MZEE AMWAMBIA RAIS MWINYI UOVU WA ZANZIBAR BILA KUOGOPA.

  Рет қаралды 92,724

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Пікірлер: 423
@AminasalimKhamis
@AminasalimKhamis 3 ай бұрын
Shukrn sheikh Allah akulipe khery mkono kwa mkono hadi peponi
@ramzsule7678
@ramzsule7678 3 ай бұрын
Sheikh huna hoja mbele ya Allah umefikisha na Sisi mashuhuda na tunakuunga mkono Kwa Hilo hawakutekeleza watakwenda jibu shukran sheikh
@Quran-mk01
@Quran-mk01 3 ай бұрын
ameen
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
Huna au una hoja??
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 3 ай бұрын
​@@princesaha3262 😂
@Hussein-qq2uy
@Hussein-qq2uy 3 ай бұрын
Wallaahi sheikh wangu Allah akulipe kheyr umeshafikisha ujumbe huna dimma mbele ya Allah watu wa serikali wanajulikana wanauogopa mfumo Kristo ulioshika hatamu Tanzania nzima mimi naamini kama Rais atatoa tamko la kuzuia uchafu huu kwa nafasi yake hakuna atakaethubutu lakini ni mtihani tuwaachie mizigo yao
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 3 ай бұрын
Zuieni na smart phone zisiingie Wala kutumika Zanzibar bila ivyo kazi bure
@Mammymuhamed
@Mammymuhamed 3 ай бұрын
Smart phone, inategemea unavyo itumia, ni tofauti na vitendo vinevyofanyika hadharani.
@DaudiMakaza
@DaudiMakaza 3 ай бұрын
Acha ujinga ww ukristo ndo din inaruhusu maovu
@Mammymuhamed
@Mammymuhamed 3 ай бұрын
Kiumbe ni mzito, hatumuogopi Allah, kweli tutamuongopa Rais, kama alivyo sema. Watoto wetu wenyewe wanatushinda, hata nyakati hizo tulizo nazo, tumekuwa wazee Bata. Tunawaogopa watoto wetu. Malezi tuanzie sisi , kwani Kila mtu nimchunga ataulizwa kwakile alicho kichunga. Zamani watoto znz hii yetu mpaka jirani analea lakini hivi sasa jirani hasubutu kumkataza mtoto wa mwenziwe. Sasa wao wapige marufuku bar Yao na sisi tuwacheni kuwa support watoto kwa wapa masimu makubwa , Tena wanavyozijua wanakushinda wewe uliyemnunulia.
@MchaFakih-ij8kh
@MchaFakih-ij8kh 3 ай бұрын
Well said may Allah bless you and Grant highest level of jannah
@IbrahimMussa-g6l
@IbrahimMussa-g6l 3 ай бұрын
ALLAH Akulipe ustadh ujumbe umefika na viongozi in shaa Allah M/Mungu awasaidie kupambana na izo hali
@abduljuma7807
@abduljuma7807 3 ай бұрын
Jihad kubwa hiyo umemuambia Rais na Mama apokee hiyo msiwaogope watu Muogope Mungu atakulindeni
@abuusalum928
@abuusalum928 3 ай бұрын
Allah akuzidishie mzee wangu , umefikisha na Allah ni shahid!!
@sulaimansalim8086
@sulaimansalim8086 3 ай бұрын
Masha Allah mashaa Allah huyu Mzee haya maneno yake inafaa yaandikwe Kwa wino wa dhahabu Allah ampe Jannat Firdausi Ameen
@JumbNovis
@JumbNovis 3 ай бұрын
Allah akubariki, Allah ailinde zanzibar yetu ,
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 ай бұрын
Mimi niko UK mwaka wa 22 lakini naungana nae huyu Sheikh hawa waumbaji wasije kuimba Zanzibar sisi tuna mila zetu za kiislam sawa,thanks
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 3 ай бұрын
Ishini kulingana nanyakati sasa ivi ulimwengu wautandawazi nyimbo hazitapigwa kwenye tv na redio vp kuhusu smart phone hawataangalia kwenye tv sawa je kwenye cmu pia mtazuia? Mkitaka kuliweza hili nawashauri mpige marufuku cmu kuuzwa Wala kutumika zenjy Dunia yautandawaz huwezi kushindana nayo
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 3 ай бұрын
Unaweza kuzuaia KZbin na kila sehemu​@@joycedimoso8648
@HUSSEINALLY-b7f
@HUSSEINALLY-b7f 3 ай бұрын
​@@joycedimoso8648we itakuwa unapenda Hawa wasanii wahuni.kinachowezekana kifanyike
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 3 ай бұрын
Acha ujinga lazima ikatazwe mtu akifungua mwenyewe nijukumu lake binafsi​@@joycedimoso8648
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 ай бұрын
​@@joycedimoso8648tatizo siyo wakati ila wanatembea uchi wanaharibu maadili, leo mashoga na malaya wote wa Afrika Mashariki wamejaa Zanzibar, wanapanga mageto kufirana nje nje yani ni hatari zaidi ya hatari, kwa huo ushenzi wanaoufanya huku hiyo Dar inasubiri... wadada kutoka Dar na maeneo mbalimbali wanatembea nusu uchi kwa ajili ya kujilengesha kwa wazungu.
@SuolFat
@SuolFat 3 ай бұрын
Hongera sana shekhe umeongea ukweli mtupu
@najashdawood9680
@najashdawood9680 3 ай бұрын
Upo sawa kabisa sheikh wetu ..hongera kwa ukweli uliowapa hao waheshimiwa .mmaana nao wanjitoa fahamu kabisa
@alimsellem6103
@alimsellem6103 3 ай бұрын
Diamond asije zanzibar
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Ungeanza na Mauzinde kumkataza aache usenge ungefanya Jambo jema sana
@alsam4881
@alsam4881 3 ай бұрын
Wote hao wapigwe marufuku kuingia Zanzibar kuanzia Diamond na harmonize na hawara zao, Mwijaku, babalevo, gigy money, wema sepetu, whozu, lulu diva, shilole na mahawara zao na wengine wote wenye tabia chafu wasikaribishwe tena Zanzibar wapewe marufuku kuingia,
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 3 ай бұрын
​@@alsam4881wote hao ni makahaba. Wasanii hao wanatuharibia jamii zetu
@utaani1
@utaani1 3 ай бұрын
Naunga mkono wote hao wasiruhusiwe kuingia Zanzibar
@MrA24G
@MrA24G 3 ай бұрын
​@@alsam4881 na p diddy
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 3 ай бұрын
Ndugu yangu katika upo sahihi allah akuifadhi
@abuuzahra-fc2jg
@abuuzahra-fc2jg 3 ай бұрын
Naam huu ndio ukweli Mzee wetu Allah akulipe
@mahfoudhmabrouk809
@mahfoudhmabrouk809 3 ай бұрын
Maashaallah! Mzee kajitahidi kufikisha bila kupepesa macho. Allah amuongoze zaidi na awaongoze wengine pia kuyaona maafa yanayoielemea Zanzibar na awape nguvu na tawfiiq ya kuyazuia kwa namna yyte! Si Zanzibar tu Bali na hata hukoo bara japo kushaoza. Wallahi hakuna watu ninaowachukia kama hawa wanaojiita waimbaji muziki wakijiita "wasanii" naweza kusema hawa ni watoto wa ibilisi na wameamua kwa maksudi kumtumikia ibilisi kuiharibu jamii yetu. Kuna wakati huwa nawaombea Dua kwa Allah awarudishe kwenye mstari waache kuiharibu jamii warudi kwenye misingi ya uislam au basi warudi ktk hali ya ubinadamu. Na muda mwingine huwa natamani Allah awafishe /awaangamize wote wapotee kwenye sura hij ya Dunia japo Najua Allah ni Mbora wa kuhukumu na hamhukumu mja wake kwa maoni ya mja mwingine. Na kinachokera zaidi ni hivi vyombo vyetu vya umma kuonesha na kusambaza upuuzi huo tena kwa kuwapamba hao wapuuzi waonekane ni watu muhimu sana kwenye jamii . Inakera kuona tv ,magazeti, radio za umma kuonesha nyimbo tena za kipumbavu zenye mmomonyoko mkubwa wa maadili . Kama serikali ingekuwa inasikiliza maoni yetu basi ingepiga marufuku vituo vya umma na hata hivyo vya binafsi kutorusha nyimbo za kipuuzi .na si hivyo pia Bali kupiga marufuku mabanda ya movi ,kumbi za wazi za disco ,madukani na mtaani kwa ujumla kutopigwa nyimbo za kipuuzi hizo. Anayezihitaji azifuate huko KZbin na aisikilize au kutizama Pekee yake au nyumbani kwake bila kusikika kwa jirani zake!! Inaboa mno. Inauma mno! Na hii wizara ya Sanaa na baraza sijui la BASATA naweza sema kuwa wanatumia pesa za umma vibaya kusimamia hizi sekta maana hawana wanachokifanya zaidi ya kuwasaidia hawa wahuni kuendelea kutuchafulia jamii yetu. Kama inawezekana zifutwe hizi wizara na hilo baraza. Wameshindwa kufanya kile tunachohitaji!!! Laa sivyo tutaendelea kuamini ule msemo wa mtaani usemao "hakuna haramu serikalini ilimuradi Kodi inalipwa"! Idara nyingine ambayo pia binafsi naona kama Bado hawaelewi majukumu yao ni idara ya '"USTAWI WA JAMII"" naomba niseme ukweli kuwa hii idara Bado haiyajui majukumu yake. Wao wanajua kupigia debe sijui ukeketaji mara mtoto wa kike mara haki za wanawake ooh mara hamsini kwa hamsini n.k. Hii idara Ina mambo mengi yakufanya tena ya msingi kwenye jamii yetu kuliko hayoo wanayoyashikia bango kwa kuambiwa tena bila kutafakari kwa kina. Nilitarajia wao ndio wangekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha jamii inabaki salama na maadili safi kwa kuzuia hayaa tunayoyaona kutoka kwa wanaojiita wasanii. Watoto wetu sasa wanakuwa ki-mwili na bongo zao zimejaa Zuchu , Diamond ,Hamonaizi ,Dulla makabila na wapuuzi wengine waharibifu wa maadili. Halafu huyohuyo mtoto ndio unataka alikuwa awe mtu mwema(maadili) kweli?? Huo Ustawi wa jamii unatoka wapi hapo? (Huu ni mfano tu) Kama tutaendelea hivi kizazi /jamii ya 2050 itakuwa nyingine kabisaa.Itakuwa mbovu na ya ajabu kupita maelezo. Kila mmoja wetu ajaribu kutumia akili zake kufikiria hili vzr.
