Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.
Пікірлер: 200
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
@bilalikambo72026 жыл бұрын
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
@istambuliahmedi82033 жыл бұрын
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
@abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
@khamisdaima14556 жыл бұрын
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
@othmanalnabhany32083 жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
@dullatanga78116 жыл бұрын
Yuko sahihi sana mh Khatib
@Hassan-vn6nn5 жыл бұрын
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...
@mozamansour79126 жыл бұрын
Asante sana umeongea point 👏👏
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
@ashamasoud1223 жыл бұрын
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
@hamadmasoud39196 жыл бұрын
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
@anjunurdin23923 жыл бұрын
Hongera khaatibu .umeongea kweli
@salehsuleiman12186 жыл бұрын
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
@machinjashabani53313 жыл бұрын
ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko
@eddysaid96113 жыл бұрын
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
@rajabngai51503 жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
@user-tc3bg9ln9jАй бұрын
Swali lako ni zuri sana
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
@khadijahilal30163 жыл бұрын
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
@istambuliahmedi82033 жыл бұрын
اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه
@madiyaahmad27496 жыл бұрын
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
@mohamedishabani7176 жыл бұрын
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
@bakarhamad47512 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
@zaidiissa37143 жыл бұрын
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
@allymusira21533 жыл бұрын
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
@joshuasamson41746 жыл бұрын
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
@hechechacha40326 жыл бұрын
Joshua Samson sahihi
@destiny4life4395 жыл бұрын
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
@mohdabdi41575 жыл бұрын
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
@kibelaame51786 жыл бұрын
Hongera sana allah atakulipa
@swaiseif29896 жыл бұрын
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
@kibelaame51786 жыл бұрын
Swai Seif hujambo
@chagulaniadams39656 жыл бұрын
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Hahahaha
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
@ismailabbas41973 ай бұрын
Hivi huyu kumbe ashafiriki
@kulthumhaji69283 жыл бұрын
Bora umeliona hili jambo ni kero.
@oscarjohn50396 жыл бұрын
nice point
@harunakony20123 жыл бұрын
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
@masoudsaid54883 жыл бұрын
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Doh nasikia naye kaondoka 😭😭
@jumakessy75606 жыл бұрын
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
@abdukherykhamis735 жыл бұрын
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
@rashidsuleiman26636 жыл бұрын
tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
@victorygadiel50846 жыл бұрын
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
@omalliddy2126 жыл бұрын
rashid suleiman ... ....
@shemelaruhinda61136 жыл бұрын
Asante Mh umeongea ukweli.
@abdalahsuleiman89896 жыл бұрын
Flavian
@abdalahsuleiman89896 жыл бұрын
Haifai kitu gani kujiunga oic?
@tztanzania22623 жыл бұрын
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
@istambuliahmedi82033 жыл бұрын
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
@alfaarouqjongo49806 жыл бұрын
JAZAKA LLAHU KHAYRA
@madiyaahmad27496 жыл бұрын
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
@omarynassor63133 жыл бұрын
Inatiashaka
@Emedroadtocanada3 жыл бұрын
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
@allyhasani84476 жыл бұрын
Inatia uchunqu na inaliza wallah
@daudihamisi57893 жыл бұрын
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
@slemansaid72133 жыл бұрын
Mh.... kwel jmn
@jjnjau6 жыл бұрын
Hasidi ana husda mbaya.
@hamisidd28056 жыл бұрын
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
@sharkbinaally33815 жыл бұрын
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
@ashooraashoora54156 жыл бұрын
Mungu anawaonaa
@achiliadinan4303 жыл бұрын
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
@machinjashabani53316 жыл бұрын
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
@salehlofy42515 жыл бұрын
Udugu mwisho tunawapenda wao lakn wao hawatupendi muungano hatuutaki
@SumaLTD6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
@saidaliy15674 жыл бұрын
Suma Spain hahahah wacha zako
@ismailabbas41973 ай бұрын
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
@chachamadini93726 жыл бұрын
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
@ibrahimmagambi616 жыл бұрын
mm binafsi siijui bakwata
@yasinmgen20726 жыл бұрын
good speech
@abdillaahirichardkasisi86916 жыл бұрын
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
@aliymkuutv43676 жыл бұрын
Safi sana
@husenially86496 жыл бұрын
umesema kweri mh
@tumahamza89726 жыл бұрын
Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.
@sudidoto97593 жыл бұрын
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
@arbaab93375 жыл бұрын
Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍
@saidaliy15674 жыл бұрын
Nadir Al Busayyid hahahahha
@twilindeissa45055 жыл бұрын
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
@ulfarashid98765 жыл бұрын
Safii sana
@jumamomba95026 жыл бұрын
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
@mumybhay49845 жыл бұрын
kweli kabisa
@changchuma92564 жыл бұрын
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Tunahitaji wabunge wanaojielewa Kama huyu.
@rayanalhabsi80296 жыл бұрын
zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya
@likandapahasani31396 жыл бұрын
Ukweli kabisa mheshimiwa
@issahalfan18273 жыл бұрын
Allah aalam.
@allypharahani21683 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiun
@narlonabuu46656 жыл бұрын
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
@elenestjackson1296 жыл бұрын
Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote
@MSKTVOnline6 жыл бұрын
kwa kupata vidie mbalimbali zinazohusiana na dini tafadhali tembelea haqqi tv
@mrishojumaamrisho32123 жыл бұрын
Allah amrehem
@kadhyazaid70006 жыл бұрын
Kweli
@jumaomar14546 жыл бұрын
hawana nia njema na Zanzibar
@pettermasika91206 жыл бұрын
shida Udini wewe haujuii Wewe daima unaonekana haupendi Muungano, ila Leo umeubariki bila kujuwa, Tanzania moja Milele Hakuna tena cha Zanzibar wala Tanganyika sote Nchi moja Tanzania,
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
BABA MUNA HASAD NA ROHO MBAYA HAMTUTAKIII MEMA NYIE MBONA NYIE WAKOROFI SANA NYIE MNAROHO MBAYA SIJAPATA KUONA SISI WAZANZIBARI HATUONI FAIDA YA MUUNGANO