Mziki wa dansi zilipendwa -Mwenge jazz -Rehema

  Рет қаралды 61,340

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 63
@kaccmmatonela564
@kaccmmatonela564 8 жыл бұрын
sasa humo kaka eddie unapata sauti ya captai Mabrook mohammedi R.I.P mzee wetu
@jumambegu3826
@jumambegu3826 Ай бұрын
Nakumbuka mbali sanaaa
@ughcleo7746
@ughcleo7746 10 жыл бұрын
Hivi vitu hatupati siku hizi,ona midomo ya bata hiyo kama sikosei ndiyo kaka Mafumu Bilali Bombenga anaingia Dar toka kwao Ujiji-Kigoma!Mleta nyimbo hizi Eddie Mungu akupe maisha marefu
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Kumbe ni Mafumu huyu? ahsante ndugu kwa kusherehesha
@jhayparism5987
@jhayparism5987 5 жыл бұрын
Hiyo Saxophone 🎷 sio Mafumu ndugu yangu, hiyo safu ya wapuliza ala za upepo waliokuwepo ni LUIZA ELIUS, BAKARY KUBO, BENGWE SIMBI, JANUARY SAANANE, na YUSTER. Hiyo safu kwenye Safu hiyo walikuwa hatari sana.
@nassormwaupeya5389
@nassormwaupeya5389 5 жыл бұрын
Moja kati ya nyimbo ya mwisho niliyosikiliza na mpenzi wangu mwl muhesa mbelwa.....Teddy Simba siku ya jumapil 7/7/2019 jioni kabla hajafariki tarehe 8/7/2019 jumatatu asubuhi.Mungu muweke mahali pema barafu wa roho yangu
@obillaezra6205
@obillaezra6205 5 жыл бұрын
nassor mwaupeya Pole Sana umenigusa!!! Najua ulikuwa unamuaminisha kuwa unampenda!!!
@nassormwaupeya5389
@nassormwaupeya5389 5 жыл бұрын
@@obillaezra6205 Ahsante sana Obilla Ezra.Sina budi kushukuru kwani Kazi ya Mungu haina makosa
@obillaezra6205
@obillaezra6205 5 жыл бұрын
nassor mwaupeya Wanasema ni KAZI ya Mungu na Binadamu hatuna la kufanya!!!! Pole hakika!!!!!!
@nassormwaupeya5389
@nassormwaupeya5389 5 жыл бұрын
Kila jumapili huwa jioni ninausikiliza nikimkumbuka TeddyMuhesa wangu
@johnmapunda99
@johnmapunda99 4 жыл бұрын
Pole sana. Muziki wetu unaleta hisia zote za furaha na huzuni. Nostalgic...
@AnthonyKisondella
@AnthonyKisondella 10 жыл бұрын
Kwenye vocal section - Benno Villa Anthony very good! hapo ni muda mfupi kabla hajatimukia DDC Mlimani Park Orchestra kuungana na Freshi Jumbe, Maximillian Bushoke na Fransis Lubua - niliwahi kufanya mazungumzo na Benno pale DDC Kaliakoo wakati Sikinde wanatumbuiza, na alikiri kuwa alipenda sana na alikuwa anaota kuimba kwenye laini moja na Freshi Jumbe, Bushoke na Lubua, kitu ambacho alitimiza ndoto yake
@festonkuyeko7738
@festonkuyeko7738 10 жыл бұрын
Kisondella namkubali pamoja na miaka yake,anavuma!
@modrickkicks8320
@modrickkicks8320 5 жыл бұрын
Mimi sijazaliwa lakin nazijuwa zote da machoz yanatoka nataman zirud
@mwananchipicha3212
@mwananchipicha3212 4 жыл бұрын
Rey ni bint aliyekuwa akishi kawe Ukwamani mtt wa mzee mmoja wa Kingoni alimtesa mtunzi wa wimbo huo Kitwana Majaliwa kama sikosei ni kisa cha kweli Hatarii Udongo umebeba wengi
@benedictkyaruzi1410
@benedictkyaruzi1410 4 ай бұрын
Mwenge Jazz hatari sana.
@ughcleo7746
@ughcleo7746 10 жыл бұрын
Mgoro Mohamed Mgoro hapo kwenye solo guitar na kijiti chake mdomoni!Enzi hizo bana acheni haya mambo!Haroub Msafir Mungu akupe malazi mema uliyotuachia hapa duniani si haba
@mwanakwetu6472
@mwanakwetu6472 10 жыл бұрын
Hiki kitu kinanitoa machozi, nikikumbuka Enzi naamshwa kwenda shule duuu!
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Burudika ndugu
@TheBigyosef
@TheBigyosef 10 жыл бұрын
Huu ndio mziki wa Tanzania kabisa na Wanaosema eti Watanzania hawajui kuimba au kupiga vyombo hawajui wanachokisema hii nyimbo ilipigwa miaka ya themanini 80s na solo yake ukiisikia ilikuja ikapigwa tena katika wimbo wa marehemu King kester Emeneya wa Congo katika album yake moja kati ya 98 na 2001 huu ndio ulikuwa mziki yaani bendi zilikuwa zinapiga kwa kujituma sana na bendi hizi zote zilikuwa zinatowa upinzani wa hali ya juu ndio maana mpaka leo nyimbo za DDC.MSONDO.OSS.VIJANA.TUN CUT ALIMASI .BIMA LEE na bendi zote za zamani bado ni tamu toka TABORA JAZZ .NYANYEMBE JAZZ BAND sio sawa sawa na leo asnte ndugu kwa kutuwekea nyimbo ambazo ni dhahabu Old is Gold. Weka zote zilizo pendwa
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Ahsante ndugu
@mapimwankemwa6778
@mapimwankemwa6778 6 жыл бұрын
Huu wimbo moja ya best kazi kabisaa za mziki wa dansi ni hali ya juuu, Mgoro alitisha
@ba3206
@ba3206 10 жыл бұрын
Neema mama oooh nakupenda sana....sijuhi nilikuwa darasa la ngapi..Enzi hizo radio ni RTD tu
@hildaeliya5582
@hildaeliya5582 8 жыл бұрын
Hayati Msafiri Haroub, utakumbukwa kwa Mengi'' nyimbo hii Enzi hizo ikipigwa Dunia ilikuwa pahala nzuri Enzi hizo'' Eddie endelea kutupa vitu'' na wewe hizi nyimbo huwa unapataga wapi?? nyimbo adimu sana hizi''
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Hahahaa,nilishiriki kaka husikii sauti yangu kwa mbali?:)
@hildaeliya5582
@hildaeliya5582 8 жыл бұрын
Enzi hizo wimbo hu ukiwa unapigwa alafu unatumwa Dukani, unasita kidogo uisikie sauti ya Msafiri Haroub na Mafumu Bilali mwana ujiji'' inasemekana Ni wimbo wa kweli na Rehema huyo yupo hadi leo'''
@hildaeliya5582
@hildaeliya5582 8 жыл бұрын
Mnatupa nyimbo adimu'' wewe na Power Nguzo' mpo juu'' cjajua kama mnafahamiana?? pamoja na yote na nyie kuna nyimbo zingine mlizishuhudia kwa macho yenu ndani ya kumbi
@daudmanase7199
@daudmanase7199 5 жыл бұрын
Rest in peace my uncle Bambo Ndifwa. Nakukumbuka sana ninaposikia nyimbo hizi.
@masanjamasanja3021
@masanjamasanja3021 4 жыл бұрын
Hadi raha mungu awasamehe makosa Yao waliyotangulia mbele ya haki
@ceasermbisso6589
@ceasermbisso6589 10 жыл бұрын
Wimbo ulipigwa miaka ya themanini nikiwa darasa la tatu au nne.Mtunzi alikuwa ni Mzee Mashaka,ambaye pia alikuwa mpiga rithin gita kama sikosei.Alikuwa ni jilani vile vile Mwenge kwenye magorofa ya jeshi.
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Hii bendi ilikuwa nzuri kwa kweli
@janiampakate5150
@janiampakate5150 7 жыл бұрын
Ceaser Mbisso Enzi za Lugalo primary mzee..na viboko vya kabigi ahahahaha... unakumbuka mzee?
@mapimwankemwa6778
@mapimwankemwa6778 6 жыл бұрын
Mtunzi naskkia Mgoro Mohamed mwenyewe aliyepiga Solo na ka arrange, Bass naskia Bomboko, Rythim Seleman Hassan, Tumba Msimbe, vocals captian MAbrook, Mfasiri Haroub anayetambaa,Fred Siyame na Bwngwe Simbi, hii Bendi waxcha ipite nomaa wana Paselepa, naskia Sax la Mzee Luza sijui kwl?
@gabrielmzomkunda4881
@gabrielmzomkunda4881 4 жыл бұрын
@@mapimwankemwa6778 ni kweli alikuwa anaishi nyumba za jeshi ubungo nhc dar...Liza Elias
@MultiMbongo
@MultiMbongo Жыл бұрын
​@@janiampakate5150 dah ulisoma lugalo mkuu hebu tutafutane
@anjeomdawali7298
@anjeomdawali7298 3 жыл бұрын
Tulia Rey wangu nipate kukupenda
@ughcleo7746
@ughcleo7746 10 жыл бұрын
Lkn Kisondela hapo mwenye bend alikuwa ni hayati Haroub Msafiri!Hata Benno alipo ondoka kwenda DDC wana wa Paselepa hawakuyumba kivile kaka!
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Duuh! Charles mchango wako wa maelezo tunauthamini sana ndugu
@gombera1
@gombera1 10 жыл бұрын
Sauti ya Marehemu Msafiri Haroub ilikuwa ipo juu. Asante kaka
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Ebwana eh! mimi hata nilikuwa sijui hiyo ni sauti ya nani!Ahsante sana gombera
@johnsamani61
@johnsamani61 4 жыл бұрын
Mabruk muhamed msafiri haroub mzee dancan njirima kwenye kibod, huku solo akisimama mgolo muhamedi , sax eliasi luza, bila kumsahau Fred siame kwenye uimbaji trampet ndunguru na deusi
@salehemohammed8632
@salehemohammed8632 6 жыл бұрын
mwenge jazi #rehema nomaaaa
@jasonbyrne_benga
@jasonbyrne_benga 2 жыл бұрын
Such a beautiful song. Thank you. I actually tried to buy this song on 7” but I bought the wrong album - Mwenge Jazz - Rehema Mpenzi Wangu. If anyone knows what the name of this track is, would be great to know.
@bingwason
@bingwason 10 жыл бұрын
Mgoro Mohamed katika solo.
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 10 жыл бұрын
maafande nao hawakuwa nyuma. ilikuwa raha
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Kweli kabisa
@rubennsalika4297
@rubennsalika4297 7 жыл бұрын
Eddie Nassor msariri haroob acha kabisa, akiwa tabora jazz unakumbuka wimbo farida
@festomalugu
@festomalugu 10 ай бұрын
NAKUMBUKA UNA RADIO NATIONAL 277 UMEISHONEA MFUKO UMEIWEKA BEGANI SAFARI NA MZIKI
@arestidadamu2422
@arestidadamu2422 3 жыл бұрын
Enzi izzo sii mchezo
@sofiambaga2659
@sofiambaga2659 5 жыл бұрын
Kweli maisha ni Safari ndefu mh Sina la kusema
@abouayman8713
@abouayman8713 3 жыл бұрын
mohamed nzera akpga tumba
@josephmgeni208
@josephmgeni208 3 жыл бұрын
kwanini band za kijeshi zinapotea ludisheni jamani dah acha tu
@masanjamasanja3021
@masanjamasanja3021 4 жыл бұрын
Nakumbuka moyo. wauma
@nassibulimira8921
@nassibulimira8921 4 жыл бұрын
Kipindi hicho namsalandia bint mmoja akiitwa Rehema kwa kutumia wimbo natia voko balaa lkn mtoto alidinda nadhani sasa atakuwa ni Mzee kama mie enzi hizo kupata Demu sio kitu cha maskhara
@iddiiddi5585
@iddiiddi5585 3 жыл бұрын
HA HA HA HA TUNAFANANA MWINYI !!!!!!!!!!!!
@sibongilemasina8779
@sibongilemasina8779 4 жыл бұрын
That's true Old is gold
@shabanmtasha9558
@shabanmtasha9558 8 жыл бұрын
kweli ya kale dhahabu
@masanjamasanja3021
@masanjamasanja3021 4 жыл бұрын
Hao ndy pasekepa
@sangomamourice3251
@sangomamourice3251 5 жыл бұрын
hakika
@brownee20007
@brownee20007 8 жыл бұрын
Kwh hiyo huyu msafiri Haroub ndio aliyekuwa lead singer wa nyimbo zote za wana paselepaaa miaka ya themanini? Nyimbo kama Mama Musa, Kupatwa kwa mwezi si liama, maudhi? Nijulisheni wandugu
@hildaeliya5582
@hildaeliya5582 8 жыл бұрын
lead singer hapo ni Msafiri Haroub akishirikiana na Benno villa Antony'' Msafiri Haroub ni kati ya wanamuziki nguli waliowahi kutokea katika tasnia ya muziki wa Dansi Afrika Mashariki'' hata kupatwa kwa jua, mama Musa, na nyingine ni mtunzi hodari sana''' Ataendelea kukumbukwa na vizazi vingi vijavyo''
@iddiiddi5585
@iddiiddi5585 3 жыл бұрын
@@hildaeliya5582 HAWA WOTE WALIKUWA MAAFANDE ?
@josiahmasagasi4623
@josiahmasagasi4623 3 жыл бұрын
L
Mziki wa dansi zilipendwa -kimurimuri Zahir Ali-Photo album
7:48
Eddie Nassor
Рет қаралды 278 М.
Sogea Karibu - Juwata Jazz Band
8:48
Power Nguzo
Рет қаралды 279 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 51 МЛН
Mziki wa dansi zilipendwa- Kurugenzi Jazz-  Wivu
6:42
Eddie Nassor
Рет қаралды 78 М.
Sikujua Kama Utabadilika - Simba Wanyika
8:54
arodiboyi
Рет қаралды 204 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -Mwenge Jazz- Naomba tuheshimiane
6:37
Eddie Nassor
Рет қаралды 18 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Polisi Jazz- Dunia
10:01
Eddie Nassor
Рет қаралды 64 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Kimulimuli -Tumerudi kishujaa
8:29
Eddie Nassor
Рет қаралды 145 М.
Maquis Original/du Zaire - Clara
7:04
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 253 М.
Kupatwa Kwa Mwezi   Mwenga Jazz Band
7:34
Power Nguzo
Рет қаралды 99 М.
Msondo Ngoma Music Band Kwenye Penzi Hapakosi Tenzi Official Video
7:26
Africha Entertainment
Рет қаралды 827 М.
Vijana Jazz Band - Maisha Ya Amba
8:37
Austine Malala
Рет қаралды 87 М.
Molema
9:37
Mose Se 'Fan Fan' - Topic
Рет қаралды 14 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3 МЛН