@swahilimusichub
@swahilimusichub 3 ай бұрын
Zanzibar ni ndogo sana kwa tanzania bara, sasa wazanzibar wengi sana hua mnakosea sana kugeneralize bara nzima mkitaka kujicompare na nyinyi yaani zanzibar, dar es salaam sio bara nzima bara inamikoa mingi sana, sasa ukisema bara kumeshaoza unatumia uwiano upi ndugu? ama unacompare dar na zanzibar? and still dar ni kubwa mno hata idadi ya watu wa dar na zanj ni tofaut tena sana... ebu tupunguze chuki tulizopandikizwa, either za kidini ama kisiasa au kihistoria, janga la maadili ni la dunia nzima, na sbabu si bongo fleva ama wasanii ..wasanii ni njia tu mojawapo ya usafirishaj wa hayo tunayoita maovu.. na muziki umegawanyika katika makundi mengi ama tofauti, uwe wa kufundisha kuelimisha kuburudisha ama wa kidini bado unabaki kua mziki, sasa ishu ni muziki ama muwasilihaji na namna ya uwasilishaji wa musiki uo? na mnahis kwann anawasilisha hivo? wateja ama customers wa bidhaa fulani hununua zaid bidhaa inayowakidhi, bas jamii zetu kutokana na utandawazi ndio chanzo cha hao wasanii kuleta bidhaa ama kuwasilisha bidhaa hiyo kwa namna hiyo. suala lingine ni imani, imani unayoona ww ni sahihi na namna unayoishiww unayoona ni sahihi sidhan kua dunia nzima wataona sahihi.. dini moja tu lakin unakua kuna baadhi ya mambo wanatofutiana, ama inawezekana wote waislam lakin ww ukajiona uko sahihi ama bora kuliko mwingine kutokana na matendo ama kushikilia misingi hiyo, ambapo mara nyingi waislam wa zanzibar hujiona wako sahihi sana kuliko waislam wa bara.. kwa mfano, sasa imagine hio ni dinj moja ila ni tofuti.. sas utamshawish vip tu asieamini katika dini yoyote afanye matendo unayoona ww ni sahihi, na je usahihi wa jambo lolote ni upi? binadamu amezaliwa akajikuta katika familia fulani yenye dini fulani, let say akasoma madrasa akaingia deep katika uislam, the same human angezaliwa katika familia nyingine yenye iman tofuti bas angekua tofauy pia ... unaongelea sana kuhusu kuchukia watu kias cha kutaman hata waondolewe duniani? io ni dini au ni ww? ni sahihi kumchukia mtu na kumwish afe kisa hayupo upande wako ama si muumin wa dini ya kiislam? unaweza kua na fikra yako pia, you are a human being with a free will and thinking.. usiwe san blinded na uliyoishi ukiyakiskia na kuyasoma na kukuzunguka. think deep, bila kuyumbisha imani yako, its better for u as a humanbeing
@ghalibelghanim1151
@ghalibelghanim1151 3 ай бұрын
Asante Sheikh. Zanzibar imeharibika.
