Jamaa anaongea Facts tupu anajua Sana ndo maana Marehemu Dr.Magu alimkubali akamuita White House 🏠!!
@jameschilongo49752 жыл бұрын
Namkubari mwamba
@omarikinyory57852 жыл бұрын
Ney me nakuwelewa sana upo very fact ✍️ br ya uwoga point of view
@tabureykobaba69552 жыл бұрын
Big up sana.
@omaryjuma80022 жыл бұрын
Ney ni mtu poa siwezi kuishi kwa sababu ya watu nampenda Sana uyu jamaa ajui kunyenyekea mtu🔥🔥
@doreenkaiza99302 жыл бұрын
Mungu ame kubaliki sauti kaka
@muafricaog52732 жыл бұрын
True boy
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Free nation 💪. Huyu ndio msanii anayeelimisha jamii kuliko wasanii wote tz. Maana mwananchi ambaye ni kama tabaka tawaliwa linaloonewa. Tena bila kujali makundi au viongoz ambao ni tabaka tawala pind wanapotumia madaraka vibaya kwa kumkandamiza tabaka tawaliwa la chini/mwananchi. Wasanii wengine wapuuzi wanasifia2 hadi yasiofaa kwa tabaka tawala kwa ajili ya maslahi tu. Wamesahau kwamba kazi ya msanii ni kuisemea jamii.
@binhabib59492 жыл бұрын
Namkubali saana huyu jamaa ni kweli kabisa Hana matabaka
@antonianyambuka48602 жыл бұрын
Point
@abdyridhiwan87792 жыл бұрын
True bway
@amanimusenyi82172 жыл бұрын
Media zinapromote bifu wanadhani wanakuza mziki.The real Fid q
@luciajohn23952 жыл бұрын
Umeona eee fdq Alisha sema kitambo
@kelembumolel86382 жыл бұрын
Big mind brooo
@emmanuelmajura50542 жыл бұрын
Brother nay tunakuelewa unacho imba sana, ucje kuwa kama Kala jeremia tunamuona muoga na snichi
@richardamina98102 жыл бұрын
Nakubali ney
@allybulushi6242 жыл бұрын
Good nay
@paulombay68842 жыл бұрын
Safi Sana ney utaenda mbingun
@richardburengengwa69982 жыл бұрын
Nayo noma bwana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Ila Ney unamadini 😀😀😀😀
@fetychina32732 жыл бұрын
Ney apangwi ngwi tushasema🤣
@edgermwaitenda75392 жыл бұрын
🤣🤣🤣Huyu Ney ni Noma sana jamanii Gombea Ubunge tunakupa kura
@rehemamaduhu56422 жыл бұрын
Wajumbe ni wajuba
@joymsupagladysijeya83842 жыл бұрын
Kenya 🇰🇪🇰🇪 tuko na kibe Tanzania ni ney this 2 people ndio wanaongea ukweli bila uwonga
@janmaty36242 жыл бұрын
Like nyingi kwangu
@luckyngumbi42432 жыл бұрын
💪💪💪💥🔥🔥🔥
@nayoneplatnumz33112 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💛💛
@ainesndubula83612 жыл бұрын
Inshi ilikuwa katiba mpya. Mmekuja na kk za stv nyelele. Kutupotezea kwa ujinga ujinga
@moyomwekundu5032 жыл бұрын
Ney ni mkweli
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Ney nakukubali sana wewe sio muoga
@kadito-kenya2 жыл бұрын
Baba yaga anaongea ukweli ndio maana wengi wanamchukia na siku zote ukweli unauma lakini unadumu
@williamdungumaro66682 жыл бұрын
Duu
@mchagashop13422 жыл бұрын
We VIDO UKISHAANDIKA KICHWA CHA HABARI INATOSHA UNAONGEA ONGEA NINI
@veriusechrispin99712 жыл бұрын
Ney bhana nae sasa hata ukijitoa ndugu yangu lini ulishapata tuzo kwa nyimbo zako zisizo na utamaduni mzuri kwa jamii jifunze kuimba nuimbo za kuelimisha nasiyo ujinga ili upate tuzo
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
We kw Karne ya saiv nyimbo gan inayoelimisha
@komboomar82752 жыл бұрын
*Wenye akili pumba kama ww ndio huongea utopolo kama huo*
@baltazarlucas50002 жыл бұрын
Hapo ndiko akili zako ziliko ishia
@crystalrhymesofficial33792 жыл бұрын
Ulitak tu watu wareply kwnye comment yko màan unajua fik unachkiandk hakiko saw
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Mtu anamchana hadi rais . Huyu ndo anaelimisha jamii kuliko wasanii wote tz . Wewe hujui2 Free nation
@rashidyally87152 жыл бұрын
Tuzo zipo kwa ajili ya waimbaji tu tuzo za Malaya hakuna hivo ukiona mtu kajitoa ujue tuzo zako humo hazipo 😄😄😄😄😄
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Tuzo za Malaya zpo tena saiv ndo hbr ya mjin Malay ili utmbee nae si lazma uumpe Hela ndo tuzo yenyewe iyo au ulznia mpk upewe medali ya dhahabu medali unapewa na Malaya km ulkuw hjui ndo Ivo ss
@stephanomoses76942 жыл бұрын
@@hamidmweusiii35 nimekuelewa baada ya masaa kadhaa