Shukrn sheikh Allah akulipe khery mkono kwa mkono hadi peponi
@IbrahimMussa-g6l2 сағат бұрын
ALLAH Akulipe ustadh ujumbe umefika na viongozi in shaa Allah M/Mungu awasaidie kupambana na izo hali
@MchaFakih-ij8kh9 сағат бұрын
Well said may Allah bless you and Grant highest level of jannah
@ramzsule76788 сағат бұрын
Sheikh huna hoja mbele ya Allah umefikisha na Sisi mashuhuda na tunakuunga mkono Kwa Hilo hawakutekeleza watakwenda jibu shukran sheikh
@Quran-hidayat014 сағат бұрын
ameen
@Hussein-qq2uy7 сағат бұрын
Wallaahi sheikh wangu Allah akulipe kheyr umeshafikisha ujumbe huna dimma mbele ya Allah watu wa serikali wanajulikana wanauogopa mfumo Kristo ulioshika hatamu Tanzania nzima mimi naamini kama Rais atatoa tamko la kuzuia uchafu huu kwa nafasi yake hakuna atakaethubutu lakini ni mtihani tuwaachie mizigo yao
@joycedimoso86483 сағат бұрын
Zuieni na smart phone zisiingie Wala kutumika Zanzibar bila ivyo kazi bure
@solomonadams63379 сағат бұрын
Mimi niko UK mwaka wa 22 lakini naungana nae huyu Sheikh hawa waumbaji wasije kuimba Zanzibar sisi tuna mila zetu za kiislam sawa,thanks
@joycedimoso86483 сағат бұрын
Ishini kulingana nanyakati sasa ivi ulimwengu wautandawazi nyimbo hazitapigwa kwenye tv na redio vp kuhusu smart phone hawataangalia kwenye tv sawa je kwenye cmu pia mtazuia? Mkitaka kuliweza hili nawashauri mpige marufuku cmu kuuzwa Wala kutumika zenjy Dunia yautandawaz huwezi kushindana nayo
@gwajimagwajima3 сағат бұрын
Unaweza kuzuaia KZbin na kila sehemu@@joycedimoso8648
@HUSSEINALLY-b7f2 сағат бұрын
@@joycedimoso8648we itakuwa unapenda Hawa wasanii wahuni.kinachowezekana kifanyike
@IlhamKhalid-mt3jp46 минут бұрын
Acha ujinga lazima ikatazwe mtu akifungua mwenyewe nijukumu lake binafsi@@joycedimoso8648
@abuusalum9286 сағат бұрын
Allah akuzidishie mzee wangu , umefikisha na Allah ni shahid!!
@SuolFat4 сағат бұрын
Hongera sana shekhe umeongea ukweli mtupu
@JumbNovis9 сағат бұрын
Allah akubariki, Allah ailinde zanzibar yetu ,
@abuuzahra-fc2jg6 сағат бұрын
Naam huu ndio ukweli Mzee wetu Allah akulipe
@saidbakar-x1m5 сағат бұрын
Umesema kweli shekhe wangu
@shakirashakira-gc2yw6 сағат бұрын
Ndugu yangu katika upo sahihi allah akuifadhi
@najashdawood96804 сағат бұрын
Upo sawa kabisa sheikh wetu ..hongera kwa ukweli uliowapa hao waheshimiwa .mmaana nao wanjitoa fahamu kabisa
@FathiaHassan-g7t5 сағат бұрын
mashallwah allwah atakulipa kila khiri
@NassorrajabJuma5 сағат бұрын
Allah akulipe shekhe wetu na wanaovaa uchi pia nao waambiwe
@ghalibelghanim11515 сағат бұрын
Asante Sheikh. Zanzibar imeharibika.
@KizaSelepa4 сағат бұрын
Allah akipe afya njema mzee wng❤❤
@alijuma80099 сағат бұрын
Mashaalah muungu akulipe kwa ujasiri wako
@abdallahmsham-eb7jz3 сағат бұрын
ilo baraza la sanaa lihamiye baraa sisi waislamu zanzibar uchafuu uwoo hatutaki
@AllyAme-h9e8 сағат бұрын
Mashallah Zanzibar waislam cc mambo hayo kharam kwetu tusaidien viongoz kuondoa uchaf huu
@faudhiaabdallah43617 сағат бұрын
Well said❤mashaallah
@kamalmukaddam15213 сағат бұрын
Hongera sheikh ukweli umesema maana viongozi wa kisiasa wapo kidunia zaidi wanakula akhera yao duniani kabisa
@FaridaAlita-jx6lt7 сағат бұрын
Asanteni hii mada nimeipenda kwakweli
@Zanzibar-e4h4 сағат бұрын
Mashaa Allah shehe wetu ushafikisha Allah akulipe heri zako
@hajiabdalla57725 сағат бұрын
Na wanaovaa uchu ni wale watalii wa kiafrika kutoka Nigeria. ghana.kenya. Na south africa.na wabongo pia
@alimsellem61035 сағат бұрын
Diamond asije zanzibar
@jumakapilima72954 сағат бұрын
Ungeanza na Mauzinde kumkataza aache usenge ungefanya Jambo jema sana
@alsam48813 сағат бұрын
Wote hao wapigwe marufuku kuingia Zanzibar kuanzia Diamond na harmonize na hawara zao, Mwijaku, babalevo, gigy money, wema sepetu, whozu, lulu diva, shilole na mahawara zao na wengine wote wenye tabia chafu wasikaribishwe tena Zanzibar wapewe marufuku kuingia,
@AbdulazizElShuwehdy2 сағат бұрын
Alfatah TV Tafadhali rakibisha mimi sio mzee Andika ifuatavyo Shaikh Abdulaziz El Shuwehdy
@masoudalriyamy62988 сағат бұрын
Usiogope sema haki halafu hata wanamziki wasikaribishwe ikulu inakuaje wanamziki wanakwenda ikulu namuomba rais wanamziki niwatu wabaya wstaiharibu jsmii
@abdulatifismail47473 сағат бұрын
Ndio wapiga kura wao na mabarazuli mashoga hai ccm oyee😅
@nurdinimzimbiri4 сағат бұрын
Sheikhe Allah akulipe ujumbe ushafika serkali ya Zanzibar inalakijibu mbele ya Allah
@alsam48813 сағат бұрын
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo huyo Sheikh, Haswa hao wanaojiita wasanii na watu maarufu kutoka bara ndiyo wanakuja Zanzibar kufanya maasi na uchafu wao huo na kuvaa nusu uchi, Kwakweli wanatuharibia vijana wetu, Mie naomba Serikali ya Zanzibar isiwakaribishe tena hao wasanii kutoka bara wenye maadili mabaya pamoja na huyo binti wa kizanzibari Zuchu na hawara yake Diamond.
@masoudalriyamy62988 сағат бұрын
Kiufupi wasiingie ikulu wasikaribishwe wanamziki hata kuwenda kutoa pole wanapofiwa msiwaruhusu
@HafidhKhamis-ph8qg7 сағат бұрын
Safi kabisa sheikh wetu Mheshimiwa amekuelewa vema
@NoufelSalim3 сағат бұрын
Hahah et me staki kuziona😂,hongera sheikh
@mohamedshaban7453 сағат бұрын
Umefikisha kaz kwako mh mwinyi ujumbe umefika❤
@JumaOmar-ku6cr8 сағат бұрын
Mzee ujumbe umefikisha
@Zanzibar-e4h4 сағат бұрын
Hussen umelichomowa sheria za znz mnazikataa mnasingizia jamiii
@AliAbdullah-oy6yo9 сағат бұрын
Ikiwa mnaweka sharia ktk nchi lazima Raia awe na kitambulisho ataweza kupata huduma za serika halafu raia ananyimwa kwa makusudi hamumpi. Halafu mnategemea hao wataweza kusimamia maadili ya Zanzibar? Wakati vitambulisho vya Mzanzibari wanapewa machangudoa wanaokuja kujiuza .
@nailamohd-wn6sb7 сағат бұрын
Ndio hapo
@TunauzaSimu-fn2ff5 сағат бұрын
@@nailamohd-wn6sb Nisawa wakati wa Rais Karume Airport ya znz kulikuwa na vitenge maalum akishuka ndege 2 mtalii anapewa kitenge maalum ajistiri!
@saiddgsmg5 сағат бұрын
umeongea haki
@nailamohd-wn6sb5 сағат бұрын
@@TunauzaSimu-fn2ff ndio nikasema hawezi kusimamia km alivosema brodher hapo juu mana vitu simple tuu ni kurudisha yale ya zamani na mrejeshaji ni serikali na msimamiaji ni serikali sheikh na jamii kazi yao kutoa taarifa tuu laa sio hivo basi tutakauka mate kwa kusema na hawezi kusimamia hilo chezea Muungano ww
@RashidiAlly-cl7fo4 сағат бұрын
Serikali inakwepa jukumu lake,wao ndio waliokula kiapo kuilinda katiba ya Znz,tumuulize Mh.Rais kwa mujibu wa katiba ya Znz hapo Unguja bar zilitakiwa zisidi ngap?jee! Sasa hivi zipo ngapi?,jee! Mwinyi huyajui yanayoendelea CCM mkoa pale Amani?,kuna kila aina ya uchafu unaofanyika pale,jee sio wewe mwenye mamlaka ya Zanzibar kwa sasa?nani wa kuyazuia hayo kama sio wewe!!,leo unashindwa hata kuitetea katiba ulioiapia!!
@khaledsuleiman98197 сағат бұрын
Jazaka Allah khair
@sulaimansalim808613 минут бұрын
Masha Allah mashaa Allah huyu Mzee haya maneno yake inafaa yaandikwe Kwa wino wa dhahabu Allah ampe Jannat Firdausi Ameen
@omarhusna17667 сағат бұрын
Ujumbe ushawafika fungu lako lisha malizia sasa kwazi kwao
@Sarah-e1o9k3 сағат бұрын
Jina la raisi msiseme hamumjui ❤❤❤❤
@ndimimaskati36413 сағат бұрын
Desturi na hulka za ZANZIBAR zimepotea kutokana na viongozi wanaletwa kutoka TANGANYIKA.
@MuzneOthman-l7iСағат бұрын
KWELI BWANA WAO NDIO WALIYOLETA SUNSUMIA NA SAMRAT HAPA ZANZIBAR
@alifoum62362 сағат бұрын
Asante shekh, ALLAH atakulipa kheri kwa ujumbe
@nadhifamohammed77493 сағат бұрын
Mbona inawezekana viongozi tu wadharau lkn wanaweza kudhibiti Allah awajalie wapokee huu ujumbe
@abdulazizjeizan-vx1mc2 сағат бұрын
Mimi naona nyinyi ni kama watoto wadogo tu bila ya kuwa na dola ya kiislam tutapiga make time
@AwenaFeisal3 сағат бұрын
Maa shaa Allah kweli jamani
@PanyaBuku-qo7tu50 минут бұрын
Safi kabisa shekh tena wafungwe hao jela kwa kukaa uchi tumewachoka mishetani na wachafu
@khamisjuma76162 сағат бұрын
hapo kuna jamaa ndiye anayewaleta kina zuxhu na yule mke wa pdidi
@RukinhoСағат бұрын
Hakika ni kweli kabisa hizi nyimbo hazifai kabisa
@KamchapeKacharaСағат бұрын
Wewe ndo muumin wa kweli na mungu atakusaidia na atatupa kheri inshaallah
@mbaroukkhalfani924428 минут бұрын
Allah akufanyie wepesi sheikh
@al-mamarial-mamari5457Сағат бұрын
Allah awajaalie hao viongozi Wawe na masikio na masikio ya moyo wasikie.
@kunsule9261Сағат бұрын
Hakika sheiykh umefikisha. Allah Azidi kukuongoza. Zanzibar Imeharibika inaikimbiza Tanganyika kwa upotevu wa maadili. Kila rais zanzibar ni Muislam. Mawaziri wakuu wa mikoa hadi chini ni waislam lkn hujifanya Uovu uliopo znzbar hawauoni kwa kuhofia Ajira yao. Amri Inatoka tz bara. Jipangeni kumjibu Allah.
@abdallasadikСағат бұрын
Dah' yaani shekh umeshafikisha mahala sahihi na Allah Anasema hamuadhibu mtu mpaka amfikishie ujumbe Mh.Rais kazi kwako mamlaka unayo
@SalumKeya2 сағат бұрын
Sahihi kabisa sheikh wetu umefikisha vilivyo na viongozi wakae chini kulitatua hili tatizo maan vijana wengi sas wameharibika sana na hii sanaa ya Muziki.Nafikili wangeondoa tu maan haina faida yeyote kwa jamii zaidi ya kuharibu vijana
@MohdJumaa-q3l4 сағат бұрын
Asalama aleykum warhamatu Allah wabarakatu. Bora kukatika viuno wanawake hata ktk ngoma za vikosi ni marufuku. Kidini bora Allah kuliko Sanaa.
@thehomeoffootballskills4358Сағат бұрын
Alhamdullillah umefukisja Shekh ata uku bara natamani tungepata wakutisea kama wewe maadil yamealibika sana sana umefikisha Shekh nasi ni shahidi kwa hilo
@FaridaAlita-jx6lt8 сағат бұрын
Kweli hilo lishughulikiwe kiingozi asimame imara kwakweli wanaume zama hizi ndio wanajistiri mno ila wanawake wao ndio matangazi yakila kitu ipigwe marfuk tusiwasikilize wazungu wasemavyo ety haki za binaadam hizo ni njama zao tu za kupotosha watu
@w40582 сағат бұрын
Kweli dada na safari ya skuli au madrasa inaanza nyumbani na sie tuanze na kwa sie wenyewe tuwache muweka ma help me kwanza na kujipamba tukitoka tuwache na mchanganyiko na kujitowa haya khasa katika siasa vyama vyote vinawashirikisha vibaya wanawake
@AslihanKhamis5 сағат бұрын
Anachokizungumza mzee ni sahihi utamskia rais anawaagiza masheikh suala la kukemea maadili wakati anajua kwamba yeye anayo nguvu kubwa ya kuondosha uovu kwa mikono yake na kwa mdomo wke.
@AllyHamran8 сағат бұрын
Zanzibar kichaka na kigenge cha wahun tu.Maana mtu anacheza uchi wa mnyama na inapigwa television ya taifa.
@abubakarkassim41616 сағат бұрын
Nawizara ya elimu inachangia kuharibika kwa kiswahili cha zanziba imepitosha maadili
@w40583 сағат бұрын
Ni kweli muwongo hana nia ya maadili hata chembe kajitowa tu kimaso aonekane kama nae hafurahuwi mwanawe siku ya harusi Subhanallah nguo alovishwa machuchu yakionekana haaa asitudanganye na kama ana Nia kweli basi mabaa yalojaa amani na miziki ayapige marufuku hatutaki sanaa za uharibifu
@aseelaisaa4284 сағат бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤❤ Shukran Mh Rais Dr Hussein mwinyi umejibu vizuri sanaaa safiiii kabisaaaaa sahihiiiiiiiiiiiii.media mitandao etc zote na wazee na kila mtu ktk jamiiiii wanawajibu wa kuongozana na kuelewesha jamiiiii ❤❤❤❤ sio serikali peke yake .
@NaglaSaid-jn1xo4 сағат бұрын
Subhanallah , hakuna anaepinga hilo kwamba kila mmoja anao wajibu wa kukumbusha, lakini mtume SAW amesema kuna njia tatu za kuzuwia uovu isitendeke , Njia ya kwanza kuzuwia kwa mkono wako, Njia ya pili kukemea kama uwezo wa kuzuwia huna kama mzee wangu alivyofanya hapo . Na njia ya tatu ni ys kuchukia ingawa huko kuchukia ni udhaifu wa imani. Hivyo rais kama kiongozi mkuu wa nchi hana njia ya kukwepa sababu yeye leo akitamka tu kuanzia leo marufuku muziki Zanzibar akimaliza kutamka tu tayari Zanzibar itaanza kupiga hatua maana amri itakuaimetoka kinachofata ni utekelezaji , ukituletea mziki ni kichapo tu kila mmoja atakaa kwa heshima na adabu,
@NaglaSaid-jn1xo4 сағат бұрын
Lakini je ana ubavu huo,? mfumo utamuacha salama? Ulwa hautaki tena?
@w40583 сағат бұрын
@@NaglaSaid-jn1xo Hana Nia ya hayo aloyasema Allah atuongoze sote maana haiwi harusi tu ya mtoto wake alivyo vishwa utupu na video kurushwa kwenye you tube na sasa imekuwa fashion siyo yeye tu hapana sote tunajisahau siku hizi Allah atusaidie sote kuwacha
@w40583 сағат бұрын
Usimsifu bure yeye ni uli amri atanabahishwa kajitetetea tu hapo aonekane kama anataka kuyafanya yule dada alokuwa akisema khabari za ushoga na mengine wakiwemo mauwaji mbona hatujasikia wahusika kupandishww mahakamani
@w40583 сағат бұрын
Kweli kabisa ile harusi ya mwanawe tu inatosha maana sawa raia wanafanya na wao lakini Rais wa nchi aaa
@salimabdallah517639 минут бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI
@nassorntandu45135 сағат бұрын
Sanaa hiyo unayosema ndiyo viongozi wanategemea wasanii ili kuwashawishi wananchi kukusanyika kwenye mikutano yao, " vigumu sana kwao sasa" kuwakataza! 😂
@maishadume32723 сағат бұрын
Hongeraaaaaa shehe ❤
@IddiKhamis-u6c7 сағат бұрын
😄 Atakae aje ndio hayo. Na wakati tumeungana na Watanganyika kamwe hayoondoka. Sababu hayo mambo yapo kiserikali.
@nailamohd-wn6sb7 сағат бұрын
Nilisema na mimi km serikali haingilii kati mashekhe mate yataganda na serikali hii ya mapinduzi hakuna litakalokua 😅 naona majibu ya Rais yy kishajitoa anakwambia tiktok hawezi kuchukua khatua mambo yataendelea km kawa
@AbdulMajidi-i9m2 сағат бұрын
Kichwa Cha habar na markezo tofaut muandish uache uhuni😊
@Nabiilkhamis5 сағат бұрын
Nyinyi mashekhe mauzinde ana Dukani katika mitandao yule ndio anavunja maadili
@knight6757Сағат бұрын
Enzi zetu hata TV hazikuwepo ...ati twende na wakati ! Mbona hao watalii hawa igi utamaduni zetu za kiafrica juu ya mawazi 🙄🤔
@fahadabdalla81948 сағат бұрын
Serikali
@mwinyiothman51065 сағат бұрын
Mim mwenyewe kwangu sina tv kwa sababu ya hayo hayo
@alikidungura94198 сағат бұрын
Wamesema serekali haimadini ila mambo ya sanaa ni ya dunia
@abkhamsalshamte4294 сағат бұрын
Hekoo Barakaallah
@SazafKiba7 сағат бұрын
Mashallah serekal inachangia sana
@ndimimaskati36413 сағат бұрын
Ccm ndio inapata pesa katika mabaa na waimbaji kutoka Tanganyika mpaka vigoma kutoka Tanganyika vimejaa kwenye mitaa ya ZANZIBAR.
@natafutamatatizo43827 сағат бұрын
DR MWINYI NDIE WA KWANZA KULAUMIWA, NA NDIE ANAYEIFANYA ZANZIBAR KUA DANGURO. MIJITU YA KILA NCHI LIMEJAA ZANZIBAR NA AMEIRUHUSU KUFANYA KILA BAYA, HALAFU ANAWAITA WAWEKEZAJI!
@alikidungura94198 сағат бұрын
Umeongeo kaka
@nurdinimzimbiri4 сағат бұрын
Sheikhe Allah akulipe jumble ushafika
@NaglaSaid-jn1xo4 сағат бұрын
Shekhe usitafune maneno wambie ukweli hao viongozi katika uislamu hakuna sanaa ya muziki, ni kharamu na viongozi wanatakiwakujua kwamba kuna maisha baada ya kufa huko hakuna Rais ,makamo wala waziri kila mmoja ni mchunga na atakwenda kuulizwa juu ya alichokichunga , lakini jibu lao hao litakua rakhisi wao wamejitahidi muziki kuuundia wizara ili utambulike uwe halali, kiufupi hao mabwana wakubwa wamehalisha kile ambacho Allah amekikharamisha.
@muhammadmuhammad50434 сағат бұрын
Huwo Niukweli Yule Zuchu Kaja Kaimba Hapo Rais Wa Tanzania Alikuwepo Na Hakufanya Chochote
@khadijaamur60325 сағат бұрын
Huyu sio mzee,hata 50 hajafika
@rashid3562Сағат бұрын
Much confident
@rashid3562Сағат бұрын
Namin hilo halifanyiwi kazi asilimia mia moja
@UmmuJauzan3 сағат бұрын
Mzee kashiba maharage kwanza wazuieni wazungu asiingie
@zinjibaryetu84514 сағат бұрын
Maneno thabit haya Zanzibar maadili yameporomoka sana sana na SMZ haichukui hatua zozote kudhibiti uchafu unaozidi kila kukicha...
@salmaghalib54745 сағат бұрын
Yemen mwenyewe mwinyi anavunja sheria ya dini kafanya harusi ya mwanae mbali na maadili ya dini
@AliMsellem7 сағат бұрын
nikweli znz imeisha watu watembea uchi mashoga wengi wasakaji wengi sana ww huna jukumu lolote lile
@AbdullywahidjamalijamaliСағат бұрын
Allhamdullha
@memesnamatukiomuhimu8453Сағат бұрын
Acha vijana wainjoy mmeyataka wenyew ayooo
@abdallahsuwed655 сағат бұрын
Hakuna kitakocho kua kama serekali haijakataza.hilo beni ndio balaa mtihani mkubwa sana.usiombe kukutana na beni ukiwa na Mzee wako
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch4 сағат бұрын
Nikweli wapigwe marufuku wapiga mziki wote wasije Znbr ndio wanatuchafualia Znbr inaonekana chafu pia wasenge wanalindwa sana na Hawa wataliiii nao
@khadijaabdulaziz82973 сағат бұрын
Wasanii wetu wanaimba uchi wanaachiwa itakuwa wageni tujiaandae kujibu Mbele ya Allah Mzee karume alikataza nguo fupi
@thamani58425 сағат бұрын
Na wanaovaa viguo vya nusu uchi waache, hawawezi kujistiri warudi walikotoka