@AminaOthman-b4f
@AminaOthman-b4f 3 ай бұрын
You're absolutely right thank you sheikh ,may Allah continue to bless and protect you Ameen.🙏
@ummuhammad7571
@ummuhammad7571 3 ай бұрын
Well said❤ Mh Raisi ingetoa amri moja marufuku kuanzia sasa one two three ingependeza 😊
@NassorrajabJuma
@NassorrajabJuma 3 ай бұрын
Allah akulipe shekhe wetu na wanaovaa uchi pia nao waambiwe
@FatushMwinyi-z8d
@FatushMwinyi-z8d 2 ай бұрын
Mashallah Sheikh, Allah akujaze Iman na akujaalie msimamo wako ubakie ktk dini
@saidbakar-x1m
@saidbakar-x1m 3 ай бұрын
Umesema kweli shekhe wangu
@AllyAme-h9e
@AllyAme-h9e 3 ай бұрын
Mashallah Zanzibar waislam cc mambo hayo kharam kwetu tusaidien viongoz kuondoa uchaf huu
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 3 ай бұрын
Safi kabisa sheikh wetu Mheshimiwa amekuelewa vema
@FaridaAlita-jx6lt
@FaridaAlita-jx6lt 3 ай бұрын
Asanteni hii mada nimeipenda kwakweli
@PanyaBuku-qo7tu
@PanyaBuku-qo7tu 3 ай бұрын
Safi kabisa shekh tena wafungwe hao jela kwa kukaa uchi tumewachoka mishetani na wachafu
@FathiaHassan-g7t
@FathiaHassan-g7t 3 ай бұрын
mashallwah allwah atakulipa kila khiri
@Zivago12
@Zivago12 3 ай бұрын
Alhamdulillah. Allah akulipe kheri zako kwa ujasiri ulousema. Na umalaya pia umezidi madanguro yamezidi. Jamaa zake wa bara ndio walojaa znz hakuna ustaarab kabisa.
@alijuma8009
@alijuma8009 3 ай бұрын
Mashaalah muungu akulipe kwa ujasiri wako
@kamalmukaddam1521
@kamalmukaddam1521 3 ай бұрын
Hongera sheikh ukweli umesema maana viongozi wa kisiasa wapo kidunia zaidi wanakula akhera yao duniani kabisa
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 3 ай бұрын
ilo baraza la sanaa lihamiye baraa sisi waislamu zanzibar uchafuu uwoo hatutaki
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 ай бұрын
Ndiyo matokeo ya muungano
@salma0000
@salma0000 3 ай бұрын
​@@richardnganya2311si uongo, hao vibaraka wachache wanaotaka muungano kwa ajili ya matumbo yao wamejisahau na wengine hata hiyo dini hawaijui wamo tu na ccm oye zao huku wanatuangamiza.
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 3 ай бұрын
Unamaana gani kusema ilo baraza lihamie bara wacha hizo Abdallah sote ni watanzania
@nurdinimzimbiri
@nurdinimzimbiri 3 ай бұрын
Sheikhe Allah akulipe ujumbe ushafika serkali ya Zanzibar inalakijibu mbele ya Allah
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY 3 ай бұрын
MAASHA ALLAH BAARAKALLAH Sheikh ALLAH akubaarik saaana na akuhifadh saaana.
@mohamedshaban745
@mohamedshaban745 3 ай бұрын
Umefikisha kaz kwako mh mwinyi ujumbe umefika❤
@HawailVuai-gm3ur
@HawailVuai-gm3ur 3 ай бұрын
Mashallah ALLAH akupe umri mrefu wenye heri na we kwasababu ni ukweli mtupi mashallah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏☝️☝️☝️
@ip_header
@ip_header 3 ай бұрын
JazakhaAllah Khairah, ahsante sheikh umeongea ukweli, tatizo viongozi wetu wanaongea kisiasa zaidi kuliko kuwa na hofu ya Mungu
@jaysullman3697
@jaysullman3697 3 ай бұрын
Mashaa'lLah tabarak al Rahman JazzakalLah khairan akhui yangu 👍💯 kiukweli maneno uliyoyasema hakuna anaethubutu kuyaongelea hayo kiukweli Uliyoyasema ni maneno ya AlLah Azza wa jaalLah!!!❤❤❤❤
@KizaSelepa
@KizaSelepa 3 ай бұрын
Allah akipe afya njema mzee wng❤❤
@niyaabdi
@niyaabdi 3 ай бұрын
Wallahi exactly sheikh 👍👍👍👍
@suleimanalisaid2201
@suleimanalisaid2201 Ай бұрын
Allah ndie hakim ishallah ujumbe umefika allah atubariki kwa sote
@JumaMazrui
@JumaMazrui 3 ай бұрын
Mashaallah. Shekhe umefikisha.Rais tumekuelewa. Nguvu kubwa iko kwako.
