Mungu akubariki sana mtumishi Paschal Cassian nakupenda sana pia hata mahubiri yako maana unasema ukweli , Amen 🙏
@sakakajouf59008 ай бұрын
Nikweli kakaangu mungu akubariki endelea hvyo hvyo mungu akutie nguvu
@KulekatsengeHaruni-sb6qc9 ай бұрын
Ulivaa vizuri sana ubarikiwe.
@MichaelMathew-j3f9 ай бұрын
Mimi nilishika neno mmoja tu!! Yakwamba si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana atakayeingia katika ufalme wa Mungu bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu. Wengi siku ile wataniambia Bwana hatukufanya unabii kwa jina lako? Au kutoa pepo kwa jina lako? Ndipo Yesu atawaambia siwajui ninyi, ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu Mathayo7:21-23. Kwahiyo mimi sishangai kusikia huyu TB Joshua kuwa alikuwa anafanya maovu. Mimi huwa nasikiliza neno la Mungu tu. Ni hivo. Bwana Yesu asifiwe sana!! Naitwa Michael!! Nampenda Yesu. Amen!!
@joephmaukilo9 ай бұрын
Ameen
@EasterEmanuel-wh9dz9 ай бұрын
HAKIKA
@MGALILAYABillionaire9 ай бұрын
Walokole wafunguke macho jameni, mpaka lini watakataa kweli ya Kristo na kufuata miujiza. Ni huruma sana... makanisa mengi yapo tu na kuweka misalaba bali yanaabudu sanamu. Kwa meonekano na kwa kunena utasema ni wakristo ilihali mioyoni mwao wamemkana Bwana Yesu....!
@neemamarko1769 ай бұрын
AMEN, Uzuri hawa victims walishasema hata yeye marehemu kabla ajafa,lakini watu wameona bbc na wakati ni vitu vipo mda mreefu sana ,Mungu yeye ni yote katika yote,na amesema tushukuru kwa kila jambo maana yote ni mapenzi yake,bado anasema mtaifahamu kweli na kweli itawaweka huru...tusome Neno la Mungu,tumuombe Roho Mtakatifu atufunulie kweli ya Mungu
@alphonceshayo17269 ай бұрын
Sijaona umeongea chochote. Kama Wewe ni Mtumishi wa kweli wa Mungu ungeujua ukweli. Lakini Wewe naona unatumika kama hao BBC. Tatizo ni kwamba hujitambui. Your days are numbered Man of God!
@edwinalkady93539 ай бұрын
Prophet Tb Joshua NIMTUMISHI WA MUNGU mwenye upendo,amani,Huruma.Na haya yote yanayosemwa ni mambo ya watu waduniani hivyo sisi kama wakristu Muulize Mungu ni mwaminifu naye atakupa ufunuo..Binafsi namshukuru Mungu nikishuhudia amemtumia vyema kwa mafundisho yake nimezaliwa katika roho na kuishi katika upendo..Prophet angali yupo hai aliwai kutabiri kwamba wafanyakazi wake watamsaliti....TUNAONA YUDA ALIVYO MSALITI YESU KWA VIPANDE 5 VYA FEDHA. Ndivyo ilivyotokea...Hivyo wanaotaka kuokoka mfatilie mafundisho ya Prophet mtabarikiwa sana..God bless you..Sisi kama wakristu tuishi kwa imani ya kristu nasio kwa yale tunayosikia au tunayoona..Mungu awabariki..
@mwanzajosephine4689 ай бұрын
Ubarikkiwe mtumishi
@elizabethndozelo93166 ай бұрын
Well said, he is the most humble man of GOD have ever known
@MGALILAYABillionaire9 ай бұрын
Amina Amina Mtumishi umenena kweli kabisa. Nasema ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu. Kila mtu anafaa atetee imani yake na sio kumtetea Mtu... la kweli ni kwamba alikuwa nabii wa uongo aliyekubali kutumia nguvu za giza kutende miujiza na wala sio nguvu za Mungu. Lakini mwisho wake hatujui kama alitubu na kutegeneza na Bwana. Bali ukweli ni kama alikufa kama hajatubu hata watu wakamtetea vip hawawezi mtoa mahali matendo yake yalimwelekeza. Ni heri kumkimbilia Bwana kuliko kuwatumainia wanadamu. Jambo la muhimu ni wakristo wajue kwamba kutafuta miujiza hakutawasaidia, watafute Yesu pekee. Watu wameamini watumishi wao kuliko Mungu ole wao maana wataangamia pamoja nao. Ubarikiwe mtumishi. 🙏
@HappyBassetHound-ce9cg9 ай бұрын
wakristo wengi wanaamini Bibic kumchafua Tb Joshua lakini kwasababu Aliwabadilisha mashoga nandiomaana wanamuandama
@mamyneytariq84589 ай бұрын
Na ww usimtetee Mimi na ww hatujui ukweli wake anayejua ni Mungu. Hizi ni siku za mwisho uharibifu ushaingia patakatifu. Au ww hujui Siku ya mwisho wengi watalia kuwa Mimi nilikuwa muhubiri, muimbaji n.k lkn Yesu atasema tokeni siwajui. Usimuamini mwanadamu mwenzio mwamini Mungu
@NeemaPaul-k2h9 ай бұрын
Me siwezi kuhukum MUTUMISHI nanilipenda mahubili yake ❤ maan sijui anaejua ni Mungu pekee
@georgekauma64329 ай бұрын
shalom shalom. nadhani Kwa ujumbe huu umeweka sawa juu ya Imani ya wanadamu Kwa wanadamu na sio Kwa Yesu Kristo mwana wa Mungu mdhamini na mwanzilishi wa Imani yetu. lakini mtumishi kumbuka kwamba wanaopingwa ni watumishi, hata wewe mwenyewe ni Shahidi jinsi gani unapingwa na watu wananena makuu sana juu yako na hata wanataka wakukuue. kama unakumbukumbu kwamba mwalimu mwakasege pia mwaka Fulani alizushiwa Mambo mengi na zikarushwa kila Kona kwamba mwakasege ni freemason, Moses kulola aliitwa kuwa ni free mason, na wengine kama bonke, Benny, Moses serulo, maboya, na wengine wengi. niwaambie kwamba omba Bwana akwambie au akupe ufunuo na Bwana ajidhihirishe kweli kweli. tusiwe sawa na mtumishi maliyamungu ambaye KAZI yake ni kushambulia watumishi wa Kenya na Tanzania lakini yeye ni mkongomani na huwezi kusikia akikemea manabii wa Congo nchi yake ya asili. je! Congo hakuna manabii feki hata mmoja?? hubirini injili ya toba na ufalme wa Mungu maana kila mmoja atatoa hesabu ya KAZI ya matendo yake.. wahubiri kumbukeni linalokuja ni Baya sana kuliko wahubiri mnayoyapotezea muda mwingi pasipo na faida.
@sakakajouf59008 ай бұрын
Mm nakubaliana na injili yako
@gaspercharles22449 ай бұрын
Mungu tusaidie Mungu ww ndio jaji mkuu tusaidie tuvuke salama kulingana na mapenzi yako ss ni wakosefu ndimi zetu zinapotoka kila kuchapo Yesu tuongoze
@neemashuma43029 ай бұрын
Watu wa Mungu msijiusishe kusema chochote kuhusu TB JOSHUA MTAJIKWAA
@fatumaaybu86489 ай бұрын
Amina yesu akutunze uwe na afya njema ❤ mtumishi
@fantasticbmp55873 ай бұрын
Kwa suala la kusema watumishi wa Mungu wakati wanaitwa haukuwepo nime ku disqualify hubiri ukuu wa Mungu acha kuhubiri watu jipime watu wanataka kusikia habari za Kristo hayo nani wa uongo nani wa ukweli acha Mungu anene mwenyewe watumishi wengi wameingia kwenye kumtumikia shetani bila kujua ndo maana mpo bize kutaja watu badala ya kuhubiri ukuu wa Mungu. Saivi wakristo wengi kazi imebaki kupigana wao kwa wao kwa hili shetani amebeba wainjilist na wachungaji wengi mbaya zaidi wanatumikishwa na shetani hata wao hawajui kama wanatumikishwa. Ufike muda tuache kuendeshwa na mihemko.
@VLADDYNDANZI5 ай бұрын
Kwann huo muda ungeutumia kuhubiri habari za Yesu Kristo unamuhubiri mtumishi wa Mungu badala ya kumhubiri Mungu na ukuu wake
@RedentaMahessa5 ай бұрын
SEMA mtumishi wa Mungu tupone. Alikua tapeli. Anatofaut na mwamposa na jodev
@ramseyngwejela4999 ай бұрын
Siku moja mwalimu wangu alinifundisha jambo. Alisema mwanadamu kwa asili yake ya anguko lililompata Eden, mpaka leo linamsumbua. Anapenda kusikiliza mabaya kuliko mema. Ufahamu wake una asilimia nyingi ya kusikiliza mabaya, kutenda mabaya na kuishi nayo. Hata kama ni mtu wa dini, tatizo hilo ni lake.
@EsterbernardoVumo-kn2xv9 ай бұрын
Amem Amen Amen Mtumishi WaMungu Mimi Pia Nakuunga Mkono.
@EsterbernardoVumo-kn2xv9 ай бұрын
Amen Amen Amen
@sekelamwakalindile93399 ай бұрын
Umenena,umeeleweka mtumishi
@margarethjoseph52429 ай бұрын
Issue hapa ni ukristo wetu siyo TB Joshua. Ombeni msije mkaingia majaribunii kwa kushabikia mambo usiyoyajua. Bwana Yesu alitakase kanise
@feilymusa39259 ай бұрын
Wasipokuelewa hapo basi wamelogwa, wakumbushe kisa cha mfalme daudi na kamanda wake mkuu wa vita
@El9a9 ай бұрын
Kama haujui ni bora kunyamaza kuliko kusema mengi pasipo maarifa juu ya Ukweli. Usiweke imani yako kwa Mwanadamu hapo umesema Kweli... lakini usitumie watu kuhubiri Kweli. KWELI HAICHANGANYWI.
@obinasimbeye17509 ай бұрын
Kumbe inatakiwa kunyamaza Maana ni kazi ya Mungu.
@DicksonBuramba9 ай бұрын
Kaka usipende kuwa mropokaji, injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu, wewe hauna lolote unalofundisha, mimi nahisi ile roho ya freemason bado haijakuacha, umetumwakupoteza watu, jitahidi kulitafakari neno la MUNGU, Mungu akusaidie.
@martinahlighare64959 ай бұрын
Ni kweli, kila mtu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu siku ya hukumu iwadiapo.
@simonikalinga88839 ай бұрын
Hatuweki imani kwa mutumishi tuna tathimini katika ubinadamu wake ni kwanini wazungumze wakati hawezi kujibu Mimi hajawahi nisaidia chochote lkn nina wasi wasi sana na BBC kwa sasa mtumishi kasome biblia tena Paulo anasema munifuate Mimi kama vile Mimi navyo mufuata kristo
@simonikalinga88839 ай бұрын
Yesu haonekani Rohoni mbona unakemeaga mavazi ukweli watumishi wanapaswa kuwa vielelezo sio fuata maneno yangu na si matendo yangu tunakufuata kama ulivyomufuata kristo hili swala la tbjoshwa wewe mutumishi liache endelea na mahubiri mengine lita kushushia heshima yako huu ni mkakati wa shetani kwa mwili wa kristo halihitaji muhemko linahitaji utulivu
@simonikalinga88839 ай бұрын
Mitume walikuwa vielelezo muonekano wako wa nje ndio unaofanya tumjue kristo aliye ndani yako tunakuamini wewe ndipo tunampokea Yesu Yesu aliye ndani yako wafundishe watu kutokuhukumu maiti sio kutokuamini watumishi
@thefinalstand20229 ай бұрын
"And whoever shall speak a word against the Son of Man, it shall be forgiven him; but whoever shall speak against the Holy Spirit, it shall not be forgiven him, either in this age, or in the age to come." Mathew 12:31-32. Hupambani na Tb Joshua, wewe ni chombo cha kijanjajanja cha Shetani... Unapambana no Roho Mtakatifu aliyetenda kazi ndani ya Tb Joshua, na HAUNA KAMWE SEHEMU YAKO KTK UFALME.
@LucyTesha9 ай бұрын
Lakini wewe mtumishi pasko kwanini wewe kila nikikusikiliza wewe nasema tu maneno ya watu mbona use I maneno ya mungu wewe kazi yako ni kuponda watumishi wa mungu Acha mungu aukumu peke yake wewe ninani una hukumu subiri mungu Acha kumuubiri barikiwa
@abelmbilinyi12629 ай бұрын
Napenda sana mahubili ya TB Joshua ❤ alikuwa Mwalimu sahihi kwng kwasababu yeye alidili kwenye neno na kutuhasa tumjue Mungu , sijawai kuona Muhubiri wa VIWANGO WA neno la Mungu km TB JOSHUA , alikuwa anahubiri pole pole bila ya makelele na kwa mifano hai yani lazima uwe na note book pemben maana alikuwa ana mwaga madini kweli kweli , Judge wa mwisho ni Mungu ,,, TB JOSHUA Sio mchezo kwenye neno ukiachana na hiyo miujiza mnayosemea Watu tulinufaika na neno zuri ,, poleni sana wapenda miujiza 🙏
@wamisangi28019 ай бұрын
Pole na wewe kwa kutokujua Neno la Mungu lasema shetani na mawakala wake hujifanya kuwa ni Malaika wa Nuru. Hapa akajifanya Malaika wa Nuru wa kuhubiri kwa sifa hizo ulizo mpa.
@MGALILAYABillionaire9 ай бұрын
Shetani alikuweko hata kabla ya Bibi wa bibi wa bibi wa Mama na Baba yako. Shetani maandiko anayajua vizuri mno. Ndio maana unapata wachawi wengi wanatumia bibilia pia. Lakini sababu wana wa mungu walipenda sana kuabudu Mungu mwilini na wala sio rohoni ndio maana haya yote yanatokea. Wewe mwenyewe hapo ungekuwa na Roho wa Mungu angekufunulia kila kitu lakini kwa sasa hamjui maandiko kila roho mnadhani inatoka kwa Mungu whereas roho nyingi ni mapepo yanaogoza watu wapenda vya dunia ambao hawana hofu ya Mungu.
@florafrancis15989 ай бұрын
Na wewe ni mtu gani?
@abelmbilinyi12629 ай бұрын
jitoe kwanza boliti iliyopo jichon kwako ndipo utoe kibanz ktk jicho la mwenzako ,,,
@abelmbilinyi12629 ай бұрын
@@wamisangi2801 boss ujui chochote nitajie bac muhubiri gani au mtumishi wako wa Mungu unayeona kashushwa na Mungu
@barakamachard19449 ай бұрын
Punguza kutaja taja watu hubiri vizuri tu watu watasikiliza 😊
@georgekauma64329 ай бұрын
haiwezekani miujiza ya tit for tat ikaeditiwa Kwa jinsi watu walioshindwa kuonyesha mfano wa Kristo katika maisha Yao, hata injili walio nayo ni wakiihubiri haiwezi hata kuhamisha sisimizi mlangoni na huyu alionyesha mfano. hubirini toba iletayo wokovu na watu washuka na mtakuwa wakubwa sana kuliko hata wao. jifunzeni Kwa Moses kulola mwakasege, Billy Graham na wengi neo na hapo mtakuwa mmeubomoa ufalme wa shetani na sio kama sasa wahubiri wengi mitume, manabii wainjilisti na waalimu wanavyofanya Leo. Kwa nguvu nyingi mnajenga ufalme wa shetani Kwa kusingiziana na kuneneana mabaya na kuchafuana. ole ole ole. itakuwa ni uchungu sana siku Ile.
