Рет қаралды 16,037
Mchumi na mjasiriamali Prof.Ngowi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe, awaaambia watanzania kwamba hakuna njia ya kuweza kuepuka ujasiriamali iwapo wanataka kuondokana na umasikini kwa kutengeneza kipato halali. Ameyasema hayo wakati akifundisha somo la ujasiriamali kwa raidi ya watanzania elf 20 waliohudhuria Warsha ya waumini wote wakatoliki, iliyofanyika tarehe 29 mwezi january 2022 latina uwanja wa Taifa