Nakiri udhaifu na fahari kwa pamoja ndani ya nafsi yangu miee........ kila nikifikiria wema wako Dadaa.........mimi ninajiuliza nikupe nini Wewe. Inasemekana hiki kisa ni Cha kweli. Bro, alipewa Bonge ya favour flani
@abbasmungia61072 жыл бұрын
Fresh jumbe " Waziri Kitanda" sauti safi sana, sauti ya joseph Lusungu RIP
@chidmashine34012 жыл бұрын
Daaah hadi nimetokwa na machozi ya huzuni
@fatmaunji12755 жыл бұрын
Broo umetisha sana na hiki kibao cha pamela,,,, mungu azidi kukuweka utuletee mambo mazuri zaidi
@heriissagombera516810 жыл бұрын
Kaka Nashukuru kwa wimbo huu. Huyu dada Pamela alikuwa anakaa Mwananyamala A. Sauti ya Fresh inatisha
@eddienassor48010 жыл бұрын
Karibu tena Heri
@eddienassor48010 жыл бұрын
Ulikuwa unamjua?
@heriissagombera516810 жыл бұрын
Eddie Nassor Yeah nilikuwa namfahamu
@bulgaria01082 жыл бұрын
@@heriissagombera5168 hatari sana.. ametungiwa tungo kali sana Pamella
@kassidpandu866 Жыл бұрын
Nakumbuka Enzi zile kiingilio shillingi Tano
@ndesanjomsaki28206 жыл бұрын
hatari vijana wazamani walikua vizuri sana hamna mfano.
@saidsalim4524Ай бұрын
Fresh jumbe fundi wa muziki😂
@suleimanalihaji9386 Жыл бұрын
Upigaji😂wa solo ni wa Mabera
@esmaeelkenadid30272 жыл бұрын
Kuna ule wimbo mwengine pia aliimba Fresh Jumbe akiwa Msondo enzi hizo, siufahamu unaitwaje, ila anaimba kuhusu mtoto, kwamba kama ni mtoto hata mimi nampenda, ila uwezo sina, mola ndie mpangaji wa yote, mwenye link nauomba, please
@erickwambia265310 жыл бұрын
Safi sana mjomba.vitu vya maana hivi
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hahahaa,kweli kaka
@mariamabdullah4894 жыл бұрын
Bitozi Fresh Jumbe na kundi zima la wana Juwata Jazz Band, Nazani Solo la Mulenga
@jaffarially83894 жыл бұрын
Mariam Abdullah Dada solo la Mponda hilo
@husseinsimbano146611 ай бұрын
Moja kati ya nyimbo Bora Sana, watu wameitendea haki sanaa.
@hajihamad72228 жыл бұрын
Mario matadidi bwan kitoko
@nasirally909810 жыл бұрын
kaka uko juu aisee, give us more plse
@eddienassor48010 жыл бұрын
Nasir,wewe taja jina nami kama nnao Mungu akipenda nitaurusha
@asrams10 жыл бұрын
Eddie weka MK Group ya shem karenga "Tucheze sote tukunyema" pls
@eddienassor48010 жыл бұрын
asrams,burudika ipo hewani ndugu yangu
@asrams10 жыл бұрын
Eddie Nassor asante kaka, im speechless
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hahahahaa
@papaakizwii49347 жыл бұрын
WEKA SALMADA YA OSS MKUU
@sibonikemwasalemba19533 жыл бұрын
REHEMA SAID
@sibonikemwasalemba19533 жыл бұрын
GRACE mwankuga
@waziriselemani57737 жыл бұрын
Mbona nyimbo km sauda salima szpati vp au hazipatikani kk
@ndetezuberi75784 жыл бұрын
Mulenga hajapigia haya siku 1huyo ni Mponda
@sibonikemwasalemba19533 жыл бұрын
Solo Mabel's lithium idea ramadhani base manito musa
@rajabumashashi5927 жыл бұрын
kaka inabidi nikutafute aisee
@asrams10 жыл бұрын
Bado hujaupata "kivumbi kimenizonga"? Ndala kasheba alivyokua IOSS?
@eddienassor48010 жыл бұрын
Nna wasiwasi nimeupa jina lengine.Tafadhali nipe maneno machache ya huo mziki uustue ubongo wangu!
@asrams10 жыл бұрын
Eddie Nassor nitumie number yako ktk email yangu (asrams2000@yahoo.com)nikupigie kaka , ni kati ya kimbunga kimenizonga au kivumbi something like that
@eddienassor48010 жыл бұрын
Nshindwa kwa kupita nahangaika ee jamani,maneno haya yamo kwenye huo wimbo asram?
@asrams10 жыл бұрын
Eddie Nassor misukosuko ya kimbunga moyoni nambae, madhara ya kimbunga mwili umekufa ganzi ooh, pakupita siwezi mama, mimi mfamaji yoyoyo!! Pakupita sipaoni nahangaika na dunia kimbunga kimenipata....... nimezisahau lyrics
@asrams10 жыл бұрын
Eddie Nassor misukosuko ya kimbunga moyoni nambae, madhara ya kimbunga mwili umekufa ganzi ooh, pakupita siwezi mama, mimi mfamaji yoyoyo!! Pakupita sipaoni nahangaika na dunia kimbunga kimenipata....... nimezisahau lyrics
@sibonikemwasalemba19533 жыл бұрын
SAADA NJIMBWI
@twilamtumbi26478 жыл бұрын
safi sana
@marshallislands98564 жыл бұрын
Msondo ndiyo pia waliitwa Juwata?
@abubakarbwika83972 жыл бұрын
Ndio
@marshallislands98564 жыл бұрын
Tz
@asrams10 жыл бұрын
kaka library yako inatisha,
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hahahaaa
@asrams10 жыл бұрын
Eddie Nassor nimekutumia number yangu ktk PM , i have to visit your library bro, hehehe