MZEE WASIRA AFICHUA ROSTAM ALIVYOTAKA KUKOPA BENKI ya DUNIA - ''MTU MMOJA ANAWEZA KUVUNJA UMOJA''

  Рет қаралды 53,769

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

MZEE WASIRA AFICHUA ROSTAM ALIVYOTAKA KUKOPA BENKI ya DUNIA - ''MTU MMOJA ANAWEZA KUVUNJA UMOJA''
MWANASIASA nguli nchini Stephen Wasira ameeleza juu ya sakata la bandari linaloendelea nchini...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 97
@raymondsaliboko8435
@raymondsaliboko8435 Жыл бұрын
Mungu awalipe kwa mda huu mnaotumia, kuiweka tz salama 🙏🙏🙏
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 10 ай бұрын
Asante sana Baba kwa kutuelewesha maana wengi wanaandika watakavyo.
@Expedito2512
@Expedito2512 Жыл бұрын
Ok nimekuelewa mzee Wassira!
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@perfectmassawe4758
@perfectmassawe4758 Жыл бұрын
Mzee Wassira,kichwa sana
@musaisandeko8352
@musaisandeko8352 Жыл бұрын
Amna kitu apo ni ukongwe wa siasa tu lakin kimaendeleo sifuli kaangalie jimbo alilo hudum mda wake wote tangu enz za nyerere ad kikwete tena akiwa na nyazifa tofaut tofaut lakin hakuna lolote ndo maana magufuli aliamua kuwatupilia mbali
@josephmajembe3090
@josephmajembe3090 Жыл бұрын
Umoja muhimu sana, lakini umoja wa kulisha watu wachache katika nchi huo umoja utafika kikomo siku moja
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Mzee umeongea vizuri sanaa,umeeleweka kwa busara zako
@mateikihoi8125
@mateikihoi8125 Жыл бұрын
usijifiche kwenye siasa za zamani kwa kutisha watu
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Жыл бұрын
Mzee umesikika mungu ajarie taifa letu😊
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Mnahangaika wakati mtatuzi ni Rais, au haaminikii??? Semeni ukweli acheni kuzungukazunguka
@thomaskabungo2211
@thomaskabungo2211 Жыл бұрын
Umechoka mzee wasila
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 Жыл бұрын
Uko vizri sana Mzee wasirs
@zakabonifas2144
@zakabonifas2144 Жыл бұрын
Wasira kwani watz hawatak aman au mshikamano?!! Watu wanahitaj ukwel na uwaz wa mkataba
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 Жыл бұрын
Mzee wasira umeongea point sana
@michaelsanga5681
@michaelsanga5681 Жыл бұрын
Kumbe mzee wasila nyelele alikuachia hiyo hekima unatufaa baba kwahili umenifrahisha sana washauri hao wabunge wasilewe posho yamuda mfupi watakuja huku watateseka kuliko sisi
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Media yenu haiko sawa Sana na IT umekaa TU hapo
@user-ln9sp5ww5m
@user-ln9sp5ww5m Жыл бұрын
Hao wanao ukataa huu Mkataba NI HAOWalio na Shamba la bibi Hapo Bandarini kwa MASLAHI YAO NA SI KWA WATANZANIA
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Wanaoutaka mkataba huu huenda wamefilika akili za mbinu kuendesha rasimali za nchi wanaotamani Hela za mabeberu (wawekezaji)wakidhani wataendelea .Mtegemea Cha ndugue hufa maskini.🫣
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Myself on this debeghty l won't trust lndia caller in Tanzania nation to difend resources of Tanzania population becouse they have front line to shift our resources outside of tanzania
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
100% correct
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Kubinafisisha Ni sawa na kuuza, nimekupata Baba
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
zake zimepita huyu mzee , lakini tamaa ndio zinamuhangaisha
@mungunimwemakilawakati1299
@mungunimwemakilawakati1299 Жыл бұрын
AFADHALI KUKAA KIMYA NI BUSARA ZAIDI, KULIKO MNAVYOTUMIA NGUVU KUBWA NAMNA HII, NDIO MNAHARIBU KABISAAAA! MNATUFANYA TUZIDI KUWA NA MASHAKA ZAIDI NA UWEKEZAJI HUU WA BANDARI ZETU; NA TUNAJIULIZA MASWALI MENGI SANA! TUNASHINDWA KUWAELEWA KABISA!