@TaayaElimu
@TaayaElimu 3 ай бұрын
Allah alipe huyu sheikh kaongea jambo la maana saaana bila uoga. Allah amlinde na kila baya
@SaidoHopa
@SaidoHopa Ай бұрын
Allahumabarik mungu akuhifadhi Allah atuongoze watoto wetu wote
@muhammadfadhil9442
@muhammadfadhil9442 3 ай бұрын
Hongera sana sheikh Allah ameshakushuhudia na umeshafikisha
@Freeedom-e4h
@Freeedom-e4h 3 ай бұрын
Mashaa Allah shehe wetu ushafikisha Allah akulipe heri zako
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 3 ай бұрын
Sheikh Abdulaziz umeufikisha ujumbe, thanks, na Mh rais Hussein Mwinyi ni kweli maneno yako, kuwa na wazazi/walezi/jamii tunahusika kwa hayo
@AkhamAbdala
@AkhamAbdala 3 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheir sheikh kazi niyarais sasa umeshamfikishia ujumbe
@angeluspm5476
@angeluspm5476 3 ай бұрын
Mimi namuunga mkono huyo ndugu yetu alichosema. Naishi nje pia lakini napenda sana kutazama filamu za Tanzania na yale watu binafsi wayawekayo kwenye mitandao ya kijamii. Kwa kweli inasikitisha sana. Yaonyesha watu wamesahau kabisa mila na tamaduni zetu. Watu hujionyesha uchi bila hata ya aibu. Twawatayarishaje watoto wetu kuwa raia bora iwapo waendelea kuona mambo kama haya kila siku! Serikali ni lazima ziingilie kati jambo hili ili kuweza kudhibiti kutokea kwa mambo kama haya, tafadhali. Ahsante.
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 3 ай бұрын
Usiogope sema haki halafu hata wanamziki wasikaribishwe ikulu inakuaje wanamziki wanakwenda ikulu namuomba rais wanamziki niwatu wabaya wstaiharibu jsmii
@abdulatifismail4747
@abdulatifismail4747 3 ай бұрын
Ndio wapiga kura wao na mabarazuli mashoga hai ccm oyee😅
@utaani1
@utaani1 3 ай бұрын
Waimbaji wenyewe wanafirwa ndio wagaiwe funds na umoja wa mahanisi ulaya
@Mammymuhamed
@Mammymuhamed 3 ай бұрын
​@@abdulatifismail4747Vyama vyote vya siasa vinatumia hayo magoma. Labda wewe huoni uzuri.
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 ай бұрын
Na wanaovaa uchu ni wale watalii wa kiafrika kutoka Nigeria. ghana.kenya. Na south africa.na wabongo pia
@utaani1
@utaani1 3 ай бұрын
Hawana faida yoyote wasiruhusiwe kuja Zanzibar wageni hawa kutoka nchi hizo
@Mammymuhamed
@Mammymuhamed 3 ай бұрын
​@@utaani1sio wasiruhusiwe, wasingie na viguo vyao vya uchi, kwa watoto wetu wanaiga Kila waonecho. Wafanye kama hosp ya Lugalo jeshini. Hawaingi na suruali Wala viguu vifupi. Wanaweka Kanga , matenge kwenye handbag zao ni wakifika mlangoni tu wanajifunga vizuri. Na huko wakifika bandarini tu wajistiri. Wallahi ukimuona mwanamke mwenzio kavaa uchi aibu utafikirai kama wewe ndio upo hivyo.
@swahilimusichub
@swahilimusichub 3 ай бұрын
wakizuiliwa mtafufa na njaa, au hamjui kua utalii ndo uti wenu wa mgongo? au mnalima skuiz?
@utaani1
@utaani1 3 ай бұрын
@TallMnyama255 nani mwenye shida na pesa za watu wanaopanuliwa matako na lgbtq kisha wakagaiwa magari na nyumba
@swahilimusichub
@swahilimusichub 3 ай бұрын
@@utaani1 Muamuzi si ww ni serikali yako, serikali inatafuta pesa ili ww usife njaa, unazani serikali ikiwa masikin hata izo pesa zako unazotafuta unazoita halali utazipata? .. na kama hitaki pesa , hospital utaenda kutibiwa na karatasi? vip kihusu kulisha familia yako? .. kwa kifupi kelele na jazba haziwezi zuia utanandawazi labda mtafute dunia yenu wazanzibari watukufu. mana mnajionaga kama hamna zambi iv.. hongereni watukufu.
@MUHSINSALUM-cc4tg
@MUHSINSALUM-cc4tg 3 ай бұрын
Ahsante saana mzee Allah akulinde na Atupe suluhu Katika hilo.
