Nalisikia gitaa la Nguza Viking daaaa hatar sanaaa
@jacksonkauga8 жыл бұрын
Thanx Eddie huu wimbo nimeutafuta miaka mingi sana .Ubarikiwe.
@mlindwa70015 жыл бұрын
RIP Mose Sengo Fanfan na wengine wote waliotangulia.
@BongiMpessi-ts3ez Жыл бұрын
Watu walikula raha wakati huo
@hassanbugu500010 жыл бұрын
Huku Kenya enzi hizo ,Pwani mwa Kenya stesheni ilikuwa RTD tu na muziki kama huo.Thank you so much.Sauti yake mzee King Kikii yasikika hapa bila shaka.Tuekee "Nimepigwa Ngwala" ya vijana hawa wa Marquiz tafadhali.
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hassan Bugu
@pacheliherman53656 жыл бұрын
Beer yetu ya safari lager ilizinduliwa siku hiyo. Wacha tu pange folleni it was exciting. Aday to remember
@saadmazen452810 жыл бұрын
hio ndio Maquiz Du Zaire walipokwenda Mbeya...poa sana mtindo ukiwa Kamanyola
@adronicoreveliano71517 ай бұрын
Kamanyola bila jasho
@omaryaman13127 ай бұрын
2024
@rajababdul72573 ай бұрын
7/7/2024 listening the song absolutely the old is gold
@vuyisile9 жыл бұрын
It was 7 July or 07/07 saba/saba lol Mbeya my second home my daughter is resting there kwa Mama Johnny
@ayubikunga55974 жыл бұрын
Tawile uko sahihi
@latadotto89234 жыл бұрын
7/7/2020 hatar Sana hizi tungo
@mkambangwa10 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Eddie, maktaba yako inatisha...Ahsante sana kwa kazi zako nzuri....
@eddienassor48010 жыл бұрын
Mbwana Kambangwa
@vendedeline9 жыл бұрын
Eddie Nassor kipo kibao kama hiki hiki lakini anasema safari yetu london! kibao hatari sana. kaka Eddie kazi nzuri sana
@andrewnyamwaro51749 жыл бұрын
Yuko mpigaji wa gitaa la solo Mose Fanfani hapo, jaribu kusikiliza na wimbo wa OK jazz unaoitwa FIfi. Jamaa ndiye huyo huyo. Juzi London Prof Gumbe amekuwa naye. Nilimwuliza enzi zake katika Kamanyola ila hakunijibu; interest yake ilikuwa akiwa Nairobi.
@wesnsomba2 жыл бұрын
Solo ni Nguza
@twilamtumbi9499 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@brownee2000710 жыл бұрын
Uwanja wa Sabasaba rather...
@kjellhavnevik6084 жыл бұрын
Nzuri sana
@benmpunga64357 жыл бұрын
I have been Searching for the song " Mayanga " but I don't see it. plz help!
@brownee2000710 жыл бұрын
Hivi lile jumba la sabasaba pale Kilwa road bado lipo? mara ya mwisho kwenda pale ilikuwa Late 80's