😂😂Mzee wangu bana napenda kumsikiliza huyu mtu wa maana kabisa huyu unanifurahisha sana mtumish barikiwe sana🤲🏻🤲🏻🤲🏻👍🏿✌🏿
@scopy042812 күн бұрын
Hananje anaongea fact
@GodlistenAlen14 күн бұрын
Napenda jinsi unavyonukuu vifungu vya bibilia kama vile unakunywa maji.
@sergebaleke69513 күн бұрын
Eti ipo siku watajipaka uji 😂😂
@johnsonmachange154314 күн бұрын
Hahaha mchungaji umetisha😂😂
@WigesaNyerere13 күн бұрын
Je tunye nn mchungaji ili kuzuia tamaduni za kigeni kuingizwa malangoni pa bwana
@wilfredshoghosho001714 күн бұрын
Eeeish eti watapaka uji siku moja senzi😂
@SilasNdaisabha-gx8jo15 күн бұрын
Watajipakaa uji mmh🤣🤣 et kama nyumbuu
@isayasimwinga285410 күн бұрын
Ni comedian kweli. Unajifanya hujijui😂😂😂
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg14 күн бұрын
Comedian pure sio mchungaji
@Mariam-fm8vq16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Kuminamoja199517 күн бұрын
Akisilimu atakua sheikh mzuri
@ANDREWKIMARO-by3zl10 күн бұрын
Ndoto ya alinacha asilimu aende wapi Na njia sahihi ni moja tu YOH 14:6
@lwitcofredy401312 сағат бұрын
Usichokijua alikuwa muislam huyu, aka okoka
@Kuminamoja199511 сағат бұрын
Nini maana ya kuokoka
@ANDREWKIMARO-by3zl10 сағат бұрын
@@Kuminamoja1995 kuokoka ni lugha ya kawaida kabisa, yenye maana ya kunusurika, kusalimika, kupona, kukombolewa, kufunguliwa kutoka katika janga au hatari au kifungofulani. Leo tunaanza na hili andiko “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu” RUM.10:9-10 SUV hiyo ndio maana ya wokovu