IJUE OVEN YAKO PARTY TWO/KNOW YOUR OVEN PARTY TWO

  Рет қаралды 102,158

Mziwanda Bakers

Mziwanda Bakers

3 жыл бұрын

Ni Safari Ya Kuizoea Oven Yako
Jifunze Kuiokea Oven Yako
Majaribio Mawili Mpaka Matatu Yanaweza Kuibua Ndoto Yako Ya Upishi.
Jitihada na Uvumilivu Ndio Ngao Pekee
Twendeni Wote Tufike Tamati

Пікірлер: 234
@shanimziwanda3979
@shanimziwanda3979 3 жыл бұрын
Asante sana,nimejifunza mengi sana kupitia wewe.ur the best teacher .Mwenyez Mungu akuweke Insha Allah.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Amiin Yaa Rabb 🙏🙏
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 3 жыл бұрын
miaka elfu kwako love
@devotathemi9930
@devotathemi9930 3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 mamy tunaomba recipe ya cake wanaouza supermakert zile zinazokaa muda bila kuharibika vitu ambavyo huwekwa na vipimo
@emmamtunguja8232
@emmamtunguja8232 14 күн бұрын
Hapo kwenye oven unatakiwa juu na chini au chini tuu.ahsant.
@carryswoolencraftcwc5337
@carryswoolencraftcwc5337 10 ай бұрын
We dada mbona nmechelewa kukufahamu jamani,asante ubarikiwe yaani mara nyingi nmepika cake kama ugali,ila leoooooooooo 🔥🔥🔥🔥🔥nmepika cake moja matata haijawahi tokea ubarikiwe mbioni🙏🙏🙏
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 2 жыл бұрын
Ahsante mungu akubariki niliipak ahsante nitajaribu tena
@momo4de144
@momo4de144 3 жыл бұрын
Upo vizuri Mwalimu mzuri Sana wewe
@deboracharles1848
@deboracharles1848 2 ай бұрын
Naweza kubeke keki kwa moto wa chini na juu yaani kwa maramoja au nianze wa chini alafu nije wajuu
@francineirakoze7590
@francineirakoze7590 11 ай бұрын
Asante sana kwa mafunzo ..from Burundi
@heriethsingano8938
@heriethsingano8938 2 жыл бұрын
Asante mwalimu wito upo ndani yako,nilikua sijui chochote kuhusu cake sasahivi angalau najua kupika Mungu akuweke
@renathagwahaga1970
@renathagwahaga1970 6 ай бұрын
Asant Kwa mafundisho mazuri Jaman ninashukuru nitanza kupika nione namna keki inaweza kitoka Kwa mara ya kwnza
@Winnfrida-sx3in
@Winnfrida-sx3in 24 күн бұрын
Dada mim oven yangu aipeleki Moto nilijalibu kupikia aikuiva
@neemamgonja8194
@neemamgonja8194 2 жыл бұрын
Mungu akubariki najifunza mengi kwako
@janatnalwoga
@janatnalwoga 3 жыл бұрын
Thanks more love from dubai
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Thank you dear
@neemajames5137
@neemajames5137 Ай бұрын
Baking powder gani nzuri kupikia
@hosianaseth2377
@hosianaseth2377 Жыл бұрын
Habari Ahsante sanaaa hapo NI Moto juu na chini au
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Ndio ni juu na chini
@bokechacha9802
@bokechacha9802 10 ай бұрын
E skozi Moto ni juu na chini
@tinahphinias1470
@tinahphinias1470 Жыл бұрын
Na moto ume tumia wa chini tu au wajuu na chini
@TukusumaAsubisye-sp4lj
@TukusumaAsubisye-sp4lj 9 ай бұрын
Shukrani sana mziwanda , ubarikiwe sana ila naomba niulize ni temperature ngap na dk ngap zinaweza kuivisha keki kwenye oven maana nikifata zile walizopendekeza wao unakuta basi haijaiva na ni lazima nitoe pale juu Ili iive na ndani natumia oven ya pmc
@Emmy_lee_beauty
@Emmy_lee_beauty Жыл бұрын
Nashindwa nifanyaje mpnz keki haiivii kati inanisumbua sana..Ila ubarikkwe umenifunza vingi mno
@kaundamalale9845
@kaundamalale9845 2 жыл бұрын
Nasisis wenywe oven ambayo haina moto wa kupika juu na chini kwa pamoja tunafanyaje?
