NGOMA NZITO KWA SABAYA: WENZAKE WAINGIA MITINI KWENYE RUFAA ALIYOFUNGULIWA NA JAMUHURI..

  Рет қаралды 26,350

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 92
@globaltv_online
@globaltv_online 2 жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@atukuzwelameck4869
@atukuzwelameck4869 2 жыл бұрын
Huyu jamaa alitesa sana, silalidhani mungu ni mjombake, ahahahahah 🤣💔🙌, na bado mbwa huyoooo🤣
@abelimtui6180
@abelimtui6180 2 жыл бұрын
Sabaya pole sana siasa za tz
@ericsangasa9872
@ericsangasa9872 2 жыл бұрын
Mwandishi upo vizuri kwa maelezo yako unafanya kazi nzuri sana
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Je wajua,wale waliompelekea Yesu mwanamke waliosema ni mzinzi. Unajua Yesu aliinama akaandika chini. Anaejiona kuwa mwema na hajawahi tenda kosa awe wa kwanza kurusha jiwe. Ukiwa kiongozi lzm uwe na maamuzi magumu. Kama aliwakosea yatosha.!!!
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 2 жыл бұрын
Dah!! MUNGU TENDA MUUJIZA MUOKOE SABAYA
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 2 жыл бұрын
Duuuuh bado huyu kaka jmn hayajaisha tuu duuuh mungu msaidie yarab 😭😭🙏🙏
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 2 жыл бұрын
Balaaa . Ngoja na yeye aonje kama alivyoonjesha wenzake
@happykimaya6631
@happykimaya6631 2 жыл бұрын
Hakuna marefu yasiyo na mwisho. Ipo siku utakuwa huru kaka yangu. MUNGU awe mtetezi wako!
@gabrieldoseti5729
@gabrieldoseti5729 2 жыл бұрын
Sabaya inatakiwa ufungwe maana ulikua Jambazi mkuu
@moreenmichaelmichael1079
@moreenmichaelmichael1079 2 жыл бұрын
Mhhh usihukumu kabla haujahukumiwa,kumbuka hata ww syo mkamilifu
@mosesndahani3315
@mosesndahani3315 2 жыл бұрын
Mimi naamini kunasiku watu wote walioongoza nchi kwa mtindo wa Sabaya ipo siku watalipa
@ibrahimngonyani9704
@ibrahimngonyani9704 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie sabaya
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 2 жыл бұрын
Mungu msaidie huyu sabaya kama kweli alitenda mabaya msamehe hii dunia tunapita nadhani kisha jifunza jela kubaya mungu msaadie muheshimiwa mama yetu kipenzi msaidie hatorudia tena kisha koma mwenyez mungu mfanyie wepesi atoke jela 😭😭😭😭😭
@kennedyombewa7974
@kennedyombewa7974 2 жыл бұрын
Akomae huko huko jela kwa maovu yake, hana nafasi uraiani muhuni huyo
@aishaissa2512
@aishaissa2512 2 жыл бұрын
Jamani huyo sabaya ndo mtenda makosa nchi nzima kwanini msimsamehe tu watenda makosa niwengi mbona
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Kuna jitu liko nyuma ya haya mambo Yan anamkomesha
@wilhardtarimo386
@wilhardtarimo386 2 жыл бұрын
Wakati yeye akidhulumu watu hakua anajua malipo ni hapa hapa duniani
@lucybahatisha1179
@lucybahatisha1179 2 жыл бұрын
Hakuna kosa lisilo samehewa jamani muachieni andelee na maisha yake sisi pia ni wenye zambi sioni haja ya kumtesa hivi kwakweli
@gaspermollel9552
@gaspermollel9552 2 жыл бұрын
Kweli nimeamini kuwa cheo ni zamana 😀😀😀😀
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 2 жыл бұрын
SABAYA TUMUOMBEE. MUNGU ANA MPANGO NAE MUHIMU JAPO WENGI MNAMUONA KAMA MUOVU KUPITA WATU WOTE. MUNGU AKIMTAZAMA ANAMUONA KAMA CHOMBO KINACHOFAA SANA.
@felixhaule7071
@felixhaule7071 2 жыл бұрын
Amechoka hatari sana,Jela sio kuzuri,hakika All Goes Around Comes Around!!
@zuhuramuyinga5953
@zuhuramuyinga5953 2 жыл бұрын
Mwandishi akili kubwa sana.Huchoki kumsikiliza.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Hivi kama mmewaachia wale mafisadi.......mnashindwaje kumwachia kiongozi huyu... Mungu ni. Mungu sabaya vumilia wakati utakuja Tena wa kushika mpini tutajua la kufanya... Iwe heri Kwa Tz
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Pole sana SABAYA Mungu simamia hii kesi 🥲🥲🙏🙏
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Iweje akose ya kulipa mawakili kwani hakuweka akiba zile pesa zote au alipelekea mkuu wake wa kazi 🤣🤣🤣🙌
@mwantumubakary6638
@mwantumubakary6638 2 жыл бұрын
Ndohawa wanasema kwanini nijenge naikiwa nitakufa😂😂🤣
@stanastana3199
@stanastana3199 2 жыл бұрын
Jamaa amehangaishwa sana sana daah
@seriajrtw7298
@seriajrtw7298 2 жыл бұрын
Bado kabisa hajapata adhabu inaupmstahili kwa maovu aliyotendea wengine. Matehemu afufuke amtetee
@anicetphilip9987
@anicetphilip9987 2 жыл бұрын
Wamepania kumuua huyu ndugu so sad kwa kweli
@lucianagodson437
@lucianagodson437 2 жыл бұрын
Eeeh Mwenyezi Mungu mpiganie Sabaya
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 2 жыл бұрын
Kuna ambao mnamuomba Mungu amsaidie na Kuna wale ambao wanamuomba Mungu kanuni za Mbunguni zifuate haki
@masturasudi7394
@masturasudi7394 2 жыл бұрын
Wamwachie bwana
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 жыл бұрын
Kutoka atatoka, lakini ajifunze kuwa Mungu hajaribiwi!! Alijaa dharau na kiburi, watu waliteswa kwa maagizo yake, watu walikatwa hadi vidole, shamba la mbowe liliharibiwa. All in All amrudie Mungu na atubu!! Nasi tunamuombea maana hata biblia inasema patana na nduguyo kabla hajakufikisha korokoroni
@mgayagesimba2238
@mgayagesimba2238 2 жыл бұрын
Yani mimi sina la kusema tofaut na hili. E mungu epusha mabaya kwa wole wote wenye nia mbaya na SABAYA
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 2 жыл бұрын
Tumwombee mpendwa naona huruma jaman
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 2 жыл бұрын
Yaan huyu mungu ipo siku atakujibia
@emmanuelimaliti4166
@emmanuelimaliti4166 2 жыл бұрын
Pole sana sabaya
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Sabaya,Mungu yupo.endelea kumwamini.hata kama umetenda dhambi ya namna gani.Naamin utashinda.wanaokuombea in wengi sanaa.
@neemaloy889
@neemaloy889 2 жыл бұрын
Mungu msaidie lengai nakuomba sana Mungu
@valerianabechamu1720
@valerianabechamu1720 2 жыл бұрын
Ee, Mungu Ingilia kati maisha ya Sabaya Mungu Mtetee mpigania Ili Aweze kutoka katika kipindi hiki kigumu
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 2 жыл бұрын
Kweli mpendwa naomba tumwombee, kwani hakuna mwanadamu asiye na mapungufu,Mungu amsaidie naona huruma jaman basi tu
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 2 жыл бұрын
Mnamjua Mungu Ama Mnamsikia Tuuu???
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 2 жыл бұрын
Duh
@georgewambura7695
@georgewambura7695 2 жыл бұрын
Lema alimwambia sabaya usimtegemee mtu, sababu kuna siku hatakuwepo
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
MUNGU anawaona nawambia wote tupo chini ya jua.
@rosekuriyo7188
@rosekuriyo7188 2 жыл бұрын
pole xan kk yang, mweny hak ataixh kwa iman
@dianajohn6931
@dianajohn6931 2 жыл бұрын
Aaachiwe Tu Jamani
@yacobmaningo825
@yacobmaningo825 2 жыл бұрын
Poale sana ndugu olesabaya mungu akujalie akutete sn,
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 2 жыл бұрын
Mungu hatetei muhalifu
@mamapeace6730
@mamapeace6730 2 жыл бұрын
Jamani vipi mbona mnasahau mema yake viongozi hakuna zuli hata moja wa kati wautumshi wake
@kilakadenic9215
@kilakadenic9215 2 жыл бұрын
mazur yake amesha yatumia wakati yupo madarakan saiz ni zamu ya kuyatumikia mabaya yake
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 2 жыл бұрын
WATU KAMA HAWA HUWAGA WANAKUJA KUWA VIONGOZI WAZURI SANA WATETEA WANYONGE BAADAYE. ANGALIA VIONGOZI WENGI WALIOTETEA WANYONGE, UTAONA WALIPITISHWA KWANZA KWENYE MAFUNZO ILI WAANDALIWE KUONGOZA WATU.
