Zuchu mshirikishe Mungu huyo si mume wako acha kujichanganya
@aminaomary55672 ай бұрын
Kweli kaka yangu mohamed 20❤❤❤
@weveeernest99112 ай бұрын
Kweli bhana napenda vibe za gigy.
@typohneprofiel5152 ай бұрын
Zuchu hakulazimishwa kudate na Mondi
@abudulahnkingwa50952 ай бұрын
na we mwijaku unakuwa kama shoga kaka utafilwa unatfuta pesa kwa stail iyo kaka Fanya kaz
@aishamzeehamissi6859Ай бұрын
Zuchu Acha utoto kila mtu anakula riziki yakee .hajaowa huyoo
@user-pq9qc1sz7b2 ай бұрын
Na hiyo ghorofa kila siku unaitaja.haikauki mdomoni kama mate.ulipukeni.watu wana maghorofa 100 hawasemi
@righitkileo2 ай бұрын
Ha.ha.ha.ha.mwijaku, haya boss
@AnnSanga-eo6ii2 ай бұрын
Kwa zuchu hakumuasili zali kayakanyaga
@ScolarMsilotwa2 ай бұрын
Kwani diamond kamuowa zuchu huwo uusiano unahusiana vp na ustawi wa jamii hawo si maraya tu wanazini
@vickynyakio73462 ай бұрын
Mnapayuka ovyo ovyo alafu mtu akishikwa na depression mnahurumisha tu sio poa
@ClarisPetrooАй бұрын
Pole xan
@agbordorothy49012 ай бұрын
Zuchu did not leave because of Sarah. Diamond attitude is bad.She can't take it anymore.I wonder what example he is showing the children. Money is not everything
@LissaBosh2 ай бұрын
We na zuchu wasenge
@sarahkinyashi62132 ай бұрын
Nyie jamanii daah!!yaani tuache kuombea waathirika wa mafuriko,waliofiwa na ndugu zao kupitia mafuriko,bado Kuna upepo wa HIDAYA kwann tunasahauu haya yote?ZUCHU ameimba wakigombana tufunge midomo,wanajuanaaa,bado hamuelewi huo mwimbo?🙏🙏🙏🙏
@AMINAMOHAMED-de7gb2 ай бұрын
Mimi ningemuomba zuchu ajitoe kimausiano mondi,wafanye kazi you.Bado yeye mdogo atapata wake,aachane na uyo Malaya. Mwishowe atakubandika maradhi Bure dada.
@fatmafatu11282 ай бұрын
Kwani huyu chuchu sio malaya wote wazinifu nawewe unae watetea ndio walewale
@user-te5jr1rz7w2 ай бұрын
Kwn yy ni mke wte anawachezea muache diamond achezee wt anachkua kw stareh diamond endelea na kazi zko 😂😂😂😂😂
@vickynyakio73462 ай бұрын
Uko na akili zingine au
@elizammari2 ай бұрын
Hiyo issue ya Zuchu sio ya ustawi wa jamaii ni ishu yake mwenyewe anayo maamuzi anahitaji counseling kwa hiyo hapo ni councelor tu ndio ataongea nae na kumsaidia kuondokana na msongo wa hayo mawazo aliyonayo. Zuchu anatakiwa akae kitako aongee na Mondy ili amwambie anataka nini ili aridhike ila ninachokiona Mondy anampenda sana Sarah ndiye mwanamke aliye moyoni mwake
@pengefeza25632 ай бұрын
Mondi alitumia pia mamlaka kuwa na yeye. Kuna interview Zuchu aliongea akasema alijiuliza kwa nini mimi alipo ulizwa kuhusu kujutia kuhusu mahusiano.
@LissaBosh2 ай бұрын
Asha use get we mwijako
@aminaomary55672 ай бұрын
Saraha wala ana kosa lolote.Yeye zuchu ajue tu Nassibu Tabia zake za ovyo.Yeye zuchu sio mke wa ndoa.
