Hakuna mtu makini na mzalendo anaweza kufanya kazi na Serikali dhurumati ya Samia, Serikali ambayo haijali wanyonge.
@mohdkhamis29142 ай бұрын
Wewe ukipewa Uwaziri unaweza kujiuzulu?
@sskondopoleani96162 ай бұрын
Hivi wewe serikali gani ilikujali?? Ina maana hii miaka mitatu ya Samia ndio umekuwa MNYONGE? Kama awamu zilizopita zilikuwa zinajali wanyonge basi miaka mitatu hii usingekua anyone. Fanya tena UTAFITI wako.
@abuuramadhan80932 ай бұрын
Huyu jamaa ni tajir sana anataka kusimamia biashara zake
@Peterchila-un2lx2 ай бұрын
Umejuaje mkundu wako wewe
@handenitakuru66962 ай бұрын
@@Peterchila-un2lx😂😂😂😂😂😂😂😂
@raydanfrenk2 ай бұрын
@@Peterchila-un2lx watu mna akili sasa umetukana wa nn
@sylvestercameo62632 ай бұрын
@@Peterchila-un2lxPeter, unafedhehesha na kudhalilisha jina lako Peter. Zingatia maadili na mafundusho ya imani na jamii.Hupungukiwi kitu kwa kuwa muungwana na mwadilifu!
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
@@raydanfrenk sijui ni Peter Chila ninaemjua, maana tuko nae kanisani KKKT na yuko ktk huduma hapo kanisani
@radaonlinetv19222 ай бұрын
Balozi Mbarouk ni kiongozi ambae mwenye Hofu kubwa sana ya Mungu
@atupeleMbughi2 ай бұрын
Ccm sio watu wazur
@hamisidale27042 ай бұрын
Big blow to Madam President it seems like Kuna njama za makusudi za kumchafua Raisi au kumdhalilisha katika maamuzi yake! Samia just be careful umezungukwa na asilimia 55 si wakweli kwako! Silaa alikueshimisha kila kona huyo kavutwa shati ardhi inaenda kudorora kama zamani! Kama kuna ulazima wa silaa kuchukua Nafasi ya Nape Mpe makonda viti maalum(Mbunge) then Mtupe ardhi ili kazi nzuri sana sana alioifanya Silaa ardhi ikaendelee" Ebu ikawe Kweli Mh Raisi "
@elizabethmassi73272 ай бұрын
alijua atatolewa kwenye mkeka wa mama akawahi maana wizara yao mawaziri wote wametoka hivyo kajihami kuachia ubunge atoke siasa kabisa lipo jambo kwenye hiyo wizara sio bure
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Mhuuuu makubwa haya mungu ibariki Tanzania tunaomba amani tu Tanzania
@MehmetMtonga2 ай бұрын
Atoke yeye nani aende
@franktangeki93422 ай бұрын
mbunge wa kuteuliwa na rais ajihudhuru.Kuna watoto wa maskini mngekuwa mnawapa hizo nafasi,mnajipendekeza kuwapa matajiri hawazitaki mnaona wanajiudhuru, tajiri anaingiza milioni 10 kwa siku umpeleke kwenye changamoto na mshahara wa millioni 12 kwa mwezi inaingia akilini kweli? kuna vijana wengi ni wazalendo wasomi hawana kazi mngekuwa mnawapa hizo nafasi
@enziseme47122 ай бұрын
Kweli kuongoza serikali ni kama jalala, sasa huyu mtanzania mwenzetu kuteuliwa kuna nongwa kwasababu ya hali yake uchumi!!! Hapana huo ni unaguzi kumjadiri mtu kwa hali yake labda kwasababu ya uhuru wa mawazo nachelea kulaumu
@Man_of_valor2 ай бұрын
Kuwapa nafasi watu wenye njaa kali ndiko kunakopelekea au kuchangia kutokea kwa ufisadi na mambo mengine yasiyo ya kizalendo!!
@cgsbj70522 ай бұрын
Unamaanisha matajiri tu NDO waajiriwe?je ikiwa watoto wako wamesoma na Hali Yako ya kiuchumi SIO nzuri unamaanisha wasiajiriwe vinginevyo WEWE ni tajiri na unautaka uongozi SAMAHANI JIRUDI WEWE ni Binadamu kama wengine@@Man_of_valor
@Robust782 ай бұрын
Hapanaaa. Huyu mheshimiwa siyo kwamba anajiuzulu kwakua ni tajiri na hivyo nafasi aliyopewa ni kama anapoteza muda. La hasha. Siyo hivyo. Mimi ninavyomuelewa huyu jamaa ni mtu mzalendo, mchapakazi, mkweli asiyependa figisu. Ameteuliwa kufanya kazi pamoja na Mheshimiwa January Makamba wengi mnajua January ni mtu wa haiba gani. Huyu kilichomshinda nikufanya kazi karibu na Makamba huku wote wakiwa wateule wa Rais Samia. Kwamtu anayezingatia principles katika utumishi wa umma hawezi kufanya kazi na mtu anayetumia njia za kujipendekeza ili adumu katika uongozi au nafasi aliyonayo. UCHAWA ni style mbaya katika uongozi.
@MalamboSelijusi2 ай бұрын
Kuna jambo nyuma
@evelynmwaimu-vd9jo2 ай бұрын
Ni haki yake kila la kheri
@bazarakimayenga35722 ай бұрын
Karma wakasimamie walivyotupora
@aminattai26762 ай бұрын
Kwani huyu munamjua anatokea familia gani? Ata yeye katokea familia masikini sana tu kwa hiyo nafasi alistahili pia
@hassanMahmoud-i4l2 ай бұрын
😮accountability
@husseinhcube13102 ай бұрын
Maono yanaonesha huyo kaanza ila wapo wengi tusubiri tuone
@DeusiMorisi2 ай бұрын
Kujihuzuri ni uwajibikaji hongera
@JamesSichimata-w1u2 ай бұрын
Kuna jambo amelifanya
@zengomikomangwa92642 ай бұрын
Mmmmmhhhh
@verdianabanabi22052 ай бұрын
Umeshiba tayari.
@leinaamos2 ай бұрын
Umeona
@RehemaMagoire2 ай бұрын
Hahahaha kbsaa
@dennisngonyani17952 ай бұрын
Serikali inawaamini watumishi bali baadhi ya watumishi ambao ndio wanaaminiwa sana wana uroho uliopitilza
@simonsadala23862 ай бұрын
Achunguzwe uraia wake huenda huyu ni miongoni mwa wale ambao Cdf aliwasema kuwa wapo serikalini kashamaliza kazi yake anataka kusepa asiachiwe hata dk 01
@OscarKasalile-u4k2 ай бұрын
Fikra potofu hizo
@nassorsuleiman91552 ай бұрын
Usenge uoo km kitu hujui kukaa kimya pia sio vby hanisi wewe