Duuh yani colabo ya Steve mweusi na ndaro mjeshi kikofia. Yani ni nzuri kinyama yani. Ma brother nawakubali sana tu! ❤❤❤
@peter-hf4jd9 ай бұрын
Am already addicted to Steve's content...fan number 1#Kenya
@sounds_kenya9 ай бұрын
We Steve amekuwa na ubeya xana
@marwagabrielmwita49479 ай бұрын
Comedy of no struggle ❤❤❤ napenda hii ya Leo...
@alexsentore23518 ай бұрын
Iwe funzo kwa vijana wa sasa. Beba zege achana na kamali bwana. Uganda 🇺🇬 hatulli jameni.
@muhaallancomedy803810 ай бұрын
Yu dem kasharud sait ....mzuri sana ....huyo alovaa ya mistali nyeupe
@cptnbazil612110 ай бұрын
Mliacha kugombania likes sasa mmeingia wa kwanza mimi wa pili sijui wa nne badala msupport content kizazi cha sasa cha smart phone
@kladahmad333310 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@MwaniPh10 ай бұрын
Bado hawajasema
@cosmascastory919310 ай бұрын
Hahahaha wambie hao wajinga wanao gombania likes kwa kazi za wenzao
@ibumajaamillah31959 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ngulathfundikira42059 ай бұрын
Wananiboaga bas tu
@francismuthiani3499 ай бұрын
Kenya watching.. ONE LOVE 🇰🇪
@Dogopeda10 ай бұрын
Wakwanza Leo kama unawapenda setev na ndaro gonga like apo 👉👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🇹🇿💯
@Damagemweusi27410 ай бұрын
Aha dah wapenzi Wa Ndaro na Steve jameni Angusha like yako Napa Kama unawapenda,,,,hii lotto itawaramba
@chadracknimbabazi52469 ай бұрын
Kama kuna waigizaji duniani nasema duniani wananikosha moyo ni hawa mabingwa jameni hongereni sana tangia asubuhi nilikua sijacheka ila nimecheka hadi mbavu zikakauka
@BlackTwistar9 ай бұрын
Steve watching from Kenya 😂😂😂😂
@mudyzomkali61069 ай бұрын
Dah sitaki hata kuliona kabisa limenisababishia matatizo makubwa sana
@ashahamad46249 ай бұрын
Sema na uyo jamaa muhudumu wa dubwi n balaa anajua sanaaa alaf combination nzima wanajua sanaaa maua yenu jaman🎉🎉🎉
@EliasJohn-lc8nu10 ай бұрын
Nawakubali sanaaaa ndaro na Steve ila ndaro ndioooo mwanangu sanaaa
@Farajadjogo10 ай бұрын
Wakwanza mm
@GriphineJonesGriphine10 ай бұрын
Hiii kali jamani wapi likes zao
@gaddafi4710 ай бұрын
Steve ni bonge La kituko Yan dah😂😂😂😂
@AbdulyJuma-ys1zg27 күн бұрын
Kazi nzuri
@abouamazing340618 күн бұрын
King swagger kadogodogo 🛍️🎒used fantastic,,🇹🇿🇹🇿
@lilinalamri764310 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 stive anangalia sasa kama nyoka mchane 😂😂 ety Sina wazazi🔥🔥🔥🔥
@user-sl9pq7xn1k9 ай бұрын
Hahahaahha
@yusuphbahath93009 ай бұрын
amini kwamba wazeee mmetishaaaaaa 🔥🔥🔥
@AgueroBoaz-ei5qt9 ай бұрын
Haaaahaaaa benki inachezaga dubu
@franciskioko60439 ай бұрын
Kuna luqha funny steve ametumia apa ety ndumbulile🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂❤❤
@protasraphael696110 ай бұрын
Hawa ni wehu kweli daaah😂😂😂
@user-ty1ve2bj5v7 ай бұрын
Nawapenda sana❤❤😂
@hibrahimmagaki66629 ай бұрын
As always from 🇰🇪 ❤
@matocomedian9489 ай бұрын
Nice one
@paterandrea21466 ай бұрын
Jamaa wanajua san
@austinemulwa6 ай бұрын
You need to listen the unique cry 😢😢 ya steve😂😂😂 this guy is really talented 😂😂❤
@juliuskalawa78609 ай бұрын
Acha ujinga benki na wenyewe wanachezaga dubwi😅😅😅
@jumanneyassini9 ай бұрын
Idea nzuri steve video nzuri😂😂😂
@moemaseti4799 ай бұрын
Ahaaaaa mumejichanganyaa
@jeanettenashoni10 ай бұрын
Daaaa hili lidude nani anajuwa bei lake
@festojr9 ай бұрын
😂Nakubali Steve na ndaro😂😂😂
@EliVanie9 ай бұрын
Stive mwanangu nakuoneya huruma.. stive mbona part 6 ya mama yangu kicha haikuje mbio
@user-lq6mt5ji4l3 ай бұрын
Steve huna wazazi imeingilianaje?😂😂😂😂❤❤
@aishalovesesibeАй бұрын
Ndaro mupenzi wa Tunda🥰🥰🇧🇮🇧🇮
@SHIJA_10 ай бұрын
hahahaha 😂😂😂 nyie ni mbwa kweli 😂😂😂😂
@Mwandola110 ай бұрын
Atari Sana zungushe ni TU na mtasema😂
@simaovirgiliodunia39479 ай бұрын
Tuwaombeye Ili tuendele kufurai😅😅😅
@gerysongratian9 ай бұрын
Me kuskia et Dubu lilee...hoiii😂😂
@aishalovesesibeАй бұрын
Muchezeshaji hatari wakiriwa anafurahiya wakira wao anakasirika😂😂
@JuliasPaulo-v2n29 күн бұрын
Nakukubar muchz
@MalemiJuma21 күн бұрын
Hehehe a Hawakwel wanafanana
@mbelechimakobola88359 ай бұрын
Ni kweli kabisa bado Afrika kuna ujinga wa kutupwa kama huo, watu hawana uchungu na pesa eti wanaliwa pesa katika kucheza michezo ya kijinga sana kama hiyo. Lakini watu waliopo kwenye nchi zilizoendelea na ambapo pesa inamacho na nidhamu kwa kuwa inapatikana kwa mujibu wa biblia inayosema kwamba Mtakula kwa jasho wameshapita kwenye upumbavu kama huo!
@NdituTV9 ай бұрын
Hili janga la Dunia nzima. Hata hizo nchu zilizoendelea hii michezo imeshamili ila kwa maeneo maalum. mfano LAS VEGAS ndo jiji linalo ongoza kwa hiii michezo.
@mbelechimakobola88359 ай бұрын
@@NdituTV siyo wa kijinga kama huo, nchi zinazoendelea walishavuka kwenye maswala ya utapeli
@mikamwamba355410 ай бұрын
Steve dubwiii😅
@MTUWAMUNGU3339 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nzuliii sanaaa
@user-so4es4fx3n9 ай бұрын
Huku 001 watu wanalia tu na vituko
@Merrymichael-kn2dj10 ай бұрын
Leo mewahiwahi nzingatien like bx hata 10
@vaghoghontweki98277 ай бұрын
Acha ushamba....penda tu vya bure siku hiyo inakuja ulipe vya watu
@DeBeasts669 ай бұрын
STEVE &NDARO MNATUCHEZEA AKILI MNATUKALISHA KWENHE KAMALII😂 YANI {PAR MACH} 💰 🤑 💸
@MzunguJulius9 ай бұрын
❤ napenda kz zako
@user-wb8ot4dp4pАй бұрын
Ndaro badilisja mavazi......
@blogmanmalik10177 ай бұрын
Hivi vichwa vibovu sana
@jumamenge29 ай бұрын
Nacheka sana ❤❤❤❤😂😂😂😂
@jailosibrahim8810 ай бұрын
Aisee nimejikuta nacheka kwa sauti kisa dubwi
@user-jp3tw4xd2l10 ай бұрын
Steve haop nimekubal
@fubufilmskaliua10 ай бұрын
❤❤❤❤ napenda sana
@user-iz4vq8zu5z9 ай бұрын
Hii kali ya leo bana😂
@lilinalamri764310 ай бұрын
😂😂😂😂 ety unaeza zimia aki ndaro ety mumekutana na chambazi😂😂
@latinustumsime7351Ай бұрын
Jamaa wana vituko awa hatar❤
@HassanAbbas-lb9jx10 ай бұрын
Mm wa Saba kuiona
@ramos_you4620Ай бұрын
Ooh this guy more talented 😂🎉
@malietamaliet9 ай бұрын
Inaonekana ndato ni mzoefu wa game😂😂
@user-zj5xs9tq6e5 ай бұрын
Hizo pesa huwa mnarudisha baada ya movie ama ndio malipo😂😂😂
@TammyMwandaloАй бұрын
Mmetisha wanangu
@tonnydrezzy9 ай бұрын
Nawakubali sana wanangu nyote mnajua saluti kwenu✌️
@user-ob2bf8qf6n9 ай бұрын
Munitisha sana wajomba nakubali sana
@JoakimuKavusha-bg5xr6 ай бұрын
Stivu wenoma
@movieclipworldwidetv35959 ай бұрын
Ndaro ni mzoefu wa kamare
@JastinAlphonce3 ай бұрын
it better to live peacefully than sadness 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@T.A.G_SHILO_CHANIKA2 ай бұрын
Ndaro akiwa kanyamaza unaweza ukajua kuwa akiongea atasema Cha maana 😂😂😂😂😂😂 kumbe
@jacklinejohn22210 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
@patrickthuranira9 ай бұрын
Bado amjasema😂😂😂😂
@user-oz6rm6in5j9 ай бұрын
Steven bro na ndaro ni hatari
@barnabasmarsel38769 ай бұрын
Kazi nzuri wakuu 👏ila hzo title fanyeni mpango ziwe zinaeleweka vzuri
@stevestevo150010 ай бұрын
wazee nawakubali xn natamn kutana nanyi tufnye kazi pamoja
@Kid_entertaiment10 ай бұрын
Leo wa kwanza kama unamkubali steve na ndaro nigongeeni likes apa🎉
@user-kp7sr5nc9h9 ай бұрын
Jamaa nawakubali wasndelee wasitengane
@KuruthumuItendo8 ай бұрын
Jamani hii nimeipenda Sana ongeleni Steve na ndaro
@KuruthumuItendo8 ай бұрын
😍🥰😘
@KuruthumuItendo8 ай бұрын
❤❤
@brightkikungwe83835 ай бұрын
Steve bonyeza nyani hahahahahhahahahah
@macklineremmanuel17429 ай бұрын
Safiiiii sana
@Almas-tf3eb4 ай бұрын
Ssta asy suka na mpenda sanaaa
@josephgichena25889 ай бұрын
Aiseee nawakubali kinoma🙏🙏
@josephmaina-vm1lc7 ай бұрын
Stive utawanunulia ata nguo za ndani na mchana😂😂😂🇰🇪🇰🇪
@IslamAliIslam-ul1yp9 ай бұрын
Safiii naaminia hii yaweza 🫡
@user-pw3si5du9m10 ай бұрын
🎉🎉🎉
@PacifiqueSumaili-xg5xk9 ай бұрын
Toka DRC 🇨🇩 nawafuatilia Ndaro na Steve.
@user-ik5cg3no8b9 ай бұрын
Yaaan steve ww n commedian hatar sana et ndaroo dubu lileeee😂😂😂
@user-cz1be3sx1f9 ай бұрын
Wametisha
@daaemerson358610 ай бұрын
F1st one today ya got get me some likes 🇧🇮🇺🇸 please! Steven wew ni mnoma kiukweli!