Рет қаралды 83,670
Mtumishi wa Mungu, Nabii Shillah amefunguka kueleza maisha ya kifahari ambayo amekuwa akiyaonyesha katika mitandao ya kijamii. Shillah amedai kama utajiri ni magari basi anayo zaidi ya 25 huku akidai pesa kubwa kuwahi kuishika katika maisha yake ni tsh bilioni 4