
Ila Kenya 🇰🇪 salute
@EagerKiwi-pw2oq3 ай бұрын
Mm binafsi nimekuelewa vizuri ,Toka umekuwa waziri leo ndiyo umefafanua vizuri sana hongera
@saeedmbaraka39973 ай бұрын
Mastermind
@michaelmlyuka60323 ай бұрын
Tunajivunia kukopa? Wakati Nchi yetu miaka 60 ya Uhuru! Wenzetu Vietnam, Singapore, China na lndia tulikuwa kundi moja kiuchumi lakini sasa wanatupa misaada na mikopo, sisi bado tunahangaika na misaada kutoka kwao kweli! Tumekwama wapi? Tujisahihishe
@aganolamotoeliya20273 ай бұрын
Unafanya mizaaa kwenye mambo serious.
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Haiwezakani kueshimika ,acha kuchukua mkopo,ongea na mawazili WA Feza WA East Africa Community ili mfungue Shilingi Moja au sarafu Moja ya East Africa Community Shilingi.
@ChristmasMaheri3 ай бұрын
Njia nzuri ya kuepuka migomo ni kuzisikiliza hoja za raia na kuzitolea majibu ya kweli.Sasa hivi kuna changamoto nyingi kuhusu fedha za umma. Hali ya maisha,kodi zimezidi.Matumizi ya utawala ni makubwa sana.Ufisadi haujapungua,ripoti ya CAG haijaleta nafuu kubwa kwa wananchi.n.k.
@dickisoniryoba39893 ай бұрын
Niaibu ..sana.. kama kila jambo linalohusu wanainchi nyie mnatuletea siasa.....kwauelewangu mgodo ..mi maona hamna lengo la kuwaskiliza wa tz ..???
@EmmanuelKilewo-cj3iv3 ай бұрын
Kichefuchefu
@josephmahando4933 ай бұрын
Kugongewa mrango juu ya madeni, ndo hayo MAISHA magumu tunayo pitia kupitia Kodi nyingi zinazo tuumiza , hivo hatakuja mzungu kutudai Ujuwe Hilo....
@godfredkimaro32923 ай бұрын
Serikali inajitetea pia wabunge wanatetea serikali badala ya kutetea wananchi hii ni hatar sana wananchi nikama hatuna watetez
@devangandhl22553 ай бұрын
Mheshimiwa city service inalipwa na watu wanaotunza hesabu na inalipwa kama mauzo ghafi kwa bidhaa hiyo hiyo Ni double taxation
@emmanuelmasele95853 ай бұрын
Acha uongo deni linatuhusu kwani Kodi zetu
@evelynmwaimu-vd9jo3 ай бұрын
Kichefuchefu
@petermogha70253 ай бұрын
Unamimba au
@kelvinsanga15173 ай бұрын
Tutaonana 2025 bola tuwape chadema
@emmanueljohn40183 ай бұрын
siasa ya bongo imekaa kidalali sana nchi ipo mikononi mwa madalali au wanasiasa?
@alexbujenja27503 ай бұрын
Watu wanagoma kufungua biashara na serikali inakosa mapato halafu etty Mi mtu iko silius kupiga makofi etty
@edsonnelson44643 ай бұрын
Ndiyo wabunge tulio nao
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Mpina tutakukumbuka
@joshuandabazaniye76423 ай бұрын
BARABARA YA MPANDA KWENDA KIGOMA NI MUHIMU
@saidmabanga3883 ай бұрын
Kuna usenge mkubwa sana kwenye kichwa ya uyuu jamaaa