@FORODHANI_BUS_BOOKING_OFFICE
@FORODHANI_BUS_BOOKING_OFFICE 3 ай бұрын
MashaAllah Allah akulipe kila lenye kheri, Ujumbe umefikisha
@RahmaIddi-s2s
@RahmaIddi-s2s 3 ай бұрын
As-salam Alaykum warahmatullah wabarakat.... sheikh ni kweli upo sahihi wallah. Serekali inakuhusu uovu uendelee Zanzibar... ikiisha tunasoma maisha magumu ni kufuru zmezidi sanaaaaaaaaa.... dhambi nyingi.... sheikh umesha fikisha. Ujumbe....hata ukichukuliwa na watu wasio julikana lkn umesha fikisha ujumbe umefika..... Serekali...Rais wetu utakuwa masuuil mbele ya Allah Tabarak Rahman
@نوفل-س5ر
@نوفل-س5ر 3 ай бұрын
Hahah et me staki kuziona😂,hongera sheikh
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 3 ай бұрын
Sheikh umejua kunifurahisha 🥺Alhamdulillah umefikisha Ujumbe Allah amekuona na sisi tumeshuhudia Hio yoote ni Serekal tu iamue jaman sisi nchi yetu Hatutak mavaz haya wakishuka hata wazungu wapewe mavaz yetu wajistir Lkn ikiwa viongoz hawako tayar Ata Mkapiga kelele vipi Wallah ni sawa na kutia maji pakachan Sema tu msichoke kwa sabab Fungu lenu mtalipata kwa Allah 🤲Viongoze watakwenda jibu Sik ya hesab wana jukum zito kila mtu ni mchunga na kila mtu ataulizwa kwa alichokichunga🥺😪Nlitaman uongelee na Masuala ya music Uchaf mtu matusi Ni maporo moko makubwa ya maadili 😭😭😭😭
@faudhiaabdallah4361
@faudhiaabdallah4361 3 ай бұрын
Well said❤mashaallah
@AliAbdullah-oy6yo
@AliAbdullah-oy6yo 3 ай бұрын
Ikiwa mnaweka sharia ktk nchi lazima Raia awe na kitambulisho ataweza kupata huduma za serika halafu raia ananyimwa kwa makusudi hamumpi. Halafu mnategemea hao wataweza kusimamia maadili ya Zanzibar? Wakati vitambulisho vya Mzanzibari wanapewa machangudoa wanaokuja kujiuza .
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb 3 ай бұрын
Ndio hapo
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff 3 ай бұрын
@@nailamohd-wn6sb Nisawa wakati wa Rais Karume Airport ya znz kulikuwa na vitenge maalum akishuka ndege 2 mtalii anapewa kitenge maalum ajistiri!
@saiddgsmg
@saiddgsmg 3 ай бұрын
umeongea haki
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb 3 ай бұрын
@@TunauzaSimu-fn2ff ndio nikasema hawezi kusimamia km alivosema brodher hapo juu mana vitu simple tuu ni kurudisha yale ya zamani na mrejeshaji ni serikali na msimamiaji ni serikali sheikh na jamii kazi yao kutoa taarifa tuu laa sio hivo basi tutakauka mate kwa kusema na hawezi kusimamia hilo chezea Muungano ww
@RashidiAlly-cl7fo
@RashidiAlly-cl7fo 3 ай бұрын
Serikali inakwepa jukumu lake,wao ndio waliokula kiapo kuilinda katiba ya Znz,tumuulize Mh.Rais kwa mujibu wa katiba ya Znz hapo Unguja bar zilitakiwa zisidi ngap?jee! Sasa hivi zipo ngapi?,jee! Mwinyi huyajui yanayoendelea CCM mkoa pale Amani?,kuna kila aina ya uchafu unaofanyika pale,jee sio wewe mwenye mamlaka ya Zanzibar kwa sasa?nani wa kuyazuia hayo kama sio wewe!!,leo unashindwa hata kuitetea katiba ulioiapia!!
@SALIMMUUNGWANA-he9it
@SALIMMUUNGWANA-he9it 3 ай бұрын
Mashallah Allah akupe ujasiri nguvu hekma na msimamo huo huo uwendelee kutoa ukumbusho Maalim Hakika umekuwa jasiri
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 3 ай бұрын
Mkijiheshimu na kuheshimu uislam wenu na maadili na utamaduni na nyinyi watalii watawaheshimu lakini mkijidharaulisha na kudharau uislam wenu na maadili yenu na utamaduni wenu na nyinyi mtadharauliwa solution ni dola ya kiislam peke yake
@RashidsleimanIman
@RashidsleimanIman 3 ай бұрын
Shukran sheikh ALLAH akulipe kher kwa kufikish ujumbe
@mohammedsalim3315
@mohammedsalim3315 3 ай бұрын
Allah yu shahidi kwa hili ulofikisha
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 3 ай бұрын
ALLAH rais mwinyi amuhifadhi namkubali sana kusema ukweli cjaona rais kama huyu anasema na anafanya ALLAH amjaalie pepo
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 3 ай бұрын
Allah awajaalie hao viongozi Wawe na masikio na masikio ya moyo wasikie.
@aseelaisaa428
@aseelaisaa428 3 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤❤ Shukran Mh Rais Dr Hussein mwinyi umejibu vizuri sanaaa safiiii kabisaaaaa sahihiiiiiiiiiiiii.media mitandao etc zote na wazee na kila mtu ktk jamiiiii wanawajibu wa kuongozana na kuelewesha jamiiiii ❤❤❤❤ sio serikali peke yake .