@Mwasame_Official18 ай бұрын
Hawa hawasikii,hata hawajiulizi nikwanini mungu alimtwaa mapema mungu alikuzudia hivo ili wengi wafunguke macho
@elizabethndozelo93166 ай бұрын
Usichokijua bora usikiongee, Yesu alimaliza kazi yake ma kurud mbingun akiwa bado na umri mdogo sana, its about finishing the asdignment that count na sio miaka ming mtu anayoishi .mpunguze kuhukum msivovijua ili msije hukumiwa
@elizabethndozelo93166 ай бұрын
N manabii wangap wa uongo wana mamilioni ya watu wanawadanganya na mbna hawajafa ili watu wafunguliwe macho, achen hukumu sio kaz enu
@davidmembedalamethepsalmis28859 ай бұрын
Ipi kazi ya Roho Mtakatifu
@lameckwilliam83119 ай бұрын
Hapana Elisha bila kuwa na Eliya so Tb Joshua ameacha akina Elisha wengi kazi ya Mungu iendelee zingine ni kelele tu
@raissamunezero60764 ай бұрын
Jamani watumishi wakisasa, hubirini inji lakuokowa watu, nasiyo hukumu bila ushaidi, TB joshua alikuwa ni Mtumishi, izizote habari ni agenda za shetani kuharibu mwili wa christo. Funguweni macho.
@ImeldaMyinga3 ай бұрын
Si Kila msalaba unamwinua kristo
@jovettedenise25919 ай бұрын
Amen🎉
@IsakaMwozya9 ай бұрын
Amina🎉🎉
@PaulKaisi9 ай бұрын
Kazi kweli mmmmmh ww ni nani basi unyosheaye vidole watumishi wa wengine?.tuogope sana hizi injili za kukosoa wengine Kila siku ww uko safi tu ila wengine wachafu,je mtumishi wa Mungu anayetoa ahadi bila kutekeleza je hiyo nayo siyo dhambi ondoeni vibanzi vyenu kwanza
@JuliaLumande-r4p7 ай бұрын
❤❤🤔🙏
@PrinceHendry-hp8vv9 ай бұрын
Acheni upumbavu hao watu wanamchafua kwann hawakusema akiwa hai.. Mbona wewe watu wanasema ni shoga na sisi tunapinga au ni kweli?
@AverinaShirati9 ай бұрын
Alivyokuwa hai ukimsema alikuwa anakuua
@josephwaweru-fu4ux9 ай бұрын
Hapa ni wazi kama pascho wewe kweli umetumwa na Mungu unastahili kuwa na jawabu kwa maana sio ni kama mmekutana lakini roho yako inastahili kusema ndio au la kwa staka.Mimi Wacha nikwambie wazi karibu niamini mafunzo yako lakini sasa nimekushuku bado ungali unatumikia freemason kwa njia fiche sana na watu wanaompenda Mungu wanastahili kujichunga na mafunzo yako.
@rachellukonge9 ай бұрын
kabisa nakubaliana na ww, huyu hayupo sawa, anatumika na nguvu za giza kuutaabisha ukristo
@SamsonEzekiel-or9xc9 ай бұрын
Mh sijui nifate lipi hata ww unayeongea ni binadamu na MTU huyo alishafariki
@DicksonBuramba9 ай бұрын
Unahitaji kufunguliwa wewe, bado kuna shida ndani yako mtumishi nitafute nikusaidie kiroho, MUNGU akutie NGUVU.
@floramlay93759 ай бұрын
Nyamazaaaaaaaaaaaaa
@manassemike60489 ай бұрын
acagucafuwa mtumishi wamungu sasa ww tunajuwa unatafuta umalefu..
@Anza_tz9 ай бұрын
Paschal Kasian ni wazi haumjui TB Joshua labda nikwakua haujawahi kuyaona matunda ya Roho ndani yake ... Tunacho kiangalia sisi sio kwakua TB Joshua amechafuliwa ni kwakua Kristo amechafuliwa haujaelewa Paschal nikwasababu najua wazi wewe kwako nabii ni kama mhuni tuu nikama hua unafurahia ukiona mtu anaitwa nabii then anakashfa mbaya ..nikama kwako hua ni deal ya kupata topic yakuongelea
@neematemba65799 ай бұрын
Ivi kuna mtu mzima anabakwa au walikubaliana? Amekufa ndo mnatoa siri zenu mlizokubaliana na mnasema amewabaka.Kwa nini hawakupiga kelele kama walibakwa?
