Yani ndugu kama hawa ndio wana takikana sio ndugu wenye wivu
@meshack32668 ай бұрын
Nyumba kali ila bilion moja hapana ile ya kina navikenzo na hii je maana ile walisema milion miasaba
@user-wu9zz1bm9h7 ай бұрын
Hata Mimi niliju stamina duh
@100kidso8 ай бұрын
Wa kwanza ❤
@nzitogondwe99768 ай бұрын
Bilioni katudanganya
@josephkiwale3748 ай бұрын
Mwandishi vp mbna kama hutaki kukubali ivi😂😂
@twiseghekisilu88458 ай бұрын
Wanafanana!
@khalsasalim79308 ай бұрын
Mwijaku muongo alisema taa kanunua china moya laki7😂😂😂😂
@tabyabelemwenebenga23118 ай бұрын
Ila ngumba yake
@hashimchaoga95668 ай бұрын
Bilioni moja ni uongo. Ni nyumba ndogo yenye ghorofa moja na gharama hua inaongezeka kwa urefu wa ghorofa. Hapo hata milioni 400 sijui. Wajenzi na waliojenga wanafahamu. Nondo kokoto zege ndio zinapandisha gharama ya ujenzi na sio eti taa milango labda iliyonakshiwa na dhahabu dhahabu. Hiyo size ya nyumba navivyotumika kujenga bilioni ni uongo
@enoszaka-tx8qw8 ай бұрын
hawa kama family hawakua na mawasiliano kwenye interview zao huyu taa kaagiza china kaka mtu taa zimetoka dukani kwangu morogoro 🤣🤣🤣🤣🤣
@rajabually8698 ай бұрын
Kaka dio mkweli
@shamshabani22628 ай бұрын
Kwan kaka yake ana kiwada cha mataa , je kama ana chukua mzigo china unajuaje sasa?
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Iweee zimetokaaa Moro lakini zinatokaaa china
@TahilaRamadhan-hz3pd8 ай бұрын
Hpna kasema asilimia 80 ya taa kampa yeye but nyengine katokanazo china mwijaku
@arnold94068 ай бұрын
Kiki hizo
@moriscollins44948 ай бұрын
Mwamba kasema taa kaagiza china huku zimetoka moro
@bilid41288 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@fatmafatu11288 ай бұрын
Kikubwa kajenga nawewe kajenge
@JOHNJOHN-pu7wb8 ай бұрын
Ndomaana watu hawapendi wazaz na ndugu zao waojiwee 😂😂😂
@ladooladoo12858 ай бұрын
Ni sawa kaka kaagiza kutoka china si wafanya biashar wananunua nje jamani
@syliviakente94608 ай бұрын
Ukiwa una jenga ukapata nafasi.ukasafiri nje ya chini waweza leta container lako lenye vifaa vya ujenzi ukafuata taratibu za Kikodi TRA kuna unafuu sana
@grantmwakalambile28088 ай бұрын
Co nyumba yake acha kuzingua kazitoa wp hela za mjengo wote huo chawa mwijaku