@sophiakassambula7122
@sophiakassambula7122 3 жыл бұрын
Yan hua napenda kujusikilizaga Sana mafunzo yako. Unafundizha vizur Sana. Hongera mamy
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Karibu sana dear
@frolenceesau4833
@frolenceesau4833 2 жыл бұрын
Mziwanda nimekusikiliza oven yangu inasumbua naomba unielekeze @mziwanda
@mwanaidikika3417
@mwanaidikika3417 2 жыл бұрын
Napenda oveni yako nikitaka kama hiyo nibei gani
@ramayasly4584
@ramayasly4584 2 жыл бұрын
Asalaam aleykum sister oven nzuri ya kubake kibiashara?
@ericaheddie9994
@ericaheddie9994 2 жыл бұрын
Naomba kujua juu unaweka moto wa 180 na chini inakuaje?pia unaset kwa pamoja au ni vp??
@firdosamuktarmuhammad9966
@firdosamuktarmuhammad9966 3 жыл бұрын
Asante Sana mziwanda
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 жыл бұрын
Mungu akubariki unaelekeza kwa upendo na taratibu sana.tunaomba utuelekeze kalimati nimepitia video cjaona labda nilipitwa😊
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Sawa dear vitafunwa sijafanya vingi
@mairaiddi9835
@mairaiddi9835 2 жыл бұрын
I need to know where dish come from
@kazijahaji1592
@kazijahaji1592 Жыл бұрын
naomba kuliza mwalimu oven unawasha kabisa kabla ya kuchomaa
@zaitunmaulid5049
@zaitunmaulid5049 Жыл бұрын
Samahani dada......kwenye function sijakuelewa uliwasha moto wa juu na chini au
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Juu na chini
@FrancisGikera
@FrancisGikera Жыл бұрын
so educative
@user-cs5ye2vr6i
@user-cs5ye2vr6i Жыл бұрын
Asalam aleikum mm naomba kuuliza kuchoma kaki watumia moto wa juu na chini ama chini pekeyake
@irenegomanga8654
@irenegomanga8654 3 жыл бұрын
Me oven yangu ni lita 55 aisee mwanzo ilinisumbua sana nakumbuka nilikutafuta ukaweza nisaidia dada hakika Mungu abariki kazi ya mikono yako nakupenda sana sana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Amiin my dear sote tupate baraka
@berthakessy709
@berthakessy709 3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 me yangu ni ltr 35 mpnz
@fat_hiyambinga8705
@fat_hiyambinga8705 2 жыл бұрын
Oven Kama it Bei gan my
@LatifaMaomba-uo7oe
@LatifaMaomba-uo7oe 11 ай бұрын
Me naomb kuuliza kwann nkipik keki zng ktk aziivi na alfu oven yngu nkipik keki nwek 1 hr lkn lzm niongeze moto ktk inkuw aijaiva ila pemben imeiva
@glorymlay1203
@glorymlay1203 Жыл бұрын
Hello wakati unabeki....uliweka moto kwa chini tuu au uliweka juu na chini...
@phidesbrightone3227
@phidesbrightone3227 Ай бұрын
Mimi nilizoea kutumia oven zile kubwa sasa hivi natumia ndogo ya lita 50 jaman inanifanyia vituko haswa yani keki haichambuki kabisa na inaacha mafuta katikati sijajua shida ipo wapi. Oven ni ya kuset moto wa juu na chini ni size moja hivyo naweka moto 180 na dk 60. Siku nyingine nikaweka moto 200 bado matokeo yakaja yale yale. Nakosea wapi mwalimu.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Ай бұрын
Je,uji wako wa keki ni mlaini ama mgumu? Hizi oven ndogo zinapenda uji laini zaidi
@winnieshayo1826
@winnieshayo1826 Жыл бұрын
Kwa kweli hapo kweny unga tokea nijue videos zako cjawahi kukuelewa kuhusu hapo kwenye kukoroga unga Mbn ni kama unauacha unga na mabongebonge
@rosejohn6511
@rosejohn6511 3 жыл бұрын
Asante dear, tunaomba pishi la mkate
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Sawa dear
@angelamaluli9150
@angelamaluli9150 7 ай бұрын
Nime nunua westpoint ya lita 63 kuset moto ni sawa na hii mpz ????
@hosianaseth2377
@hosianaseth2377 Жыл бұрын
Nimepika keki Mara nyingi Ila haivi katikati Nini shida oven yangu Ina Moto 40,85,130,180,225 na Max Sasa sijui keki napikia namba ngapi
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Huenda hufuati vipimo sahihi pia hufuati Sheria, oven utaionea bure
@winnydorothyadhiambo1480
@winnydorothyadhiambo1480 Жыл бұрын
Hizo baking tins naeza pata wapi
@JovineJustinian-el1qh
@JovineJustinian-el1qh 8 ай бұрын
za asubuhi jaman naomba unisadie nimepika keki lakin aijachambuka na nimeiokea kwenye oven ila nimetumia sufuria la kawaida
@fatmaimam1742
@fatmaimam1742 3 жыл бұрын
Asante madam..je nikihitaji kupika keki ya unga robo inabid blueband na sukar iwe 125g?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Ndio sahihi kabisa
@neemamkisi16
@neemamkisi16 2 жыл бұрын
Habari Mimi oven yangu ni delta Lita 60naomba msaada jinsi ya kutumia oven
@rachelmwambuluma4527
@rachelmwambuluma4527 2 жыл бұрын
Mie yangu ni 48 L natumia 180 ilaa mlima hauniachii salama msaada please
@yasintamtui8609
@yasintamtui8609 3 жыл бұрын
Mara ya kwanza cake haikupanda , Mara ya pili ilipanda vizur ila ilipasuka kati na mlima juu. Ya tatu hivyohivyo basi nikahamia kwenye mkaa. Kwa somo hili naimani mambo yataenda sawa. Ubarikiwe dada
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Amiin my dear
@salmasaid8521
@salmasaid8521 3 жыл бұрын
Pamoja Sana mwalimu wangu
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
😘😘
@renathagwahaga1970
@renathagwahaga1970 6 ай бұрын
Samahan ukiwa unapika keki huwashi kwenye faction sijaona unaongwlea function umewwka tu temperature na dk
@zuwenakhalfan2122
@zuwenakhalfan2122 3 жыл бұрын
Asante kutupa ujuzi Allah akupe afya uzidi kutujuza mimi nilikuwa naweka kabla ya kuiwasha kwanza kumbe inatakiwa uwasha wekwanza🙏
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Ndio dear washa kwanza
@zuwenakhalfan2122
@zuwenakhalfan2122 3 жыл бұрын
Shukran nafatilia sana vidio zako keki Sasa hivi napika vizuri ila shuhuri kupamba kutengeniza Icing sugar inatoa maji ni kwasababu gani habibity?
@getrudaigonga645
@getrudaigonga645 Жыл бұрын
Mimi pia nilikuwa naweka kabla ya kuwasha duuu asante mwalimu nitaleta mrejesho
@hopelikaka71
@hopelikaka71 Жыл бұрын
Naomba kuuliza naweza ijaza oveni nafasi zote,kwamfano nikiwa nabake vile vikake vidogo dogo ni ikaiva vizuri,na kabla nikiwa naanza kubake niwashe kwanza ya juu au chini
@minakhamiskhamisi6193
@minakhamiskhamisi6193 2 жыл бұрын
Jamn mm naomb kuuliz mwalim hv keki km ukipika n blue band haifai
@LatifaMaomba-uo7oe
@LatifaMaomba-uo7oe 11 ай бұрын
Infaa sem prestige ndo nzr zaid keki inkuw lain
@pillyomarymhando1267
@pillyomarymhando1267 3 жыл бұрын
Jiko langu mi plate sita nne gas mbili umeme switch ya oven no moja hiyohiyo moja tuu ya 2 niya kuset muda naomba maelekezo tafadhali
@uwimanaaurelie5489
@uwimanaaurelie5489 3 жыл бұрын
Asante sana Dada ! Mi mara ya 1 nilisumbuka kweli kweli ,afu nikajua nisipo funika haitoki ,lakini kwa sasa najitahidi ,cake inatoka vizuri.Asante sana na ubarikiwe saaaana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Amiin my dear nawe pia
@hellenmwasha8482
@hellenmwasha8482 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ove
@hajraadam9400
@hajraadam9400 3 жыл бұрын
Eti dada kwenye oven ya lita48 ninaweza kuweka sufuria ngapi
@user-om4ng7nn2c
@user-om4ng7nn2c 4 ай бұрын
Wap unaangalizia nijue Lita ngap man mi naona 48
@sarahmunyuku4328
@sarahmunyuku4328 3 жыл бұрын
Asante kwa somo, mungu akubariki dada, iyo oven inauzwa bei gani na wapi
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
400,000 0768859358
@PaulinamnguluP.malove
@PaulinamnguluP.malove Жыл бұрын
Dada je oven ikiwa Pamoja na jiko
@user-cs5ye2vr6i
@user-cs5ye2vr6i Жыл бұрын
Mm naeka moto wa juu na chini lkn haiivi kati na moto naeka 180
@neemakusenha2540
@neemakusenha2540 3 жыл бұрын
I wish nionje teacher wangu
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
😋😋😋
@Teaching356
@Teaching356 4 ай бұрын
Naweza tumia mafuta ya kupikia kukorogea sukari maana butter sina
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 жыл бұрын
Mashaallah unafunza vzury atuwa kwa atuwa shukran da
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Shukran dear karibu 😘
@saudamohamed6171
@saudamohamed6171 2 жыл бұрын
Nikipika inaiva ila ni ngumu yani lile ganda la juu linakuwa gumu sana linakuwa kama biskuti sijui nakosea wapi mamy
@eliamininanyaro635
@eliamininanyaro635 Жыл бұрын
Kwakweli mm yakwangu inameguka meguka
@user-it1hv9vh8q
@user-it1hv9vh8q 7 ай бұрын
Naomba kujua jina la oveni yako plzz na ni litre ngap
@salomefrancis3143
@salomefrancis3143 3 жыл бұрын
Hello...nimependa hii jaman Dada mm Nina shida na oven yangu kila nikipika keki ya nch 7 lazima katikati itoke mbich ila pemben inaiva..imetokea kama Mara tatu
@atiliokigahe8000
@atiliokigahe8000 Жыл бұрын
Hata mim ni hivo hivo
@estherjacob7874
@estherjacob7874 Жыл бұрын
hello...asante kwa masomo yako wafundisha vizuri. madam...ila mimi oven yangu ni ya winningstar lt60.ina. temperature knobs mbili..je zinatumikaje wakati wa kubake?naomba nijuze tafadhali.nawasha zote au moja tu?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Katika hizo mbili angalia kama ni za Baking ama kama linamajiko juu laweza kuwa la cooker,pia angalia kama wamekuonyesha any sign kuwa ni la bake ya chini na juu....natumai nimejaribu kusaidia
@estherjacob7874
@estherjacob7874 Жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 asante ...ingawa inanitatiza make ina temp knobs mbili..na pia ina heat selector.
@user-ig7gi9kv1c
@user-ig7gi9kv1c 5 ай бұрын
Mm naweka moto uwo uwo wa juu 180 dakika naweka chibi 50 ila nlipika keki inagua mpk inakuwa naweus mkubwa
@lilianwilliam9522
@lilianwilliam9522 Жыл бұрын
Mimi nilipika cake ikawa ngumu sijui nilikosea wapi
@user-xq8uz7iu8i
@user-xq8uz7iu8i 8 ай бұрын
Dada naomba kujua bei ya oven
@pendoiszrael4825
@pendoiszrael4825 3 жыл бұрын
Nakupenda sana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
🥰🥰🙏🙏🙏😘
@bokechacha9802
@bokechacha9802 10 ай бұрын
Skozi zinakuwa ngumu nafeli wapi
@lucialubanda-dk1tw
@lucialubanda-dk1tw Жыл бұрын
Mimi naovena lita 45nimeona jins una oka kek
@neemamgonja8194
@neemamgonja8194 2 жыл бұрын
Jamani dada angu mbna Mimi naenda sawa na wewe lakini inajiminya inatoka kidogo sasa
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Au unatumia chombo si sahihi??
@marthacalist8585
@marthacalist8585 2 жыл бұрын
Hlw nahitaj kujua kama sina maziwa naeza tumia hata maji
@user-dq4oz9sq6z
@user-dq4oz9sq6z 7 ай бұрын
Na sisi wa lita 48?
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 8 ай бұрын
Mashallah
@kaundamalale9845
@kaundamalale9845 2 жыл бұрын
Nasisis wenywe oven ambayo haina moto wa kati tunafanyaje?
@mwanasalum8181
@mwanasalum8181 Жыл бұрын
Hio issue km ya kwng.
@batoolyussuf2365
@batoolyussuf2365 Жыл бұрын
Naomba unielekeze jiko langu nimepika cake mara 2cinatoka mbichi hata sielewi maana jiko bado jipya
@mtikafujackline3590
@mtikafujackline3590 3 жыл бұрын
Hongera sana mziwanda bekar ninaswali samahan kuna shida ukichomeka jiko ukutani bila kuwa na sehem ya jiko
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Sijaelewa dear kulichomeka bila kuwa na sehemu ya jiko ?
@salomechimu431
@salomechimu431 3 жыл бұрын
Nina oven yangu ahiivishi vizuri natumia maasaa hadi mawili lakini haiivishi shida nn hapo msaada inapika lita kumi na mbili
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Check mlango wake huenda unatoa hewa nje na hiyo ni mbaya sana kwa oven zetu ,,jaribu kuifunika towel au blanket hapo mlangoni pia mshirikishe fundi mzuri
@user-lt1iw6uq9g
@user-lt1iw6uq9g 9 ай бұрын
Dada oven shingapi nikitakakujifunza mnafundisha shingapi kupika nakupamba keki
@monicamjera2219
@monicamjera2219 3 жыл бұрын
Asante dear...mm natumia oven ya gas nikipika cake plain kama hii yatoka vizuri ila jana nikajaribu chocolate cake ilitoka kama mkate aki sijui nilikosea wapi na nilienda taratibu na recipe
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Ulishawahi pika chocolate cake hiyo ikatoka poa au leo ndo mara ya kwanza?
@monicamjera2219
@monicamjera2219 3 жыл бұрын
Nimara ya pili na hazijatoka vizuri kama plain cake
@happybakes6499
@happybakes6499 3 жыл бұрын
Umetumia tin ya nch ngapi?
@khamiskombo9407
@khamiskombo9407 Жыл бұрын
Snteee dada kwa somo zuri ila mm naomba unisaidie kidogo moto mzur wa kuchomea mabanz ya biashara oven yangu ni lita 60 na ndo kwanza mpya
@peacenyemele3955
@peacenyemele3955 Жыл бұрын
Sory naomba nkuulize nami yangu ni lt 60 mpya je unatumia socket ya umeme hii ya kawaida au mpka zile maalumu nyekundu
@fridahjohn1219
@fridahjohn1219 11 ай бұрын
Kiukweli nimejua kutumia oven kwasababu yako unaweza kumuelekeza mtu vizuri nilikuwa siwez kuchanganya kabisa vitu vya cake now nami watu wanaomba niwaelekeze japo kupamba bado i hop nitaweza soon
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 11 ай бұрын
💪💪💪Safi saaana
@lyaruureginald8488
@lyaruureginald8488 10 ай бұрын
Mambo vipi mziwanda, oven yangu nikibake haziivi ndani, na hazipati rangi, baada ya kuangalia clip hapo juu nimegundua inatakiwa kuondoa mabati ndani na kutumia rake tu.ntajaribu Tena nione
@lucianarichard3385
@lucianarichard3385 29 күн бұрын
Hata mm nimejifunza❤
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
Mm uwanapenda sana kupika keki lakini mara nyingi nikipika unakuta aivimbi au inavimba lakini ndani aijaiva sijui nakosea wapi
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Je umepeleleza ukorogaji wako kwa makini??,,na je hufungui oven mara baada ya kuweka keki yako?? Na hakikisha utingishi tingishi oven yako pia kingine zingatia recipe zako
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 shukurani nitajitaidi
@johasultan592
@johasultan592 2 жыл бұрын
Mie yangu inakata Moto dear .ndio Mara ya kwanza kuitumia Sasa cjui shida Ni nn
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Kukata moto muone fundi majiko please
@rachelpesha652
@rachelpesha652 3 жыл бұрын
dada kwema asante sana kwa madarasa yako yamenisaidia kwenye biashara nyingi....mimi oven yangu ni ya gesi na moto unawakia kwa chini na ina namba tu kuanzia 1/2 mpaka 9...yaani najitahidi sana ila kila nikijaribu either ziungue au ziwe half mbichi half kuiva. tafadhali nisaidie kwa hili plzzz
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Vipi ukiweka moto mdogo kabisa bado inasumbua? Haina moto wa juu ??
@rachelpesha652
@rachelpesha652 3 жыл бұрын
yaani 9 ndo kubwa ila mimi huwa naweka nusu.....maana ndo namba inayoanzia....yaani natamani kweli kutengeneza keki.
@hadijasteven2783
@hadijasteven2783 3 жыл бұрын
Mimi ndo leo nimenunua yakwangu lita 55 ata sijui nianze wapi
@josephinendeotwa9089
@josephinendeotwa9089 3 жыл бұрын
Sh ngapii
@evaldalyamuya3167
@evaldalyamuya3167 2 жыл бұрын
Dadaangu mchanganyiko wako ni mzito mmno ungewelka atleast iwe mwepesi kias
@ashleyabdallah5365
@ashleyabdallah5365 3 жыл бұрын
Samahan kama auna iki kifaa cha kuchanganyia una fanyaj ili mayai yawe mazito kama pov
@hanruby20
@hanruby20 3 жыл бұрын
what tin size did you bake with?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
7" pan
@IreneMathias-tv9bp
@IreneMathias-tv9bp 11 ай бұрын
dada nisaid hapo yangu aitok Braun inkuw shid nini
@maureenmbinile1655
@maureenmbinile1655 Жыл бұрын
Hivi ni lazima niweke huo waya katikati?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Ni muhimu kulingana na Aina ya oven yako
@aishanickson-oy1op
@aishanickson-oy1op Жыл бұрын
Unaweza kupikia sufuria yakawaida
@saudamohamed6171
@saudamohamed6171 2 жыл бұрын
Yaani mimi inanisumbua mpaka nimekata tamaa kabisa
@zawadimsangi5542
@zawadimsangi5542 Жыл бұрын
Ya kwangu nikipika keki za birthday haziiv ndani, lakini nikipika keki za biashara zinaiva vizur nisaidie nakupataje
@veronicasteven1731
@veronicasteven1731 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@meclinanyamwihura3748
@meclinanyamwihura3748 3 жыл бұрын
Je moto unaweka juu na chini?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Ndio juu na chini
@DOTOCHARLES-so7rh
@DOTOCHARLES-so7rh 10 ай бұрын
Oven kama hii beigan
@kennedymburu7156
@kennedymburu7156 3 жыл бұрын
Kazi njema Sana mwalimu Sasa tupe pizza recipe mwalimu
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Umesema kitu 👌👌👌👌
@angelcassian7213
@angelcassian7213 3 жыл бұрын
Asante kwakutufundisha vyema tungependa uanzishe group la WhatsApp ili tujue mengi Zaid na pia mi Nina oven Ila sijui Zaid kukadilia Moto kwenye group ningeipiga picha ili unifafanulie kidogo @ Ahsante
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Nina group la whatsapp la mafunzo ma decision za keki (nk) kila mwezi
@hafsahassan1548
@hafsahassan1548 2 жыл бұрын
ktk Hilo group Kuna malipo yyt??
@emanuelandedela2771
@emanuelandedela2771 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naomba uniunge kwenye hilo group. Nijue zaidi matumizi ya oven mumy
@elizabethmanyara7119
@elizabethmanyara7119 3 жыл бұрын
Naeza pata aje oven kama hiyo ya kwako?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
0768859358
@catherinemapunda8164
@catherinemapunda8164 3 жыл бұрын
Mbona mimi nikibake haijai had juu cake yangu, halafu inapasuka sana sijui kwanini. Nikiweka moto wa 180 inaiva lakini zikipita dk 30 inakua ndani katikati haijaiva ila pembeni imeiva. Na nikiiacha zaidi inakauka au kuungua. Nifanyeje? Naombaushauti
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Jaribu kufanya 170 moto au 160 kwa lisaa limoja naimani utapata matokeo mazuri ,,kujifunza kuitumia mpaka ukae nayo kwa mazoezi dear
@mwantumuabduli6372
@mwantumuabduli6372 2 жыл бұрын
asante mpnz ata Mimi nikiweka Moto 180 uwa inaungua tu na kuiva pembeni
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
How to BAKE using an Electric Oven.//*Basics*
7:13
Petite Mama
Рет қаралды 787 М.
VANILA PLAIN CAKE #TANZANIAN YOUTUBER
17:10
Esther Moshi.
Рет қаралды 1,9 М.
IJUE OVEN YAKO PARTY ONE/UNGA 500G
8:49
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 26 М.
MAPISHI 10 YA OVEN! JINSI YAKUTUMIA OVEN LAKO
10:12
Ika Malle
Рет қаралды 9 М.
CAKE WITH A BLENDER WITHOUT OVEN
5:02
Rozy's Kitchen
Рет қаралды 1,4 МЛН
JINSI YA KUTUMIA OVEN //IJUE OVEN YAKO#mapishirahisi
8:17
SARAH NATURAL
Рет қаралды 7 М.