Wana roho mbaya watu wa mbeya wachaw wakubwa 😂😂wanajifanya dini hamna lolote kitendo cha zuchu 😢😢ni mbaya sana
@RabiaWahadh4 ай бұрын
Saan Zuch Atabak Kua Juu Mwijak Kaongea Point San💯💯💯
@AtirioDaimon4 ай бұрын
Ananyosha kidole Cha kati kwamba sisi anatupididi au njooo tukuoshe Kaz
@AtirioDaimon4 ай бұрын
Na ww usije mby watakupididi
@jsabood4 ай бұрын
Wewe umeona matukio. Alivyo waonyesha watu kidole. Neno la ku provock sio justification. Mbona mbosso hakufanya kitu. Hii ni kukosa adabu. Hakuna sorry wala kuomba radhi kwa mtu akikukoseya adabu.
@RabiaWahadh4 ай бұрын
Elew Kinachoonglew Kidole Kitu Cha Kawaid San Mwijaku Kaonge Point San 💯💯💯
@jsabood4 ай бұрын
@@RabiaWahadh Samahani kwangu naona kitu kikubwa. Maoni ya mwijaku haya represent watu wote. Zuchu amefanya makosa hilo ni ukweli.
@RabiaWahadh4 ай бұрын
@@jsabood Sio Kwel Siamn Manen Yak Sema Sikuhiz Wanaume Mpo Kama wanawak Mnaongz Kua Mnachuk Binafs Tena Kwa Msanii Wakike💯 Haipndz Bas Tu Mnajiendkez
@mohammadoman89634 ай бұрын
Ile ilikuwa hasira watu wa mbeya lzm wawe na nidhamu wasingemrushia vitu asingeonyesha kidole
@mohammadoman89634 ай бұрын
Mie pia haikunipendeza watu wambeya wajiga sana wana vaibu la kijinga tu