Meja BAADA YA kukusikiliza Sana KWELI wewe Ni YANGA.karibu sana mwananchi
@reginaldmapunda670212 күн бұрын
Mini ni Yanga lakini TFF wako sahihi kwa sababu Yanga wamecheza mechi moja na Simba wana mechi 2 na kila mwezi tuzo lazima itolewe na haijalishi umecheza mechi ngapi. Mchezaji anaweza kufunga magoli 10 kwa mechi moja na akawazidi waliocheza mechi nyingi. Ungawa ni mugimu kwa TFF wajitahidi kupanga ratiba zinazo waepusha kupewa lawama kama hizi.
@yasminmohamed60411 күн бұрын
Ulihongwaa😅😅😅
@bisekomusiba838511 күн бұрын
😢TFF emdeshenni soka letu liweledi na siyo kimahaba.Hivi suala l ubora wa kocha na mchezaji wa Simba kuwa Bora mwezi August wametumia xigzo gani
@yusuphbenjaminkugaiwa760811 күн бұрын
Figisu kwa soccer la bongo halito isha mfano tuzo za msimu uliopita ili kipatikane kiatu ilipaswa top scorer atokee simba hapo tungeona kiatu upo sawa mzee
@flaxbeatman11 күн бұрын
uyu mnafiki tu .huwezi kupenda timu ukubwani bro sema posho mjin kodi😂😂😂😂
@IbrahimTanganyika-b1y11 күн бұрын
Huyu bado kabisa.hata maelezo yake yanayumba..mshabiki hutetea timu yake.
@RamadhanJuma-x1z11 күн бұрын
Urud wap shoga wew
@hajisuleiman275211 күн бұрын
Acheni kujisahaulisha huu uwiano wa mechi hata ligi iliopita haukuwa ukifuatwa na zawadi zikitolewa
@fesalhumud676212 күн бұрын
Huyo katumwa kuja kutoa Siri za utopolo
@YohanaMdege-o4l11 күн бұрын
Mnatumia majina yawatu kutafuta views tumien yenu mtrend kama mzee side
@ZabibuMwenda11 күн бұрын
Muongo kenge ww
@IbrahimTanganyika-b1y11 күн бұрын
Wewe siyo Yanga.yanga hatuko hivyo.wewe Ni ushamba NDIYO unakusumbua sana.usijifanye Yanga wakati wewe Ni kolo lia lia ,toa matongo tongo ya ujinga wa kuigiza
@VincentLucas-co9io11 күн бұрын
TFF WABABAISHAJI AKUNA KITU KAMA HICHO TOZO ZINATOLEWA BAADA YA TIMU ZOTE ZIMECHEZA MECHI SAWA ANGALIA LIGI YA EPL WAO TIO WAMEANZA KUHAZA LIGI MPAKA LEO AWAJACHAGUA TFF WANAIBEBA SIMBA