@josephmalisa2987
@josephmalisa2987 2 жыл бұрын
Duuuh kweli ashaadhibishwa sana
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 2 жыл бұрын
Muda mwingine inafanyikia hivi Ili kutoa funzo kwa viongozi wengine wasije tumia madaraka Yao vibaya
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 2 жыл бұрын
Mimi sielewi sheria ila nataka kujua ni kwann mstakiwa mmoja aondolewe kwenye shauri la rufaa ya Dpp
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 2 жыл бұрын
SIKU MOJA HUENDA SABAYA NDIYE ATAKAYEKUWA RAIS WA NCHI. NAMFANANISHA KAMA YUSUPH KIPINDI CHA PHARAOH
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 2 жыл бұрын
Umelogwaaaaa??? NCHI IPII??? Muwe mnachunguza vitu
@amanestomihi2599
@amanestomihi2599 2 жыл бұрын
Labda rais wa majambazi
@munarjafu9886
@munarjafu9886 2 жыл бұрын
Right JPM angekuwa hii sizani kama sabaya angetendewa mungu yupo
@amanestomihi2599
@amanestomihi2599 2 жыл бұрын
Kutesa kwa zamu
@manasekabusha7180
@manasekabusha7180 2 жыл бұрын
dah noma sana tusiye mjuwa atatenda tusiyo yajuwa
@roseafrael75
@roseafrael75 2 жыл бұрын
Kuna wanaomuonea huruma sabaya kuna wanaombeza pia,, ila ukweli ni kwamba anatumikia makosa aliyoyatenda tuache sheria ifate mkondo wake kila mmoja atalipa kwa madhambi aliyoyatenda na malipo ni hapa hapa duniani. Nafkiri wanaotumia madaraka vibaya wanazidi kujifunza kupitia sabaya.
@yohanatulito1182
@yohanatulito1182 2 жыл бұрын
Dunia ndogo sanna 😏
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 2 жыл бұрын
Mwandishi msomi nice
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 2 жыл бұрын
mi nashauri aturie tu wamufunge
@mariamzirojuma2157
@mariamzirojuma2157 2 жыл бұрын
Walamba asali wapo kazini. Mungu atusaidie
@mariosigala8760
@mariosigala8760 2 жыл бұрын
Tunapaswa kufahm kua Akili zetu zinapoishia ndipo MUNGU anajitwalia Utukufu wake ,
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 жыл бұрын
Mh,sabaya kua na amani utashinda MUNGU yupo
@lidyakisoka3346
@lidyakisoka3346 2 жыл бұрын
Kuteseka kwa zamu
@hichayasin7244
@hichayasin7244 2 жыл бұрын
DUUU!! DHAMBI MBAYAAAA!!!!!!...
@veronicabwamukuru1265
@veronicabwamukuru1265 2 жыл бұрын
Dunia hii, tutakufa vifo vibaya sana
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Wewe na nani?
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 жыл бұрын
@@noelbryson7840 🤣🤣🤣🤣🤣
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 жыл бұрын
Vita inaelekea mwishoni.ushindi upo
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 2 жыл бұрын
Mshahara wa dhambiii majibu mauti ila wangemwacha tu aje afie kwao
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 жыл бұрын
Wanachelewesha angekuwa mangelepa kama alivyowawaisha wengine wakati ule ubabe wake
@athumani6655
@athumani6655 2 жыл бұрын
Hela zimeishaa tayriii
@rogersiddy
@rogersiddy 2 жыл бұрын
Mpunga umekata sio??🤣🤣
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Kwa upande upi sasa mkuu?
@OPERATORSGARDAWORLD
@OPERATORSGARDAWORLD 2 жыл бұрын
SABAYA AFUNGWE NA ANYONGWE 30 AGE
@moreenmichaelmichael1079
@moreenmichaelmichael1079 2 жыл бұрын
Mhh hv ungekuwa ndo ww wanasema unyongwe ungejeskieje???kwamba ww umekamilika kila idara mpaka unasema mwenzio anyongwe,usihukumu kabla haujahukumiwa
@masturasudi7394
@masturasudi7394 2 жыл бұрын
Kanyongwe mwenyewe kwani kauwa
@masturasudi7394
@masturasudi7394 2 жыл бұрын
Roho yakishetani hiyo
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 2 жыл бұрын
Duu
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 2 жыл бұрын
NONGWA
@suleimankira9195
@suleimankira9195 2 жыл бұрын
Namini wamemuwamulia kupoteza bila sababu yoyote
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 2 жыл бұрын
Wewe wasema kwakuwa familia yako haijaguswa nae . Tuache haki utendeke .
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 2 жыл бұрын
Mimi sielewi sheria ila nataka kujua ni kwann mstakiwa mmoja aondolewe kwenye shauri la rufaa ya Dpp
@neemaisrael688
@neemaisrael688 2 жыл бұрын
Ni JAMHURI SIYO JAMUHURI.
VIDEO: MAJAMBAZI WANASWA WAKIWAPORA WAZUNGU WANNE kwa KUTUMIA BUNDUKI...
3:58
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 456 М.
Thousands of Christians Convert to Islam After Humiliating Muslim Boy
17:20
Putin and Trump Meeting / Venue Preparation
12:07
NEXTA Live
Рет қаралды 603 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН