Bwana akubariki Mwalimu! Nakumbuka uliko toka na utii wako kwa aliyekuita. Nena kanisa lipone! Rev.Buya Nosigwe
@lynnelee72862 жыл бұрын
Asante baba huduma hii imenilea Kwenye nchi ya ugenini bado natiwa NGUVU Mpya 🇸🇦🇰🇪👋💕
@joackimmbonde41252 жыл бұрын
Tunazidi kufunguliwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai lisifiwe sana Amina
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Mungu awape ulinzi siku zote. Zekaria 2:5. Ulinzi wa Ukuta wa moto uwazingire pande zote watumishi wa Mungu. Muishi siku nyingiiiii kama neno la Mungu liishivyo. Kutoka 23:25_26.
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Eee Bwana tunakuja mbele zako Kwa Damu ya Yesu. Naomba ujidhihirishe kupitia sadaka zetu kwako. Tunaomba rehema. Ujibu Kwa moto. Amen
@Johnsonkayila2 жыл бұрын
Nimebarikiwa kupita kawaida yaani utadhani leo ndo siku ya kwanza. Mungu Akubariki sana Mwalimu pamoja na Jopo lako lote
@mattyhappy15812 жыл бұрын
Ee Nakushukuru Mungu kwa ajili ya Watumishi wako Christopher na Diana Mwakasege,,wamefanyika baraka kwetu ,,kwangu,sana ,,niliacha kutoa zaka ,,ila nimeanza kutoa tena Nawashukuru kwa Mafundisho yao
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Ipo Damu ya Yesu iondoayo kiambaza katika familia tuwe na moyo wa Ibada. Hallelujah, amen
@joyceallan27582 жыл бұрын
Mungu uliijua kesho yangu ndo maana uliachulia somo hili kwa Mwl . Asante Mungu
@gloriamwalingo96942 жыл бұрын
Yesu nakuhitaji vivyo kila saa,niwezeshe mwokozi nakujia.
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Jina la Yesu Kristo liinuliwe daima. Tumejifunza. Mungu azidi kutupa neema ya unyenyekevu. Amen
@Officialjoel85 Жыл бұрын
Watching from USA 🇺🇸 mbarikiwe sana
@mwlhumphreysamwel99302 жыл бұрын
Mungu aibariki kazi yake na mtumishi wake
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Haleluya mungu apewe sifa. Watumishi wa mungu mmetoa maisha yenu, watu wamjue mungu aliye hai. KUPITIA UTUMISHI WENU NEEMA NA REHEMA YA MUNGU IMEFUNGUA MOYO WANGU. NURU INAMULIKA . 🙏
@mattyhappy15812 жыл бұрын
Mathias Leonsi nawapata Niko Zanzibar Unguja,stone town Baba,,Mungu anatusaidia hasaaaaa
@ahazimtindo3452 жыл бұрын
Nimebarikiwa leo, ubarikiwee sana Mtumishi
@rhodanangoma73862 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwal ! Mwakasege! Na Mama Diana, Mungu aliye Hai awatunze muingiapo na mtokapo, 🙌
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Yesu Kristo uwe mfadhili wetu kila eneo kila siku kila saa. Ameeen.
@sophiashadrac11102 жыл бұрын
Mungu awatunze Mwl na mke wake, wanahitajika kwa kizazi hiki
@paulcosmas80312 жыл бұрын
Tumebarikiwa mwalimu mwakasege
@happymollel67162 жыл бұрын
Mungu awa bariki sana sana watumishi.
@richardwilfred30692 жыл бұрын
Barikiwa sana Mwalimu ninarudia rudia kusukiliza naona upya tena na tena
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Tumebarikiwa hakika. Jina la YESU liinuliwe. Haleluyah
@victoriamefya62872 жыл бұрын
Amina hallelujah barikiwa baba
@esterjohn49042 жыл бұрын
Libarikiwe tumbo lililokuzaa baba yangu
@rodrickkigola26562 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@allexandermselle55642 жыл бұрын
Najiunganisha na maombi ya Leo juu ya Biashara yangu na familia yangu Amen
@esthershilima27812 жыл бұрын
Nawatakia maisha marefu kwa uweza wake mungu atafanya Mambo makubwa kwenye maisha yenu
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Amen ! Amen ubarikiwe
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Bwana YESU tujalie kuishi Kwa amani na umoja katika familia zetu . Zaburi 133:1_3. Hapo kwenye shule na vyeti Mungu atusaidie tufanikiwe katika uchumi wa familia Kwa jina la Yesu. Ameeen. Mungu tunaomba uturehemu na utukumbuke tupate kustawi kizazi Cha kwanza mpaka Cha nne.
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Mungu ajibu Kwa moto Kwa jina la Yesu. Tunapopita tunataka MUNGU atendaye kazi dhahiri katika maisha yetu Hallelujah
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Mungu wa Mbingu na nchi tunakuomba asiwepo hata mmoja nyumbani mwetu atakayeingia jehanum. Eeh Bwana kumbuka sadaka zetu Zipate kibali mbele zako. Amina
@antlucifermovement72762 жыл бұрын
Amina
@rusimackems98202 жыл бұрын
Amen, Asante kwa mafundisho, nakufuatilia kutoka Canada
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Mungu yuko kazini. Amen
@davidchitonge8212 Жыл бұрын
mungu awabariki kabisa
@sarahmwamahusi28582 жыл бұрын
HALLELUYAH!HALLELUJAH! HALLELUYAH
@eddiepeter16182 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
@annavictormasiagachannel80502 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah🙌🙌👏👏👏👏👏👏👏👏
@kamikazineema195716 күн бұрын
Amen
@arubalydia2242 жыл бұрын
Mwangosi I miss your worship 🤔🥲
@lynnelee72862 жыл бұрын
Ndugu yangu alitoweka nyumbani 2015 ehh Yesu lete ushuhuda 🇰🇪😭😭😭
@dee41442 жыл бұрын
Amina Mungu aendelee kuwa tunza,ninamshukuru Mungu kwa semina
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Sema Baba wengi tupone.
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Kuna wakati najihisi kukata tamaa na injili ya sasa lakini kila nikimsikiliza Mwalimu Mwakasege..,napata matumani. Lau kungekuwa na wawili wenye mahubiri kama yake humu duniani. Wengi matapeli tu wanaitisha nywele na kucha ili wakatumalize zaidi.
@kalimirajohn93782 жыл бұрын
Baba Asante kwa ufunuo mungu akujaze Tena naomba inayotumika kwa watssap
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Nuru yetu iangaze
@elizabethjackson38652 жыл бұрын
Jamani nataka kutuma sadaka nipo mbali namba naziona hapo ila hakuna majina ya usajili natumia WorldRemit
@samwelisimbeye46822 жыл бұрын
Baba napateje icho kitàbu icho maana niko mbeya
@irenemosha81062 жыл бұрын
Hakika nimepata vitu vipya vya kushughulikia.Ubarikiwe baba.
@tumwimbilagempogolo31632 жыл бұрын
Naomba umoja na mshikamano urudi katika familia yangu na hasa kati ya watoto wangu na mimi mama yao Mungu nisaidie .
@bettynziku68042 жыл бұрын
Asante Sana kwa neno Mtumishi wa Mungu naomba uniombee niweze kuota ndoto na kuelewa maana ya ndoto