Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.
Пікірлер: 204
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
@othmanalnabhany32083 жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
@bilalikambo72026 жыл бұрын
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
@abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
@istambuliahmedi82033 жыл бұрын
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
@ashamasoud1223 жыл бұрын
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
@abdallahmsham-eb7jz5 ай бұрын
alhamdulilah mungu atakulipa wema wako kamanda heshima kubwaa kwako mpambanaji safi sana duuuu
@anjunurdin23923 жыл бұрын
Hongera khaatibu .umeongea kweli
@rajabngai51503 жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
@khamisdaima14556 жыл бұрын
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
@machinjashabani53313 жыл бұрын
ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko
@hamadmasoud39196 жыл бұрын
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
@khadijahilal30163 жыл бұрын
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
@omarizuberi71633 күн бұрын
Aminaa
@mozamansour79126 жыл бұрын
Asante sana umeongea point 👏👏
@dullatanga78116 жыл бұрын
Yuko sahihi sana mh Khatib
@Hassan-vn6nn6 жыл бұрын
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...
@bakarhamad47513 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
@zahorsalum6633 жыл бұрын
Allah akupe kauli dhabiti.
@allymusira21533 жыл бұрын
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
@madiyaahmad27496 жыл бұрын
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
@AdijaSelemani5 ай бұрын
Allah akurehem
@shebbybongo5675 жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah
@eddysaid96113 жыл бұрын
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
@aboudmsonde28906 жыл бұрын
Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up
@abdallahhemed35276 жыл бұрын
Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa
@jaafarwibonela74023 жыл бұрын
Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn
@zaidiissa37143 жыл бұрын
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
@kibelaame51786 жыл бұрын
Hongera sana allah atakulipa
@salehsuleiman12186 жыл бұрын
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
@masoudsaid54883 жыл бұрын
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
@adamkatet2746 жыл бұрын
Jamaaa ameongea point Sana
@mengicacoconut81446 жыл бұрын
Uko sahihii@khatibu
@MasudiAli-o8q9 ай бұрын
Swali lako ni zuri sana
@abdukherykhamis735 жыл бұрын
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
@shemelaruhinda61136 жыл бұрын
Asante Mh umeongea ukweli.
@abdalahsuleiman89896 жыл бұрын
Flavian
@abdalahsuleiman89896 жыл бұрын
Haifai kitu gani kujiunga oic?
@hechechacha40326 жыл бұрын
Safi kabisa kamanda
@oscarjohn50396 жыл бұрын
nice point
@joshuasamson41746 жыл бұрын
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
@hechechacha40326 жыл бұрын
Joshua Samson sahihi
@destiny4life4396 жыл бұрын
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
@dinhomdullah29654 жыл бұрын
mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli
@mohamedishabani7176 жыл бұрын
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
@ibrahimisack17656 жыл бұрын
M.mungu akusimamie ppte ulipo , na km mtu hana comment bora akae kimya maana ana commentless
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
@chagulaniadams39656 жыл бұрын
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Hahahaha
@istambuliahmedi82033 жыл бұрын
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
@harunakony20123 жыл бұрын
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
@slemansaid72133 жыл бұрын
Mh.... kwel jmn
@salehlofy42516 жыл бұрын
Udugu mwisho tunawapenda wao lakn wao hawatupendi muungano hatuutaki
@tztanzania22623 жыл бұрын
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
@omarynassor63133 жыл бұрын
Inatiashaka
@ashooraashoora54156 жыл бұрын
Mungu anawaonaa
@madiyaahmad27496 жыл бұрын
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
@AdijaSelemani5 ай бұрын
Mashaalah
@SumaLTD6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
@saidaliy15675 жыл бұрын
Suma Spain hahahah wacha zako
@ismailabbas419710 ай бұрын
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
@husenially86496 жыл бұрын
umesema kweri mh
@ibrahimmagambi616 жыл бұрын
mm binafsi siijui bakwata
@alfaarouqjongo49806 жыл бұрын
JAZAKA LLAHU KHAYRA
@jumaomar14546 жыл бұрын
hawana nia njema na Zanzibar
@swaiseif29896 жыл бұрын
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
@kibelaame51786 жыл бұрын
Swai Seif hujambo
@Emedroadtocanada3 жыл бұрын
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
@achiliadinan4303 жыл бұрын
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
@twilindeissa45055 жыл бұрын
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
@chachamadini93726 жыл бұрын
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
@abdillaahirichardkasisi86916 жыл бұрын
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
@jumakessy75606 жыл бұрын
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
@rashidsuleiman26636 жыл бұрын
tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
@victorygadiel50846 жыл бұрын
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
@omalliddy2126 жыл бұрын
rashid suleiman ... ....
@changchuma92565 жыл бұрын
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
@yasinmgen20726 жыл бұрын
good speech
@machinjashabani53316 жыл бұрын
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
@mrishojumaamrisho32123 жыл бұрын
Allah amrehem
@issahalfan18273 жыл бұрын
Allah aalam.
@allyhasani84476 жыл бұрын
Inatia uchunqu na inaliza wallah
@daudihamisi57893 жыл бұрын
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
@mumybhay49845 жыл бұрын
kweli kabisa
@narlonabuu46656 жыл бұрын
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
@ramadhanmasiku41053 жыл бұрын
Mbunge khatibu haujawahi kuniangusha
@mrishojumaamrisho32123 жыл бұрын
Allah amrehem
@hamisidd28056 жыл бұрын
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
@sharkbinaally33815 жыл бұрын
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
@musamusahshafi14963 жыл бұрын
Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu
@jumamomba95026 жыл бұрын
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
@MSKTVOnline6 жыл бұрын
kwa kupata vidie mbalimbali zinazohusiana na dini tafadhali tembelea haqqi tv
@allypharahani21683 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiun
@ahmadikitwana70276 жыл бұрын
Kweli sisi ni ndugu wa damu na 2020 apelekwe paulo makonda akagombee urais wa zanzibar badala ya Dk shein atakapomaliza muda wake, hapo nitaamini sasa kwamba sisi ni ndugu wa damu, lakini hii ya changu chetu chako chako huo wa damu unatokea wapi. Kuna unafiki kotekote hapo ni kwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
@aliymkuutv43676 жыл бұрын
Safi sana
@tumahamza89726 жыл бұрын
Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.
@arbaab93376 жыл бұрын
Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍
@saidaliy15675 жыл бұрын
Nadir Al Busayyid hahahahha
@sudidoto97593 жыл бұрын
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
@likandapahasani31396 жыл бұрын
Ukweli kabisa mheshimiwa
@pettermasika91206 жыл бұрын
shida Udini wewe haujuii Wewe daima unaonekana haupendi Muungano, ila Leo umeubariki bila kujuwa, Tanzania moja Milele Hakuna tena cha Zanzibar wala Tanganyika sote Nchi moja Tanzania,
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
BABA MUNA HASAD NA ROHO MBAYA HAMTUTAKIII MEMA NYIE MBONA NYIE WAKOROFI SANA NYIE MNAROHO MBAYA SIJAPATA KUONA SISI WAZANZIBARI HATUONI FAIDA YA MUUNGANO
@rayanalhabsi80296 жыл бұрын
zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya