Kwanini au weki ile wimbo wako kwanini ufiye zambini wakati neema ipo please tunaitaji sana nyimbo iyo tunamba uwirudishe please
@user-sk7lt5cw5r4 ай бұрын
❤nazipenda sana nyimbo zako hasa majaribu sio mrima
@evahnkini51984 жыл бұрын
Kuna wimbo wako mmoja naitafuta Sana siupati humu unaimbwa tendaaa tenda bwana tenda baba katika maisha yangu Ni wimbo wa kuabudu upo kwenye albamu ya nahilo linapita tunaomba uurushe mie unanibariki sana
@GloryJoshua-xk8sb5 ай бұрын
Ameeen ubalikiwe sana
@yveschishugi2416 Жыл бұрын
Que Dieu te benisses pour la chanson Maman
@nadiauthman51843 жыл бұрын
Dada huwa unanibaliki sana dear 💞💞💞💞💞💞
@bahaticlaire49063 жыл бұрын
Amen. Nyimbo hii inaningusa Mungu azindi kukubariki mama
@mwlsizamwampamba34414 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu,nakuaminia Sana mamaa wa segere la Yesu,uinuliwe zaidi ya hapo my love
@neemajeckoniachavala64374 жыл бұрын
Aminaaa my
@yohanansekela37803 жыл бұрын
Au kama kutakuwa na uwezekano kama unao kwenye sim yako nitumie what sapp no 0782373762 maan me nimeutafta mda mrefu siupat niwimbo ambao nikiusikiliza unanibaliki sana
@nathanielmollel71734 жыл бұрын
Kazi nzuri. Hongera na Bwana akubariki
@neemajeckoniachavala64374 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@neemajeckoniachavala64374 жыл бұрын
Aminaaa
@yohanansekela37803 жыл бұрын
Ubarikiwe sana ila kunawimbo wako kila nikijalibu kuutafta siupati unaimba . Kwanini ufie dhambin wakati neema ipo huo unapatikanaje mpendwa