Nimejitahidi kuwa makini nikijua nitakuwa wa kwanza 🤦 lakini wa 21watu hamlali kabisa.Hongera mwamba 🤞
@lilianalmas59112 жыл бұрын
You are the best Bro respect Sana 🙌🏼🙌🏼
@frankmahatara55792 жыл бұрын
Nishai ni m1 tyu
@veronicapascal14852 жыл бұрын
Mwamba unajua unajua tena🙌🙌
@successconcious7032 жыл бұрын
Much love from SA 🇿🇦 😂😂🙌
@barakamateru76152 жыл бұрын
We uko bongoo bhanaa🤣🤣
@starlonejadamskp82242 жыл бұрын
Never disappoint jotiii 🤣😂🤣😂🤸🤸
@masasijunior11232 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asubuhi hii imeanza vizuri
@peteramani70522 жыл бұрын
Wale wa kwanza kutoka 🇰🇪 ndio sisi
@jasmineedamu60892 жыл бұрын
Leo nmewah alihamdulilah, jumaa mbaraka all 💞
@hotmaxtv2 жыл бұрын
Tunaomkubali joti tujuane kwa like 👍
@naturelle10972 жыл бұрын
One my fav
@nadyasalim79562 жыл бұрын
pamoja
@onesmompangaya62042 жыл бұрын
Pa1 Sana hakikaa!! 💪🙌👊
@thomasmturi81162 жыл бұрын
Mtoto Nina malengo nae😃😃😃
@RamaKuliye-yh4uq Жыл бұрын
Joti number one I'm from South Africa
@josephraphael4252 жыл бұрын
Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬
@beatuskazimily4572 жыл бұрын
kauxha damu
@theblackandrew41192 жыл бұрын
Hahaha kuna week 2-3 hakupost,kwasisi wa jino kwa jino
@danielanthony42252 жыл бұрын
mungu ❌❌❌ Mungu au MUNGU ✅✅✅✅
@Samyoungmusic2 жыл бұрын
Walai Nishai.....Wapi lykes za joti jameni....kenyaa tunawapendaaaaa sanaaaaa
@uzungupoint2 жыл бұрын
Wanaopenda kicheko cha joti tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌
@najimungaunga46642 жыл бұрын
Daah nikweli jot anajua lakini sasaivi kidogo imepoa yani angekuwepo na sopa ingekua unyama mwingi apo
@uzungupoint2 жыл бұрын
@@najimungaunga4664 Kabisa ndugu, now simuoni sijui kaenda wapi🤔
@FelixJia12 жыл бұрын
Daaah huyu mtu ana kipaji sanaaa... 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣
@angekazege6642 жыл бұрын
Joti You Are so funny From Rwanda.🤙🤙🤙
@spurnboy81972 жыл бұрын
Mwamba na joti huwaga fireee sana 🔥 🔥
@annastaziabega44742 жыл бұрын
Jamani huyo mwamba qnajua kuigiza saana, anaitendea haki nafasi yke
@sulaymanwaziri44552 жыл бұрын
Na kidole ushakitia mate kabisaa 😂😂😂😂😂😂
@akachamilionare84342 жыл бұрын
Joti ur game Will be forever on top of Republic of Tanzania Mr Bean🤣🤣
@detectiveg87182 жыл бұрын
Bodaboda tumekukosea nini mama 😂😂
@arnhemzuid88852 жыл бұрын
😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.
Joti kudadadeki 😂😂, wengekua unaongea lugha nyengine you would be top 10 comedian 🌍
@Being_Hussein2 жыл бұрын
Wale wote wakucomment wa kwanza nipeni like viazi nyinyi..mwaudhi kweli musio rate kazi nyie ujinga tuuu
@mrjaula77692 жыл бұрын
Futa comments yako ama irekebishe nakuomba Sana Kwa hisani Yako.. Sio vizuri hapa duniani na kesho Kifo. Utakuwa umeweka matusi yatakukosti Ktk safari yako ya Mungu wako
@Being_Hussein2 жыл бұрын
@@mrjaula7769 acha shobo mtoto wa kiume hya na ww kafute zako unazo tukana msenge
@mwaminashosi57812 жыл бұрын
Naskia kuchekaaaaaa hahahaaa 😁😂😂😂
@bahatimsacky78032 жыл бұрын
Jamani mie Leo wa pili naombeni like zenu😢❤
@nasraally47402 жыл бұрын
Nimecheka sana😂😂😂 joti unajua, unajua tena
@majaliwaeliasi93872 жыл бұрын
jamani mm kwa mara ya kwanza nimewahi hata like 10 jamani🙏🙏🙏
@jeconiamlonganile24432 жыл бұрын
No,,Mara waaah on fire 🤣🤣🤣🤣 Kaushal damu top in town 🙌🙌
@alicenice17112 жыл бұрын
Nani kaskia eti Mayelee😂😂😂
@ashminaabdulla89462 жыл бұрын
Hivi mnalala kweli ❤️❤️❤️❤️👌💯
@owenmutale86862 жыл бұрын
😂😂yn we acha watu hawalal
@abdourfahaty33012 жыл бұрын
😂😂😂 joti unajua
@tarikmvinza2385 Жыл бұрын
Respect Mwamba💪
@praxedadominic27942 жыл бұрын
Mbavu zangu mimi 🤣🤣🤣joti ni 🔥🥰🥰❤
@hassanidd23532 жыл бұрын
Nakubali sana nyote mlioshiriki
@minakshiali28872 жыл бұрын
1 million coming soon joti🥳🥳🥳
@coldfayahmistari2542 жыл бұрын
Shabiki mkubwa Sana wa Joti from eldoret Kenya.
@bantkmaca57562 жыл бұрын
Joti nakukubali sana bro ,, from kenya
@godfreyjulius51322 жыл бұрын
Tulia nikuonyeshe vitu alivyonipa mama🤣🤣🤣🤣🤣
@crissmaster29682 жыл бұрын
Huyu joti noma sanaaaaaaa anajua
@liliansauwa32692 жыл бұрын
Joti mjinga sanaa, hayo mabusu Sasa😅😅😅😅😅😅😅
@fatemafatema85812 жыл бұрын
Sheria haipingwi joti leo umejua kunifurahish leo nimechk umekuwa mchel mchel🤣🤣
@hajimairu27542 жыл бұрын
🤣🤣🤣ni mfupi huyu mtu jmn🔥🤣🤣
@hidoxtz35592 жыл бұрын
Ngoja ncheke kwanza kabla sijaangalia🤣🤣🤣
@graderhassanmk93642 жыл бұрын
kwaiyo mwamba umekuwa mchelemchele 😂😂😂
@priscilladama86862 жыл бұрын
A Kenyan bt watching from saudia
@costamasuba1099 Жыл бұрын
Huyu jamaa kuwa na jot safi sana jot fikiria kuwa nae
@kwisa48992 жыл бұрын
Huyu mama kwangu ndie mwigizaji pendwa all the time
@malakimoses61152 жыл бұрын
Joti noma hii umetisha kaka
@emmanuelingimba73812 жыл бұрын
oya uyu jamaa ni legend wa atr salut xn brother
@ahmadsaid48782 жыл бұрын
😆😆😆😆DAH JOTI NDO UVALISHAJI GAN HUO WA PETE ....ET mbna vidole vinene tulia nkupake mate
@mascage11442 жыл бұрын
Nyie mnao Lilia like.. Huwa hizi like mnalipwa au?
@ngosha42072 жыл бұрын
Moja
@Abdul_Rashidkibet2 жыл бұрын
Imeweza Sana...
@chrismuganwa86342 жыл бұрын
Joti you always make my day!! Love from Burundi 🇧🇮
@cosmaskabila30582 жыл бұрын
😀😀😀😀😀 namba 3
@diamondplatinum37082 жыл бұрын
Joti mtu kazi💪💪🤒
@dennycdenny64642 жыл бұрын
😂😅😂😅😂😅😂😅 King 🙌🙌🙌
@gentiljabpretty2 жыл бұрын
Number one naku ku bali kutoka Goma Congo Drc
@nemesisumbe68402 жыл бұрын
Ila mwamba ana mavidole makubwa,, oete inagoma😃😃😃
@sophiajamali102 жыл бұрын
Alvo sema kausha damu nmemkumbuka mamaangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🥰