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Watanzania hatuna ukabila matatzo yote yanaasalishwa na uongozi mbaya
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Wasira atabaki kuwa dictionary ya siasa za nchi yetu.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Жыл бұрын
Mmenunua ndege nyingi mnashindwaje kujiwekeza wenyewe kwenye bandari? Wasomi wapo Sheria zipo mnakwama wapi? Kuna siku mtaomba jeshi la nchi nyingine kuingia ubia na cc
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Hii ni biashara unasehemu yako unampangisha mtu mwingine,wewe unakiwanda chako unazalisha mia kuzalisha 1000 huwezi anakuja mtu kukiendeleza unamkodisha anakwambia mimi nakupa laki moja utakataaje.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Жыл бұрын
@@mkude ni sawa lkn watu wanalalamikia baadhi ya vifungu ndani ya makubaliano na hili SERIKALI ifanikishe lazma wakubaliane na wananchi.watakuja na Hilo tamko subiri.
@mkude
@mkude Жыл бұрын
@@mashramadhani1989 uko sawa naimani malalamiko ya wengi kwenye hivyo vifungu vitarekebishwa.mikataba yenyewe yakuanza kazi rasmi bado.naimani marekebisho yatakuwepo kwenye hivyo vifungu
@michaelmaterego2489
@michaelmaterego2489 Жыл бұрын
Tunahitaji Haki ya kila mtanzania ili uhuru uheshimiwe. Lakini ukihubiri amani lakini Haki hamuitaki ni bure jitazameni upya na kujitafakali. Bandari ni yetu wasikilizeni wananchi wenye nchi
@kingmichael1234
@kingmichael1234 Жыл бұрын
Tunaiombea nchi yetu Amani, lakini Mali za nchi yetu tunaombwa zilindwe kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi yetu na vizazi vijavyo. Hakuna anaemiliki nchi hii.. hii ni nchi yetu sisi sote. Tuondoe tofauti zetu za vyama, udini, ukabila n.k.. .tuilinde Tanzania yetu
@saifbrashdy6095
@saifbrashdy6095 Жыл бұрын
Kweli Hamna ukabila lakini kuna vyama na hivyo vyama vina ubaguzi ndani yake
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Sawasawa Wasira
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Жыл бұрын
Huyo rostam, anawaeleza nn, muende mkasome ktk, the list of shame,
@apollojohn5698
@apollojohn5698 Жыл бұрын
Problem
@robertedward1992
@robertedward1992 Жыл бұрын
Tatizo sio kubinafsisha,shida ni uwazi,kwann wananchi hawajapewa mda wa kutoa maoni Yao?bunge limepeleka huu mkataba haraka mno.ombi langu Kwa serikali.vifungu vinvyokinzana,ziwekwe wazi watu wavuone,tatizo liko wapi?na mda wa mkataba huu ,ujurikane.
@issamkombo7300
@issamkombo7300 Жыл бұрын
Kuna watu kwa maksudi wameamua kujaza watu chuki kwenye hili jambo la bandari
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Kufunika moto kwa blanket. Ungejua hilo ungehimiza upendo bila kuangalia vyama vya siasa ndiko tumemaliza.
@petrosijali4142
@petrosijali4142 Жыл бұрын
Eti jamani uhuru wetu tuwape dubai
@chifbrown1568
@chifbrown1568 Жыл бұрын
Sheria ziko wap zaku waajibisha walio 2ngiz katk hili
@manyerereevarist4182
@manyerereevarist4182 Жыл бұрын
wasikilizeni wananchi
@peterrandego1489
@peterrandego1489 Жыл бұрын
hivi huyu lizee ameshindwa kuona mlango wa kutoka ? mbona kina msekwa wako nyumbani ?
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Na huyo msekwa utakuja kumsikia tu,nyinyi mmepotoshwa na hamtaki kuelewa
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 Жыл бұрын
Ungejaaliw hicho kichwa ungekuwa mbli
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Жыл бұрын
Mzee nimekuelewa tumeupigania uhuru na hatuwezi kuuweka rahani na Wala mtu awaye yeyote
@jasonjames2323
@jasonjames2323 Жыл бұрын
Anaongea kuanzia 7:55
@saidipara4134
@saidipara4134 Жыл бұрын
Mzee baba tunataka utujibu hoja zetu za huo mkataba
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Mkataba huu sio mzuri ni busara hao waliousaini wengeutupilia mbali badala ya kuupaka mafuta kwani huko mbele ukijaleta maumivu au faida utahatarisha muungano upande mmoja haupo? Badiri kufikiri kwenu viongozi , wawekezaji wapo kibiashara na faida zaidi hawapo kuendeleza nchi masikini.Maendeleo ya kweli yanapatikana kwa serikali kuendeleza na kusimamia watu wake kuendesha rasilimali zao sio kuleta wawekezaji na kuwatupa nje kwa tamaa ya Kodi ipate mapato na kujenga miundo mbinu.Hata wakoloni walifanyahivyo . Hao wawekezaji wapo very trick .Mtegemea Cha ndugue hufa maskini
@johnwilson5106
@johnwilson5106 Жыл бұрын
JAMBO HILI LA BANDARI LIANGALIWE KWA MAKINI NA LISINASIBISHWE NA UDINI BALI LIBAKI KUWA MJADALA WA KITAIFA NA TENA MIJADALA HII IPANUKE NA KUHUSISHA WANATAALUMA WABOBEVU KWENYE TAALUMA YA SHERIA NA UCHUMI NA SWALA HILI LISIFANYIWE HARAKA MJADALA UPANUKE.
@Expedito2512
@Expedito2512 Жыл бұрын
Mzee Wassira anaongelea bandari au Umoja?
@shizoshop2469
@shizoshop2469 Жыл бұрын
Sasa kajenga hoja gani huyu ? Ndiyo wale wale wagonga meza
@MganyiziAmosi-cz3qk
@MganyiziAmosi-cz3qk Жыл бұрын
Nani kaleta ukabila huna oja mzee ya mashiko
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
yule mzee ni katika wazee wa hovyo Tanzania
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
Wasira itapeli mzur na mwizi uyu nikatika kundi la kinana kikwete na wezi!!ni fisadi mzur asotosheke!!
@abednego3876
@abednego3876 Жыл бұрын
Hiki swala hata mafisadi hawalitaki ww kenge
@saifbrashdy6095
@saifbrashdy6095 Жыл бұрын
Mm nataka niwaulize? Waislaam Wanamakabila ndio dini ilivyosema lakini nyinyi mna Vyama sasa mm sioni tafauti baina yao kwenu vyama nikama makabila
@balljmushi9599
@balljmushi9599 Жыл бұрын
Mnatsha wtuu,,,& vyeo venuu. Kumbukeni vyeo ni dhamanaa tuu,,c,,vngnevyoo... WEKENI HYOO,,MIKATABA HADHARANI---..Maneno mingi,,,mwsho PATUPU.
@samuelmajule54
@samuelmajule54 Жыл бұрын
Wengi tunaochangia mawazo lakini inabaki kuwa wanasheria na wanauchumi wazalendo ndio wenye mchango bora wa mawazo na wametutahadharisha makubaliano yarekebishwe kwa hiyo ni bora tupunguze propaganda za kisiasa.
@christophermboya7676
@christophermboya7676 Жыл бұрын
Media wamehongwa hawana msaada kwetu
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 Жыл бұрын
Wasira akili zake kama mtoto wake msanii wakazi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kwa hili la Bandari iwe ni kweli mkataba mzuri au mbaya lakini mmeamsha sana hisia za Wazanzibar na HATUTAKI tena Katiba mpya (Mkataba mpya). Na kwa hili Tanzania imeshavurugika kabisa iwe Kiongozi ukiwa unatokea Arusha usiamue lolote Mwanza au popote ni tatizo. Kama Samia kaamua kuhusu Bandari iwe kakosea au kapatia kutoka kwao Samia hadi Bandari ya Dar es Salaam ni chini ya kilomita 40 lakini kutoka Hai Kilimanjaro hadi Bandari ya Dar es Salaam ni zaidi ya kilomita 5000 sasa itakuwaje mtu wa Hai akiwa Rais? Mnatupeleka kubaya kwa Uchu wa madaraka!
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Yaani watu waserikali kuiona hii msg sahau.pambana na familia yako
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
South kirea now tuliwazidi utajiri kidogo oneni s korea sasa.tumerogwa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
@@tanzcanmediatv4473 Msg kupokelewa ni kitu kingine huo mkataba unaweza kukubaliana na usitekelezwe. Katiba iliyopo ina mambo mengi ya maslahi kwa Zanzibar kama vile "akaunti ya pamoja " nk lakini hayatekelezwi. Je kuna mkataba kuliko Katiba?
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Жыл бұрын
Hai.mpaka Dar km 620 na hisia za mtu huwezi zuia pili kama mambo haya ni mazuri mbona bandari zote za Zanzibar azipo hapa ndipo pana shida lazima tuhoji....marekebisho yafanywe au mkataba uandikwe upia kwa namna hiyo mkataba huu una matatizo
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
@@malindimalindimerinyo1632 Mkataba unaelezwa kiushabiki Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa hisia kwamba kila cha Tanzania Wazanzibar wanahusika nacho lakini sio kila cha Zanzibar, kila Mtanzania anahusika nacho. Hivyo ni lazima kwanza tujiulize yepi ya Muungano na yepi sio ya Muungano. Bandari sio suala la Muungano hivyo Rais wa Tanzania hana mamlaka kwa bandari ya Zanzibar.
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 Жыл бұрын
Mambo hayo
@maphandeahmed7732
@maphandeahmed7732 Жыл бұрын
Watanzania msikate tamaa ccm siku zao zina hesabika nawao wameshatumbua kwamba watanzania wametambuwa kwa raia wamefahamu kwa mbichi na mbivu viongozi hutubu amani kwa sana wapate kutumia pesa zao za wizi wanazo waibia wananchi siku zimefika kama sio leo kesho
@binseif2216
@binseif2216 Жыл бұрын
Sasa Hao watakaokuja unauhakika gani kama hawatokuwa wizi
@mrsnam6897
@mrsnam6897 Жыл бұрын
Habari za msingi munazipeleka kwenye shida za technology
@mc-shaulinsingeristmsomi3903
@mc-shaulinsingeristmsomi3903 Жыл бұрын
Mbna saut hakuna
@mateikihoi8125
@mateikihoi8125 Жыл бұрын
unaongea pumba
@mbeguofficial6646
@mbeguofficial6646 Жыл бұрын
WASIRA YUPO TIMAMU KICHWA CHAKE KINA VITU VIKUBWA SERIKALI IMTUMIE KUTOA MAWAZO MBALIMBALI
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
Ipo siku utatoa tako!!!hujielewe!!elimu yako ya uwanja wa fisi
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Acheni usenge kukata sauti
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Жыл бұрын
Alafu ccm wanambinu jmosi ile wamewaita na wakuu wa majeshi yote ilikuharalishA jambo tuna baba zetu wakuu wa majeshi yetu msikubali kuitwa na ccm kwenye vitu kama vile ninyi ni watuwa maana sana na wakuogopwa sana waacheni hao ccm na mambo yao
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 Жыл бұрын
Kichwa kinawezekana kutengana na sikio,lakini sio shingo!utakuwa ushakufa tena. Majeshi yapo kwa ajili yakulinda shughuli za nchi,watu na Serekali na vyote hivyo vimesimikwa na CCM kupitia ridhaa ya kura za wananchi
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Mjadala uliopo ni kuhusu bandari kupewa kampuni ya kihuni ya DP. World, na kufanya mkataba wa kihuni na hao viongozi wa CCM wasio na huruma na mali za Tanganyika kwasababu ya manufaa yao binafsi; na sio suala la ukabila au udini wala sio muungano. 😳😳😳😳😳😳
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 Жыл бұрын
Mtumwenye akili iliotimamu anapodai shutuma hutoa mfano wahiyo shutuma unadai DP world ni wahuni toa mfano wa uhuni wao isije kua unangozi ya mwana kondoo anaejificha
@edhasaleh4024
@edhasaleh4024 Жыл бұрын
Dp World sio wahuni kama wapizani wetu,Dp world sio Tanzania tu ndo inawekeza imewekeza sehemu nyingi Europe,Asia na Africa hivyo kuwa makini katika kutafuta wahuni
@christophermboya7676
@christophermboya7676 Жыл бұрын
Rostam ni nani kwenye nchi yetu ?? Alionekana na mama kule Amerca akiwa na mama Huyu ni jamaaa nae ni shida
@user-ln9sp5ww5m
@user-ln9sp5ww5m Жыл бұрын
Siku zote Driver Hamuamini Driver Mwenzake SAFARINI
@thomaskabungo2211
@thomaskabungo2211 Жыл бұрын
Pumzika Babu hiyo kazi achana nayo umeiba vya kutosha
@driss4957
@driss4957 Жыл бұрын
Mnajaribu kututoa kwenye agenda, kwa petty issue's, na propaganda zenu za kizamani..Isssue ni mikataba ya hovyo ambayo haina faida kwa nchi...Toka madini,mnanufaika nyinyi VIONGOZI msio waadirifu,ndio mana hamtaki katiba bora,Mnajiingiza madarakani bila ridhaa yetu..TUNAAMKA,KAZI MNAYO....UMASKINI UMETUCHOSHA..
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
mzee wa hovyo yule
@user-ln9sp5ww5m
@user-ln9sp5ww5m Жыл бұрын
Wachina .na Wengine Mbona wamepewa ?
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
@@user-ln9sp5ww5m wapi na nini?
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 Жыл бұрын
Mzee Wasira wewe ni.mbobezi wa Siasa nakufahamu na uliyoyasema ni Sawa isipokuwa Sheria huwa zina Tafsiri.Sasa tafsiri ya makubaliano haya ni hizo ammendments kwanza zifanyike kwa yale ambayo wananchi wamelalamika,na pia Bunge lijikosoe kwamba lilienda kwa kasi mbaya kwa kuwaharakisha Watanzania kwa jambo linalohitaji akili kubwa
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 Жыл бұрын
Mjadala muzuli
@kassimjigge4727
@kassimjigge4727 Жыл бұрын
Kwa ujumla hawa wahindi watanzania huwa sins imani kabisa na utanzania wao ,utanzania kwao ni wa kimaslahi zaidi kuliko utaifa
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,2 МЛН
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 6 М.
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47