@mohammadoman89632 ай бұрын
Ana makosa kwa sbb yey ana mtu wake na huyo diamond alishaachana naye Lzm heshima iwepo.hata yule mwanaume anayeishi naye akimuona anakumbatia diamond wafikiri yule mwanaume wafikiri atafurahi. Mapenzi yana heshima yake sio kujitoa ufahamu km mgonjwa wa akili diamond km hampendi zuchu kwa nini amuweke ndani kwake kisha awe anampa wakati mgumu kila siku akitoka kwa mwanamke huyu anaingia kwa mwingine huo ni uchafuzi wa wanawake na udhalilishaji
@mohammadoman89632 ай бұрын
Zuchu ana akili yule amemsoma diamond na kumjuwa vizuri tabia zake ndio maana kaona anamtumia tu kwa ajili ya kuendesha maisha yake Kwa nini amfanye yy ni kitega uchumi tabia za diamond ni chafu sana huyo anatakiwa mtu amtoe busha akae nyumbani atulie kidogo maana huo uume wake unamsumbuwa hauna thamani tena kwa jamii
Hili limwijaku nalo halina akiri linajifanyaga lijuaji nalo lizinzi
@ruqiyanasir71412 ай бұрын
Kwaniweye zuchu hujuwi kama diamond ni mcheze aji wanawake haowi kwanini akakubali kuchezewa kataka mwenywe kudhalilishwa mtukaziayake uzinifutu zina ndomaisha yake
@henryndosi20022 ай бұрын
Wewe nawe ni msenge
@user-no8mp7yg1m2 ай бұрын
Kwani Zuchu ni mke wa ndoa ?
@user-pq9qc1sz7b2 ай бұрын
Wee shenzi umbea utakuuwa.umeenda umra kufanyaje
@asiamerey90812 ай бұрын
Baba ana mdomo huyu kama mwanamke
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Wanawake midomo yao ikoje
@mohammadoman89632 ай бұрын
Nyamaza ww ndio unamdomo lzm umsaidie mwislaam mwenzako tena kaa kwa kutuli pimbi ww
@ramak.95872 ай бұрын
@@Brunn-mh2bqkama mikduuu
@tinershayo61912 ай бұрын
Sarah Ana makosa bwana
@glorymanga36502 ай бұрын
Makosaa ganii kwani kajipandisha mwenyewe kwenda kujitambulishwa au si aliitwaa kosa lake liko wap eti?
@kelvinsauveur62642 ай бұрын
Makosa niyske Diamond. Sarah amepabdishwa jukwaji . Sasa amulawumu Diamond. Ame sana akasema ajushiba mwanamuke ana mupa matukio. Njo ayo zuchu amepewa do not mix business and love .
@user-wi6uk1vz1h2 ай бұрын
@@kelvinsauveur6264 mélanger affaires et Amour n'a jamais été un problème comme vous le croyez ? Même les couples qui ne travaillent pas ensemble ont des querelles
@neemajames51372 ай бұрын
JAMANI ZUCHU MSIMSEME ANAPITIA MATESO SANA
@beatricehayake52032 ай бұрын
Kwani nani ali mtuma
@agbordorothy49012 ай бұрын
Is that what she told you.I think she is not. What about Diamond? He has not lost a good entertainment partner. Pity Diamond, not Zuchu .Money is not everything if you don't have good people around you.
@user-ct7vm7bq9w2 ай бұрын
Kabisa leo yeye anaumiza watoto Wa watu mungu analipa hapa hapa Duniani yeye anafikiria pesa tuu hafikirii utu naye pia Ana Dada watoto wadada yake na mtoto wake pia Wa kike
@user-ct7vm7bq9w2 ай бұрын
Kweli kabisa maskini mungu atamsaidia atamsahaulisha mambo yote ya matatizo yanayo mpata
@thamani58422 ай бұрын
@@beatricehayake5203wewe
@eshialabonita77362 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@shukranisibale17392 ай бұрын
Wtf
@user-wy4fv9vd7w2 ай бұрын
mimi nachomshauri zuchu ajiue kama mimi nilijiua
@SihabaAbdallah-li6dx2 ай бұрын
😂
@lidyakinono99172 ай бұрын
😂😂😂😂duuu hii tz jmn
@khadijaomar67302 ай бұрын
😂
@SamuelCornelioSamuel2 ай бұрын
Mwijako Ana akili
@mohammadoman89632 ай бұрын
Sana kanifanya nijivunie ndungu km huyu
@godsdaughter28202 ай бұрын
Mwijaku una utu KBS👏🏽👏🏽sijui kwanini WA Tanzania mnamchukia sana Zuchu,what did she do to you guys???to deserve all the hate you are showing her?alafu wengi ni wasichana wanao mchana,🤔na ukienda kwenye profile zao Yani wabaya haswaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,alafu kweli nimeona mnaosema eti Sarah she is beautiful than Zuchu🥱😱😱 really???????
@mohammadoman89632 ай бұрын
Tanzania tunampenda sana zuchu ni baadhi tu ya watu wanamuonea choyo au hasadi zuchu ndio maana midomo mirefu zuchu ni msichana mstarabu sana na mkweli na anapenda haki
@yusternyirenda72312 ай бұрын
Wanaomchukia zuchu ni wanawake wachache wadangaji wa mjini wanaomtaka diamond wanaona zuchu amewabania riziki zao maana zuchu amemteka mno diamond wao wanakosa nafasi ya kuwa na diamond kumchuna
@mohammadoman89632 ай бұрын
@@yusternyirenda7231 haswaaa
@fbr51132 ай бұрын
HUYU JAMAA ATAKUJA KUPATA MATREO SANA SIKU SI NYINGI MAANA NI MGOMBANISHI SANA NA ANA CHUKI KALI JUU YA DIAMOND. KITAKACHOTOKEA ATAPATA ULEMAVU WA MDOMO NA MIKONO ILI AACHE UONGO NA KUMTUKANA NA KUMDHALILISJA DIAMOND. NA AKIPATA HUO ULEMAVU ATADHALILIKA SANA HADI ATAJINYONVA HUYU
@RomanMwinyi2 ай бұрын
We chiziii wee sio mzm kwani anaongeaa owongo au matako ww
@fathimamct2322 ай бұрын
Sasa WW mwijaku umekwenda Makka Na Dini unaijuwa Sasa vipi unatetea uzinfu?? Au unaweza kutuhakikishia kama wale ni Wana ndowa?? Mana ndowa sip matangazo lakini kama unatetea.uozo wa zinaa Acha kabisa kuingia Huko huewzi juwa huwenda Mungu Ameweka hayo yatokee Ili Amnasue sehemu hiyo Ambayo SI sahihi na huwenda SI Sahihi Kwa Watu wote wawili Huwenda Naseeb Mungu Ametowa kwenye hiyo familiya ya Zuchu SI Sahihi kwake au zuchu Ametolewa kwenue hiyo familia ya Naseebo SI Sahihi kwake yote yanawezekana Leo ukatafute Bibi ushauri waitwe kama Wana ndowa mbona Wana wazazi ? Na kama SI Wana ndowa Acha kufagilia hayo mambo Ambayo mungu hapendezwi nayo unafikiri kama Hawa Watu wawili wapo pamoja Kweli kama unavyotangaza bi Khadija anafurahiya haya hapana hafurahii huwenda ameshamkanya mwanae hakumsikiliza Kwa hiyo kinachomkuta ndio Hali yake hakuna mzazi anapenda.mwanae akaisho kihuni TU Kwa MTU pasi na kutambulika kwenue familiya.
@zainabhussein55422 ай бұрын
Kwani wewe ilikua inakuhusu nini kuingilia mambo Yasio kuhusu Kwani zuchu haoajui huko ustawi wa Jamii ama mamake siyupi mbona hakuenda kupeleka Malala Miko hebu achana na mambo Yasio kuhusu jiheshimu
@user-wi6uk1vz1h2 ай бұрын
Et pourquoi HARMONIZE s'est immiscé dans ce problème ça le concernait en quoi ?😂😢
@sisifaty91832 ай бұрын
Mwijaku Mungu Anakuona ivi kosa la huyo Sarah ao Diamond jifikiriyemwenyewe je pense wue tues un intellectuelle ,mais tu es zero