Sjawah kusikia mchungaji yoyot km huyu anaemkumbuka mzee wetu mosses kulola alietangaza hbr ya wokovu Tanzania MUNGU akubariki San mchungaji
@rosemuhandoofficial56762 жыл бұрын
Ni kweli babangu,hawamkumbuki tena,wala hawataki kumtaja katika mema, huyu mwanzilishi wa msingi wa Imani EAGT,Mimi naumia sana kumbukeni alipata mateso mazito Kwa ajili ya injili, lakini Leo tunawashangaa hata viongozi wa EAGT hawana habari nae tenaaaaa!!!!
@mwakasagule2 жыл бұрын
Rose Muhando nimefurahi kwa ushauri wako
@SifaKutanwa-mn1jp Жыл бұрын
Mtumish nimekuelewa
@janengaga2928 Жыл бұрын
Bishop Kulola huyu baba alikuwa yuko sahihi ni🔥🔥🔥EAGT mwanzilishi huyu ni mfano wa kuigwa.Kipindi hicho mweee 🤦🙆.😍 EAGT 💝.Twakukumbuka baba askofu😭😭😭😭🇹🇿 Injili YAKO ilikuwa moto🇹🇿. 😭😭
@dorothymbuere5236 Жыл бұрын
DUH Unbelievable.Mzee Kulola Namfaamu Sana na mkewe wakileta maubiri Temeke DAR miaka ya 1975 etc. SIKUJUA Hushuuda Wake nausikia Leo.DUH unatisha Sana. Alikuwa mzee wa MUNGU. Nitafatilia KWA makini Sana.Ubarikiwe zidi kutufundisha zaidi.Ubarikiwe Sana.
@gaudiankiwia7631 Жыл бұрын
AMINA❤
@janethmwihumbo1289 Жыл бұрын
Ubarikiwe mjori wa bwana ,wa Kwanza wewe kumtaja muasisi wa injiri ,Asante yesu
@teddyjoseph438 Жыл бұрын
Nimeloa na huu ujumbe
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Amina Baba nimejifunza vitu vingi sana hapa mpaka nahisi moyo unawaka moto
@Jeremiatitomawala10 ай бұрын
Kwel kabisa mtumishi
@danielambonisye62615 ай бұрын
Hakika baba mimi najua mwaka wa mwisho wa injili yake kule mbeya pia nina kitabu chake cha historia yake nalia kila siku kwaajili ya kazi ile ya uchungu
@jabagoleonlinetv25902 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@mchungajmugisha64432 жыл бұрын
Sema tupone mtumishi
@teddyjoseph438 Жыл бұрын
Yesu atuhurumie
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana...
@williumjoel14102 жыл бұрын
Amina
@bitrismateleka Жыл бұрын
Jamani tumuogope MUNGU.kweli mtumishi Mozes alikuwa mtumishi wa MUNGU kweli acheni kejeli.
@alexandernyambo77392 жыл бұрын
Safiiii sana mtumishi, sema ukweli. KANISA LA EAGT LIMEINGILIWA KIROHO NA MAJAMBAZI, KIMWILI WANAONEKANA NI WATUMISHI, ILA ROHONI SASA!!!!!! WANAKUNA VITAMBI KWA WITO USIO WAO..
@Jeremiatitomawala10 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi nakumbuka alipita kwetu kwa mguu kutoka tabora kwenda mbeya
@stevendavid8054 Жыл бұрын
Ameen Baba
@clementkyamba12442 жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana Yesu mtumishi wa Mungu
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
kwa nini mnatukanana sana siku hizi
@macklinakabyazi30362 жыл бұрын
Mbinguni hakuna kanisa la Eagt wala nini, tutende yaliyo mapenzi ya Mungu, Moses alimaliza kazi yake aliyotumwa na Mungu, kila mtu atabeba mzigo wake.
@amanisaa14262 жыл бұрын
Amina mackllina kabyazi Kila mtu atatoa hesabu yake ,watu wanatabia yakuwasifu waliokufa wasijue Kama ameenda kuzimu huwa ukimsifu wamuongezea Moto wakumuchoma, moses kulola alivipiga Vita vilivyo vizuri nasi tijitahidi kuzipiga Vita vyetu
@sulemanmadahatv16912 жыл бұрын
Aya bhana mtumishi
@adkajisi45362 жыл бұрын
Amina baba
@macharosandra94672 жыл бұрын
Kweli Kabisa ! Kanisa ambalo halina Roho Mtakatifu hilo sio kanisa..
@KuhaniMwakalambo Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@elizabethvicent35842 жыл бұрын
🙏
@zabronmwizagi71642 жыл бұрын
Ndugu mtumishi wa Bwana kumbuka hasira ya mwa nadamu haitendi halo ukumbuke mahubiri ya pale mlimani ndiyo Torati yetu Again Jipya
@ernesttomas852 жыл бұрын
Wazee wengi wamegeukia matumbo yao
@Jesusvissionmission37 Жыл бұрын
amen
@geitandelwa2992 жыл бұрын
ASANTE na MUNGU ATUSAIDIE
@annkim26902 жыл бұрын
Jasusi la mbinguni mtu huyo jamani
@alexandervicent2263 Жыл бұрын
KAMA MOSES KULOLA ANGEKUWEPO ANGEKUKATAA KWA AINA YA MAFUNDISHO YAKO NA UENDA ANGEKUTOA MAPEPO
@ivonaevarista4654 Жыл бұрын
yamkini wewe ndo una mapepo kwa kupiga kweli teke.