Mh. Makonda Mungu aendelee KUKUBARIKI kwa yote unayoyafanya. Hongera sana Mama Samia kwakumchanguwa Mh. MAKONDO.
@NdeshaPaul-uz9bw2 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana naomba uwafundishe wakuu wote wa mikoa wachape kazi kama wewe. Pia wapende kutenda HAKI. Makonda utainua nchi hii mwanangu. Mtoto umebarikiwa na Mungu. Nakuombea sana baraka nyingi na afya njema.
@DanielMarco-js1kz2 ай бұрын
Mwalimu anaongea vizuri. Proud to be a teacher!
@obsonjulius312Ай бұрын
Mwalimu ni msomi anajua
@beesmarttv3792Ай бұрын
@@obsonjulius312kabisa mwalimu ni msomi anajua anachoongea
@charlesmnuo32922 ай бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri unayoifanya hii ndiyo kuonyesha vyombo vya sheria vimewekwa mfukoni na wenye fedha
@profs.a54122 ай бұрын
Huyuu jamaa mi naamini Mfumo ndio ulimfanya aonekane mtu mbayaa, Yani walimtumia vibayaa, ila kiuhalisia huyu jamaa nikiongozi kweli kweli , tena mtetea wanyonge
@AjiaMohamed-rt5pb2 ай бұрын
Acha unanifiki mfumo gani wakati mfumo aliyo nao ni huo wa magu wa kuwasaidia wanyonge
@profs.a54122 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb inatakiwa kuwa na akili kubwa ili uweze kunielewa , lasivyo hakuna utakacho ambuliaa🚶
@JosephzakayoPius2 ай бұрын
❤❤❤@@AjiaMohamed-rt5pb
@JRN26122 ай бұрын
@@profs.a5412fact😂😂
@ChristopherChacha-fb4oc2 ай бұрын
Mama naomba namba yako ili ni mwl Mwenzio Nina wazo juu yako
@user-my5nb9jn2d2 ай бұрын
Yaani mm nashangaa sana.. Why mnamchukia mtu tu bila sababu yeyote mnafunga mshahara wake na alikuwa mtumishi wenu Ila Kitu nilichokiona hapo ni Wivu wa kusoma masters tu.. Wakajua ataongeza Elimu Atawapita kwa hiyo Ni Roho mbaya tu Ambayo Imesindikwa na kiongozi ikasambaa kwa wengine.. kumbe kuna watu wana matatizo jamani Duh😮😢
@marcokaroje89802 ай бұрын
Hiyo ya wivu watu wenye nafasi kama mkuu wa Shule nk wana hofu yakupoteza nafasi zao watu wa chini yao wanapokwenda kuongeza elimu hasa idara hiyo tajwa wanatengezewa kesi hadi inakubalika mahakani hata ya kubaka tu ili akomolewe bila kujali kuwa nae ana haki na anategemewa na watu ikiwemo familia yake kama walivyo wao Mungu huwa anawaumbua kwa unafiki wao
@Kamkono2 ай бұрын
Da jamani! Mheshimiwa Paulo Makonda Mungu akulinde ndani na nje ya ofisi. Mungu husaidia wanyonge kupitia watu, wewe ni mtu mmoja wapo ambaye Mungu anakutumia kusaidia wanyonge.Haleluyaaa.
@RobertKilomba2 ай бұрын
Heko kwako makonda Mungu akulinde ukaweze kuwasaidia watanzania wenye Nia njema na inchi Yao, hatuna Cha kukulipa sisi ni kukuombea Mungu tu, Mimi binafsi nilikuchukia sana wakati ukiwa mkuu wa wa mkosa wa dar enzi za magufuli, kumbe wewe ni kiongozi safi namba hii, nilikutambua juzi mama alipokuteuwa kuwa katibu mkuu mwenezi ccm, nikaona your true colours, na sasa uko vizuri mkuu wa mkosa Arusha, keep it up 🤝🙏🙏❤️💚💙🤜🤛💪💪💪
@rehemakaziri2 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa ajili ya huyu baba,hongera sana muheshimiwa
@MamaBambala2 ай бұрын
Makonda mdogo wangu Mungu ailinde roho yako
@huldamichael44452 ай бұрын
Sasa kama ni hivi watu wengi si wanaumizwa Sana!??maana sio watu wengi wanaweza au kujua huu mzunguko wote...daah
@MrTop-wj7no2 ай бұрын
Kweli kabisa
@asilahassan99652 ай бұрын
Sadakta
@BakariKawishe2 ай бұрын
Mwl anajieleza vizur sana na kwa hakika anafaa hata kua kiongozi
@RichWise671Ай бұрын
I'm very proud to be a teacher 💝
@user-ce3tx7mr8v2 ай бұрын
HUYU MWALIMI ANA CONFIDENCE YA HALI YA JUU SANA VERY PERFECT,MAKONDA ANATAKA WATU STRAIGHT KAMA HAWA
@tauredtv992 ай бұрын
Makonda aongezwe back up ya Aggrey Mwanri. Huyu katibu angesukumwa ndani😅😅😅
@Ryanzabron2 ай бұрын
😂😂😂😂 Hii imevunja mbavu
@LeylatVlogs2 ай бұрын
Dada huyu ni kichwaa@mwalimu
@ceciliaonyango53672 ай бұрын
Sio arusha tu sehemu nyingi watu wanaubinafsi tu
@KeziaAmos-np9fu2 ай бұрын
😂😂😂😂
@LaurianKiyeyeu2 ай бұрын
Mungu akupe ujasiri,uvumilivu,bidii ya kazi na Maomo uendelee kusaidia jamii ndiyo tafsiri ya Dhamana ya Uongozi,yajayo kwako yana mungu mbele yako makonda
@lightnessseifu59832 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akuongezee umri mrefu baba
@aminabanka820318 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde brother.
@emmanuelbernard95522 ай бұрын
Nasubilia part 2 Makonda 🔥 🔥
@hasanirajabu33502 ай бұрын
Makonda chapa kazi baba tunakuombea
@batholomewjohn91320 күн бұрын
Hongera Mkuu wa mkoa wa Arusha unaweza
@SaidMashaka2 ай бұрын
Big up sana makonda...tunakupenda sana❤❤
@VictorLyimo-so9xr2 ай бұрын
Rais ampe mama nafasi uongozi
@deoluma17062 ай бұрын
Safi sana makonda. Namkubali sana asee. Utumish kuna uonevu wa Hali ya juu sana kwa walimu
@habiolivier83152 ай бұрын
you have wisdom leadership let useful mocking next president
@joachimkalungwana86542 ай бұрын
Safiiiiii saaaanaaaa Mh Makonda
@ttss77162 ай бұрын
Huyu mwishimiwa mungu amuweke mpaka nimelia walahi 😢😢😢
@sosthenesmutarubukwa59012 ай бұрын
Kwa Muktadha huu Uongozi katika Utumishi wa Umma utakuwa Mgumu. Kwa sababu wakati mwingine Watumishi wanavuruga utumishi wa Umma kupitia Pesonal Anbitions badala ya Kanuni za Utumishi wa Umma.
@user-uv5jf6he8r2 ай бұрын
Mwogopeni Mungu watumishi nyie mkuu wa mkoa Asante sana kwako
@RamadhaniAlly-n5u25 күн бұрын
Hongera mtetezi wa wanyonge
@zwinaalhabsi6642 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@user-ov6kd3jz6c2 ай бұрын
Hongera makonda MUNGU akulinde
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
Mh Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥
@samwelnevele77962 ай бұрын
Kaka makonda wenye changamoto kama hii ni wengi naomba wasaidiwe na mungu akulinde sana
@anithawidambe75432 ай бұрын
SAFI SANA MAKONDA MAMA SAMIA ALITUMWA NA MUNGU KUKUCHAGUA. ASANTE MUNGU MLINDE MAKONDA.
@samsonsike1262Ай бұрын
We need leaders like makonda even at high level, big up Mr MAGU the sec
@konradkapinga67442 ай бұрын
Daaaadek tunyooshe Brother
@user-du1nm7et9q2 ай бұрын
Guys makonda, ni mtu alieshushwa, ajazaliwa hongera mama samia kwa kwa kichwa hiki na umejua pakukiweka muse na maisha marefu❤
@leilathydidy60582 ай бұрын
Ndio yan me huyu baba wanaomchukia nina washangaa sana kiukweli, yuko vzuri mno kiongozi
@BienvenueBisimwa-rn9rn26 күн бұрын
Mungu akulinde Makonda
@ConstanciovictorVictor-tp5zu23 күн бұрын
Deus esteja com tigo meu irmão makonda❤
@gadielshedaffa33332 ай бұрын
Nchi hii mioyo ya watu imekuwa ya kishetani! Uzalendo umeondoka! Mungu awarehemu wengi hawajui walitendalo! Dhambi nia aibu kwa watu wote! Mungu awainue watu kama makonda!
@NOVATISIYAME-iz9qw2 ай бұрын
Dar Paulo mungu pekee ndio anaweza kukilipa
@eliamwankenja70872 ай бұрын
Mungu akubaliki
@user-cj4cv3jo6p2 ай бұрын
Mungu akulinde Rc a
@anthonylongolongo98632 ай бұрын
Daaah! samahan san broo (MAKONDA) mwanzo niliona kama unakosea lakin kumbe unapiga kazi sana. MUNGU akutie nguvu na kukulinda pia
@sjosephmashany-eu6rfАй бұрын
Mungu aendelee kukuweka
@afidhuOmary2 ай бұрын
Makonda hongera xan kwa kazi nzur unayo fanya kama kuna uwezekano wakulete kagera
@lulusenzia48072 ай бұрын
Mungu akufikishe mbali Makonda nimependa nchi yetu hii longolongo nyingi
@musampanda36432 ай бұрын
Madame leo kamwaga mchele
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Viongozi wengi wa nchi hii wanaogopa watumishi wasomi.wanaogopa kupokonywa nafasi kwakua wengi wamepachikwa tu kwa hizo nafasi
@ChristopherChacha-fb4oc2 ай бұрын
Pole mama
@tumainiezekia587317 күн бұрын
Daaah mam honger unaongea vzr ❤😊
@rahabnkya82762 ай бұрын
MUNGU AKUPE AFYA njema Mzee MAKONDA. AMEEN
@user-vk7xm5ru9r2 ай бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa mungu akulinde sana .
@castroshayo34982 ай бұрын
Motosach International
@kalumunakalumuna74032 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki Sana
@nyungwajunior13012 ай бұрын
Huyu jamaa anapiga kazi bhana
@mussaharun72572 ай бұрын
Mwalimu Mtulivu sana
@babalao9102 ай бұрын
Mama Samia👍👍👍👍 Kwa kutuletea nakonda
@user-so9fo5tv3j2 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@davidmnzava42802 ай бұрын
Kazi Zur sana , watu Wana shida hawana connection
@rehemambilinyi35232 ай бұрын
Mungu akulinde mh.makonda na viongozi wengine waige
@beesmarttv3792Ай бұрын
Mama anaongea vizur sana na yupo very straight
@ShedrackKapande-qh8pv16 күн бұрын
Jaman halimashaur zetu acheni ukiritimba mtaumbuka.CWT mnaboa badala ya kuwatetea walimu,mnawakandamiza.CHAKUHAWATA piga hatua.
@user-rw8yu7xt4c2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa makonda
@RaseduOfficial2 ай бұрын
Asante mm ni ras edu KZbin
@user-mz4mf4wj1y2 ай бұрын
Jamani huyu Mwl amepata majanga kama yangu. Makonda unanisaidiaje mimi nipo Dodoma Arusha mna bahati muombeeni sana Makonda
@CalmAlpineSkiing-xf4gv2 ай бұрын
Asante Makonda Mungu Linda watumishi wanaotetea wanyonge
@BEmmanuel-zt1kn2 ай бұрын
Pole san mma
@HamisiPawa2 ай бұрын
Ila bongo watumishi miungu watu wango wengi vbya mno
@geophureysamsoni50332 ай бұрын
Kuwa na nchi yenye watu waonezi kama ningerisoma mimi nikuwafunga
@user-om7yw4pr9p2 ай бұрын
Mungu alikuchagua uwe kiongozi nakuli unatenda yanayo mpendeza mungu ubarkiwe sana namungu akulinde sana
@scollantandu23502 ай бұрын
Baba piga kazi safi sana ♥️
@masikitikomwakyonde12592 ай бұрын
Aisee pole mwl siku zote mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA2 ай бұрын
Makonda umecheza kama Vinicios Jr. Welldone Mr. RC
@MrTop-wj7no2 ай бұрын
😂😂😂😂
@sebastianthadeus52702 ай бұрын
Hawo watu wanapambana na mama msomi bila kujua wamlipe Hela zake
@user-ch2it3qt5z2 ай бұрын
Huyu dada apewe Nafas ya kaz serikalin maan anajua na anajua kujielezea ata utumishi anaweza hongera mama mkwe
@loice123faida8Ай бұрын
Kama Kenya ingekuwa na mtu kama huyu ingepona sana MUNGU atusaidie
@PrudenceMwakyoma-oz5ic2 ай бұрын
Makonda Mungu akusaidie. Ufanyakazi vizuri ivyo ivyo
@rodgersabraham983712 күн бұрын
the spirit of Magufuli is him
@user-mz8rt9ip2s2 ай бұрын
Mungu akulinde njoo zanziba baba yamejaa
@joseygaudence4922Ай бұрын
Hapo kwenda kuchukua file ndio msala unapoanzia miguu itakuwa haiendi na mdomo lazima uwe mchungu 😂😂😂😂Mnadhurumu watu sana
@hafidhdrogba3392Ай бұрын
Mama anafaa kuwa kiongozi
@josephmtikile-yf3pqАй бұрын
Hii nchi ngumu sana Yan ata Ajira zinatolewa Kwa kujuana
@mankambise200024 күн бұрын
Huyu mwalimu anajieleza vizuri sana
@katibampya84422 ай бұрын
Mwendelezo wa hii napata wapi??? @global tv
@dottolucas37212 ай бұрын
Yaani hata hiyo CWT nao kwa sasa ni Shidaaaaaa
@dennisungonella205Ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzuri sana, uonevu ni mkubwa sana
@magejuliani52932 ай бұрын
Duh! Kuna maonevu Sana jamani! Hivi ni kwa Nini umuonea mtu hivyo jamani? Hongera Kijana Makonda Mungu akakuonekanie
@Oscar-qs7tn2 ай бұрын
Kweli mwalimu ni mwalimu akili mingi Sana lazima nioe mwalimu anitoe ujinga
@johnkapesula1222 ай бұрын
Laaah aisee...
@allymwashambwa59202 ай бұрын
hivi kwanini mikuwa mnamchukia makonda? kazi kubwa sana anaifanya ,mungu akuongoze
@ISAACWairegiАй бұрын
Mimi ni Mkenya lakini ni napendezwa na jinsi Mhesh Makonda anavyo shugurikia Mtanzania wa kawaida, endelea tu na huo MOYO.
@victorcephas36182 ай бұрын
Nasubiria part 2
@MarystellaSalumu14 күн бұрын
Jamani makonda yuko vizuri natamani ningempata
@obsonjulius312Ай бұрын
Mheshimiwa sasa, tunaomba ukimaliza kazi jiji, wakupeleke Mbeya, ukawapelekee moto, kuna mazoea zoea sana kule.
@user-fo9cn6kx1s2 ай бұрын
Mungu atakutetea haki ya mtu haipotei
@SharrifAbdoul-Rahman27 күн бұрын
Vipi tupate kiongozi kama huyo kwetu ? Kweli Allah Amlinde