Kama unanuelewa huyu bro Kama mm gonga like apa twend sambamba
@jacksonntandu47714 жыл бұрын
Pongezi kwa mwalimu kwanzaaa
@stevenkamala80993 жыл бұрын
Nashukulu xana mr.j umefumbua fumbo wangu
@jonaskitiga1005 жыл бұрын
Nimefarijika sana, hofu ya kukataliwa ni kikwazo kikubwa sana. Kuna kipindi nilianza kuandika kitabu juu ya mapito yangu nikaogopa kuendelea kwa visababu vingivingiiiiiii vyakijinga 😁😁😁., Had I had this lesson before, I swear my brother Nanauka I would have reached to the top!!!! Thank you so much brother!!! Uve inspired me
@samymdundu5 жыл бұрын
Shukran kwa somo kaka me binafsi izo zote zilikuwa zinanisumbua sana. Ila nikazigundua . ila kwa sasa nazidi kupambana nazo na naendelea vyema (fear of rejection daaah ni shida sana bt napambana ,) #see you at the top
@asumtamapunda9 күн бұрын
Nashkuru sana unanipa nguvu sana ya kuendelea kupambn mungu akuweke
@winniemassawe53722 жыл бұрын
Asante San mwalimu kwa SoMo la hofu Mimi hofu zote ninazo naomba unisaidie niweze kujiamini na kuanza upya
@mwanaidisaidi9433 Жыл бұрын
Huwa nakuckza sana Mungu akubariki kaka mm niko hofu so siri Dah
@sorophiasixbert66205 жыл бұрын
Daah somo kmenigusa sanaa. Karbia hofu zote znanhusu.
@rollahngimbwa69783 ай бұрын
Shukrani Sasa mwalimu🙏🏽 hakik somo nimelielewa vzr. Balikiwa Sana🙏🏽
@christinarafael32612 жыл бұрын
Nakuku barisana mkuu kupitia mafundisho yako naanza upya tena
@adsonfungo81865 жыл бұрын
Fear of uncertainity imekuwa ikinitesa kwa muda mrefu sana, lakini kupitia hili somo Nimepata nguvu zaidi. Nimejifunza kwamba Faith is an answer of this problem. Asante Joel, see you at the top.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Adson Fungo kabisaaa Adson
@RamadhanMtaki-sw1gx5 ай бұрын
Bro kuhanzia Leo hii nitahanza kuzungatia na bahada ya miaka mitatu nitakuja kukuona Kwa macho na nitazidi kujifunza mungu hakupe umri mrefu uzidi kufungua vichwa VA watu nakukubali Sana bro
@user-zc6ct6gj1c3 ай бұрын
Ninamaneno mengi sana ya kusema,itoshe tu kusema ubarikiwe bro
@LimbuMabula14 жыл бұрын
nimekuelewa kaka Nanauka baut mm kinachonisumbua ni hofu ya kuanza upya vip nifanyaje!!!!!!
@happinessgodfrey20875 жыл бұрын
Asante sana Kaka Joel Nanauka. Mimi nina hofu ya yajayo paoja na hofu ya kutoeleweka. Hii imetokana na kuanguka mara kadhaa, nimekosa uaminifu na watu wa karibu, nashindwa kujiamini
@joelnanauka5 жыл бұрын
Happiness Godfrey pole sana,uaminifu unachukua Muda kurejeshwa,usikate tamaa anza kufanya vitu kila siku ambavyo vitaanza kurudisha uaminifu wako
@abudofaquefaque6665 Жыл бұрын
Asa te sana nilikuwa na ofu ya Kuanza upia!
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Naomba na njia za kuondosha hofu docta joel
@ambrosemwarabu3483 жыл бұрын
Asante sana kwa somo yaani wewe ni zaidi ya maisha nilikuwa na hofu ya kuanza upya sasa umenipa mwongozo Asante sana nakukubali naomba nikupe jina uitwe MWONGOZO MKUU WA MAISHA
@janekasson39765 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Nanauka...kwani hofu ya kuanza upya ni hofu iliyonisesa sana lkn sasa naamini nitaishida.
@msengisimoni20875 жыл бұрын
ahsante kwa kurudi,kinachotutesa wengi hofu mambo yajayo.Ukiona hatari mbele uko tayari kuacha tayari hofu imetawala
@joelnanauka5 жыл бұрын
Msengi Simoni nashukuru kwa kuendelea kufuatilia.Ishinde leo hiyo hofu
@zawadimollel52732 жыл бұрын
Hiyo inanisumbua sana kias hata sijui jinsi ya kujitoa kwenye hofu kabisa
@joramuzacharia46413 жыл бұрын
Napenda kukataliwa Kwa kuwa napenda kuanza upya maana kuna fursa nyingi kuanza upya
@RuzoOwzy3 жыл бұрын
Nmeelewa. Sasa imebaki kufanyia kazi. Aksante
@janethzefa28085 жыл бұрын
asante sana hofu zote hizo ni changamoto kwangu but thank nimejifunza kuishinda hofu
@salimukimweri78455 жыл бұрын
kaka unatupa faith ya moyo kuyashinda maisha haya mungu akutie nguvu
@joelnanauka5 жыл бұрын
Salimu Kimweri Ameen Salimu nashukuru snaaa
@salimukimweri78455 жыл бұрын
kaka ofisi zako ziko wapi kutafuta ushauri zaidi
@lightnovel.064 жыл бұрын
Asante rafiki kila nikikusikiliza najiona mshindi na hatua zang naziona
@rehemamwasomola43625 жыл бұрын
LESSON LEARNED AND UNDERSTOOD
@joelnanauka5 жыл бұрын
Rehema Mwasomola Thanks Much
@successpathnetwork5 жыл бұрын
Welcome back brother. We really missed you up here. Good content!
@bonifacebeatrice80775 жыл бұрын
Success Path Mungu akubariki kwa darasa zuri,linanipa nguvu na ushuja mno
@Danileor11 ай бұрын
Ooh, I real appreciate you bro
@joramuzacharia46413 жыл бұрын
Nahitaji kubadilisha mahusiano nianze upya
@cresensiandimbo41955 жыл бұрын
Nimependa sana somo la leo,na umenizindua sana nashukuru nitajitaidi kukabiliana na hizo hofu.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Cresensia Ndimbo Karibu sana naamini utashinda
@priscillahlemma77605 жыл бұрын
Asanteh nitajitaid kushinda hizo hofu maana zote zinanipa changamato kweny maisha yangu
@mariamabdallah8065 жыл бұрын
Duuh kwangu naona sauti imegoma kutoka😁😁 nasoma tu comments.
@brackskinyozi328015 күн бұрын
Barikiwa sana coach and 🙏🙏🙏
@mericktamba79812 жыл бұрын
Niceeeeee...brzaaaaaa.....🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💫💫💫💫💫💥💥💥💥💯💯
@issahamadi47343 жыл бұрын
Nimejifunza vingi bro. Sema Leo naanza upya .
@MwaduduFatma8 ай бұрын
Thanks so much bro nmekupata loud and clear na ntalifanyia kazi manaake m n victim iz vitu
@hamisilaini96883 жыл бұрын
Asante sana Joel Nannauka kwa masomo mazuri shida yangu ni kupata vitabu vyako mbalimbali niko mtwara.kuhusu somo lako hoph ya kufanya maamuzi ya kubadilika na kuishi kwa mazoeamazoea
@kimwanakitaka3607 Жыл бұрын
Hofu yakukataliwa imekuwa ikinitesa sana
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Nina hofuu ya kukataliwaa nimekataa tamaa kabisa
@stephensanga88862 жыл бұрын
Mi hofu ya kutokueleweka inanisumbua saana kak yanguuu
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Ahsante docta nlikua nadhani nna stress tu kumbe nna na hofu pia
@ningaothman31773 жыл бұрын
Thank you so much umenipa nguvu. Nilikua na hofu ya kuanza biashara ila kuanzia sasa naanza moja kwa moja my dear 😊
@adow9musictz9312 жыл бұрын
Kaka Hapa Nimekuelewa sana
@mj.tv.forpeople9925 жыл бұрын
Kuto kujua yajao mpaka leo, mm nimachinga nazunguka mitani ila ukweli nikwamba kama kunaswali lazima ni jiulize asubuhi, ni Je Leo nitapata pesa. Au Je Leo Hali haitakuwa ngumu sana. Hivyo hunipelekea wakati mwingine kuogopa na kusema ngoja niende kesho, Lakin ukweli nilio gundua nikwamba ninapo shinda hofu hiyo na kuamua kwenda %99 sijawai kujuta kwa nn niliamua kwenda ninge penda kuwambia vijana wenzangu tunaweza tujalibu. Tujifunze hata tukishidwa tu jihoji kwa nn tumefeli na tujalibu Tena bila hofu hatuta juta
@salomekombo61665 жыл бұрын
Tnx bro umenipa nguvu ya kuishinda off ya kukataliwa ktk changamoto mbli mbali tangu sasa nmeishinda iyo off big up sanaa broo barikiwa
@machanohaji9841Ай бұрын
Allah akubariki kakaangu
@brunophilbert10342 жыл бұрын
Asante sana kaka, sitaogopa kamwe kuanza upya. Merci beaucop.
@muhsinsalum23055 жыл бұрын
Shukran kaka nahisi umenigusa moyoni kabisaa
@joelnanauka5 жыл бұрын
Muhsin Salum nashukuru sana tuko pamoja
@israelndaki34353 жыл бұрын
Nakuelewaga sana bro, umenitoa mbali sana kifikra.Hakika wewe ni moja ya watu ambao najifunza mengi toka kwao
@nandafaraja7065 жыл бұрын
you're best speaker in the world
@joelnanauka5 жыл бұрын
NANDA TAIWAP thanks so much for your positivity,I will keep on improving 🙏🏼🙏🏼
@kanisalapentecostmtiwauzim57243 жыл бұрын
Mimi hofu zangu ni mbili....hofu ya kukataliwa na hofu ya kuanza upya.Mungu anasahidia kuzishinda.ahsante pia kwa ufahamu huu.
@auleambena3182 Жыл бұрын
Mm hofuyangu ni juu ya yajayo
@qurankareem5825 жыл бұрын
yani kaka wewe ni msaada sana kwa watanzania tunakuombea tu kwa mungu akubakishe na ufanikiwe sana endelea kutufunza wadogo zako bwana tunakuelewa sana
@mohamedmonster67405 жыл бұрын
Thank u brother u have brightenes my day
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
katika kitu ambacho mungu ameninyima hofu na ndio maana huwa siku zote mungu ananiwezesha kushinda....wakati nataka kuanzisha biashara kufungua duka wazazi waliniambia hii sehemu utamuulizia nani...??!!...nikawambia wacha nifanye mpaka sasa ivi ninalo takriban mwaka wa tatu na mipango yangu kufika mbali na kufungua ata maduka mia mungu akinibariki na jitihada yangu na nimekuwa chachu ya maendeleo mana vijana nawapa ajira.
@samwelnaal79524 жыл бұрын
Nahitaji kubadilisha tabia zangu fulani ambazo zinanikera mm mwnyewe
@michaelkwandu25785 жыл бұрын
Thanks my brother your very blessed
@nicholasaudrey32828 ай бұрын
Hofu ya kutokueleweka pamoja na hofu ya kukataliwa
@ckosmah215 жыл бұрын
Asante sana alafu tunatatizo kubwa sana la negative mentality especially we tanzanian so kama kuna uwezekano tunaomba somo la how to change perception pls
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ckos mah Sawa nashukuru nitashughulikia hili
@ckosmah215 жыл бұрын
@@joelnanauka asante
@thegirl14055 жыл бұрын
Ahsante sana my brother hiyo hofu nishida
@thegirl14055 жыл бұрын
Apo kuna hofu moja napiga nayo kuiepuka
@lilianbenson57744 жыл бұрын
Thanks very much Mr .Joel Nanauka for an inspiring lessons . It's a month now since I started following you on you- tube . Your lessons really encourage and inspired me and others. And for this scenario I learn a lot ... point taken " FEAR OF CHANGE. " I'll work on it change to progress. Thanks and Big up!
@mathiasernest38555 жыл бұрын
somo limenigusa moja kwa moja.... kuna maamuzi mefanya ndani ya muda huu kwa hofu kubwa ila ss naanza kujiona jasiri na niko sahihi
@jacksonntandu47714 жыл бұрын
Bro we ni mwalimu wakuigwa asee Asante kwa somo zuri
@FredrickClaudInsurer5 жыл бұрын
Let's meet at the top,,,,,apo kwenye Rejection ndo janga kubwa sanaa lkn tutalishinda,, whatever it takes
@joelnanauka5 жыл бұрын
Fredrick Claud kabisa lazima tulishinde
@vicentpeter92642 жыл бұрын
Nakukubali sana unanifunza mengi kaka
@giftibrahimuamulike59635 жыл бұрын
Asante sana hofu ya mabadiliko ni changamoto kwangu
@joelnanauka5 жыл бұрын
Gift Ibrahim hongera kwa kuigundua anza kuishughulikia sasa
@giftibrahimuamulike59635 жыл бұрын
Nifanyaje sasa bro
@vitalramadhani85775 жыл бұрын
Hio ni bora reo kuliko jana , nimekubali
@fatmamwiru75743 жыл бұрын
Hofu yakuanza upya inanisumbua sanaa 😪😪😪😪
@sabatomjungu97275 жыл бұрын
Ahsante kwa urejeo wako barikiwa bro
@joelnanauka5 жыл бұрын
Sabato Mjungu Ameen Sabato nashukuru sanaa
@muragaraphilippe90875 жыл бұрын
Safi saana unavyoelezea,kuhofia maishani ni adui wa maendeleo.