@NaglaSaid-jn1xo
@NaglaSaid-jn1xo 3 ай бұрын
Subhanallah , hakuna anaepinga hilo kwamba kila mmoja anao wajibu wa kukumbusha, lakini mtume SAW amesema kuna njia tatu za kuzuwia uovu isitendeke , Njia ya kwanza kuzuwia kwa mkono wako, Njia ya pili kukemea kama uwezo wa kuzuwia huna kama mzee wangu alivyofanya hapo . Na njia ya tatu ni ys kuchukia ingawa huko kuchukia ni udhaifu wa imani. Hivyo rais kama kiongozi mkuu wa nchi hana njia ya kukwepa sababu yeye leo akitamka tu kuanzia leo marufuku muziki Zanzibar akimaliza kutamka tu tayari Zanzibar itaanza kupiga hatua maana amri itakuaimetoka kinachofata ni utekelezaji , ukituletea mziki ni kichapo tu kila mmoja atakaa kwa heshima na adabu,
@NaglaSaid-jn1xo
@NaglaSaid-jn1xo 3 ай бұрын
Lakini je ana ubavu huo,? mfumo utamuacha salama? Ulwa hautaki tena?
@w4058
@w4058 3 ай бұрын
​@@NaglaSaid-jn1xo Hana Nia ya hayo aloyasema Allah atuongoze sote maana haiwi harusi tu ya mtoto wake alivyo vishwa utupu na video kurushwa kwenye you tube na sasa imekuwa fashion siyo yeye tu hapana sote tunajisahau siku hizi Allah atusaidie sote kuwacha
@w4058
@w4058 3 ай бұрын
Usimsifu bure yeye ni uli amri atanabahishwa kajitetetea tu hapo aonekane kama anataka kuyafanya yule dada alokuwa akisema khabari za ushoga na mengine wakiwemo mauwaji mbona hatujasikia wahusika kupandishww mahakamani
@RahmaIddi-s2s
@RahmaIddi-s2s 3 ай бұрын
Sisi watu wa chini hata tukisema. Wananchi hatusikilizwi lkn likianza huko juu na sisi tutamaliziya ln shaa Allah kheir 🤲
@Sarah-e1o9k
@Sarah-e1o9k 3 ай бұрын
Jina la raisi msiseme hamumjui ❤❤❤❤
@abdallasadik
@abdallasadik 3 ай бұрын
Dah' yaani shekh umeshafikisha mahala sahihi na Allah Anasema hamuadhibu mtu mpaka amfikishie ujumbe Mh.Rais kazi kwako mamlaka unayo
@kunsule9261
@kunsule9261 3 ай бұрын
Hakika sheiykh umefikisha. Allah Azidi kukuongoza. Zanzibar Imeharibika inaikimbiza Tanganyika kwa upotevu wa maadili. Kila rais zanzibar ni Muislam. Mawaziri wakuu wa mikoa hadi chini ni waislam lkn hujifanya Uovu uliopo znzbar hawauoni kwa kuhofia Ajira yao. Amri Inatoka tz bara. Jipangeni kumjibu Allah.
@FarhaMud-cp3ng
@FarhaMud-cp3ng 3 ай бұрын
Maashaallah kwakweli mungu akulipe kheri inshaallah kwajinsi ulvojitahid kufikisha
@JOKHAALIY
@JOKHAALIY 3 ай бұрын
Allah akulipe kheri mzeee wangu Ujumbe umefika
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 3 ай бұрын
Mzee ujumbe umefikisha
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 3 ай бұрын
Kiufupi wasiingie ikulu wasikaribishwe wanamziki hata kuwenda kutoa pole wanapofiwa msiwaruhusu
@omarhusna1766
@omarhusna1766 3 ай бұрын
Ujumbe ushawafika fungu lako lisha malizia sasa kwazi kwao
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 3 ай бұрын
Mungu akulinde mana viongoz wetu ndo wanapenda hayo
@nadhifamohammed7749
@nadhifamohammed7749 3 ай бұрын
Mbona inawezekana viongozi tu wadharau lkn wanaweza kudhibiti Allah awajalie wapokee huu ujumbe
@saheelameir4313
@saheelameir4313 3 ай бұрын
Sheikh Allah atulinde na avilinde vizazi vyetu umefikisha ujumbe
@omarhamadomar8832
@omarhamadomar8832 3 ай бұрын
Allah akulipe kwa hilii hakika ujumbe umeufikisha panapo takiwa kazi ipo kwao waliofikishiwa
@SalumKeya
@SalumKeya 3 ай бұрын
Sahihi kabisa sheikh wetu umefikisha vilivyo na viongozi wakae chini kulitatua hili tatizo maan vijana wengi sas wameharibika sana na hii sanaa ya Muziki.Nafikili wangeondoa tu maan haina faida yeyote kwa jamii zaidi ya kuharibu vijana
@Freeedom-e4h
@Freeedom-e4h 3 ай бұрын
Hussen umelichomowa sheria za znz mnazikataa mnasingizia jamiii
@mbaroukkhalfani9244
@mbaroukkhalfani9244 3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi sheikh
@thehomeoffootballskills4358
@thehomeoffootballskills4358 3 ай бұрын
Alhamdullillah umefukisja Shekh ata uku bara natamani tungepata wakutisea kama wewe maadil yamealibika sana sana umefikisha Shekh nasi ni shahidi kwa hilo
@am2323tze
@am2323tze 3 ай бұрын
Ni kweli. Uchafu umezidi kwa jina la utamaduni. Huyu Hemedi aliwanyoa vijana nywele Mkoani Pemba leo jee. Wanaburuzwa na wabongo
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 3 ай бұрын
Allah akulipe kila la kher
@alsam4881
@alsam4881 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo huyo Sheikh, Haswa hao wanaojiita wasanii na watu maarufu kutoka bara ndiyo wanakuja Zanzibar kufanya maasi na uchafu wao huo na kuvaa nusu uchi, Kwakweli wanatuharibia vijana wetu, Mie naomba Serikali ya Zanzibar isiwakaribishe tena hao wasanii kutoka bara wenye maadili mabaya pamoja na huyo binti wa kizanzibari Zuchu na hawara yake Diamond.
@AminaOthman-b4f
@AminaOthman-b4f 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa, maneno yako sahihi thank you..🙏
@alifoum6236
@alifoum6236 3 ай бұрын
Asante shekh, ALLAH atakulipa kheri kwa ujumbe
@SuleimanMkubwa-ic1ig
@SuleimanMkubwa-ic1ig 3 ай бұрын
Asant sana Baba Allah akusimamie juu ya kila kitu. Tuko pamoja baba
@KhalfanSaid-v1h
@KhalfanSaid-v1h 3 ай бұрын
Sheikh Allah akulipe heri...
@thelistener8357
@thelistener8357 3 ай бұрын
You took your complaint to the right person and the right place if Mr President ignores it he will face God one day
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 3 ай бұрын
Sheikh upo sahihi kabisa mungu yupo pamoja nawe
@WakudeWizzi
@WakudeWizzi 3 ай бұрын
Mungu akubariki saana
@abouda.r.7901
@abouda.r.7901 3 ай бұрын
Umefikisha na Allah kashuhudia maalim wangu Shkh. Duduu
@saidhamadkhamis8445
@saidhamadkhamis8445 3 ай бұрын
Allah atusaidie n atupe nguvu kuyalinda maadili ya Zanzibar
@AminaOthman-b4f
@AminaOthman-b4f 3 ай бұрын
Ameen yarabi. 🙏🏝️
@bongo39
@bongo39 3 ай бұрын
Sahihi kabisa piga marufuku zuia kabisa najua watajitokeza wengi kusema mnakiuka haki za binaadamu ubaguzi waambueni sawa hatutaki hiyo laana ni aibu mungu atunusuru yani hata hayawani hafanyi hayo
@Rukinho
@Rukinho 3 ай бұрын
Hakika ni kweli kabisa hizi nyimbo hazifai kabisa
@khaledsuleiman9819
@khaledsuleiman9819 3 ай бұрын
Jazaka Allah khair
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 3 ай бұрын
Ukweli mchuku.. Shehe umefanya la maana sana maana hutokosa la kujibu siku ya hukumu wajibu wako umeshautimiza kukemea maovu Zanzibar.. Allah atakulipa inshallah
@rashid3562
@rashid3562 3 ай бұрын
Much confident
@saiddotto8584
@saiddotto8584 3 ай бұрын
Nimependa jibu la raisi
@luciasteven3314
@luciasteven3314 3 ай бұрын
Wazanzbar kwakujistr tu aaash mko vzur❤ niliwah vaa suluar kwa drdr mm pekeangu ndio nilionekn kituko😂
@mariamhussein2737
@mariamhussein2737 3 ай бұрын
Swadakta ❤
@KijukuuKijukuuhalic
@KijukuuKijukuuhalic 3 ай бұрын
Mashaallah shkh upo kwenye mstari saluti kwako
ZANZIBAR NI YA MWANZO NA YA MWISHO | FEB 05/2025 (SEMA NASI)
33:58
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 4,5 М.
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН
Вопрос Ребром - Джиган
43:52
Gazgolder
Рет қаралды 3,8 МЛН
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
SIRI YA RAIS MWINYI KWENDA NGOME YA ACT WAZALENDO YAFICHUKA
36:37
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 11 М.
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН