Pole mh byabato mungu atakusimamia katika kazi zako akufanyie wepesi wakila jambo.
@abesigakabigumila37449 ай бұрын
Mh. Byabato, you have made me cry too…Pongezi sana kwa moyo wako wa dhati kuleta maendeleo ya mkoa wetu. TRUST me machozi haya hayatapotea bure!!! Watakaonufaika na Tunaopenda maendeleo haya ni wengi kuliko hawa wachache wanaopinga na wenye hira na nia mbaya kwa maendeleo na mkoa wetu. Piga kazi Kaka, we have your back!!!!
@godwingodfrey11159 ай бұрын
2025 kura yngu añayo uyuuu bora nipoteze nauli
@lawrencekamete24049 ай бұрын
Pole Kiongozi ! Duhhhh, nimeumia sana. Mungu akutie nguvu na Yeye apigane na wanaopigana na wewe na kukwamisha miradi yamaendeleo Jimboni kwako. Please soma Yer 1:19. Nimeumia sana maana na mimi nikionozi mahali fulani
@DeogratiusAndrew-zi7zv9 ай бұрын
Sehemu yoyote duniani yenye wachawi wengi huwa maendeleo kupatikana nivigumu sana, njia rahisi nikumrudia mwenyezi Mungu, airehemu kagera, mashekh, wachungaji, makasisi wote watangaze dua maalumu kwa huo mkoa nawana siasa wawepo nao watubu,Mungu niwarekhema ataiponya kakera, 2Nyakati,7:14,
@user-eg2wk4xx3h9 ай бұрын
Kwa kweli umenena ila mbona Mbeya inaenda?! Au Kwa sababu baada ya nyumba mbili ni Kanisa?
@DeogratiusAndrew-zi7zv9 ай бұрын
@@user-eg2wk4xx3h mbeya imechangia sana nyumba zaibada ninyingi lakini kule wanakumbia diniyetu ya zamani kumbe nyuma yake kuna yaliyo jificha
@chomasongidion60479 ай бұрын
Barikiwa Sana mhe isaidie tu usichoke
@prisca46129 ай бұрын
Mungu anaweza, tunakuombea, machozi hayo Mungu ameona moyo wako na atatenda.. Mungu akulinde na familia yako💪❤️🙏🏿
@raynittu45999 ай бұрын
Aisee! Natamani ungekuwa mbunge wa kwetu Songea huko.Waziri unatamani Maendeleo ya wanainchi. Mungu akusimamie ktk kazi zako, Hao wanaokukwamisha watashindwa.2025 utapita
@gracebuyuya43498 ай бұрын
🙏💪
@Hakimwaipaja5 күн бұрын
Mungu akusaidia sana kwa kazi hii mungu atakusaidia yeye ndie Leo maka kesho
@florakweyunga44909 ай бұрын
Nikweli kabisaaa,WAKOLA MWANA WA MAE.
@magazijuto79919 ай бұрын
Apambane kijana...Bukoba kuna baadhi ya watu wana ubinafsi wa hali ya juu...Yaan kama kitu hakimpi faida yeye anaachana nacho na anaweza kukipinga...sijui roho hiz wanazitoa wap...Bukoba ingeishaendelea kitambo sana maana uwezo inao na iko strategically located...Lakin baadhi ya watu tena viongozi wakubwa tu wa manispaa hiyo wanairudisha nyuma....
@juniorivany9087Күн бұрын
Mimi nakuelewa vizuri sana kaa na wanafiki wako,huna jipya wala huna lolote kulia lia tu.huna loloteee
@HassanMusyoka-gn8qp9 ай бұрын
WATU WA BUKOBA TANZANIA MIMI NI MKENYA LAKINI KIONGOZI KAMA HUYU NI BARAKA MFANO WA MAREHEMU MAGUFULI ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@masolavachui17289 ай бұрын
Unazijua siasa za bongo ww au unazisikiaga tu 😂😂😂
@user-eg2wk4xx3h9 ай бұрын
Byabato oyeee Magufuri oyeeee mlikuwa na chemistry Moja SS ni majungu wanamsingizia mama Samia roho chafu tuu Magu aliwapasha
@amankajuna50649 ай бұрын
Mheshimiwa Byabato wewe ni kijana bora kabisa, mzalendo na mpenda maendeleo. Najivunia wewe kuwa Mbunge. Nimekushuhudia namna unavyopambana na mahitaji ya watu wa jimbo lako. Barabara, umeme, maji tayari umefanya zaidi ya 90% sasa stand, soko, kanoni yamewashinda waliokutangulia kwasababu ya fitina za watu. Lakini umefanikisha. BIBLIA INASEMA “USIOGOPE” nami ninakwambia usiogope songa mbele Hakuna mwingine ya kufanya kama siyo wewe. Historia utakuandika vyema. Wanabukoba walio wengi wanakupenda na kukuombea. Mwenyezi Mungu akutunze
@estergordian-vv9jx9 ай бұрын
Saf kampaina meneja wetu 2020
@mgayamgaya9 ай бұрын
2025 bado sana watamkumbuka Magu😁
@frankfrance28339 ай бұрын
Ongera mweshimiwa tuko nyuma yako tunakupenda tunakupongeza pambana kiume tuko nyuma yako tutakusapoti mpe mama ongera yetu kwakutupenda nani kama mama ❤❤❤❤❤
@gisellakaijage91559 ай бұрын
POle sana Mungu akutie nguvu
@eliminamichael95679 ай бұрын
Mkuu ninakuelewa sana endelea mbele tupo tunaokuombea..shida bukoba ujuaji mwingi jameni punguzeni, kila jambo mnataka liende mnavyotaka nyinyi na ajabu bukoba ndo mkoa ambao watu wanaweza kua na umoja mkubwa katika mambo yakurudisha nyuma mendeleo na wakawa na mgomo baridi majority of them. Loh!
@bbclondonulimwenguwasoka61269 ай бұрын
Huyu kijana tumepiga wote skuli ni mzuri sana wana BK msikubali kumpoteza.
@wilfredmbowe36449 ай бұрын
unalia nini kubwa zima tulia
@gracebuyuya43498 ай бұрын
@@wilfredmbowe3644unayoyaongea huyaelwi kwanza kagera haikuhusu ndo maana
@rumanyikajoe70389 ай бұрын
Suala kupiga goti na kulia ndo hapo Sasa ndo umeharibu. Bukoba mwanaume jasiri hawezi kulia. Kupiga goti, ni ishara ya unyenyekevu wa Hali ya juu. Goti huwa linapigwa Kwa Mungu tuu. Mungu atakasirika na sidhani kama ilikuwa sahihi. Omba msamaha Kwa Mungu. Maana imeandikwa ( Flp 2:10-11).Kwa jina la YESU KILA GOTI LIPIGWE.
@jamsonkanyiki60389 ай бұрын
Hata kwetu mbeya wapo. Wakwamishaji wa maendeleo. wao kwao kila kitu Ni kupinga tuu. Chapa kazi. Maneno yao achana nayo. N/ Waziri Kazi iendelee.
@ErastoZakayo-to6nm9 ай бұрын
Noma sana hiii
@PhilipinaPhilibart-wl6rq9 ай бұрын
Pambana kaka. Uongozi nikazi Ila kikubwa watumikie wanachi wako walio kutuma. Mtangulize Mungu maana uongozi unatoka Kwa MUNGU
@stevenmdoga84149 ай бұрын
Bado hamjasema na mtasema yaani mpk msemeeee hiyo ndyo CCM
@dianasamson93119 ай бұрын
Pambana Mheshimiwa.... Bukoba yetu iko nyuma sana kwakweli.
@mugemainyas52419 ай бұрын
Unafaa sana. Bukoba ni ngumu lakini unaweza waziri. Hiyo barabara imeua wengi sana .
@johnmurathe90339 ай бұрын
Tanzanian have leaders manze this people are proud of their country
@mugemainyas52419 ай бұрын
Wewe ni mwema sana . Unavoongea tu ni mkweli . NA UKWELI UPO KATIKA FAMILIA NZIMA WANABUKOBA WANAPASHWA KUJUA HILO . SISI WENGINE TUMESHAFANYA KAZI NA NDUGU ZAKO . FAMILIA YAKO NI YA UAMINIFU . PIGA KAZI WANAOONA WANAONA WAPUUZI ACHANA NAO . ONUKAMA TAFUKAMA IWE WAFUKAMA ASANTE SANA.POLE SANA .
@bashirubumalwa74199 ай бұрын
Kweli unachosema Bukoba nikwetu ila wanafiki ni wengi sana wanakwamisha maedeleo toka zamani unafikia ni mwingi sana unakosesha maedeleo tunachekwa sana uku nikoani Wasomi niwengi ila wanafiki niwengi elimu ya mwanabukoba aiwasaidihi tunakwamisha
@victoriakiwanuka54289 ай бұрын
Piga kazi kijana na ubunge utapata Mungu yuko pamoja nawe 🙏
@cloudngoko.26799 ай бұрын
Huyu ata wasipojenga stand kushinda ata shinda tuu hata kama maana kawa muwazi mapema nini kinamkwamisha. Jamani kamati ya siasa ya wilaya msaidieni kwa moyo mmoja tuache nongwa tusije kumkwamisha Raisi wetu Dkt. Mama SSH. UKimukwamisha Mbunge mtakuwa mmeikwamisha Serikali yetu. TUACHE NONGWA.
@geofreychitamu3669 ай бұрын
Muililie na ndiyoooo mliyoipitisha ktk Iga.
@NowelaRaymond-zq4ys9 ай бұрын
Pambana kaka, Mungu yupo.
@StephanoGallet-dq7ch9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 leo mnajifanya mnalia kuomba huruma pole sana
@estergordian-vv9jx9 ай бұрын
Karibu kuwaza kabla yakuandika
@fransiscondyanabo91549 ай бұрын
Nakupongeza usivunjike moyo fanya kazi ndugu yangu
@SamPatrick-nj8oe9 ай бұрын
Mbinu za kijeshi hizo
@JovinJosephat8 ай бұрын
Inauma sana. Bukoba sijui tumerogwa na nani?
@generosennko83439 ай бұрын
Mpeni ushirikiano kiongozi huyo. Ana moyo wa kufanya kazi. Ni kwa faida yenu wana bukoba. I just got emmotional by just watching him. Be strong son. And lead your people with prayers to break the stronghold.
@revocatuskatto72939 ай бұрын
Duh adi nimelia et tatzo Ujuaji mwingi mno bukoba kila mtu anajuwa ndo maana apaendelei mim cku ya kupiga kura nakuja kukuchagiwa ndugu yangu we piga kazi
@drdd7749 ай бұрын
Tatizo la baadhi ya wahaya ni wajuwaji mno, hata chalamila aliisha waambia
@user-vy5ei1xl4p9 ай бұрын
hii sio sawa kwa kiongozi sifa ya kiongoz ni kuwa na moyo mkubwa
@faridubakana67339 ай бұрын
We pengine hujakaa Bukb ..yan hapa kuna watu wapo radhi wazuie maendeleo ili mradi wapate la kusema kwenye uchaguzi
@mugishamajeba96289 ай бұрын
We ria ata ikiwezekana urie ata damu ira kitajurikanatu 2025 sisi niwatu wazima atuwezi tishiwa namachozi sisi siyo mirima tutakutana
@raulnassor57619 ай бұрын
Mama haya yasikie hayo yakiongozi ,sijuwi yawananchi watasemaje watampa au 😂?
@faustinebahenobi34129 ай бұрын
Ubunge umepewa na mwendazake ss subiri 2025 utakiona
@sengeremaxleo92959 ай бұрын
Daaaaaaaah yaaaan wazzir analiaaa mamamaeeee sa wabunge wa kawaidaaa watafanyaaa Nini ??????? This is stupidy
@rosehaule67659 ай бұрын
Kha sijaelewa mm.mwenzenu pole muheshimiwa jamanj kwann lakini mnamfanyia hivi😂😂😂
@niazonbukoke19649 ай бұрын
Mpumbavu kwel yaan , siuwataje hao wanaokwamishaaa?? Kama wameiba peleka mahakamani... Kalilie kwa mkeo huko tunamachungu sie
@HafidhuMasudi-ne2bi9 ай бұрын
Wengi wao waliotoa comment hapa ni uelewa mdogo masikini,hamjakutana na mizozo au mivutano ya viongozi katika kuleta maendeleo kwa wananchi.Mheshimiwa huyu kulia,mambo ni mengi na yanakwaza sanaa.Hata mkuu wa mkoa alishayasema hayo ya watu kukwamishana hapo Bukoba.
@jonathanakhabuhaya16939 ай бұрын
ni mnafiki tu.Kwa nini asiwataje wanaomkwamisha?Kama Waziri, kwa nini asiwalipue hao Bungeni? Kwa nini asiwashtaki kwa Samia?Ni aibu kuona Waziri analalama kama Mwendawazimu.Ametuaibisha Wahaya.
Hasa wanapinga nini?. Kama ni stend kwa hapo mjini katikati ni makosa, hapo panabana mno hauwezi kupanua maendeleo ya bkb kwa kubakisha stand na soko mjini kati Byabato
@henrymasomi8319 ай бұрын
Kipindi Cha kampeni magufuri alisema bukoba ujuaji mwingi
@ustadhisimbula86229 ай бұрын
Kiongoz makini safi sanaaa pambana uongoz nivitaa
@godwingodfrey11159 ай бұрын
Byabato once mda wa kupga kura lazm nije nikuunge mkono 😊
@edisonsebasitian-th3zy9 ай бұрын
Wewe Samia ni wezi
@winfordmwangonda53759 ай бұрын
Mkoa wenye wasomi wa kiwango cha juu ,ajabu ni miongoni mwa mikoa maskini Tanzania.Nini tatizo ?
@MwakyMwaka9 ай бұрын
Hata ulie vipi hamna kura msenge wewe
@EliaHiluka-ep3tp9 ай бұрын
Usiseme uliomba pesa no mali za umma
@rithadonatus81109 ай бұрын
Yaani Hawa wajanja sana wanajifanya Wanahuruma sana kwa Sasa waongo sana na matapeli mbwa coco Hawa 😂😂😂😂
@estergordian-vv9jx9 ай бұрын
Fikiri kabla yakuandika
@yaasirimuhudi16649 ай бұрын
Haoo wanaokwamisha watolewe madam kwetu pataendelea wenye nia nzuri wasapotiwe
@buberwazimbeiya74069 ай бұрын
Nagira nkwibe simka nkuteme
@stellamwasenga62059 ай бұрын
😂😂 nenda kajiajiri achana na siasa
@andrewkissavah82729 ай бұрын
Wewe acha usanii ,hayo yote ni mapicha ili kuwahadaa wana nchi na kuwa fanya mazuzu ili upate ubunge wa huruma hapo wana nchi msikubari ngonjera hizo mtupeni kapuni huyo msikubali hao tena
@sdiketz30539 ай бұрын
Pole byabato
@fridolinefrance13539 ай бұрын
Wahaya wengi wajuaji Sana piga kazi
@edwardmakonge33719 ай бұрын
Kijana pambana.
@justusndyamukama48089 ай бұрын
Waitara amekuambukiza?
@jonaskweyamba97479 ай бұрын
Sijaona point tukutane 2025
@paschalrutashoborwa79769 ай бұрын
Mbinu mojawapo ya kuleta maendeleo ya kweli katika Bukoba municipal, ni kuboresha miundo mbinu kama kujenga/ kupanua barabara,ujenzi wa bus stand, hivyo yeyote anayepinga uwepo wa miradi hii, atakuwa haitakii mema Bukoba municipal, na mkoa wa Kagera kwa ujumla.
@kadogojohn76439 ай бұрын
Na inaonekana wanamfanyia hujuma
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz9 ай бұрын
Tatizo sio waziri natizo ni rais kuchangua matope ndio wanaomuagusha rais
@MganyiziAmosi-cz3qk9 ай бұрын
Mtanyooka tu awamu hii
@wilfredmbowe36449 ай бұрын
uchanguzi umefika tutona mengi
@deodatusdioniz-cp1sm9 ай бұрын
Ndg yetu pambana maisha ni vita
@Commentsplus9 ай бұрын
hivi ungekua ni wewe afu ni waziri unaona kitumbua chako kishatiwa mchanga afu kwa wahaya lazima ujishushe jamaa mjanja afu anabusara
@De_lima989 ай бұрын
😂😂😂 hapana
@richardbegga66799 ай бұрын
Uchaguzi Umekaribia 😂😂 mtalia kila aina ya Machozi Mamae.Kama unapenda wana Bukoba Ungeomba Serikali yk ya au Chama chako cha CCM waondoe Vyeo vya hovyo kama Wakuu wa Mkoa na Wiraya na Warete Serikali za Majimbo ndo yaamue Maendeleo ya Wananchi wao sio Maendeleo ya Wananchi yamuliwe Dodoma
@johnmahu50609 ай бұрын
Na bado mtapiga sana magoti 2025 hiyooooooo asnt yesu umewachanganya wenyewe bila chadema ah
@estergordian-vv9jx9 ай бұрын
Chadema walileta nn pimbi ww
@shafyukamugisha53738 ай бұрын
mambo saf
@elvisoscar99129 ай бұрын
Wananchi msimuamini mwanasiasa yoyote ata ajigalagaze vp chini kampeni zikinukia ndo mambo yao ao iv bukoba stendi tayali ishajengwa wahaya wenzangu au bado 😂
@stevesungura67899 ай бұрын
Kumbe Bukoba wagumu sana kuelewa eh!? Basi ndo maana Bukoba pako hivyo!
@jonijoogabriel37289 ай бұрын
Yani tutaona mengi sana kipindi hiki na uchaguzi unakaribia Nasemajeee bado hatujaona tutaona saaaaaaaaana
@titusrobert58909 ай бұрын
Byabato bukoba ni ngumu ilimhitaji Jpm tu, tumechelewa mno
@amonmethod9 ай бұрын
Mbinu za kuomba kura hzo..!! Hakuna kilichofanyika
@jameschubiri94539 ай бұрын
Ww ndo ulisema Tarime vijijini wasilipwe fidia na mgodi Acha na ww ukome
@amosethantheking88159 ай бұрын
Usanii
@kennethbenjamin2759 ай бұрын
Duh
@georgembise72349 ай бұрын
Usimwabudu mwanadamu mwenzako!
@TM.Sullusi9 ай бұрын
Itakua hujui maana ya kuabudu wewe 😂😂
@user-df5mj2ft4w9 ай бұрын
yn apo bado
@ballackmasungura67539 ай бұрын
Ccm wanajua drama mtu anatetea ugali wawatoto wake akifika bungeni anatetea ccm
@fredrickbaryagati21949 ай бұрын
Wataa kwaeri wabanza kuria kabra ya uchaguzi ndo umefika pore sana c.c.m oyeee
@user-eh4dz9kz3y9 ай бұрын
Mlimdhurumu Chifu Adronicus Kalumuna kura, sasa acha Mungu akuonyeshe dhuluma kuwa ni dhambi
@estergordian-vv9jx9 ай бұрын
Ww mandaz Tena yakalimati jitathmin alikuwa meya alifanya nn
@user-eh4dz9kz3y9 ай бұрын
@@estergordian-vv9jx Chifu usimlinganishe na hizi takataka. Akiwa Meya tena CHADEMA ambapo serikali ya CCM inaminya pesa, alifanikiwa kuboresha miundombinu ya barabara nenda mpka kilimahewa, Kashenye, Kahororo, nk. Mradi wa maji mkubwa unaojengwa Kahororo, utu na uungwana ndani ya manispaa haupimiki. Chief kijana mchapakazi, asiyejikweza, mwenye uwezo wa kujenga hoja akasikika popote, usimlinganishe na hawa watia huruma waliobebwa na mfumo. Bukoba haiwezi kuongozwa na kijana arrogant, anayelialia ingali ana mamlaka , mbunge ana mamlaka tena waziri unafika kila eneo, ikulu haubishi hodi, afu uje kulia?? Hiii ni inaonesha kiasi gani dogo ni dhaifu, hachangamani na watu, syo mbunifu, mjanja, mwenye weledi wa kutatua matatizo ya jamii. Kazi hii ni ya mnyamwezi Chifu (mwamba) uliza CCM wakwambie vizuri uwezo wake tangu akiwa mwenyekiti uvccm Hadi Diwani, muulize Kagasheki akusimulie moto wa Chifu
@sifuelinyaki33419 ай бұрын
Sasa imekuwaje ccm wanalia chadema wanalia wananchi wanalia kila m2 kwa style yake jamen. Ila waitara na silinde walisema walihamia ccm kwasababu ni sikivu mbona naibu waziri huku nalia sijui ndio amesikia anatoa shukrani..
@jonathanakhabuhaya16939 ай бұрын
Ni aibu kwa Waziri na Mwanasheria kulialia ovyo na kupiga magoti mbele za watu.Hafai.Kama kuna watu wanamkwamisha, si awataje? Kama anawaogopa si awashtaki kwa Waziri wao au hata Rais? Ameshindwa kazi na hapa anataka huruma za watu.Hafai hata kuwa Katibu Kata.
@jhecfoundationtanzania28919 ай бұрын
Uwe unapokea na simu za watu hasa wenye ulemavu, na yule dada mwenye ulemavu wa bugashani alikuomba scooter 🛵 ukampatia kiti mwendo ambacho siyo msaaada kwake, kwahiyo Mzee milion 5 kwako siyo kitu fanya kitu kwaajil ya yule dada anapitia changamoto kubwa sanaa japo anajituma😢😢😢😢
@explorewithbertin9 ай бұрын
Mkuu hawezi kusaidia kila mtu aisee....wacha afanye makubwa yanayoweza kusaidia jamii nzima
@gracebuyuya43498 ай бұрын
@@explorewithbertin🙏🙏🙏🙏
@modestwenceslaus99 ай бұрын
Miaka yote Siasa za Bukoba mjini ni ujenzi wa Soko na Stand ya Mabasi basi.
@ismaelismael14059 ай бұрын
Wahaya mkimkosaga huyu byabato ndio mjifute katika Raman ya Tanzania kimaendeleo.... Kamwe hamtaendeleaga mtabakia hivyo hivyo na roho zenu mbaya
@aminakashoro94309 ай бұрын
Maendeleo yanakuja na gharama zake, tumekubali matokeo mazuri ya kimaendeleo.
Mh Byabato unatosha mitano tenaaa ccm mbele kwa mbele 🔥🔥
@StevinKiwili-gh3kg9 ай бұрын
Unapwaya sana iki kiti alisitahiri chifu karumuna
@sylvestercameo62639 ай бұрын
Kakosa ukomavu wa kisiasa!Too emotional Anasema muda wa siasa bado wakati alipo anapiga siasa.(so contradictory). Kiongozi lazima uwe jasiri, shupavu, ujiamini na kujisimamia, upime nini cha kuongea unaongea na nani, wapi na wakati gani. Hutakiwi kuwa na mihemko, jazba na hamaki. Kama ndiyo wabunge tuliokuwa nao wa kulialia na kutafuta sympathy kama akina Waitara basi watanzania tuna kazi!
@chachawambura8119 ай бұрын
Nilijua hatamaliza bila kuweka misifa ya kumiliki V8!