Woohoo sulemani Mbwebwe(RIP)Nico Zengekala (RIP) Fresh Jumbe And Mzee Ramadhani Mnege on Saxphone (RIP) And maestro Mabera on Solo Guitar I think mi solo guitar is Rithiwani Old is Gold this is what we call music
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Papa J ..fresh jumbe hakuwepo wakati wimbo huu unarekodiwa.
@abdallaabdulrahman83195 ай бұрын
@@ahamadarashid8797 Yap Fresh sidhani kama yupo
@joanrwegoshora7853 жыл бұрын
Mungu awabariki sana mlioimba wimbo huu
@sweetbetmpaluka71839 жыл бұрын
Muziki uliokwenda shule. Msondo ngoma, Baba wa muziki!
@eddienassor4809 жыл бұрын
Sweetbet Mpaluka Hahahahaa,nakubali mie
@danieloyile9774 жыл бұрын
Mizuki iliotungwa kwa ustadi mwingi bila kutumia njia za mikato kama vile wakati huu! Ilifanyiwa kazi kweli! inapenya hadi kwenye mishipa ya roho! Mola awahidhi palipo na wema!
@heriissagombera516810 жыл бұрын
Nico Zengekara anasikika hapo. Mabera alipiga solo balaa. Asante kaka
@moseswere7478 Жыл бұрын
Great music, cool and touching. Where do I get this old Nuta Jazz namba? Lines ni hivi Mpenzi kwa vile nakupenda kwa moyo wangu', .... Mbona wataka kuharibu mapenzi yetu...jitulize Chorus: Usinipe tabu wewe mwenzangu Mimi nakupenda oo dada Lazima ujue maisha yetu... Oh my ,this was Ngurumo when young and he took Nrb by storm. Get me this song plsss
@hassanmkwama95287 жыл бұрын
jjb msondo ngoma.magoma kitakita,za kale zina ladha ya kale ipenyayo masikioni.tungo,vifaa vinatumika ipasavyo.sikia,trumpet,mdomo wa bata.mashallah! musuri
@jamirambwana6309 Жыл бұрын
ADI Raha jamani kusikiliza izi nyimbo vyombo vilivyo pangiliwa
@suleimanalihaji9386 Жыл бұрын
Namsikia waziwazi Suleiman mbwembwe na Nico Zengekala.....Gitaa ni la Mabera. SAXOPHONE NI MNENGE .MSIFANYE MASIKHARA NA MSONDO NGOMA. IPO MPAKA LEO
@BakariKhatib Жыл бұрын
Saxophone ya Mzee Mnenge Ramadan aka big staff
@sundimbelwa70787 жыл бұрын
hapo ni seleman mbwembwe na nico zengekala utunzi wa said mabera ambaye amesimama kwenye solo la kente hatariiii
@twilamtumbi26479 жыл бұрын
eddie ngoma moja ya juwata kaka selemani vp mzee mzm idondoshe kama vp mkuu
@sweetbetmpaluka65157 жыл бұрын
Muziki wa ki,Tz, uliopo kwenye ubora wa hali ya juu!
@margaretoyugi71372 жыл бұрын
Tangia jadi❤❤❤
@wilfrans57887 жыл бұрын
gitaa la Dr.Mabera sichoki kulisikiliza kwenye wimbo huu,aliutendea haki sana
@antontemba32766 жыл бұрын
Natamani sana kama wanjiita kizazi kipya wangeiga mfano wa akina mabera,mnenge Ramdha na wengine
@suleimanalihaji9386 Жыл бұрын
Wimbo unaitwa NASIIKITIKA aliuimba BITCHUKA akimpiga kijembe GURUMO kuhamia sikinde
@aloycetemba86528 жыл бұрын
Jamani mwenye wimbo Faulata wa JJB
@majaliwaomari864 жыл бұрын
FAULATA , huu wimbo unaitwa 'Kuchacha kubaya'
@barakasunga78608 жыл бұрын
JJB- Priscilla itabaki na ubora wake ingawa miaka inakwenda....huu ni muziki bwana
@ba320610 жыл бұрын
Mkuu miziki imetulia. Asante sana. Ila kama utaweza kuiunganisha kama playlist ingekuwa powa, ili niki click mara moja nasikiliza zote huku naendelea na kazi.
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hahahaha.Sijui inafanyika vipi lakini nitajaribu
@irenekirenga8 ай бұрын
Haichuji
@twilamtumbi9499 жыл бұрын
Selemani mbwembwe. Zengekala. Mabela na Kundi zima la msondo ngoma. Kweli umekwenda shule huu mziki
@hildaeliya55828 жыл бұрын
Huyo ni Sulemani mbwebwe'' na Mabera mwana kigoma
@mwalimabrahmanmohamed82456 жыл бұрын
Ni wimbo ambao mume wng anaupenda Sanaa
@abdallaabdulrahman83194 жыл бұрын
Mungu awape umri mrefu na mafanikio
@LukooAlbert10 ай бұрын
Gitaa utadhani linapga stori
@wamburamasiaga3874 жыл бұрын
This I a good music
@brownee200072 жыл бұрын
Msondo afya!
@vedastoizoba79057 жыл бұрын
Niko jamani!
@sweetbetmpaluka71839 жыл бұрын
Salamu mkuu, kuna nyimbo moja ya msondo nadhani inaitwa uzuri si shani. Bahadhi ya maneno ni haya: Kijana una umbo la kupendeza, mrefu, mnene na mwanya wa wastani. Hakika uzuri si shani, utu wa mtu ni tabia njema. Tafadhari kama utapatikana upandishe. Asante!
@abdallaabdulrahman83195 жыл бұрын
Sweetbet Mpaluka j
@BakariKhatib Жыл бұрын
Nasikitika ulitoka baada ya Gurumo kuhamia Mlimani Park
@jumannesylivesta8573 жыл бұрын
Safiiiii...
@twilamtumbi26478 жыл бұрын
asante Gambalee mtani nimeshika
@linusleon70186 жыл бұрын
Waimbaji ni suleiman mbwembwe na Nico zengekalla
@amandusmtani49219 жыл бұрын
Twila mtumbi hiyo sauti ni ya Fresh Jumbe na si Suleiman Mbwembwe!
@mwajumamassoli80116 жыл бұрын
Amandus Mtani ...Suleiman mbwembwe na Niko hapo kaka walikuwa wanafunikana mpaka watu mnachanganyikiwa haha
@hashimubito58936 жыл бұрын
Amandus Mtani huyo selemani mbwebwe
@najmasaleh92315 жыл бұрын
Fredy Lucas umenifurahisha sana tunapaswa kuwapa historia
@galagotours124 жыл бұрын
Ni Suleiman Mbwembwe (RIP) na Mtaalamu Nico Zengekala (RIP). Ukitaka kumjua Mbwembwe sikiliza hata Queen Kase anapoingia "Na ahidi mbele yenu watoto nitawatunza na hata mama yao Shadi simtupi kamwe lakini Kase Kase nipo nayee lkn Queen Kaseeeee nipo nayee!!!" Hawa watu walikuwa na sauti Mungu ndy fundi yote tumwachie Muumba wetu.
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Ni seleman mbwembwe na zengekalla
@kilumatalanguagecentre56467 жыл бұрын
Hatari sana
@papaakizwi99057 жыл бұрын
kuna wimbo unaitwa hasira hasara na afunguliwe nelson mandela
@rahaaa18456 жыл бұрын
Uzuri si shani ubora tabia
@dorahdauson65066 жыл бұрын
Vitu vya kiutu uzima hivi. Nani alipiga bass hapa linasikika kwa mbali kwa utulivu mkubwa kabisa
@jmkwanzatv53636 жыл бұрын
Niko zengekara na fresh jumbe mkuu sio mbwebwe
@mwajumamassoli80116 жыл бұрын
Jumbe Mpalasinge ...jamaa huko sawa ni Niko zengekala na s.mbwembwe kaka
@hashimubito58936 жыл бұрын
hapo nico zengekala na selemani mbwembwe sauti za hatari kweli mziki ulikuwa zamani gitaa dr mabera