Mwanaharakati mambo bado vitu vingi bado mzee jagwa Yohana , buti kubwa chepi mama, atomic zaina, sauti jabari
@shemsakessy95924 жыл бұрын
Maashallah nice voice ya babangu mzazi haidari kessy Allah amtunze
@TamuzaKale4 жыл бұрын
Noma sana!
@dullahmmebela56242 жыл бұрын
Amina!!!
@mzeemudy89055 жыл бұрын
Watoto wa Kariakoo wananikosha sana
@iddykhamis47223 жыл бұрын
Mziki huu unanikumbusha mbari sana timu hiyo ya mkwama shapu hapa kuna alfani wamizoga.misondo mussa guruwe hapa kuna kinyusi.corasi haidary kessy. Hapa kuna Addy boy hatariii tupu nnapanga langu mgongoni maisha story ndefu mwenyezi mungu hawaweke mahara pema peponi ameen
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Hatari kaka. Wakati haurudi nyuma!
@dullahmmebela56242 жыл бұрын
Ameen!!!
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Sio mchezo kaka,ilikuwa hatari sana . pa1.
@mzeemudy89055 жыл бұрын
Hard boy alitulia sana kwenye kinanda
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Huyo sio mtu bali jini!
@NabiiMullah-fk4rs7 ай бұрын
Daaaah leo nimerud zaman sanna hisia zazaman
@Mpakauseme4 жыл бұрын
Asante sana Kaka , aisee Hatari sana 🇹🇼
@selemanimtowa10663 жыл бұрын
Kaka naomba utuwekee ngoma zote za Urahibu buti kubwa kama vile chepi na nyingine nyingi chini ya kinanda cha Issa kihange
@muddysangaraza79633 жыл бұрын
Amanii kwako mkuu
@mzeemudy89055 жыл бұрын
Kaka leo unafanya siku yangu iwe nzuri
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Hahahahahaha
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Kuna ile mrema fagio la chuma night star muddyb simchezo
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Ipo kaka... Icheki humuhumu kwangu nimeiweka!
@alliwazir17675 жыл бұрын
Enzi za Commando yosso
@mussamalugu17935 жыл бұрын
Yani kamkubwa ukituwekea buti kubwa utakuwa ushamaliza mchezo nakubali sana harakati zako
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Pamoja mwamba!
@selemanimtowa10663 жыл бұрын
Buti kubwa chepi isabkihange kwenye kinanda
@semhineshauri34103 жыл бұрын
Enzi zetu mtaa wa kibambawe ndani ya kalikoo du kama juzi kweli miaka inakatuka
@athumaniathumani30822 жыл бұрын
Anahitwa baba shemsa, au Ahidari kesi,
@athumaniathumani30822 жыл бұрын
Kisi kwenye ubora wake Enzi hizo Jiji la Dee salami , Asikali mwamba mama shapu , Alo Atali sana , ya duna, eti Leo, cngeri Ina tamba, uuhaha mziki auchuji,
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Kunaile ya mrema fagio la chuma night star muddyb
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Ipo kaka... Icheki.. NIliweka kitambo tu!
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Safii night star haidari kesi simchezo kipindi hiki
@TamuzaKale5 жыл бұрын
Hivi bado yuko hai? Kama una namba zake naziomba kaka...