Baada ya kukwepakwepa Interview nyingi za Media TZ baada ya Ndoa yake na Dogo Janja Irene Uwoya apiga Interview na team LeoTena ya Clouds Fm
Пікірлер: 435
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
Kama kuna mtu amemuona huyo Jose mara aliyekazana kumkodolea macho Irene ungana na mamimi hapa
@graphixmaster61466 жыл бұрын
wilonja hatua namuona namuona😂😂😂
@agnecsanga41316 жыл бұрын
namuonaa
@agnecsanga41316 жыл бұрын
wilonja hatua Hapo anawaza kwann simumliki janja anafaid 😂😂
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
agnec sanga sure
@nancymohamedy64116 жыл бұрын
Anamuangalia uyo dada kiundani zaidi anamchukulia kama ana akili vizuli vile ninavyo hisi mimi kwenye hia zake Jose mara
@raymondmichael72206 жыл бұрын
Love you ireene. Jomba wa r chuga nimekukubali. Irene umfny revolution.........anythng s pssble.....
@aminamgaya75116 жыл бұрын
Dahhh nimempenda sana Irene uwoya anajua kujieleza sana na ni mkweli sio hao wengine. Dahhhh mungu awaongoze ktk maisha yenu yote
@zainabudadi83776 жыл бұрын
Amina Mgaya ukweli kabisa
@lindamwakitawa74936 жыл бұрын
She is very beautiful,na hana maringo kama dada wengine,mungu alinde ndoa yenu Irene
@vero.alfonse70836 жыл бұрын
Wawoooooo nawapenda sana janja & uwoya mt kawekwa kat anaaibu hatariiiiiiii
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Mashallah, nawapenda sana, shemela Janjaro nampenda sana kwenye interview yuko vizuri sana.
@barikikaroli60886 жыл бұрын
Mungu awape maisha ya furaha na marefu.
@bonasofficial91166 жыл бұрын
Bariki Karoli HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa kzbin.info/www/bejne/rJTYqHxnm5JqoM0
@mariamsekalutu83856 жыл бұрын
asante janjaroo unatuwakilisha chugaaaaa
@theresechristensen81906 жыл бұрын
It's not weird. My boyfriend lives in Tanzania and I live in Denmark but we love each other because we trust each other
@faithjonathan38456 жыл бұрын
Therese Christensen ..good, Am a Tanzanian and my boyfriend is danish😃
@julianajangandu10646 жыл бұрын
Therese Christensen nice wifi
@rosechami6496 жыл бұрын
always beautiful nawapenda sana Irene wema hamisa an aunty Ezekiel huniambii kitu
@danielmollel25136 жыл бұрын
jmn wifi nakupenda. karibu Ar
@salmaothman1536 жыл бұрын
Big up dogo janja nawapenda sanaa😍😍😍
@user-oh8bn3vg2w6 жыл бұрын
N akupenda sana dada mungu aidumishe ndoa yako
@aminaally936 жыл бұрын
Hahahaaa irine nampenda anampanda mumewe na anamuonea aibu mashallah
@fathermore97726 жыл бұрын
Amina Ally kwahilo nimempenda pia hata kama itakua anajifanyisha lakini mwanamke anastaili kua hivyo mbele zawatu... sio kama kina shilole na wengine mfano wake. mwanamke jicho kavu hamna hata chembe ya aibu hapo mdomoni nikiredio.. mpaka unajiuliza ikiwa mbele zawatu yuko hivi je huko ndani yanyumba itakuaje.....
@bigwiketti94966 жыл бұрын
True Love .... Wish you all the best!!! From Rwanda
@kimah98556 жыл бұрын
Mama Irene wewe naona vile unafanya macho wewe umependa sana Kadogo" I can see u you are so inlove🤗
@swaleherajabu46626 жыл бұрын
Dogo Janja umekua sana mdogo wangu HONGERA
@hadijaselemankidunda15166 жыл бұрын
Tulia mwaya bora ww umeolewa wamesema sasa hivi wametulia endelea na maisha yako na mumeo dada kuolewa na kuoa ni sunah ya Mtume s.w.s
@mwanaherimohamedy69786 жыл бұрын
Hadija Seleman Kidunda, umeona hee wengine wanakesha kutafuta ndoa mwenzangu mwanume mwanaume tu
@bonasofficial91166 жыл бұрын
Hadija Seleman Kidunda HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa kzbin.info/www/bejne/rJTYqHxnm5JqoM0
@graphixmaster61466 жыл бұрын
kuolewa na mtoto/kumuoa mamayako ni laana
@mariamfabian5586 жыл бұрын
+Graphix Master kwani ni mama yake au baba yake kwani nani aliyesema lazima mwanaume amzidi mwanamke
@msaflus24926 жыл бұрын
+Graphix Master 😂😂😂😂 mtume Muhamad alimuoa bi Aysha akiwa mdogo miaka 25 chini ya bi Aysha kiliharibika kipi??
@Rossehunter-uy6ef Жыл бұрын
Nakukubali sana dada napenda uchezaj wako mm nimsanii chipukiz naww ndo lory moddle wangu nataman sikumoja tufanye kaz pamoja
@bahatibertha88226 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ailinde ndoa yenu nawapenda Sana Irene na Janjaro
jamani huyo Jose hapo nyumaaa kaaah..! ilo jicho utazani paka mwizi
@rosemilingi7860 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@floridahbaltazary2502 Жыл бұрын
Haaaaaa nimechk kifalaaa sanaaaa khaaaaa😅😅😅😅🤣
@neemamwinuka85256 жыл бұрын
nimefurahi sana nakupenda uwoya
@princesssalmahtz45316 жыл бұрын
Nawapenda sanaa Iren na dogo janja
@abumoyo8406 жыл бұрын
Nakukubali m2 wangu wa nguvu janjaro
@godfroidbasubire83556 жыл бұрын
Dogo kiwukweli unajuwa kujihereza kushinda wengi apo bongo
@ashamahmoud38956 жыл бұрын
Godfroid Basubire anajihereza kwelikweli
@moarusha54746 жыл бұрын
sanaaaa aaiiseee joombaa
@rahimarajab43066 жыл бұрын
Mapenzi hayoo hadiraaa....nice
@bahatiagape71212 жыл бұрын
Niko hapa 2021.like kwangu ambao yunaitizama huu mwaka..
@saidsaid94636 жыл бұрын
Ni kweli umri namba poa sana
@pendorusota28846 жыл бұрын
hongera kuolewa suna watu tunakesha tukiomba hta tuolewe tu lkn WAP😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@congratskendy18456 жыл бұрын
Wish you happy marriage Irene
@kgchippy6 жыл бұрын
These people are really making good couple
@MegaMtanzania6 жыл бұрын
Namuona kama Jose mara kunakitu anakijua zaidi juu ya huyu Bibi arusi.anyway bigup Janjaro bigup Irine kwa uamuzi mgumu.Ewe mwenyezi bariki haya mahusiano yawe fundisho kwa wengi Amen.
@georgesamwelchacha76806 жыл бұрын
Kuna lijamaa hapo kushoto kwa Irene limekaa kama bod guard limedindisha kinomaaaa
@claragodfrey67406 жыл бұрын
huyo kaka jicho vpiiii mke wamtu huyo
@graceapolinary41716 жыл бұрын
N kweli mwanaume wa kweli utamjua tu haj kwasababu akueleze gar na nyumba aliyokuwa nayo.....wanaume mjifunze kuwa opens sio sound hatuztak
@benardcharo38606 жыл бұрын
I rene unabahati sana....Dada nakuombea uitenze doa yako Tena kwasana usikubali hata ckumoja kueka sikio lako wazi kwawanafiki wandoa yako Dada kuolewa nisuna
@Ukis_6 жыл бұрын
Aaah Dogo Janja ni MJANJA asee. Hii Toto ni Motooo...
@saidkaoneka26486 жыл бұрын
Ongea bc Jaman dada nakupenda pole kwa aibu
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Saed Kaoneka 😂😂😂
@rheanmutimanwa74886 жыл бұрын
yan ww 😂😂
@bashirhasan2556 жыл бұрын
Saed Kaoneka kweli nimeamin irene anampenda dogo
@saidkaoneka26486 жыл бұрын
Saumu Hassan 😘
@sajeedavirani63316 жыл бұрын
Dunia sasa imekwisha yaani watu ndio mmefanya mradi mkubwa wa kufuatilia maisha ya watu
@khamisdaima14556 жыл бұрын
Huaga nackia mkiristo akibadili dini anabadili hadi na jina ila kwa Irine hatujui jina lake la kiislamu.
@mojay7936 жыл бұрын
Mungu aipe maisha marefu ndoa hii
@acruxe58106 жыл бұрын
Sasa kumbe dogo janja amenunua gazeti jioni
@sikojuma78826 жыл бұрын
Consider years interval before marriage, bless u xo much
@mamamagita5606 жыл бұрын
Mbavu zangu jamani, xo Dogo sasa hivi hawezi fanya shooting na demu mwingine, inabidi awe dume jike, daah.
@hadijalihumbo54936 жыл бұрын
Jmn nakupenda bure wifi..mpnde mpendane kweli tu n kaka ang.Allah awatangulie Inshallah
@husnamarandu83806 жыл бұрын
Mbna eti huyo mtangazaji anatumbua jicho kma samak Kwa irene! Ata swal alosema atamuulza Irene hakumbuk tena! Hapo ni udenda unamshuka tu
@aishahassan1376 жыл бұрын
mungu awalinde kwenye ndoa yenuuuu
@sarahsamwel30196 жыл бұрын
Jose jicho hilooo mmmmm kumuangalia mwenzio ivooo veepeee
@salmaothman1536 жыл бұрын
mungu awape maisha marefu
@issasaidi10196 жыл бұрын
hamna ndoa hapa mara naitwa sheila mara mungu nimmoja dah hawa hapa ninachokiona ni busness tu tena usishangae huyu janjaro manager wake ni huyu dada so movies inaendelea hapo
@carrenkapia78416 жыл бұрын
Issa Saidi exactly hamna ndoa hapo
@yassinmuhmmed77276 жыл бұрын
Nimependa San majibu yenu
@alexandrinadomaino98686 жыл бұрын
Aiseee Irene umenichekesha
@mathewstanley40636 жыл бұрын
Interview iko poa sana
@pennystang60656 жыл бұрын
Shyness ya nini na huo umri utafikiri dada wa 12 years
@mchemungukifokipo42876 жыл бұрын
Uyo jamaa aliekaa pemben ya uwoya namkubali sanaaaaa. jamaa nahic ndio bingwa wa kuimba tanzania......daaa cjui nani alimshawishi aache kuimba akiamunguuuuu......brother rudi aiseeee
@user-sc1hl6zz9f4 ай бұрын
Love you🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤️❤️❤️🌹
@alibinali_6 жыл бұрын
Nawapenda sawa
@audrineniyubahwe47816 жыл бұрын
nice Irene sema tu uyo jama kwa ilo jicho ni balaa
@mimahsaid23266 жыл бұрын
nmpenda iren anajielewaa sanaaa2
@tonynuru4356 жыл бұрын
Hiv katoto vnabemendwa na haya makurubembe lkn havkomi ... mamaee
@melkiadlymgen84866 жыл бұрын
nc
@jaclkinejamesmkello53586 жыл бұрын
tony nuru hahahaaa
@ashuraomar49356 жыл бұрын
IRENE TULIA SANA MAANA KUOLEWA NI BAHATI HASA HUKO KWENU BONGO WOOOOTE WANAWAKE MWENZAKE WANAKUONEA WIVU SANAAA... KUHUSU UNRI NO SUNNAH YETU YA MTUME TENA ABDUL NI MTOTO ANAONYESHA KWENYE MAPENZI SANA KWAKO.. NAKUOMBEENI DUA MZIDI KUPENDA INSHA ALLAH
@ashuraomar49356 жыл бұрын
I MEANT UMRI NI SUNNA YETU YA MTUME NAWAOMBEA DUA MZIDI I KUPENDANA OMAHA ALLAH..AGE JUST A NUMBER
@nassoroshaweji47196 жыл бұрын
nimejikuta naipenda sana hii couple
@modestsanga14956 жыл бұрын
Duuuu uyo Jose maraa ayo mochii kama nomaaa
@asmahndagae94206 жыл бұрын
nakupenda sana Irene
@issataslima62806 жыл бұрын
ninukuuu ktk hili usimchezee mungu sasa jamni harusigaani hainabaraka yamungu nahapo kunakitu kimejificha baadae mtainanini kitahappen
@smillingandfunnytv80086 жыл бұрын
Issa Taslima mbn nyie islamic mnapenda sana watu waje kwa dini yenu?? ndoa kwan nan kasema lazma mbadili dini?? kila mtu anaweza baki dini yake ili mradi kila mtu anafata yale Yaliyopo ktk vitabu vya dini
@sharijohn62076 жыл бұрын
Issa Taslima mmmmmmmmh
@areejareej12336 жыл бұрын
Mungu awakalie maisha mema
@KidotiTwiga6 жыл бұрын
Dahuu usimsemee musa bana kama hajaelewa asisemeee 😂😂😂
@shaniarthur42666 жыл бұрын
Jose punguza kumkata jicho Irene jamani 😳😂😂😂😂
@bantuempress17446 жыл бұрын
Jamani hilo jicho vipi😉😉😉
@Pathro_Cavosia6 жыл бұрын
Alafu camerman Yani unakwenda Paka kwenye mapaja Aisee 😂😂😂😂
@goodluckymartin3346 жыл бұрын
Janjarooooooooo ni noumahhhh cnaaaaa🔥🔥🔥🔝🔝🔝🔝👏👏👏
@lindasophia12886 жыл бұрын
Sasa uyo kaka kwa jicho ilo kwa IRENE vipee??😂😂🙄
@sultanpakia93756 жыл бұрын
Linda Sophia hehhehehe
@nasmafaisaly1906 жыл бұрын
jese macho hayo vip
@mohammedabdallah37866 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@selemanimsukuma54366 жыл бұрын
Anamuangalia kama anamdharau flani
@najimamussa61276 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@paschallito6566 жыл бұрын
Respect
@sky-wz5zi6 жыл бұрын
yaan musa hussen mbea jmn😂😂😂😂nimechekaa eti "hisia hisia onesha hisia"😂😂
@kesiamenyaulilaizer3926 жыл бұрын
Bora uko na mumeo halafu mmependeza.safi sana kipi bora umalaya au kuolewa na dogo.Mahaba niue
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
siku aliyoojiwa janjaro kuhusu ndoa nakumbuka jose alisema anaswali kwa irene mbona leo ajamuuliza kaishia kumkata jicho mpaka basi kulikoni naomba mumuulize jose kuhusu swali lake kwa irene kalifunika kwenye kapu kama anaweza anijibu
@moshimongelwa77956 жыл бұрын
fatma fatma 😂😂😊 itakuwa kasha shoboka kwa mke wa mtu
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
+Abedi Jonas kweli nimeliona ilo mke wa mtu sumu au nyumbani kwa jose kunamaziwa?
@tunubashiri41186 жыл бұрын
nakamkata kweli
@fatmamajuu52556 жыл бұрын
+Tunu Bashiri 😂😂umeona ee!
@bonasofficial91166 жыл бұрын
fatma fatma HARMORAPA AIPONDA ALBUM YA DIAMOND click hapa kzbin.info/www/bejne/rJTYqHxnm5JqoM0
@fatmaamran97396 жыл бұрын
Nawapenda sana
@hashimujuma30476 жыл бұрын
namkubali janja because he is very Crever ukubwa sio umri ukiwa na akitu good
@sophiakihongo92216 жыл бұрын
Irene lazima ukubali kazi ya mumeo. hyo cyo sawa
@rechok.k.m.51176 жыл бұрын
Honger mamy
@michaeltuingilegewaubaridi85706 жыл бұрын
Nimtependa story
@hassanmbarouk7486 жыл бұрын
Upo vzr Irene
@muhammadnufailmuhammadnufa42616 жыл бұрын
Irene unayo aibu hataree kitandani unaonekana nimtu sana kwa ma love love
@shanizuberi53556 жыл бұрын
uyo msharati Irene Uwoya alimuua ndikumana ili awe free ipo siku yatakutoka puwani
@MeryNjau18 күн бұрын
Vp bado unasubir yamtokee puani!! Mungu n mwema now yupo viwango vingine we endelea kuhukum😅
@brendaluvanda32896 жыл бұрын
Hii si kweli yaani mama mzazi kabisa mwanao anaolewa usirudi hata kama uko kwenye sayari ya Pluto iliyopotea hapo umetudanganya hiyo harusi haina baraka kabisa ya wazazi sema ukweli
@brightnessmmuni80816 жыл бұрын
nakupenda uwoya
@zeroheroke70426 жыл бұрын
Mi nampenda janjaro tu sana coz si mnafiki
@badhiryakuti79396 жыл бұрын
kwel
@mahmadougronkjaer83166 жыл бұрын
DOGO janja kila siku anahubiri hataki kuzin ndo maana ameamua kuoa, leo irene amethibitisha kuwa hajabadili dini so they always still in kuzini hakuna alichokwepa
@manyiguonlinetv54466 жыл бұрын
Nimeipenda, hiyo dogo janga anakupa kitu ambacho kwa wengine hujawahi kukipata
@faridahangedo55546 жыл бұрын
Nawaombeeni ndoa y enye Baraka telee
@hamedalsaadi73506 жыл бұрын
asante Dada
@zenaakimaro90636 жыл бұрын
nampenda sana mke wa janjaro jamani
@mtafutajihachoki59376 жыл бұрын
janjarooo uko powa nakukubali sana
@ummali79426 жыл бұрын
Inna lilahi waina ilehi raji3n Ati Anasema Yy ana dini mbili nyote gora mojaa
@jemima866 жыл бұрын
Mukiolewa na vijana wadogo kiumri na mumezaa watoto wakike jamani mutalaumu nani waliokuwa na mababu aka masponsa? Watanzania mumezidi na boychald abuse
@AliHassan-xr3yb6 жыл бұрын
Ah hamna kitu Apo ni ndoa gani dini tofauti dogo janja umepotea mtu wangu badilika dunia tunapita tu hii elewa iko siku utakufa jielewe
@fredymwakasege92426 жыл бұрын
Jose mara jicho linamaswali kbao janjaroo na irine wp na wp yy anatumika vbayo mbona
@asiazuberi26246 жыл бұрын
Mbna iren anashindwa kujieleza
@jiongezetv68966 жыл бұрын
yeah ndoa ya ukweli saaana
@ashaali71546 жыл бұрын
Kwa hiyo kijana hana maamuzi yoyote, bibie ndiye anaendesha maisha yake sasa.