(Ngowi TV)"ROHO SAFI HUKAA KWENYE MWILI IMARA KIUCHUMI". Prof. Ngowi

  Рет қаралды 16,037

Ngowi TV

Ngowi TV

Күн бұрын

Mchumi na mjasiriamali Prof.Ngowi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe, awaaambia watanzania kwamba hakuna njia ya kuweza kuepuka ujasiriamali iwapo wanataka kuondokana na umasikini kwa kutengeneza kipato halali. Ameyasema hayo wakati akifundisha somo la ujasiriamali kwa raidi ya watanzania elf 20 waliohudhuria Warsha ya waumini wote wakatoliki, iliyofanyika tarehe 29 mwezi january 2022 latina uwanja wa Taifa

Пікірлер: 21
@kamtanzania
@kamtanzania 2 жыл бұрын
Kwaheri rafiki yangu R.I.P my Prof. I learnt a lot from you..mtu wa watu. Mwenye roho safi kabisa.
@johnngowi2992
@johnngowi2992 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Profesa. Umeondoka katika kipindi ambacho bado unahitajika sana.
@nsubilimwampeta9920
@nsubilimwampeta9920 2 жыл бұрын
"Uwe tayari kupanda mti ambao kivuri chake hautakifaidi...au matunda yake hautayala.." Wise living words from the wise man..You've burnt the world Prof. RIP
@rizikitwiga2124
@rizikitwiga2124 2 жыл бұрын
Profesa Bado ni ndoto na ni fumbo kubwa kwa nn Mungu ameruhusu jambo hili....Mungu akupe nafasi ya pekee katika ufalme wake ....Tutaendelea kuyaishi mazuri yako Rafiki Mwalimu..Mtu wa pekee mwenye Roho Safi isiyo na Majivuno.RAHA YA MILELE UMPEE EEH BWANA NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI ...AMINA
@albentinaleonard3679
@albentinaleonard3679 Жыл бұрын
great
@mutajumarobhe9788
@mutajumarobhe9788 2 жыл бұрын
Somo zuri sana Mungu humsaidia anayefanya bidiii
@MaaneML
@MaaneML 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Kaka yangu Prof. Prosper Honest Ngowi. Ni tunu iliyozimika ghafla. Umetuachia maumivu makubwa mno. Sitakusahau kwa KAZI yako njema hasa zile tulizofanya pamoja . Naona kama Ndoto jamani. Ninakulilia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@veronicaveronicaariambuya8650
@veronicaveronicaariambuya8650 2 жыл бұрын
Polen
@mwanahawarajabu9253
@mwanahawarajabu9253 2 жыл бұрын
Madini ya mbobezi professor honest ngowi
@midlasternsanzugwanko1219
@midlasternsanzugwanko1219 2 жыл бұрын
RIP prof
@wannaproducts
@wannaproducts 2 жыл бұрын
Bwana alotoa na Bwana ametwaa, jina lake lohimidiwe..
@hubertwilbard8203
@hubertwilbard8203 2 жыл бұрын
Rip prof.
@GregoryMlay
@GregoryMlay 2 жыл бұрын
Asante Sana Prof Ngowi. Fay Fashion Tanzania tunakusikiliza.
@zachariajustine873
@zachariajustine873 2 жыл бұрын
RIP PROFESSOR NGOWI ,WE WILL MISS MORE
@wilbroadgrarcian1259
@wilbroadgrarcian1259 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani profesor
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 2 жыл бұрын
I speak with last month .it pain a lot
@brightonshakila6406
@brightonshakila6406 2 жыл бұрын
Oooooh Jamani RIP
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
R.i.p Pro Ngowi!
@ibel4lf
@ibel4lf 2 жыл бұрын
May your soul Rest in Peace
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 2 жыл бұрын
Rest in peace Mwalimu
@johnngowi2992
@johnngowi2992 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Profesa. Umeondoka katika kipindi ambacho bado unahitajika sana.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 214 МЛН
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 15 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 16 МЛН
RSA ANIMATE: Economics is for Everyone!
11:21
RSA
Рет қаралды 363 М.
The Untold Truth About Money: How to Build Wealth From Nothing.
17:26
How Singapore’s AI Strategy Can Be A Roadmap For Others
24:46
Fortune Magazine
Рет қаралды 4,9 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 214 МЛН