Nasari umejimaliza kisiasa utachekwa na hata walevi wa mbege saaa.
@kelvinmchau88154 жыл бұрын
NASSARI hauna maajabu
@jacksonlodupo71744 жыл бұрын
Ccm oyeeee
@nakalikyumile43704 жыл бұрын
Kweli nchi imeingiliwa unafiki nafiki kibao
@herimfumbulwa50004 жыл бұрын
Km wanahama km nyumbu kuna haja gani tukampa magufuli atawale milele amina mpk kufa kwake
@jessydaktari52094 жыл бұрын
Uwasalimie huko uendako,,
@nasaelmanya14324 жыл бұрын
Nenda Nasari chama changu hawakuona umuhimu wako muda wote.
@nipolive..27454 жыл бұрын
Ama kweli mwana siasa sio wakuamin hata kidogo
@rassimbaengswahili61914 жыл бұрын
Wooow! I like it
@nakalikyumile43704 жыл бұрын
Muacheni nyerere apumzike wapuuzi wakubwa nyinyi
@tambulaashbah7254 жыл бұрын
Uyu mpuuzi katudanganya wana Arumeru mashariki nyambafu atumchagui Kama anataka ubunge Magufuli tutamchaguwa lakini uyu apana anajuwa kujiongelesha muoneni tu hivi njaa mbaya msinge mkubali
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
Unafiki katika siasa ndio kwao, Mwanasiasa Hana aibu wala hatunzi kumbukumbu kichwani.Mtendee jema mwanasiasa usisubiri shukrani, maana urafiki kwake ni wa kama kutafuna muwa...!utasikia "siasa haina rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu". Akiongea utafikiri yanatoka moyoni aah, kumbe ni ya kinywani! Kumbe sinema yote ya kukacha vikao vya Bunge Hadi kufukuzwa Bunge ilikuwa ni syndicate iliyoandaliwa... Hongera Sana Mh. Nasali kwa ufunuo Ila kumbuka maafa yaliyowapata wana Arumeru kwa mikono wako au ndo "....ya zamani hayanuki?"
@yusuphhussein43364 жыл бұрын
Asante nilikuwa simjui ni nani huyu sio kwa jina lkn?ila umenielewesha uliposema alifukuzwa bungeni
@getuswai24054 жыл бұрын
Siasa mchezo mchafu huyu nilimuelewa tangu kipindi kile aliuza jimbo kistyle yake
Hahahahahahahahhahahahaha tuna heri tusio kuwa kwenye siasa Bali tuko watazamaji
@emanueljinai76134 жыл бұрын
Jaa.kweupee
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Unajua Rais Magufuli anayoyafanya ni mazuri hivyo hawaoni sababu ya kubaki walipo
@ibrahimdavid62194 жыл бұрын
Sio kweli#
@hildambaga6084 жыл бұрын
Aiseeee hata huyu????
@danmaganga25014 жыл бұрын
Nassari au mwingine ??? !!!
@kenedymbise80974 жыл бұрын
Uwo ni uchu wa madaraka na hatukupi kura term hii
@mwantumubakari23044 жыл бұрын
Mimi hata sikuamini lazima kunakitu kimekuleta ccm siobure
@edwardlutema60064 жыл бұрын
Waungwana njooni tujenge nchi yetu Tanzania na Ccm ndio Tanzania huko kwingine ni kama wakimbizi unakimbia nchini kwako unaenda kuishi ughaibuni Njoon wote Ccm tuvuke tuchape kazi na tuijenge Tanzania yetu
@eabdabdallah26614 жыл бұрын
Ila njaa mbaya xana, hata wanaccm hapo pembeni wanasemezana kuwa huyu jamaa hafai. Halaf hata yy mwenyewe Nassary hajui anachokiongea
@mzeesuleiman96124 жыл бұрын
Huyu Nasari alivyokua upande ule chadema alikua anafanyakazi kama Ccm tu nakuwatumikia wananchi Alikua ayupo kwenye chama alikua anaangalia Maitaji ya wananchi
@tambulaashbah7254 жыл бұрын
Yapi alifanya akuna chochote alienda ulaya kukaa na mkewe akatuachia alumeru mashariki Amna kiktu akaja na kujidai anaflashi chaajabu emte Sasa wanaalumeru mashariki wakimchaguwa Kama anataka ubuge watabugi
@helenamwaipopo9674 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
@@tambulaashbah725 usijali wenye mikia tunawajua
@ernestsinje86934 жыл бұрын
mwaka huu tutaona vituko vingi kweli !
@bravosenior4754 жыл бұрын
Nililijua hili
@victoriabayo77044 жыл бұрын
Kitaendelea kudumu ccm ndani vyama vingi na ni chama kubwa
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
Sana tu kwakweli
@Jeehd4 жыл бұрын
tooop
@mkengej.mkenge28214 жыл бұрын
Hivi ulikwepa kununuliwa kipindi kilee umenunuliwa sasa hivi?.
@manish-fp1fb4 жыл бұрын
Wanasiasa wanakera... aiseeee
@mzeesuleiman96124 жыл бұрын
Umefanya vizuri Sana Kurudi nyumbani
@abumusabmusab37714 жыл бұрын
Mwaka huu viongoz maslahi mtawajua sana tu
@dullahdullah54994 жыл бұрын
Siamini macho yangu, lakn siasa za bongo
@kiuwamhina28024 жыл бұрын
Kweli upinzani hakuna tz, wote njoon ccm
@justinendizeye7144 жыл бұрын
Safi sana 👍👍👍👏👏👏
@hildaeliapenda39384 жыл бұрын
Mambo ni Moto chezea JPM wewe uchapazi utendaji kazi rafiki wa watu woote hasa wanyonge siasa pembeni maendeleo mbele Nani asimfuate ccm oyeeeeeeeeee karibuuu nasari hapa kazi tuu
@mosescheketela95054 жыл бұрын
Hii nchi imejaa mazwazwa tu,yanendekeza njaa tupu
@bonifacekcharles23244 жыл бұрын
Kila mtu kuna maisha anayachagua Mungu niepushe na kikombe cha kutegemea binadamu wenzangu
@mzalendomzalendo25674 жыл бұрын
MAGUFULI BABA LAO, CCM OYEEEEEE
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
yaani hapa inaonekana kabisa CHADEMA inaning'inia. sidhani kama kuna connection kati ya viongozi wajuu. huwa najiuliza hiyo kamati kuuu ni nani na nani?? isije ikawa chama kimebaki mikononi mwa watu watatu
@mlondagumbiro78904 жыл бұрын
Ndio maana nasema haina haja ya kupiga kura maana uhuni tu unafanyika wanasiasa hawaeleweki kama Malaya tu
@albinemilly53824 жыл бұрын
Kweli bro wenye wao Wana tabia za kimalaya Malaya. Ni vigeugeu, mandumilakuwili,
@petermtey55084 жыл бұрын
Nilijua tuu. Wenyewe wanajua walipo hamna amani ila wanakomaa tuu. Wenye akili zao wanarudi ccm ila ni kwa maslahi binafsi.
@EmmanuelMahiya4 жыл бұрын
That's good
@cuthbertbruce20984 жыл бұрын
Nassari haelewi hata aongee nini aibu imemvaa zaidi sio nassari yule tunayemfahamu
@pangdeny4 жыл бұрын
uongo bwana unajikuta unazunguka zunguka tuu
@gabrielsawike73274 жыл бұрын
Toka ametolewa ubunge mbowe hajawahi lisemea hili wala kumtetea popote pale sasa afanyaje
@danielchamoto93764 жыл бұрын
Da! Pumbavu sana yani
@anethshio4974 жыл бұрын
WAPINZANI WALIKUWA NI WALE WALIOFUTIWA VYAMA VYAO BAADA YA UHURU MWAKA 1962, HAWA WA SASA NI WASANII WA CCM TU ILI NCHI IPATE MISAADA YA WAFADHILI.
@kobeloashiru22734 жыл бұрын
Nipe uhai nione mengi.....
@fredrickmanswet36134 жыл бұрын
Duh,kweli mwanasiasa siyo mwenzako,we si ndo uliwahi kutoa machozi kuwa ccm haifai kabisa🤔
@khadeejaabdullah70834 жыл бұрын
Hivi ni kwel au masikio na macho yangu jamn
@jeniphermassawe30374 жыл бұрын
Kyiboo kya nndedee
@divamercdivamerc26664 жыл бұрын
Daaaa njaaa mbaya Sana
@hoseamgema91074 жыл бұрын
Wewe baki tu na faru John wako ccm hau fit kabisa..🤨
@frankkimaro13544 жыл бұрын
ccm oyeeeeee
@wilisonjohn82224 жыл бұрын
Sijamuelewa huyu jamaa. Kalazimishwa hakujipanga au? Mbona anazungumzia elimu yake tuu. Ccm hoyeeeeeeeeeeee
@rajabmlau16684 жыл бұрын
Duuuu noma mm ndiyo mana spendi siasa
@mzeesuleiman96124 жыл бұрын
Kwanza mzarendo na kijana vijanawezio wote Wako Ccm wanamsaidia jpm
@athumaniferooz77904 жыл бұрын
Daaah. Siasa hzi
@josephmasebo67614 жыл бұрын
CCM OYEEEEE
@asharamadhani46414 жыл бұрын
Hahaha
@dominickmassawe77204 жыл бұрын
Maendeleo kayaona
@sanyajuutv26794 жыл бұрын
ndugu yangu kapagawa
@cyprianbernard9074 жыл бұрын
Ungewahi mapema xaxa
@alihaan76524 жыл бұрын
serekali yet ikiwa na viongz vijana itakuw chachu ya maendeleo kutokn na kupta mawazo mapy
@medadiissa3244 жыл бұрын
Duuuh
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
Tobah Siamini Nnacho kiona Mzee wa Flash Anasilimu 😂😂😂😃😃😃😀😀😀😁😁😁 CCM Noma Namuonea Huruma Faru John
@mosescheketela95054 жыл бұрын
Jionee huruma wewe ambae hats kula yako ni shida,mpuuzi wewe
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Faru John anazidi kuchanganikiwa. 😁😁😁😁
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
@@mosescheketela9505 Hebu tueshimiane Neno Mpuuuzi limekujaje? Na kulala na njaa inaingia wapi? Hongera wewe Unaishiba Aliye kupa wewe ndio Aliye ninyima mimi 😂😂😂😃😃😃😀😀😀😁😁😁 inaumaee tulia ikuingie Taratiiiiiiiibu
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
@@mosescheketela9505 Jahazi lina zidi kuzama Sisi tunae kula kwa shida furaha tupu maana Mlo mmoja kwa siku tena wa kugombania tia mchuzi pangu pakavu. 😂😂😂😃😃😃😀😀😀😁😁😁 Tulishazoea Balaa kwa waliokua wamezoea kulazimishwa kunywa Maziwa usipokunywa Unatishiwa kusemewa kwa Baba Akirudi ndio wana kazi Sasa hivi pesa za Bure Bure Kwisha Kula cha halali x Cha jasho Lako ndio hao wanaolia Eti vyuma vimekaza 😂😂😂😃😃😃😀😀😀😁😁😁 sisi walala hoi vikikaza tunaweka vilainishi Kitu taratiiiiibu kinaachia 😂😂😂😃😃😃😀😀😀😁😁😁
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁ndugu umejua kunichekesha kweli😁😁,, tena kilainishi chenyewe mlenda aaah mambo moto
@tambulaashbah7254 жыл бұрын
Makubwa
@omarylukindo53064 жыл бұрын
Kwan huyo jamaa bado yupo Au uchaguzi umemfufua
@regiusmaskati94524 жыл бұрын
Duh hatali sana
@nshaijatedy55124 жыл бұрын
S wazee walisema awamtaki kwamba ajafanya chochote na wakamtoa sasa kulikon,?
@abdalahmohamedi18064 жыл бұрын
Hivi nyie makada wa ccm mnakomaa na chama halafu watu wanachukua majimbo kiulaini kazi yenu kuimba nyimbo tu
@maidamwaipopo76454 жыл бұрын
Huyo joshua sindie alie tuzurumu hella zetu
@mosescheketela95054 жыл бұрын
Maccm yanawachekeleaaaaa
@justafredrickmunyoro10974 жыл бұрын
Eeeh?? Tena??? Dah, CCM OYEEEE
@tajirimichael62424 жыл бұрын
Kwa kweli ni kazi
@Hopestone_counselling_point.4 жыл бұрын
Tunamsubiri na kubenea tunajua lazima kitaeleweka
@petroshalua45664 жыл бұрын
Mmmh yetu macho
@halimamasai22344 жыл бұрын
Karibu sana nyumbani CCM mbele kwa mbele.
@goodluckrobart62334 жыл бұрын
Upuuuzi mtupu
@renathustesha40364 жыл бұрын
Na bado
@MaryMary-iw3jh4 жыл бұрын
Hahahahah shikamoo siasa duh! Hata siamini
@francojohn84884 жыл бұрын
mmmh ata mimi siamini
@dativakavishe73934 жыл бұрын
Mmmh kweli siasa.
@abdallahrenatus66774 жыл бұрын
Aseee
@patrickkambale6034 жыл бұрын
Hiyo ndo siasa bwana yaani haina kanuni nikama gwaride
@abilibibuka8574 жыл бұрын
yoo
@kenedymbise80974 жыл бұрын
Nendaaaa tu
@adamumjomba824 жыл бұрын
Nassary hana mpango Ni mpuuzi tu heri alivyo ondoka chadema alikua mzigo .wa mwizi ,angeondoka Lema au sauti ya zege halima mdee au Estar bulaya tungetetemeka sio huo mzigo peleka huko Kwa jpm
@jamesmasome3594 жыл бұрын
Yamkosaji....
@mohammedmnasi32284 жыл бұрын
Watu wanaangalia upopo. Na maendeleo yanavyo kwenda kwa kasi viva jpm mungu akubaliki sab
@salehemsafiri78954 жыл бұрын
Duu
@gloriamichael36984 жыл бұрын
Km vile hadithi ya kwenye Bible ya Mwana mpotevu alivyorudi kwa baba yake
@mwidiniharuna96184 жыл бұрын
Biashara hiyoooo🚮
@neemasamwel79004 жыл бұрын
Safiii
@nakalikyumile43704 жыл бұрын
Njaa hizi!ni ngumu sana nchi kama tanzania ya wanasiasa wa aina hii kutoa mchango kwa nchi yetu bali yamejaa wachumia tumbo tu ona hiki kipuuzi!