Kama unamkubali Stamina na nacha nipe likes zanGu Love from 🇧🇮
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@filsboyyoungrichfbm4 ай бұрын
Worry out Mr Nacha u're me I'm u ,so we've to support each other in order to show the respect of our African culture , keep doing these music kind I really like them as an African root
MAPAMBANO YANAANZA MORNING SISI HATUNA MORNING SPEECH
@carlospaul10324 ай бұрын
😂
@Nacha_ousam4 ай бұрын
WATU WAMESOMA ILA ELIMU BADO HAIWASEVU/ MTU ANA DEGREE YA UFUGAJI ILA ANAISHIA KUFUGA NDEVU
@carlospaul10324 ай бұрын
Nyasubi finest tuko pamoja sana
@dankirunda33684 ай бұрын
Nomaaa 😂😂
@meshakimwani90973 ай бұрын
Nikweli thaman ya Elimu ipo chini Sana cha muhim ni kupambana
@Nacha_ousam4 ай бұрын
DEAR MSOMI SIO SABABU UKO SHULE UKAVIMBA KICHWA…KUNA ALIEKUZIDI AKILI YUKO BUSH ANALIMA MCHICHA
@b3falampendwa7583 ай бұрын
Hallo Nacha, have looked for your m-pesa number for so long .Your lyrics are very precious to Kenyatta mother country... I wannah reward you bretheren. Playing and sharing your music isn't enough .Thank you.
@EmmaMzalendo3 ай бұрын
Big up br. Naamm one day yes
@Nacha_ousam4 ай бұрын
DEAR MSOMI NOW AVAILABLE IN ALL DIGITAL PLATFORMS PLEASE WATCH & SHARE LINK #DearMsomi #NyasubiNdaniYaMbanyu 🙏🙏🙏
@EmmaMzalendo4 ай бұрын
❤ ema mzalendo hapa nakukubali Sana nacha.
@MajogoDewizy-mi2vu4 ай бұрын
Mafanikio sio zawad Bali ni matokeo dear msomi gonga like apa
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
KUNA MAISHA BAADA YA SHULE SIJUI MNAJUA?
@ZulfaAbdala-tn6fh4 ай бұрын
Tunajua kaka. make watu tumesoma lakin hatuna kazi
@b3falampendwa7583 ай бұрын
Ni kweli.
@Binfaraday4 ай бұрын
Hii nyimbo ina ujumbe mkubwa sana kwa nchi yetu ya tanzania tutafute skills kwa ajil ya kujituma wenyew kwa sabab serikal haina uwezo wa kuajiri watu wote na hasa sisi tunaotoka katika familia za kimaskin tunaamin sana katika elimu na tunasahau kujituma wenyew. 🙏
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Watch n share DEAR MSOMI
@mohamedijuma40374 ай бұрын
Kama umerudia maranyingi kama mimi tujuane kwa like hapa ❤
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@mambostephen44504 ай бұрын
Dear msomi... Ukimaliza shule haimaanishi utapata kazi... Felt this one from Kenya.
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@EmmaMzalendo4 ай бұрын
Kipaji ni kama zawadi !! Nacha nmiongon mwa wasannii wenye zawad hiyo..❤ big up sana.
@Matimila_Boy4 ай бұрын
SMG Hii ni elimu bila dawati Elimu isiyo na chaki Elimu popote huipati Hata usome darasa la wapii Iaoo iyaooo iyaa Msomiii Dear msomi nataka ufahamu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@meddymontana12912 ай бұрын
Kiitikio kikubwa kaka iko
@Matimila_Boy2 ай бұрын
@@meddymontana1291 Kali mnooo
@IgerekeRamson3 ай бұрын
Hiz ndizo Miziki yenye ujumbe na mantiki na kuelimisha acha Miziki ya mapenz hongera sana kijana
@KitangariGenerations4 ай бұрын
Kuna dear msomi mmoja kitaan kwetu alinitesa sana kisa elimu yake ila siku hizi nikipitaga mitaan kwao ananiambia niache kujidai, sijui kapitiwa na nn yan
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@JosephFredrick-t5m10 күн бұрын
Leooo n mimi naomba mni like maana naona kila mtu anaomba like tuu
@benedictinelusambo0694 ай бұрын
Stamina ni mwanahipop halisi.. tumpe maua Yake jamn🎉🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@MrLionVictor4 ай бұрын
Nacha ni Darassa Tosha kwa jamii, Mungu Akubariki Kwa Kazi Yako Kubwa ikupe vibunda amen
@Akili8204 ай бұрын
Uwa aukosei mwanangu kutoka congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@PauloGidamarocha-yp7bh3 ай бұрын
Kaka hii nyimbo inatakiwa iwe no 1 ila sisi wabongo hatusapoti vitu vya maana
@FananiGrosper4 ай бұрын
Kama ww ni dear msomi kama mm mungu akubariki
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@LindaKiman3 ай бұрын
Nyimboo imenibariki 🤗hatari nimerudia mara ishirini sasa na kila asubuhi ndiyo ngoma yang mezani
@peterngichabe2704 ай бұрын
Uhalisia kabisaa ya mambo ambayo nayapitia maishani sahizi...
@KasikileKaluta4 ай бұрын
Kama una mkubali stamina na nacha kwenye rap naomba likes zangu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
HISABATI HAZIFANYI UMILIKI KIWANJA UMILIKI BODABODA WATOTO NA NYUMBA YA KUPANGA DEAR MSOMI
@MedronundersonMkuyuАй бұрын
I don't know Swahili language,but I love this music so much ,a guy from tz translated it to me I cried so much because I was genius during my studentship but finally I'm a bush farmer ,he who was brokenhead now is an ophtalmologist say back to african movement
@JosephFredrick-t5m10 күн бұрын
Nyasubi ndani ya.... Nimesubili shoooo yko kahama nacha
@MohammedAlly-hp8fg4 ай бұрын
Hizi ndo nyimbo Zinatakiwa full ujumbe big up young bro good music🎤🎶🕺🎤🕺🕺🕺🎶💯🎤💥💥💥💥💥
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
@sinemazamusasa34284 ай бұрын
Ox BELOX naipata Dear Msomi from Australia, Haki sasa vijanaaa (Nacha, Stamina, Mkwawa) hamjawahi niangusha kwenye kazi zenyu.
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@Nacha_ousam4 ай бұрын
MAFANIKIO NA ELIMU HAVIHUSIANI/ UNAJIKUTA DALALI NA ULISOMEA URUBANI
@Stanhatari4 ай бұрын
Stamina ft nacha hawajawahi Ku fell🔥🔥
@iradukundabodin22454 ай бұрын
Mashaili ya mana Ila katika production (beat)wameiga kidogo ngoma ya lafouine inaitwa tous les même kama nawey umegundua hio lpiga like nione
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@mickeymike56084 ай бұрын
Umegundua how?
@DirectorCodeBrand4 ай бұрын
Hatutaki sisi tunataka hii Dear Msomi 😂😂😂😂
@lelomellowtz4 ай бұрын
Hongera kwa kuwa na ngoma za kufungua upeo wa vijana wenzako...Bless you.
@Nacha_ousam4 ай бұрын
NA MAIMUNA HAVUI KWA KIPEUO CHA PILI
@DanielLulinda-is2qvАй бұрын
Vp bro
@fmomchunya40264 ай бұрын
Dear msomi like zangu 100
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@rahatv52994 ай бұрын
Sijui sisemeje🤔ila huu wimbo umenigusa sana, makali kinomaaa wote mumetisha big up👍👍👍
@DJLINKBOY2544 ай бұрын
Dear msomi
@KitangariGenerations4 ай бұрын
Itakuwa hatar sana hiyo ngoma bila shaka, maana nacha haujawah kukosea
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@macdee_tv76224 ай бұрын
Wakenya mnaopenda nacha na stamina nipeni likes..mkwawa kaua sana kwenye chorus
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@Christopher-xj5fz4 ай бұрын
Best song in this year 👏maan nyimbo inaelezea uhalisia wa maisha ya sasa
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@NicholasKavini4 ай бұрын
Mad love outta 254.......true definition ya mwafrika
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
@Nacha_ousam4 ай бұрын
WASOMI WENGI WAKO BENCHI WANASUGUA
@hassanihussein27314 ай бұрын
Nacha ukizeeka ni kishimba mtupu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@nazaboybeckson58274 ай бұрын
Kazi kubwa sana
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Watch n share DEAR MSOMI
@bigbossnkuba86324 ай бұрын
NyasubiNdaniYaMbanyuu🏆
@Mowasco4 ай бұрын
Mkwawa ndio John Legend wa Bongo sasa hivi.Na sijui kwa nini mpaka sasa wanahiphop mahiri kama Nacha na Stamina wanakuwa underrated licha ya kuwa na uwezo mkubwa.Tatizo ni kuwa media nyingi na promoters wengi wako kimaslahi zaidi ya kuimarisha mziki mzuri ndio maana utaona wasanii kama Nacha na Stamina wanajaribu kusend message lakini nafasi yao ya kutoka zaidi ya uwezo wao ni finyu.Ila big up kwa ngoma kali sana.One day yes!
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@pingumagongo19974 ай бұрын
Dear msomi sio eti uko shule ukavimba kichwa Kuna mtu alie kuzidi akili Ako bushi analima mchicha 🥺💔#nyasubi ndani ya mbanyu#Shorobwenze on this one
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Watch n share DEAR MSOMI
@makilimsimu24514 ай бұрын
Dear msomi huu wimbo aise wizara ya ELIMU Tafadhali msifanye kama hamjasikia tufudisheni stadi za kazi masomo mengi ajira chache hatuwezi kufika kwa wakati
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@Ashibutz4 ай бұрын
Kazi nzuri mabrother naamini itaenda sokoni ni kubwa sana
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
@Ashibutz4 ай бұрын
Asante kwa ❤️ bro
@marwamakima1644 ай бұрын
kwani hujui watanzania wanataka komasava 😂🙌 ila hizi ngoma za akina stamina ni zawachache mzee
@josephlyakurwa4 ай бұрын
Maimuna havui kwa kipeuo cha pili Dada Tekla kasoma chuo cha uvuvi lakini anavuliwa yeye samaki samaki na wavuvi. Hizi punch line ni 🔥🔥🔥
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@ElishaMolla4 ай бұрын
Nakubali sana kaka mkuu wangu kazi yako naipenda ❤❤
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
@SeleTama4 ай бұрын
Umesomea ufugaji Cha ajabu utaixhia kufuga ndevu. Stamina sholobwenz
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@OmbenKilesi-np1roАй бұрын
Hii kitu inaniuma sana laiti ningelijua ningetokaga tu darasan na kwenda kuanza maisha ya kujitaftia riziki,, anyway elimu ni Bahari unaweza ukashindwa kuogelea na usimezwe na mamba #dearmsomi
@brighterdays254technologie33 ай бұрын
mungetuwekea kick na snare bana this is sooooo deeeeeeep🔥🔥🔥🔥
@BarakaGona-o3s4 ай бұрын
Huyu jamaa namu kubali Sana walai,I wish ninge kua na uwezo aki ninge fanya Jambo kwake but Acha tumu support kwa saana walai
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@Mr.kigoma4 ай бұрын
Hivi vichwa vilivyo husika hapa naona 🔥🔥🔥🔥🔥 utawaka❤🎉
@WamburaJomu-xy2is4 ай бұрын
Namba 1 munione
@DJDANKERSMANELODI4 ай бұрын
ADAM MMHAMEDI Nasha ajuabana 🎙️ 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 rwanda nyimboyikomtaani
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
@wawesttv4 ай бұрын
Dear msoooomiii
@YohanaTanika-ff2vf4 ай бұрын
Wasomi wote tukutane uko next level 😂😂😂😂😂😂💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Watch n share DEAR MSOMI
@NtinyariEvalyn4 ай бұрын
Dear hip hop ya wakenya ata muungane wasanii 50 Nacha tu hamumwezi na sijamtaja Stamina bado❤❤❤❤much love from Kenya 🔥🔥🔥💯💯💯🇰🇪
@vikingnoname75144 ай бұрын
Kutoka Drc🇨🇩 nipo tayari kwa mzigo💥💥
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@douglasmorris83692 ай бұрын
Nakuombeaga ufanikiwe bro kwenye kutafuta kwako,unajua sana.mistari yako ni elimu tosha kwa mwenye busara.
@Adinaci4 ай бұрын
Nyasubi ndani ya mbanyuu 🎉 hii content sana , pia mashbik nawaomba mpita na kwangu nina ngoma na stamina ,asantenii
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@SalminRahis-kd9sv4 ай бұрын
Nyasubi ndani ya nyumba
@patricknyayo5074 ай бұрын
.......elimu Ni funguo .......walituasa hakikisha unaoneshwa jinsi ya kufungua kitasa.......Dear.....
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@edsonmalcel44784 ай бұрын
Stamina hatr, all in all ngoma kalii San Ni really life
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
yaani mwisho leo nimekukumbuka broo Nacha❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & share DEAR MSOMI
@SankyBadee-q7n4 ай бұрын
Nacha hivi watanzania wanajua kwamba wewe ni fundi wa kurekebisha vichwa vyao🎉🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@StanleyNguwa4 ай бұрын
Wanangu Mmetisha sna bonge la ngoma ❤❤❤asanteni
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@renatharichard4 ай бұрын
stamina you are the king of hip hop umetisha
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@eddechriss26644 ай бұрын
Daah, STAMINA konyo sana wewe respect 🎉🎉🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@fizo_tz4 ай бұрын
Nyasubi ndan ya mbayu bby 🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@AlmasiIssa-kr2wc4 ай бұрын
Achia jiweee
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@GiftyGifty-ev2hd4 ай бұрын
Penda sana huu wimbo❤️❤️
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@EmmanuelYohana-if5bq3 ай бұрын
Sio vyema kutoa matusi makari kwenye mitandao kama ivi hatakama amekosea..,,kutoa uchungu wake kwa kuimba ivi,,,tusimtukane hapana
@tinmkatoliki23744 ай бұрын
Goma kali sana , nyanda wa NYASUBI
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@SteveTegemea-fj6de4 ай бұрын
KAZI nzuri Sana..... Kila mmoja Katendea Haki...Ila Stamina Bhana...... Mtoto ndevu,Mkubwa ndevu Watu wamesoma Ila elimu haiwasave,,Mtu Ana degree ya Ufugaji ilà Anaishia kufuga ndevu............
@frankkajoba83724 ай бұрын
Bonge la ngoma. Ila mwana wa chorus kaua sana ❤
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@vanewaneiband33224 ай бұрын
Nacha binafsi nafrahishwa sana na uimbaji wako hususani nyimbo kama hizi ..nataman uwe unasikika mara zote ukiimba na ukitoa nyimbo mpya
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@OsmardSports4 ай бұрын
DUUUH HUU UKWELI SHEGAAA
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@abuusalim28984 ай бұрын
Nachaa 📌maimuna havuliwi kwa kipeo Cha 2
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@sangagospel92844 ай бұрын
#SMGFamily4life #mrtrending once again 🎉🔥🔥🔥
@smgfamily.4 ай бұрын
🎉🎉
@KenifamilyTV4 ай бұрын
Hii ndo Hip-hop. Hawa ndowanao tukunakichwa hapa bongo, Wabunifu Sana ❤❤
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@SuleAmber-lw2tx4 ай бұрын
Daah hiii ngoma imetulenga wanachuo
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@vboymsafii89313 ай бұрын
Nyimbo za kukomboa wasomi Wa kinjikitile ngwale na maji maji war.
@osiahstimah4 ай бұрын
Mkwawa looking so good talented
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@VideoDirector-lj6bx4 ай бұрын
Unyama sana #tellaaxistz
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@mirajryder42164 ай бұрын
Nacha ousam, we mtu mnoma sana, una idea nyingi sana mzee
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@EricNtakirutimana-n2o3 ай бұрын
Kbx Nacha na Stamina wanajua sana
@SebastianLushas-ii4ob4 ай бұрын
Maneno hayana nguvu hela ndo inayoshika akili. Akili kubwa sana kaka Nyasubi ndani ya mbanyu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@ArcSonda4 ай бұрын
fanya iwe ndegu piga remix wa Wana wengi kama (warm up). KAZI nzuri
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@bedastusmichael78114 ай бұрын
Imeisha hyooo🎉🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@johanesgeorge19584 ай бұрын
Dear wasomi ,, tuishi na huo muwaa
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@Abuu-sy3ez4 ай бұрын
Nacha ukifa utaachaa alama ndani ya nchi hiii❤
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@mussapondamalibusanda64784 ай бұрын
Kazi nzr home boy utafka mbaaaale
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@francisraphael38164 ай бұрын
nakubali mwanangu nacha nikiwa Maswa
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@RachelJoseph-r8d3 ай бұрын
Like kwa mkwaw katisa namna alivyoanza, ila stimina we ni mtu nusu ukishilikishwa ujawai kupoa...nacha umeweka vichwa
@LindaKiman3 ай бұрын
DEAR MSOMI SIO SABABU UKO SHULE UKAVIMBA KICHWA…KUNA ALIEKUZIDI AKILI YUKO BUSH ANALIMA MCHICHA 💯💯💯✍✍
@donkaloza6985Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@donkaloza6985Ай бұрын
NOMA SAANA
@emanuelfitani30424 ай бұрын
Brothers nakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@HappyEspressoMachine-jh7hc4 ай бұрын
Umetisha Nacha nakuoigia promo sana
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
@PascalErnest4 ай бұрын
Mmetisha wakuu
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu
@WINNER_BITE4 ай бұрын
Ousam🙌🙌🙌
@Nacha_ousam4 ай бұрын
Please Watch & Share DEAR MSOMI link #NyasubiNdaniYaMbanyu