@rahabnkya82769 ай бұрын
Ameeen
@EasterEmanuel-wh9dz9 ай бұрын
Hubiri na SABATO yakweli ipo katika juma lipi??
@Mwasame_Official18 ай бұрын
Yesu ni bwana wa sabato kwa hivo Yesu ni yote katika yote
@faithwangari41309 ай бұрын
It would have been good to expose that false prophet when he was alive.
@CharlesMisungwi-f8t9 ай бұрын
Binadamu hana mipakaya Dhambi awe nacheo gani.Rais wamchi Rais kiongozi.awe wadunia awe anarusha apolo zakwenda sayarizingine.badoni binadamutu nashangaa kulumbana kwenye mitandao mukijaribu kumusafishabinsdamu eti hawezi fanya hayo maovu basi munachukua utukufu wamungu au mamlaka yaMunhu.
@LucyKapinga-fg4dk9 ай бұрын
Mimi Nawaombea Watumishi Wote Wa MUNGU injili isonge Mbele mwendo wakuomba ,kujitakasa kuacha Zambi
@davidmembedalamethepsalmis28859 ай бұрын
Hata wewe suala la kusema huyu nabii WA uongo siyo kazi YAKO na huna ushahidi hivyo acha na sisi tufanye KILE tunacho kuamini
@mosesngosi41389 ай бұрын
SoMo lako la Leo ni Gumu watakielewa waliokomaa kiroho. Wengine watachukulia unakubaliana huenda tuhuma ni zakweli. Najua ur not talking about Joshua only. Yaani unamaanisha kusemwa vibaya ni kawaida kwa binadamu. Pili itambuliwe tb nae ni binadamu. ILA NAO WAMEVURUNDA WALIKUWA WAPI AKIWA HAI. Mbona ka picha la Gwajiboy na bashite kwenye mchongo wa SHILAWADU
@gehazgg58019 ай бұрын
Da
@israelimarco64659 ай бұрын
kaka kama hutaki tumtetee kwa nn wewe unamponda
@FestoNyagawa9 ай бұрын
Acha kuingelea mtu huyo Alisha kufa hayupo duniani
@wamisangi28019 ай бұрын
Acha ujinga wa kujificha kwenye kufa. Paulo, Daudi, Isaya nk wamekufa na bado tuna hubiriwa na kusoma mambo yao kwenye Biblia.
@RoseMkuu9 ай бұрын
Lakini wewe Paskali mbona unaponda wenzako Acha Acha Tb Joshua alishakufa una matatizo makubwa Kwa nini lakini sipendezwi na maneno yako hakuna mtu aliye mksmilifu Fuata yako
@edwinalexander11709 ай бұрын
Hapo kwenye kufoji miujiza kwa kuedit ni uongo, kwani mikutano yake ya Korea, Indonesia, Peru, Paraguay alikuwa akiombea watu live kwenye mikutano yake na inarushwa pia live, na miujiza ilikuwa live. Saa ngapi kwenye live editing inafanyika? Let us brainstorm?
@sarahgaula22209 ай бұрын
Alikuwa anatumia roho gani mana shida sio muujiza
@edwinalexander11709 ай бұрын
@@sarahgaula2220 alikuwa anatumia jina la Yesu kristo kuombea watu ma wakapona. Hakuna cha nguvu za giza, wanawa skewa walishambuliwa na mapepo pale walipokuwa wakimuiga paulo kufanya miujiza kwa kutumia jina la yesu. Watu wakiendaga kwa waganga na wakapewa dawa huwa wanaambiwa wawe wakiomba pia kwa jina la yesu?? Ebu tafakari
@edwinalexander11709 ай бұрын
@@sarahgaula2220 alikuwa anatumia jina la yesu kristo. Angekuwa anatumia nguvu za giza, mapepo yangekuwa yanamhoji kuwa yeye ni nani, kama kwenye biblia wana wa skeva walikuwa wakimuiga paulo na kutoa mapepo, mapepo yaliwaambia paulo tunamjua ninyi ni wakina nani?? Kisha mapepo yale yaliwashambulia wale wana wa skeva.
@Stewart-l6t9 ай бұрын
Pasco bwana ww sio mungu muache mungu afanye kazi yake maana kila muhubili kwako ww ni waibilisi ss yupi wa kweli ww au ni yupi wa kweli tuambie mungu mtu akimuinua wa kuzimu hapana we hubiri neno acha kuwasema wenzio ni laana wangekuepo wakina kulola ungesema pia ni wa shetani wazungu kwa ss watumishi wao wamepoteza mvuto na ndio maana wanajaribu kumchafua TB Joshua kwasababu wanaona amekufa na bado Kanisa lake halijateteleka muache mungu afanye kazi yake bwana hizo hukumu sio zako ww sio hakimu
@Stewart-l6t9 ай бұрын
Pasco bwana ww sio mungu muache mungu afanye kazi yake maana kila muhubili kwako ww ni waibilisi ss yupi wa kweli ww au ni yupi wa kweli tuambie mungu mtu akimuinua wa kuzimu hapana we hubiri neno acha kuwasema wenzio ni laana wangekuepo wakina kulola ungesema pia ni wa shetani wazungu kwa ss watumishi wao wamepoteza mvuto na ndio maana wanajaribu kumchafua TB Joshua kwasababu wanaona amekufa na bado Kanisa lake halijateteleka muache mungu afanye kazi yake bwana hizo hukumu sio zako ww sio hakimu
@tumainipauli40209 ай бұрын
sasa unataka pesa ya nini
@melanialeonard40319 ай бұрын
Wote ni wachumia matumbo lakin mungu ndio hakimu mwema
@christophersimwinga66899 ай бұрын
Kama hujui alafu unasema kabda sasa unaongea nini wakati hujui ? afadhari u ngenyamaza . Usiongee yale usiyoyajua
@mariamfaicalhassan28909 ай бұрын
Jamani muwe mnaelewa
@ShallinRotich9 ай бұрын
Wazimu shetani,ulaan iwe kabisa, mwongo wewe.
@thelivingwordchannel90279 ай бұрын
Ulishachanganyikiwa wewe umebaki kuropoka tu kwa kumchafua kila mtu,,kawahi milembe vitanda havijaisha!.
@mariamfaicalhassan28909 ай бұрын
Hivi umemuelewa au wewe ndiyo mirembe inakusubiria
@wamisangi28019 ай бұрын
Akinyamaza Mungu wa Mbinguni atanyanyua mawe mahali pake. Biashara ya,kuuza maji na mafuta ya majini na mapepo imetishiwa.
@tumainipauli40209 ай бұрын
sema lako
@philipshitohi44559 ай бұрын
You have no idea who TB Joshua was.He was a dear and beloved prophet of God
@wamisangi28019 ай бұрын
Yale maji yake bado yame kushikia akili wewe. Omba kwa Bwana Yesu ufunguliwe ufahamu wako. Wenzako wamezinduka wanaweka wazi maovu yake,. Wewe umekomaza shingo yako.
@Bambagatz9 ай бұрын
@@wamisangi2801 😂😂😂Maji gani Mzee Tena
@wamisangi28019 ай бұрын
@@Bambagatz Ngoja nikupigie kachupa picha uone. Niliuziwa dola 50. Hii ni kabla ya kuusikia huu ushuhuda wake wa majabali/miamba ya milimani huko Nigeria.🤣
@El9a9 ай бұрын
Kuna viwango huwezi kufika ukiwa mchanganyo...
@Bambagatz9 ай бұрын
@@wamisangi2801 😂😂😂😂😂Daaah Mzee sio mchezo hii Sayari ina mambo mengi sana
@rhodrickmkandawire47019 ай бұрын
I gave enough of my time and other resources to listen to your attacks against your fellow man of God believing that your allegations were valid but i just find out that it was a waistage of my time and resources I also realised that you are one of those people who lead people astray Remember, you are among the souls to face jadgement. Stop making money and fame by denouncing other man of God. It was Mwamposa, christina Shusho and now now tb joshua. If TB Joshua is or was unGodly, so do you because he preached the words and lived in the world of God. He led so many people to Christ than you would possibly do. SOUL REST IN INTERNAL PEACE