Barikiwa sana mtumishi hakika kila unapofundisha kitu Mimi kwangu napiga hatua kubwa sana, Naomba Mungu azidi kukupa neema katika jina la yesu ili uzidi kutufumbua macho ya rohoni. pia naomba mtumishi uje utufundishe juu ya maono jinsi ya kuona maono na ninamna gani utajua haya kweli ni maono kwako. Amina
@stanleyhenrish10555 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mshubiri yako mtumishi Mungu ázidi kukutia nguvu maana nimejifunza mengi kupita mahubiri yako
@pasuakaratu2601 Жыл бұрын
Baba najifungua kwenye kifungo nilimwambia ex wangu siwezi kula mpaka ale yeye, yaani hadi sasa hivi siwezag kula sipendi kula, nabatilisha kauli hiyo kwa damu ya yesu
@pqolai77404 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu nimebarkiwa sana kweli neno lako limeniponya
@patrickjackson73134 жыл бұрын
Nashukulu kwa mafundisho yako Ubarikiwe mtumishi.
@maivoneivone54175 жыл бұрын
Nilijuwa unavyoigiza kwenye move ni muigizaji tu kumbe ni mchungaji upo vizuri sana Roho mtakatifu anakutumia
@cyrilbrian68405 жыл бұрын
May God bless you and lift you from level to level as He uses you to preach the gospel unto his people.
@octavianjoseph35125 жыл бұрын
Barikiwa baba
@stetualoislyander67245 жыл бұрын
Yesss True,Amina- Barikiwa Pastor!
@upendomichael34985 жыл бұрын
Nakuelewa vizuri bbaangu
@merrygchuwa41604 жыл бұрын
Amim
@lokonamusenga10465 жыл бұрын
Amen 🙏🏾
@remsimmbala76354 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@saiunazitoagawapihabarhizo10086 жыл бұрын
Nimefunguliwa sana
@philipojangama6 жыл бұрын
Ameen, Haleluya Mtumishi wa Mungu Aliyehai. Barikiwa Sana. (HESABU 23 19-20)(23).