MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO

  Рет қаралды 168,797

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.

Пікірлер: 204
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
@bilalikambo7202
@bilalikambo7202 6 жыл бұрын
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 жыл бұрын
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 жыл бұрын
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
@ashamasoud122
@ashamasoud122 3 жыл бұрын
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 5 ай бұрын
alhamdulilah mungu atakulipa wema wako kamanda heshima kubwaa kwako mpambanaji safi sana duuuu
@anjunurdin2392
@anjunurdin2392 3 жыл бұрын
Hongera khaatibu .umeongea kweli
@rajabngai5150
@rajabngai5150 3 жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 6 жыл бұрын
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
@machinjashabani5331
@machinjashabani5331 3 жыл бұрын
ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko
@hamadmasoud3919
@hamadmasoud3919 6 жыл бұрын
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
@khadijahilal3016
@khadijahilal3016 3 жыл бұрын
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 жыл бұрын
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
@omarizuberi7163
@omarizuberi7163 3 күн бұрын
Aminaa
@mozamansour7912
@mozamansour7912 6 жыл бұрын
Asante sana umeongea point 👏👏
@dullatanga7811
@dullatanga7811 6 жыл бұрын
Yuko sahihi sana mh Khatib
@Hassan-vn6nn
@Hassan-vn6nn 6 жыл бұрын
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...
@bakarhamad4751
@bakarhamad4751 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 жыл бұрын
Allah akupe kauli dhabiti.
@allymusira2153
@allymusira2153 3 жыл бұрын
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
@madiyaahmad2749
@madiyaahmad2749 6 жыл бұрын
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
@kishingokishingo1840
@kishingokishingo1840 3 жыл бұрын
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
@AdijaSelemani
@AdijaSelemani 5 ай бұрын
Allah akurehem
@shebbybongo567
@shebbybongo567 5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah
@eddysaid9611
@eddysaid9611 3 жыл бұрын
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
@salmasalim6055
@salmasalim6055 6 жыл бұрын
Hongera muheshimiwa Allah akusimamie
@Rastamuslim
@Rastamuslim 3 жыл бұрын
Innal llai khatib allah akuepushe moto
@nainasmash6966
@nainasmash6966 6 жыл бұрын
mh hongera sana wallah umenifurahisha sana
@amanichanzi1824
@amanichanzi1824 3 жыл бұрын
Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 жыл бұрын
اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه
@nassirnassor8603
@nassirnassor8603 3 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin
@mohdabdi4157
@mohdabdi4157 6 жыл бұрын
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
@aboudmsonde2890
@aboudmsonde2890 6 жыл бұрын
Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up
@abdallahhemed3527
@abdallahhemed3527 6 жыл бұрын
Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa
@jaafarwibonela7402
@jaafarwibonela7402 3 жыл бұрын
Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 3 жыл бұрын
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
@kibelaame5178
@kibelaame5178 6 жыл бұрын
Hongera sana allah atakulipa
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 6 жыл бұрын
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
@masoudsaid5488
@masoudsaid5488 3 жыл бұрын
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
@adamkatet274
@adamkatet274 6 жыл бұрын
Jamaaa ameongea point Sana
@mengicacoconut8144
@mengicacoconut8144 6 жыл бұрын
Uko sahihii@khatibu
@MasudiAli-o8q
@MasudiAli-o8q 9 ай бұрын
Swali lako ni zuri sana
@abdukherykhamis73
@abdukherykhamis73 5 жыл бұрын
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 жыл бұрын
Asante Mh umeongea ukweli.
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 6 жыл бұрын
Flavian
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 6 жыл бұрын
Haifai kitu gani kujiunga oic?
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Safi kabisa kamanda
@oscarjohn5039
@oscarjohn5039 6 жыл бұрын
nice point
@joshuasamson4174
@joshuasamson4174 6 жыл бұрын
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Joshua Samson sahihi
@destiny4life439
@destiny4life439 6 жыл бұрын
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
@dinhomdullah2965
@dinhomdullah2965 4 жыл бұрын
mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli
@mohamedishabani717
@mohamedishabani717 6 жыл бұрын
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
@ibrahimisack1765
@ibrahimisack1765 6 жыл бұрын
M.mungu akusimamie ppte ulipo , na km mtu hana comment bora akae kimya maana ana commentless
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 3 жыл бұрын
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 10 ай бұрын
Hivi huyu kumbe ashafiriki
@jumachilundajr4853
@jumachilundajr4853 3 жыл бұрын
Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni
@bilaliomary7616
@bilaliomary7616 3 жыл бұрын
nazan uyo mbung ajiherew mung amsamee
@jjnjau
@jjnjau 6 жыл бұрын
Hasidi ana husda mbaya.
@kulthumhaji6928
@kulthumhaji6928 3 жыл бұрын
Bora umeliona hili jambo ni kero.
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Doh nasikia naye kaondoka 😭😭
@juniordilema1097
@juniordilema1097 5 жыл бұрын
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
@chagulaniadams3965
@chagulaniadams3965 6 жыл бұрын
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 3 жыл бұрын
Hahahaha
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 жыл бұрын
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
@harunakony2012
@harunakony2012 3 жыл бұрын
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
@slemansaid7213
@slemansaid7213 3 жыл бұрын
Mh.... kwel jmn
@salehlofy4251
@salehlofy4251 6 жыл бұрын
Udugu mwisho tunawapenda wao lakn wao hawatupendi muungano hatuutaki
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 жыл бұрын
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
@omarynassor6313
@omarynassor6313 3 жыл бұрын
Inatiashaka
@ashooraashoora5415
@ashooraashoora5415 6 жыл бұрын
Mungu anawaonaa
@madiyaahmad2749
@madiyaahmad2749 6 жыл бұрын
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
@AdijaSelemani
@AdijaSelemani 5 ай бұрын
Mashaalah
@SumaLTD
@SumaLTD 6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
@saidaliy1567
@saidaliy1567 5 жыл бұрын
Suma Spain hahahah wacha zako
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 10 ай бұрын
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
@husenially8649
@husenially8649 6 жыл бұрын
umesema kweri mh
@ibrahimmagambi61
@ibrahimmagambi61 6 жыл бұрын
mm binafsi siijui bakwata
@alfaarouqjongo4980
@alfaarouqjongo4980 6 жыл бұрын
JAZAKA LLAHU KHAYRA
@jumaomar1454
@jumaomar1454 6 жыл бұрын
hawana nia njema na Zanzibar
@swaiseif2989
@swaiseif2989 6 жыл бұрын
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
@kibelaame5178
@kibelaame5178 6 жыл бұрын
Swai Seif hujambo
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 3 жыл бұрын
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
@achiliadinan430
@achiliadinan430 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
@twilindeissa4505
@twilindeissa4505 5 жыл бұрын
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
@chachamadini9372
@chachamadini9372 6 жыл бұрын
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
@abdillaahirichardkasisi8691
@abdillaahirichardkasisi8691 6 жыл бұрын
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
@jumakessy7560
@jumakessy7560 6 жыл бұрын
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 жыл бұрын
tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
@victorygadiel5084
@victorygadiel5084 6 жыл бұрын
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
@omalliddy212
@omalliddy212 6 жыл бұрын
rashid suleiman ... ....
@changchuma9256
@changchuma9256 5 жыл бұрын
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
@yasinmgen2072
@yasinmgen2072 6 жыл бұрын
good speech
@machinjashabani5331
@machinjashabani5331 6 жыл бұрын
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@issahalfan1827
@issahalfan1827 3 жыл бұрын
Allah aalam.
@allyhasani8447
@allyhasani8447 6 жыл бұрын
Inatia uchunqu na inaliza wallah
@daudihamisi5789
@daudihamisi5789 3 жыл бұрын
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
@mumybhay4984
@mumybhay4984 5 жыл бұрын
kweli kabisa
@narlonabuu4665
@narlonabuu4665 6 жыл бұрын
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 жыл бұрын
Mbunge khatibu haujawahi kuniangusha
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@hamisidd2805
@hamisidd2805 6 жыл бұрын
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
@sharkbinaally3381
@sharkbinaally3381 5 жыл бұрын
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
@musamusahshafi1496
@musamusahshafi1496 3 жыл бұрын
Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu
@jumamomba9502
@jumamomba9502 6 жыл бұрын
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
@MSKTVOnline
@MSKTVOnline 6 жыл бұрын
kwa kupata vidie mbalimbali zinazohusiana na dini tafadhali tembelea haqqi tv
@allypharahani2168
@allypharahani2168 3 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiun
@ahmadikitwana7027
@ahmadikitwana7027 6 жыл бұрын
Kweli sisi ni ndugu wa damu na 2020 apelekwe paulo makonda akagombee urais wa zanzibar badala ya Dk shein atakapomaliza muda wake, hapo nitaamini sasa kwamba sisi ni ndugu wa damu, lakini hii ya changu chetu chako chako huo wa damu unatokea wapi. Kuna unafiki kotekote hapo ni kwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
@aliymkuutv4367
@aliymkuutv4367 6 жыл бұрын
Safi sana
@tumahamza8972
@tumahamza8972 6 жыл бұрын
Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.
@arbaab9337
@arbaab9337 6 жыл бұрын
Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍
@saidaliy1567
@saidaliy1567 5 жыл бұрын
Nadir Al Busayyid hahahahha
@sudidoto9759
@sudidoto9759 3 жыл бұрын
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
@likandapahasani3139
@likandapahasani3139 6 жыл бұрын
Ukweli kabisa mheshimiwa
@pettermasika9120
@pettermasika9120 6 жыл бұрын
shida Udini wewe haujuii Wewe daima unaonekana haupendi Muungano, ila Leo umeubariki bila kujuwa, Tanzania moja Milele Hakuna tena cha Zanzibar wala Tanganyika sote Nchi moja Tanzania,
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
BABA MUNA HASAD NA ROHO MBAYA HAMTUTAKIII MEMA NYIE MBONA NYIE WAKOROFI SANA NYIE MNAROHO MBAYA SIJAPATA KUONA SISI WAZANZIBARI HATUONI FAIDA YA MUUNGANO
@rayanalhabsi8029
@rayanalhabsi8029 6 жыл бұрын
zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya
@ombenkyando148
@ombenkyando148 6 жыл бұрын
kwann?why?
Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano
4:12
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE
10:48
Mwananchi Digital
Рет қаралды 459 М.
TAZAMA VITUKO VYA BWEGE KATIKA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO KILWA
3:31
Mwananchi Digital
Рет қаралды 201 М.
MKUTANO WA MARAIS DAR KUMALIZA MZOZO M23, JESHI LA SERIKALI DRC?
8:12
Mwananchi Digital
Рет қаралды 10 М.
WATOTO WALIOTEKWA WAPATIKANA, RISASI ZA POLISI ZAWAUA WATEKAJI
7:46
Mwananchi Digital
Рет қаралды 1,7 М.
شيلة عزوتي غامد
5:28
Mohmmed S Ateeg
Рет қаралды 10 МЛН
Joel Nanauka:Kwanini unachelewa kupata unachokitaka?
7:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 81 М.
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН