Lazima nije Irene kwenye club yako niku join de way I lv u! I must ...... 😍😍kweli #achaunafikihauendimbinguni. Unajielewa sana nice interview 😘
@mbarakbausi49076 жыл бұрын
Omi u have good questions with evidence keep it up
@shakirakhans27646 жыл бұрын
Nampendaga huyu liliommy yani interviews zake ziko wow💖 love you liommy
@saidikikoko6 жыл бұрын
km ulipita hapa kujua hatma ya mdogo wetu dogo janja tafadhari naomba tujuane hit like point
@rechorecho94305 жыл бұрын
Mh ilo dude bhana
@sarafiniantoni39496 жыл бұрын
very nice brother lilo mmy na kuku bali saana kk pinga kazi
@salamautenga74343 жыл бұрын
Tupo pamoja
@felixbenos63656 жыл бұрын
janjaro usiwaze totoz wakali sana wapo zaid ya huyo uwoya so usiwaze sana kwanza u still young so uwoya asikuzubaishe kivile..maana jinsi anavyo jibu inaonekana usoni mwake kuna kitu anakificha na nidhahili kuwa yuko na ww kishingo upande.
@adamkatet2746 жыл бұрын
felix benos bora janjaro atafute kina Amber ruti huyo irine ni ajuza kabisa bibi kizeeeee nawependa bibi kizeeeee bakupenda kikongweeee wasaniii wabongo wengi Vilazaaa tuuuu
@shakirandelwa81056 жыл бұрын
Mmmm napita tu
@anordburoto24456 жыл бұрын
felix benos
@johnjoseph37736 жыл бұрын
Lilommy I like the show bro! Big up sana
@christabella57366 жыл бұрын
Na musemo wake unahosha kama wamesha acana na dogo janja kizazi sannn lil ommy nakukubari sann kutoka maheneho ya burundi!!!!!!
@fumotudo80176 жыл бұрын
محمد العنزي v
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
Dah kama unaamin hapa dogo janja kashaachwa acha uoga gonga like hapa
@aminaali7926 жыл бұрын
wilonja hatua 😂🤣🤣🤣
@shekhekhandereizer5596 жыл бұрын
wilonja hatua Hahahahahah
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
@@shekhekhandereizer559 sure
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
@Baraka Mgaya hajielewi huyu dogo d
@rizikihassan88496 жыл бұрын
atafute mtu mwingine
@hermanjmmanda28246 жыл бұрын
This is the interview bwana, maswali mazuri ya kimkakati, kiswahili fasaha, (sio cha onrine) hongera sana bro..!!
@tonymnyamatv84836 жыл бұрын
Irine Uwoya hata akosee vipi mi Nampenda Namkubali Namheshimu Naamini sana kipaji chake Namelewa kinoma noma yanni bongo Top I love u UWOYA Hunaga malingo yaajabu pia we nimzuri Asikwambie MTU kitu Pamoja mpaka Mwisho.🙌🙌🙌😘
@herikaniugu6 жыл бұрын
True, sijui kwanini nashindwa kumchukia, namwelewa sana
@bizmanaeli19416 жыл бұрын
Irene umeniumiza sana kwamajibu yako ya yes or no yaani mke ambae unajua thamani ya ndoa unashindwa kujibu hivo harafu unadanganya watu eti bado uko kwenye ndoa mimi ni kama janja kwamajibu yako sidhani kuwa kuna mtu mwingine atakae ijuwa ndoa yako zaidi yako mwenyewe ila kumbuka bado yupo na yeye anaonekana kuwa anakupenda japokuwa umesema kuwa anamichepuko chepuko
@karshamapesa79386 жыл бұрын
uwoya mzuri mashallah.. the act that she is often serious or tough should not be a reason or people to hate her with no good reason.
@jumamakota36856 жыл бұрын
Tambweeee unajua kumbana mtu kwenye kilengeo duuhh best presenter in tz big up
@salamautenga74343 жыл бұрын
Upo vizur sana
@glorymoses64856 жыл бұрын
Officiallryn jamani! Tunaomba mumlete kwenye the playlist
@leeprincessmerah80356 жыл бұрын
ukimtoa jonijoo wew lilommy ndo presenter mtamu kwa interview zako
@mbarakadihilemubarakadihil57916 жыл бұрын
Lee Princess Merah
@sophiakimaro65086 жыл бұрын
Umedamshi
@wauwetz82636 жыл бұрын
Hata huyo jonjooo hafiki kwa the mvp lilomy
@wauwetz82636 жыл бұрын
Wa kwanza ni milardayo
@wemachristian1196 жыл бұрын
LilOmmy ur the BEST yaani jamani tuwe wa kweli Tambwee hakuna kama ww .............kizazi sanaaa
@davieyulemkenya4496 жыл бұрын
Vry good
@OdilleMukundente5 ай бұрын
Nakupenda sana
@chrismanzukicz85006 жыл бұрын
We vip bro hata mambo ya zamani zakale unazuwa damn bro
@Bitlontravels5556 жыл бұрын
Hehehe Irene Uwoya is funny..
@omyazy23736 жыл бұрын
Kama wameachana hio ni nafuu kwa janjaro. Huo mzigo aliojitwika ulikuwa mzito
@mdouharuna68496 жыл бұрын
Na kajitua kwel axee bora kbx man alikuwa anamtexa tuu
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
mmmh shida kweli mjini haya bhana move iendelee pt 90
@princessfairy41466 жыл бұрын
Mmmmh it's 2true bwana
@annanice20686 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nurdinimndeme29126 жыл бұрын
huenda lbda Dogo janja ndo alianzisha matatizo kma huko kuchepuka NANI anajua ' HAYA NI YAO wawili si hatujui #Subirini kama wameachana Mtakuja kujua kipi ni kipi BUT now no bodys know SO Tuwe kimya tu
@khamismombo50726 жыл бұрын
Nakukubar sana lil ommy kizaz sana
@mustaphambwana13826 жыл бұрын
Nampenda sana anapenda kuongea lugha ya kwake
@doreenjohn6116 жыл бұрын
Hicho kipande cha yes or no kizur sana sema napendekeza kiwe cha lazima kujibu hakuna vya kusema next... next... By the way tumeelewa somo
@MARY-bt1zm6 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥yajayo yanafurahisha.... Ndoa ya hawa wawili hakuna anayeiweza.... Kiki kila kuchao....
@bernardchibwana25646 жыл бұрын
Ommy nakuelewa sana
@LifestylewithLyne6 жыл бұрын
Ningekuwa mimi ndo namfanyia interview irene ningeaacha si kwa majibu hayo 😢😢😢....nawaopenda video za make up karibuni kwenye channel yangu
@saumfakh47895 жыл бұрын
Irene na mumeo nawapenda mnooooo! Mpo vzr majib yenu
@OdilleMukundente5 ай бұрын
Love youuu🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@boscopatrick98266 жыл бұрын
Dogo janja hana mke apo kama unaulizwa ndoa unakataa
@johnmwangi24356 жыл бұрын
Nice interview
@isaacsimon35806 жыл бұрын
Kushindwa kujibu swali linalo anza na ni ``kweli" automatic the answer is YES wameachana. So wameachana jamani, msitake kuchimba zaidi
@chrismanzukicz85006 жыл бұрын
Nakubali kazi zako basi wewe mtangaza habari
@zebiz32136 жыл бұрын
Cool
@bakarininga5196 жыл бұрын
Lil ommy wanaokujaga hapo huwa unawanyoosha ila dah Dogo Chalii mwenzagu wa chuga hapo umebugi ase hana utofaut sanaa na wale wa shivaz wa chuga watanielewa
@omarymbalala62246 жыл бұрын
Eti ulishawah kuchepuka next Umeachana na dogo janja Next Tayari hapo kwasisi tulowahi kuachwa na kuacha tunaelewa
@ramillywood9096 жыл бұрын
Eti lile bata lile asante lil
@rogermwanawahunda40416 жыл бұрын
Hakuna mke hapo hilo ni jini na kwa majibu yake inaonesha washaachana na dogo janja.
Waaah ashaamuacha that's why is difficult for her to answer
@angelmirindi22346 жыл бұрын
Pole sana dada duniani kuna mambo mengi pole👏👏
@kambiyusufu52176 жыл бұрын
Ola uwoya nakupenda sana
@baabchoplaattanzaaniy43156 жыл бұрын
Irene nakupenda sana
@princessfairy41466 жыл бұрын
Damn!!!
@leeprincessmerah80356 жыл бұрын
mtu muongo muangalie usoni akiongea huy dada anaonekan ni muongo kbs
@Majambo_Duniani_Tv6 жыл бұрын
Lee Princess Merah jonijoo ni mkali ila hagusi moto wa ommy
@paulsylvester78776 жыл бұрын
vian marcel kabsa aisee ommy moto mwngn
@shanimbaruku20716 жыл бұрын
Kwa kweli huyu lrene muongo sana
@mymunamymuna48076 жыл бұрын
Ww irine acha kumsubua mumeyo, ndikumana alipo kua hai ulifanya kila mbinu dogo njanja akuowe ili upate kumtia machungu ndiku, leo hii ashakufa ndiku ushaanza kumgeukia dogo janja, tulia na mumeo mtu akikosea humuita mwenzio mukayaongea
@rosemaryngowo23274 жыл бұрын
Muongo sana
@Smartboy-wt1es6 жыл бұрын
Janjaro asingweza kuishi kindoa na hilo danga, hilo ni danga kweli kweli, tena anatakiwa ashukuru sana kuutua mzigo huo
@NgelaTZ6 жыл бұрын
Namkubali sana ammygal
@msafirisalum84366 жыл бұрын
Kuna watu wanadanga humu ila wanamponda mdangaji mwenzao
@ichukagaum97326 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@jullymshashu8566 жыл бұрын
crish ana maono
@meshackchibaladya70946 жыл бұрын
Hiv next ndio YES?
@dianasaria70656 жыл бұрын
Akiulizwa swali kuhusu dogo janja mood inamshuka
@jacklinekimaro3026 жыл бұрын
yaan kabisa hahaha anapoteza mood mpaka macho yanaonyesha
@faridahangedo55546 жыл бұрын
Hakuna ndoa hapo irene sema ukweli tunakupenda.
@D-Man.B-Free6 жыл бұрын
Sijui hata tendo la ndoa ulishapewa doh,kali saana,dogo pole saana
@njiwajr42386 жыл бұрын
Dogo janja umesha achwa kama unaamn hvy gonga like
@ashurakabasha53346 жыл бұрын
Duh dogo janja amuombe Mungu saana kwakwel
@hamed_nassoro6 жыл бұрын
Daaamm !!
@kibongobongo46086 жыл бұрын
Dogo Janja kiukweli alikosea kuoa jameni kwasababu Irene Uoya ni ngoma nzito na Chalii wangu umekwenda kutafuta matatizo makubwa. Atakuzeesha jameni
@reemiiomar93866 жыл бұрын
Hy n laana yandikuma ndio inayomsumbua hataiashi kwa amani katika ndoa wala mahusiano ndogo janja hana mke hapa ikiwa mwanamke alikimbia ndoay halali iliyobarkikiwa n wazazi sijuwi hy yenu Kama n ndoa au ni movie
@immaruzige18456 жыл бұрын
Huyo atakuwa kaishamtema janjaro😂😂
@happyarooun60376 жыл бұрын
Irene kuna siku ulinijibu nilifurahi Sana😘😘
@lulumahenge9096 жыл бұрын
Pole Dogo janja
@aminaally936 жыл бұрын
Majibu mazury love u uwoya
@oliverfrancis91116 жыл бұрын
Kwenye next ni Yes asitufanye mazwange hapa
@essausengo79326 жыл бұрын
Hivi hiyo Miwani unaona imekupendeza? Lil Ommy.
@mariamichael61345 жыл бұрын
Essau MTU hatari sanaaa wewe hahahahaaa
@peteradonga76686 жыл бұрын
Can someone please make me understand the meaning of 'KUCHEPUKA'...from +254 sielewi maana
@alimuharuna52996 жыл бұрын
cheating
@hubertpaschal19546 жыл бұрын
Lily Ommy
@asiahmariam39426 жыл бұрын
Alivyo kaa ss utasema jini Kash Kash ukiona kazi kuwatesa wanaume tu we kichefu chefu umeshindwa kutulia kwenye ndoa na kama Unasema bado upo kwenye ndoa ni kweli kheri
@zulfamaulidyesnikwelikabis65556 жыл бұрын
Ukweli nikwamba ukiiyendekeza sana dinia naukilinganisha na hadhi uliyonayo mda mwingine unajikuta unasahau wadhifa wako juu yamume wako nahicho ndicho alicho nacho irene uwoya
@ramadhaniathumanimlenge66416 жыл бұрын
Mficha ugojwa ukifa watu watajua tu Irene uwoya na dogo janja wanajifanyaga wanasili sana ila wazee wakazi tumshajua finish love hapo
@akilalitv57916 жыл бұрын
pa1 liliom
@omanioman89526 жыл бұрын
Jaman samahan MM sijaelea apo kwenye yes au no ndio kajibu nn maana wambie lugha inatuchanganya ya wameachanaaa au ??
@ngoykatonga72776 жыл бұрын
Napenda ma jibu zako Irene
@jacklinekimaro3026 жыл бұрын
lilommy upo vizur mno katika mahojiano
@ashanuru42346 жыл бұрын
daaaa!!
@chrispinandanu32966 жыл бұрын
dogo janja angekuwa bro angu namkanaaaaaa
@judithfred61564 жыл бұрын
Hi
@MARY-bt1zm6 жыл бұрын
hapo kwa Yes or No...majibu dah..... Wambea mtajikuna vichwa saanaa kuendelea kuchimba majibu.
@sayrachuna67056 жыл бұрын
Nampenda uwoya
@sponsor78826 жыл бұрын
LILOMMY BEST IN TZ,GONA LIKE IF U AGREE
@kimkimmie34356 жыл бұрын
It’s true sometimes ,being single is good
@sarahsamwel30196 жыл бұрын
Unajibu kiufasaha sana gud🔥🔥🔥
@therealizacky966 жыл бұрын
sas wameachana aw vp mbn hatumuelew uyo Dada
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
mmmh shida kweli next
@NonoNono-qp3zu6 жыл бұрын
Pole utaendelea tu kuliwa na wanaume ovyo kwasababu hutaki kutulia.
@goodluckminja91016 жыл бұрын
Jamani Dogo janja
@moarusha85516 жыл бұрын
yes or no
@celinelawrence52666 жыл бұрын
suger mamy of Dogo janja how are you
@mariammgeni88306 жыл бұрын
Mara ya Kwanza alisema hapendi kuona ndogo janja kaoa mpe wa pili..Leo anatuambia mwache aoe.duuu???twala twaliwaaa
@aishaismail77176 жыл бұрын
Hakuna ndoa hapa; arafu huyu dada msimuoji tena anazigua sana
@aishaismail77176 жыл бұрын
Dogo na yeye akome zake, kuingilia mambo ya kishangingi haya🤷🏽♂️
@omarimichael12136 жыл бұрын
Huyo Malaya
@venanyconkibona68836 жыл бұрын
Au siyo aisha
@DM-bq7ys6 жыл бұрын
Aisha Ismail true
@andrewzimba68446 жыл бұрын
Aisha Ismail mchawi huyo
@jedidahquidic48356 жыл бұрын
Hiyo weave on dope 😍😘😘😘😘😘
@hellentyrah77896 жыл бұрын
Kwa hvo movie za hyu dada ni za kiukweli kwa sababu hajaai kua na furaha kwenye ndoa ya movie
@ramadhaniselemanichalachal66226 жыл бұрын
Aah kivuruge Uwoya
@enockmgizi10886 жыл бұрын
Jaman hapo hamna mke bora maana kipindi cha nyumba alikuwa akihojiwa na waandishi wa habari kuhusu mapenzi yake na dogo janja alikuwa akijibu tena kwa furaha na kutoa majibu sahihi lakini sa hivi mbona anazingua
@shabanikombo63516 жыл бұрын
Kizazi sana
@mancankwee57406 жыл бұрын
Sasa kinakiwia nin ugumu kwenye kusema Yes or No Nyie watu mkishazorota ndo mnatafutaga pa kutafutia busti mbustiwe muwake tena Na ulaaniwee kujivisha pete ya mdogo ako wa mwisho kumbe ulitaka kiki tuu Nyie ndo mnafanya wanawake mpaka wanashindwa kuamini kuwa Eva wa Adam hakupewa tunda tuu kuna na vingne alivoambiwa na shetan😁😁😁😁
@merrykulwa84305 жыл бұрын
Nimeipenda sana hiyo sms
@tahrinkessy71196 жыл бұрын
Tabweeeee 😍
@swalehbondyhussein30515 жыл бұрын
Janjarooooo.....mlilie uwoya🏃🏃🏃🏃
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Mtoto Sana huyu💯🔥
@fatumahengo68496 жыл бұрын
Hawa kweli wameachana maana akitajwa dogo janja anaminyua midomo
@davidmsavange13226 жыл бұрын
Janjaro hilo jini Mdogo wangu achana nalo
@alodiadamian78315 жыл бұрын
Vanessa mdee
@andrewmallya64556 жыл бұрын
kuowa wanawake masupastar au wasaniii ni kujisumbua tu...hawaeleweki....mtu unapenda ela kuzid utu
@halimaomari75896 жыл бұрын
Dogo janja tafuta mwanamke uoe kwa kweli ikiwa mke uliye muoa anashindwa kuhakikisha in public kama ndoa yenu ipo!!!! Hapa hauna mke ....move on with ur life Irine dosent deserve you